TUNDU LISU ni hazina PEKEE ambayo WATANZANIA tunapaswa kujivunia, TUMUOMBEE AISHI , MUNGU AMZIDISHIE MALAIKA WA ULINZI, NDIO MTU PEKEEWENYE BIDII YA KUTETEA NCHI KWA GHARAMA YOYOTE ILE MAANA AMEJITOA MHANGA
Umejichanganya, Ni mungu sio Mungu, maana viongozi wanajifanya miungu watu. Hawataki kukosolewa wala kuambiwa ukweli. MUNGU ni MMOJA TU wa Mbinguni basi.
@@TM.Sullusi katumia lugha ya kuficha akimaanisha kuwa viongozi wa kiafrika wanajifanya MUNGU hivyo hawahitaji kukosolewa na wananchi wao hata kama watakosea kiasi gani,,,,,hata hivyo huwezi elewa mchezo wa siasa hadi uwe miongoni mwa wanasiasa.
Ndio ujue mungu wa mbinguni anavyoumbua vitu ambavyo wanavificha wanakua wabishi kuweka sawa nchi ,sijui wanataka nchi hii ivulugike au nn, tupate katiba ndio suluhisho ,maana katiba ni ya CCM bwana, iliwekwa na CCM yaan ni ya chama kimoja tu, nashangaa eti Kuna vyama vingi walivyoweka kwa katiba hii, wakati wangebadilisha katiba iebdane na vyama vingi ndio ingekua vzr
Akaa! Makelele, matusi munajitukana wenyewe. Nyinyi WABONGO ndio muliopanga kiila kitu, au mumesahau? au mulipiga kopo la pombe? au muna vyeti feki hamkupasi masomo? Musitukane Wazenji HAWAHUSIKI, munajitukana wenyewe!!🤣🤣🤣🤣🤣
Sana ni tuihubiri amani tusipokee mfumo wa vyama vingi kwanamna ya kilifanya taifa like la ukimbizi hawa watu hawapo sawa natujue Kuna mataifa yanawafadhili hawa tuheshimu amani yetu ili mungu aendelee kutusaidia sio Bure Hawa Hanna mkamilifu ktk wale wote walozaliwa Kwa miili ya tamaa
Mimi naomba sana kuhusu suala la kuwahusisha wananchi wazanzibari kuwa wabaguzi hilo ondoeni ondooni kwenye fikra zenu maana wao wananchi wengi wa Zanzibar waliwaamshaa kitamboo kuhusu huu Muungano kuwa sio Rafiki kwa wananchi leo mimejionea wenyewe msiwahusishe kwenye hizo lawama njooni na mpango kazi nini tufanye sasa kama kweli mko Serious
Rais samia nikama mwiz kwenye TAIFA naku2letea mikopo2 inchin namaendeleo aya2oni hapa na pia ssaiv kashakopa mpaka kwenye mitandao ndomana bei y kununua sms za mwez ni tzsh.1500 duuh
Mimi ni mkenya nawaombeni sana watanzania ujanja wa maneno yaliyopangwa kwa ajili ya kunyakua uongozi wenzenu yalitukuta na tunajuta, huyu anawaingiza kwenye shimo na hamtatoka, ana marafiki huku kwetu tena ole wenu mngewajuwa.
