Part 1_USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU KWA MIAKA 17

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 105

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod639 4 года назад +7

    Asnte ubarikiwe mno mmi huwa naongeza sana kitu kwa safari yangu ya mbinguni kwa hizi shuhuda,Amen

  • @kennedynjoroge8742
    @kennedynjoroge8742 3 года назад +5

    Awesome message but hiyo kelele ya back ground inachukiza

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya7688 4 года назад +12

    Mtumishi Jacktan Msafiri Huduma yako ni njema mno. Mungu azidi kukutumia

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад

    Asante mtumishi kila kitu anayosema ni 💯%Mwenyezi Mungu akufiche chini ya uvuli wake.❤🎉

  • @sadikimtega4135
    @sadikimtega4135 4 года назад +11

    Ushuda mzuri ila tunaomba muenaangalia mda amabao no tulivu. Hizo kelele zinasumbua masikio

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 2 года назад +7

    Tanzania kuna wachawi Sana sijui KWA nn! Hawa ni wachache wanaoamuwa kuja Kwa yesu, lkn wapo maelfu ambao hawataki kuokoka wakiwemo ile dini nyingine ambao wanaamini wapo sahihi kumbe wao ndio wamepotea kupita maelezo.

  • @tulibumisalu8812
    @tulibumisalu8812 4 года назад +7

    Mungu atusaidie sana tusiwe walokole wa asilimia arobaini

  • @ahmedyally3088
    @ahmedyally3088 4 года назад +8

    Dah ushuhuda mzuri ila iyo adhana imeharibu

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 4 года назад +4

    Baba yetu aliyeumba vyote akubariki na akulinde, nabarikiwa sana na shuhuda zako. Nipo Mombasa, Kenya

  • @horemow9832
    @horemow9832 4 года назад +10

    Amen napenda sana jinzi anavyo quote scriptures barikiwa sana i say hapo kuna makelele sana

  • @davidmatthew1715
    @davidmatthew1715 4 года назад +8

    Wakamshinda shetani kwa nguvu ya damu ya Yesu na ushuhuda wao.

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +1

    Uzuri wake huwa mnatuambia ukweli tupu asante. Mwenye masikio na asikie

  • @mamanchuchu7969
    @mamanchuchu7969 2 года назад +2

    MUNGU nimwema sanakwetu ubarikiwe sana baba

  • @hamisiali8494
    @hamisiali8494 4 года назад +2

    Mimi huwa nafurahia ushuhuda na nko Kenya Mombasa mungu akubariki

  • @cartassenga3515
    @cartassenga3515 3 года назад +2

    Barikiwa sana

  • @bettynino7354
    @bettynino7354 4 года назад +4

    God bless you presenter, you are doing a great job

  • @hashimuchambuso9741
    @hashimuchambuso9741 4 года назад +8

    Dah.... iko haja ya kurudia kurekodi hii. Msikiti umeharibu usikivu.

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 4 года назад +3

    Mungu asaidie watu wake! Huwa wanafurika kwenye miujiza bila kufikiria.

  • @f.alovely6419
    @f.alovely6419 4 года назад +4

    From Kenya🇰🇪

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 4 года назад +2

    Kweli Mungu Roho mtakatifu anazungumza nasi kuptia ushuhuda huu"
    Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru"
    Lipo kusudi kubwa sana la Mungu juu ya huyu mtumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад +1

    JACTAN UKO VIZURI KUKUSANYA SHUHUDA ZA UKWELI NA UWAZI SEMA MB HAZITOSHI HADI MWISHO TENGEZA BASI VITABU TUSOME WAKATI WOTE. UNAYO NGUVU NA FEDHA ZITUMIE HIVYO JACKTAN. ASANTE SAAAANA MTUMISHI

  • @anethynyirenda9231
    @anethynyirenda9231 4 года назад +3

    Ninainuliwa kiroho kupitia huu ushuhuda.mungu baba nnakshkr

  • @FamousBerry139
    @FamousBerry139 4 года назад +4

    Watching from Kenya

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 4 года назад +2

    Ufunuo nzuri sana👏👏👏👏👏

  • @tevercaretv2479
    @tevercaretv2479 3 года назад +3

    Jamani wakati mwingine jaribu kuboresha tukio LA kurekodo....tafuta mahali tulivu

  • @mackynicky5832
    @mackynicky5832 4 года назад +6

    Kweli Mungu akikusudia anakuokoa hata uwe umefanya mambo mengi mabaya kiasi gani

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls 2 года назад +1

    Too much noise at the background

  • @tevercaretv2479
    @tevercaretv2479 3 года назад +4

    Surely makelele ya msikiti hamngetafuta maeneo fasaha jamani

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Asante, ndio maana tukaomba radhi kwa maandishi, kama haujaona tunaomba radhi kwa hilo🙏.Unaweza kufuata link hii ili utazame toleo ambalo halina tatizo hilo ruclips.net/p/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q

  • @thehopetv6299
    @thehopetv6299 4 года назад +3

    Aiseee

  • @costacarlosgomes1387
    @costacarlosgomes1387 4 года назад +1

    Asante kwa hushunda

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 4 года назад +3

    Tunashukuru Mungu kwa yote anayoyaruhusu ili sisi tulio wafuasi wa Kristo tupate kitu cha kujifunza na kupata kuwa na maarifa ya rohoni

  • @josphatfondo6499
    @josphatfondo6499 3 года назад +2

    Jina la bwana lipewe sifa

  • @diphinahnanjala7584
    @diphinahnanjala7584 3 года назад +2

    Mtumishi wangu ihiyo ni ulimwengu wa Visa ama wa shetani sio wakiroho kabisa.