Ukitaka kumuua jiandae wewe kwani kuua TU Bilal atia ni ujinga kwani wewe nikipi usicho kielewa na nikigeni labda wewe ni baila au zombi lakini kama ni mwenye akiki sana timamu uwezi kusema ujinga
Nchi inapigwa mnada vp?? toa sera za chama chako na sio kuleta mada za taharuki, tafuta njia nyingine ya kuomba kura na sio kuleta mada za sintofaham, kama wewe ni mkweli tupe takwimu ya wawekezaji hapa Nchini wametokea Nchi gani mana ugomvi wako ni wawekezaji Waarabu tu ili kuleta mtafaruku Nchini, tunapenda Amani hizi siasa zako za kuleta chuki zimepitwa na wakati
Lisu unakubalika sana na watanzania, ila umesababisha wewe mwenyewe watanzania wengi wakupinge kwa sababu ya kauli zako za haki za mashoga. Likiwekwa sawa hilo hakuna mpinzani maana watanzania wengi wanakerwa sana na suala la ushoga. Na hata hao wanaokuunga mkono, ni basi tu maana wafanyeje, yaani wanaona bora wewe unaekubali ushoga kuliko CCM wakandamizaji kwenye kila nyanja ingawaje na wao wanaukubali ushoga kwa kificho na ndio maana harakati za ushoga zinazidi kuongezeka nchini. Hili CHADEMA LINAWAGHARIMU kumwendekeza mgombea ambae anatamka wazi kukubali haki ya ushoga.
Lisu muongo wewe sana misitu ya, wali ha 8,000,000, zimegawa kwa Waarabu? Eti mama ameuza bandari zipi unawambia wajinga sio werevu. Eti leo unamsifia Magufuli kuwa ni mzuri kuliko Mama yaani Chadema siwezi kuwaamini sana. Ha za misitu vingapi kula mahali ni vurugu wapi. Mmeshindwa Sera mnaona Watanzania wote ni wajinga hamna kitu nyie
Siku zote uneducated ndio wanamuona lisu Hana Sera , lisu he's best political in Tanzania, just Imagine amepigwa Risasi Mungu kampambinia kapona angekuwa mwengine angeacha siasa but he stand up n continue na kusema ukweli so wake up
Hapa ndipo ukuu wa mungu unaonekana anayekuchimbia shimo anaingia mwenyewe
🎉❤mungu akubariki sana mheshimiwa lisu tukomboe
Hapo ndipo umeongea vizuri na umegusa sehemu nzuri tunakuamini wote
Kinacho fanya watanzania wasiamke Ni Nini au rushwa Kama Ni rushwa hakika rushwa hupofusha macho Ni wakati wa watanganyika kuamka sasa
Mungu akupe maisha marefu Lissu ww ni mpango wa Mungu
Siasa.mchezo.mbaya.lisu.yuko.vizuri
TUNDU LISU ni hazina PEKEE ambayo WATANZANIA tunapaswa kujivunia, TUMUOMBEE AISHI , MUNGU AMZIDISHIE MALAIKA WA ULINZI, NDIO MTU PEKEEWENYE BIDII YA KUTETEA NCHI KWA GHARAMA YOYOTE ILE MAANA AMEJITOA MHANGA
Amen
Excellent speach!
Waambie lissu, wewe ni msema kweli mungu akupe maisha marefu
Dugai ñi mbabe mungu àtamlipa kwa ubabe wake
LIISSU NI KWELI ASEMACHO.
Mr lissu my brother Sasa tunatokaje kwenye hili janga??
Wanaosema kaishiwa sera sioni wakisema kwamba anayosema si kweli
Chadema bd sn kuongoza serekali na nchi hii wao wenyewe hawawezi kujiongoza
Mnamkubali John Pombe magufuli kiana...Yule ndio Raisi pekee Bora Tanzania
Bora Kenya yetu na ruto wetu😂
kabisa
Zakayo kaenda USA nauli mapesa kibao nae ni ssm ya Kenya
MUNGU AKULINDE TUNDU LISSU UWE RAIS NAKUHESHIMU SANA MUNGU ATAKUPA URAIS NAAMINI HAUFI LEO NA UTAKUWA RAIS
Mungu azidi kukusimamia Mheshimiwa Lissu, mpambanaji namba moja wa dhulma
😂😂😂😂😂kwamba pamoja na ushenzi wake
Wanaomkataa lisu wamelogwa si bure
M/mungu akuruzuku maisha marefu Lissu Tundu mpaka kusudi la kukuweka hai
hamna kitu lisu unatunganya nawewe sio mkamilifu bwn
WATANGANYIKA MSILALAMIKE MSHAKULAA SANA NEEMA YAZANZIBAR LEO KUONGOZA MZANZIBARI MNAANZA MANENO PUMBAVU ZENU MAMA KAMATA USUKANI MKIENDELEA TUTAUZA BANDARI YENU SISI MUMEUZA VYETU VINGAPI
huyu mungu hahahaha Lisu noma sana
Siasa kweli! Huyo huyo ndiye aliyekunyima stahiki zako kama mbunge, na wewe ukiingia kuwa "mungu" kuna uhakika gani hautageuka kuwa kama yeye?