  • @allandonna_2640
    @allandonna_2640 4 года назад +6

    mtumishi mimi nashauri siku moja uwatafte watu kama hawa watatu au zaidi tulinganishe nawatwambie wakati mwingine walikuwaga wanakutana...?

  • @patricklochoto-bx1sr
    @patricklochoto-bx1sr Год назад +2

    Ushuhuda wako umenijuza mengi

  • @dicksondavid9897
    @dicksondavid9897 3 года назад +1

    Barikiwa san

  • @susansenga754
    @susansenga754 4 года назад +2

    Vp mbona azana ???????

  • @giftielinganga3128
    @giftielinganga3128 4 года назад +3

    YESU ATUSAIDINAHILA ZASHETANI.

  • @andrewmajita6437
    @andrewmajita6437 4 года назад +2

    Jacktan ushuhuda mzuri tena unafundisha ila hizo sauti za msikiti

  • @neemamwalende304
    @neemamwalende304 4 года назад +4

    Doctor wa roho tupe mwendelezo.

  • @PeninahMwendwa
    @PeninahMwendwa Год назад

    Ni marundio?

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад +3

    Oh no. Ushuhuda Safi lakini hiyo background za pepo za ki islam katukwaza. Kwa nini ulichagua mazingira hayo?

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 года назад +1

      "Wewe ndio Shetani na Pepo Mkubwa,chunga ulimi wako usije ukalaaniwa"

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      @@shenjamamzingi7950 ikurudiliye laana wewe kwa jina la yesu kristo wa Nazarethi. Mimi Si pepo wala shetani. Nafichwa na damu takatifu ya Yesu Kristu wa Nazarethi. Sikutaja mtu, nilitaja mazingira. Kwa hiyo, laana hiyo irudi kwako 100%

    • @isakahissa4130
      @isakahissa4130 4 года назад

      Naiman mbingun tutakuwa wote motoni, maana yesu halikua hamdhiaki mtu na Iman yake..ila halikua anatumia busara watu kumuamin...kwahio sidhan Kama hutakuwa kondoo wa kwer wa yesu maana mwenye damu ya yesu lazma afate nyayo zake sio Kama wwe una ngozi ya kondoo lkn sikondoo wa bwana, esta🙏

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 3 года назад

      Kweli yaudhi kelele tuu na hizo nyimbo zao za kishetani wa kuzimu .

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 3 года назад +1

    Hio kelele ya msikiti ishindwe

  • @PastorPhilipMbaabu.
    @PastorPhilipMbaabu. 8 месяцев назад

    Ask important questions. Example, anachukua damu za watu aje??

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas5128 4 года назад +4

    Vinafsi sipendagi kuona hizi picha za kutisha unazozitumiaga kwa nn usiache kutumia yan adi unastuka ukiwa umeshka sm

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 года назад +2

      Tunaomba radhi kwa hilo,tutaziondoa

    • @paulinas.3631
      @paulinas.3631 4 года назад +1

      Kweli usiweke hizo picha aisee, ila huduma yenu ni njema sana, kwa Yesu kuna uhakika

  • @bwikondefockas3726
    @bwikondefockas3726 2 года назад +1

    usiludi huko Ni hatar

  • @charleschisawillo464
    @charleschisawillo464 4 года назад +4

    SAUTI YA AZANA IMEHARIBU USIKIVU UWE UNAREKODIA SEHEMU YENYE UTULIVU

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      Thanks, I was soo disappointed too.

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 4 года назад

      Harafu wakristo wengi wanaonekana wanapenda sana mambo ya majini na mambo ya kichawi sababu kila anaetoa shuhuda zake utamkuta baada ya kufundisha mambo ya mungu atakuwa anafundisha uchawi au habari za majini,Sasa mnapataga nafasi yakujifunza mambo ya mungu na uwezo wake kweli?tena kwa hadith hiyo anayoeleza hapo wakisto wanamuona anaelimu kubwa ataakiamua kujiita yeye ni mtume au nabii watamuamini huyo ni msanii tu hana lolote ni hadithi tu anazozitoa kichwani kwake na sio mafundisho ya mungu,huyo ni wakala wa shetani anatafuta kujiaminisha kwa wakristo ili apige hela.

  • @WillyWhiskey-hw7qy
    @WillyWhiskey-hw7qy 5 месяцев назад

    Akili kid 1:05

  • @rafaelolemoono6830
    @rafaelolemoono6830 4 года назад +3

    Damu ya wanawake inachukuliwaje? Na wachukua au wavuna damu unajikingaje dhidi yao?

  • @salehfarid1003
    @salehfarid1003 4 года назад +1

    Subhanallah jina la ALLAH NA QUR AN INASIKIKA

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Duuh!! Unapewa kazi usingizini

  • @samuelmnada5878
    @samuelmnada5878 Год назад

    Kuzimu hiyo alikua anaimanisha Wafu yaani walioko kabulini

  • @hassankombo4475
    @hassankombo4475 4 года назад +1

    Uyu mtumishi naisi kama namjua anatokea simike mbeya

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 4 года назад +2

    Hiyo saut km mashambuliz ili tusisikie vzr

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 4 года назад +1

    Ko nihai huku dam yako inatumika kuzimu

  • @angelmtisi4611
    @angelmtisi4611 4 года назад +2

    Alikuwa akichukua damu kwa njia gani kwa kuwauwa watu au?

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 4 года назад +3

    Maelezo mazuri lakini sauti io usiweke kipindi kingine

  • @paschalpaul5022
    @paschalpaul5022 4 года назад +2

    Naonba kuuliza kwanini watakatifu wanatofauitiana nguvu mwingine ndogo mwingine nyingi kwa nini na wote wameokoka

    • @kibalikikubwa804
      @kibalikikubwa804 4 года назад +4

      Kinacholeta Nguvu zaidi za kiungu kwa mtu ni uhusiano kati ya mtu na Yesu. Kadiri unavyo tafuta kuwa karibu zaidi na Yesu ndivyo Nguvu zake zinavyo ongezeka ndani yako.

    • @paulmzamy3320
      @paulmzamy3320 4 года назад

      @@kibalikikubwa804 barikiwa na mungu

    • @hassankombo4475
      @hassankombo4475 4 года назад +3

      Kumtafuta mungu ni pamoja na kufunga na kuomba mutumishi anaefunga sana na kuomba anakua na nguvu sana

    • @joylynenalija4795
      @joylynenalija4795 4 года назад +1

      Kadiri unavyoishi na kutenda sawa sawa na Neno,kufunga na kuomba,kufuata na kutii maagizo,sheria na amri za Mungu na kufanyazile kazi Yesu alifanya pamoja na kuishi maisha matakatifu yaan kukaa mbali na dhambi,hivi vyote ndivyo vinavyokupelekea kuwa na nguvu kubwa kiroho. Sasa unakuta mtu ameokoka lkn kwny uzinzi yumo, pombe anakunywa,kwny masengenyo yumo,anakopa halipi, kwa ujumla haishi maisha matakatifu huyu hawezi kuwa na nguvu kiroho,wachawi watamtesa tu maana ameokoka kimwili kiroho hajaokoka.

    • @joylynenalija4795
      @joylynenalija4795 4 года назад +3

      Mtu anasema ameokoka fungu la kumi hatoi, au km anatoa hatoi kwa ukamilifu anamwibia Mungu,na ibilis anawapenda sn hawa unakuta matatizo hayaishi magonjwa nk ukiingia rohon unakuta source ni 10%.
      Kaokoka anavaa nywele za bandia, kucha za bandia n other fake stufs,hafanyi maombi ya ucku.
      Kwa hyo lazima awe tofauti na yule aliyeamua kuwa mwaminifu kwa Mungu na kutimiza mapenzi ya Mungu.
      Shetan haogopi ww kuokoka,anaogopa maisha unayoishi baada ya kuokoka,maisha matakatifu,kujitenga mbali na dhambi.
      Neno linasema iweni watakatifu km mimi nilivyo mtakatifu. Afu Yesu akasema itakufaa nin kuupata ulimwengu huu wte kisha uukose uzima wa milele?.
      Ukitaka kumkomesha ibilis jitenge na mambo ya ulimwengu huu ndivyo unavyokuwa mtakatifu na ndivyo utakavyojitofautisha na walokole wengine walioamua kuuzoelea wokovu.
      Hope umepata mwanga kdgo🙏

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 4 года назад +1

    Usemage ulimwengu wa kuzimu, sio wa kiroho,

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад

    Hizo kelele sauti za islamic why. Meaning what.

  • @ChancyLuhasa
    @ChancyLuhasa 3 года назад +2

    Kelele ni nyingi sana za nyimbo za kiarabu.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Bonyeza link hii kusikiliza iliyo safi
      ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU: ruclips.net/p/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 3 года назад +1

    Mbn awa watu japo wameshatoka uko lkn utagunduwa kuwa kuna bahaz ya maneno awasemi..utasikia sehem frahn awatoe maekezo kwa kina

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Si kila kitiuu uweke wazi hata hivyo wanajitahidi,zamani nikimsikia hivyo siwezi kusikiliza mahubiri yake,nilikuwa siamini kama kaokoka kweli

  • @harunigaitani2590
    @harunigaitani2590 4 года назад

    Aa

  • @mwamvuamkovizuriahsantenih8358
    @mwamvuamkovizuriahsantenih8358 4 года назад

    Quran inanogesha uo ndoukweli ata mkichukia 🤣🤣

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад

    TB Joshua mnaijeria ni umoja wa false prophets

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 4 года назад +2

    Barikiwa sana