😁😁😁HATA SIJUI NAKENYUA NINII...NI HUZUNII KWELIKWELI 😢ETI NDUGAI ALIMKOSOA MUNGU😢😢😢
Umejichanganya, Ni mungu sio Mungu, maana viongozi wanajifanya miungu watu. Hawataki kukosolewa wala kuambiwa ukweli. MUNGU ni MMOJA TU wa Mbinguni basi.
@@TM.Sullusi katumia lugha ya kuficha akimaanisha kuwa viongozi wa kiafrika wanajifanya MUNGU hivyo hawahitaji kukosolewa na wananchi wao hata kama watakosea kiasi gani,,,,,hata hivyo huwezi elewa mchezo wa siasa hadi uwe miongoni mwa wanasiasa.
Mungu tenda miujiza tunaibiwa tz
Ninye watu mnaoshabiki vyama siasa muwe watu wenye kumuogopa mungu mwenye hadhi ya kuua ni mungu tu
Daaah nchi ngumu hii huyu mama anareta shida kwetu tutaishije na watoto wetu
Ndio ujue mungu wa mbinguni anavyoumbua vitu ambavyo wanavificha wanakua wabishi kuweka sawa nchi ,sijui wanataka nchi hii ivulugike au nn, tupate katiba ndio suluhisho ,maana katiba ni ya CCM bwana, iliwekwa na CCM yaan ni ya chama kimoja tu, nashangaa eti Kuna vyama vingi walivyoweka kwa katiba hii, wakati wangebadilisha katiba iebdane na vyama vingi ndio ingekua vzr
TUIMBE; Chama CHETU CHA MAPINDUZI Chajenga nchii.......
Kweli kamanda
SAME STORY HANA JIPYA KUBWEKA TU 😢😢😢😢😢
Watu kama nyinyi mnatakiwa sana duniani
Akaa! Makelele, matusi munajitukana wenyewe. Nyinyi WABONGO ndio muliopanga kiila kitu, au mumesahau? au mulipiga kopo la pombe? au muna vyeti feki hamkupasi masomo? Musitukane Wazenji HAWAHUSIKI, munajitukana wenyewe!!🤣🤣🤣🤣🤣
Sana ni tuihubiri amani tusipokee mfumo wa vyama vingi kwanamna ya kilifanya taifa like la ukimbizi hawa watu hawapo sawa natujue Kuna mataifa yanawafadhili hawa tuheshimu amani yetu ili mungu aendelee kutusaidia sio Bure Hawa Hanna mkamilifu ktk wale wote walozaliwa Kwa miili ya tamaa
Ukiishiwa cha kusema kwenye chama chako lazima ubwetebwete
Kuumwa sana akili zinahitaji 😂msaada wa Mungu
Lisu machawa yenye shibe ya dhuluma Kwa wanyonge watakuskia?
Huyu SiO rais nani alimchagua
Mimi naomba sana kuhusu suala la kuwahusisha wananchi wazanzibari kuwa wabaguzi hilo ondoeni ondooni kwenye fikra zenu maana wao wananchi wengi wa Zanzibar waliwaamshaa kitamboo kuhusu huu Muungano kuwa sio Rafiki kwa wananchi leo mimejionea wenyewe msiwahusishe kwenye hizo lawama njooni na mpango kazi nini tufanye sasa kama kweli mko Serious
Rais samia nikama mwiz kwenye TAIFA naku2letea mikopo2 inchin namaendeleo aya2oni hapa na pia ssaiv kashakopa mpaka kwenye mitandao ndomana bei y kununua sms za mwez ni tzsh.1500 duuh
MADINI YANOKWENDA ULAYA MBONA HUTAJI AU NDIO WANACHUKIA MABWANA ZAKO
KUTESA KWA ZAMU MLIVO KUA MNAONGOZA NYIEE KIMYAA SAIVI KUONGOZA WAZANZIBARI KELELEE TULIENI TUWAONGOZE WALA UROJO PUMBAVU ZENU
Upuuzi mtupu
Acheni upuuz hamtafani'iwa..WATAN2ANIA TULIO WENGI TUNAAKILI NA UFAHAMU..ONGEENI SAAANA LAKINI WATANZANIA WATAAMUA
Bandari ya zanzi baa nayoiuzwe napiya kisiwa chapemba wahamishwe wauziwe wamaasai
Lisu usipotoshe Ndugai alijiuzulu mwenyewe baada ya kukiri makosa yake.
Kuna mda mwingine we unatakiwa kuwa kabatini
Mimi ni mkenya nawaombeni sana watanzania ujanja wa maneno yaliyopangwa kwa ajili ya kunyakua uongozi wenzenu yalitukuta na tunajuta, huyu anawaingiza kwenye shimo na hamtatoka, ana marafiki huku kwetu tena ole wenu mngewajuwa.
Tokaaaaa
Kweli kabisa na hatafanikiwa Sisi tuko imara awaambie watu wa nyumbani kwao Ikungi wanayampaa wenzake sio Sisi tunaojua
Wewe ni muongo huyu jamaa hanamatrial mengi hacha hujinga
Poa kuliko mwaume akubali kufirwa
Lisu vuna hoja...akili zako hazina AKILI...KALIME
Lissu natamani aandike kitabu
Mamlaka hubadilisha mtu. Huenda hata CDM wakaichukua dola haya maneno yote huenda yakawa historia.
NDEGE ZETU MIG 21 REJESHENI BASI
WOTE NYIE NI WAHUNI TU HAMNA LOLOTE
😮
Ukitaka kumuua jiandae wewe kwani kuua TU Bilal atia ni ujinga kwani wewe nikipi usicho kielewa na nikigeni labda wewe ni baila au zombi lakini kama ni mwenye akiki sana timamu uwezi kusema ujinga
Nchi inapigwa mnada vp?? toa sera za chama chako na sio kuleta mada za taharuki, tafuta njia nyingine ya kuomba kura na sio kuleta mada za sintofaham, kama wewe ni mkweli tupe takwimu ya wawekezaji hapa Nchini wametokea Nchi gani mana ugomvi wako ni wawekezaji Waarabu tu ili kuleta mtafaruku Nchini, tunapenda Amani hizi siasa zako za kuleta chuki zimepitwa na wakati
mimi nasoma comments tuuu 😂😂
MWISHO MASHEKHE ZETU MUMEWAFUNGA MIAKA MINANE MBONA HYUSAEME HAYO SHOGA WEWE
We hujielewi, watu wanazungumzia nchi we unaleta Udini.
Lisu wewe Muongo huna Leo ndugai amekuwa mzuri Wewe huna shukraani
Hivi kwa akili yako ikitokea mtu hata hamkubaliani lakini akaja kuongea jambo la maslahi kwa wote kwanini usimuunge mkono?
Usamehewe
Uongo huo
MNAISHIA KUPIGA KELELE BARABARANI TU NA HATA NYIE CHADEMA NI VIBARAKA WA MBOWE NDIO MAANA ANAWATAWALA MIAKA 20 KAMA MWENYEKITI NA HATA HAMUHOJI....
Lisu unakubalika sana na watanzania, ila umesababisha wewe mwenyewe watanzania wengi wakupinge kwa sababu ya kauli zako za haki za mashoga. Likiwekwa sawa hilo hakuna mpinzani maana watanzania wengi wanakerwa sana na suala la ushoga. Na hata hao wanaokuunga mkono, ni basi tu maana wafanyeje, yaani wanaona bora wewe unaekubali ushoga kuliko CCM wakandamizaji kwenye kila nyanja ingawaje na wao wanaukubali ushoga kwa kificho na ndio maana harakati za ushoga zinazidi kuongezeka nchini. Hili CHADEMA LINAWAGHARIMU kumwendekeza mgombea ambae anatamka wazi kukubali haki ya ushoga.
MAMA PIGA KAZI, ACHANA NA HAWA MANENO MENGI, MAMA APEWE MIAKA 20
Lisu muongo wewe sana misitu ya, wali ha 8,000,000, zimegawa kwa Waarabu? Eti mama ameuza bandari zipi unawambia wajinga sio werevu. Eti leo unamsifia Magufuli kuwa ni mzuri kuliko Mama yaani Chadema siwezi kuwaamini sana. Ha za misitu vingapi kula mahali ni vurugu wapi. Mmeshindwa Sera mnaona Watanzania wote ni wajinga hamna kitu nyie
Usiwe msahaulifu kumbuka ulisema vibaya ndugai na leo unamsifia
Ndo siasa ilivyo, huwa haitabiriki
Ukiwa Rais utawafanyia nn watanzania
Jiulize wewe utaifanyia Nini Tanzania
acheni maneno yule kajiuzuru bahada yakuona majonzi ni mingi kuliko ufanyaji kazi akaoba bola atoke ili taifa liendelee ndugai ni mzalendo
Sasa huyo mungu aliyekupa uhuru wa kutanua mdomo ndani ya Tanzania na yule mungu aliyekunyima uhuru huu nani Bora
Mmmmh kazi kweli
Kuna miungu mingi ambayo hupambanuliwa kwa hulka zao kama ambavyo kuna dini nyingi zinazobainisha miungu mingi zikitofautiana mafundisho.
Acha uongo mzeee wewe unazeeka vibaya kwa uchu wa madaraka
Imeuzwa bei gani lisu umekosa Sera mzee
Mpe za Kwako kenge Wewe
Fualia mambo ya nchi yako sio kuona Lisu hana sera anayosema ni kukuamsha usingizini
Siku zote uneducated ndio wanamuona lisu Hana Sera , lisu he's best political in Tanzania, just Imagine amepigwa Risasi Mungu kampambinia kapona angekuwa mwengine angeacha siasa but he stand up n continue na kusema ukweli so wake up
Ongea point kila cku n kusema watu tu na matusi mzee hatuhitaji matusi wala kebei wala polojo eleza ukipewa uongozi utafanya nn ndan ya nchi
Huyu hatukani labda ujamsikia vizuri huyu anaamsha watanganyika
Kwa hio bora ndugai alokufanyi ushenzi. Kuliko mzanzibari alokutendea wema.
Wacheni ujinga weka gani
Huyu atakufa vibaya huyu lisu
Utakufa wewe fala mkubwa
Mpumbavu wa wapumbavu!!!!
Afe kwa ajili ya nini? Mjinga wa mwisho wewe
Kifo kwa masultan
Kila atakufa
Lisu sio mheshimiwa Bali mpotoshaji2
Mbon unaongea umbea tu malengo ya chama chenu ni yap?
Naona kaishiwa huyu jamaa
Kaishiwa mamako
TUIMBE; Chama CHETU CHA MAPINDUZI Chajenga nchii......
DOUBLE STANDARD HIYO NYIE WATANGAYIKA MUMECHUKUA VINGAPI VYA ZANZIBAR
Kama vipi kwa mfano?zanzibar kuna nini cha kuchua
Ukiishiwa cha kusema kwenye chama chako lazima ubwetebwete
Kuumwa sana akili zinahitaji 😂msaada wa Mungu
Anaongea ukweli acha ubogazi