Umuhimu Kuweka Akiba - Joel Nanauka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 144

  • @AbdulMakame-w5v
    @AbdulMakame-w5v 3 месяца назад +1

    Kweli kaka bila ya kuweka hakiba maisha utayaona magumu hata kama unalipwa million sita kwa mwezi, Asante sana kaka kwa somo zuri.

  • @RamaKalokaza-pp3ef
    @RamaKalokaza-pp3ef Год назад +2

    Hiyo ya tatu nimeielewa sana na nikweli kwa sababu na mm ni miongoni mwa watu ambao akiba imenifungulia amani na kifanya fulsa zenye kuhitaji pesa nyingi kwa kutumia akiba .thanks sana broh mungu akuzidishie uzima utupe elim coz unatumia elim yako vizuri kuelimisha watu

  • @theatlastz67
    @theatlastz67 3 года назад +13

    Somo zuri Sana, akiba inatupa utulivu wa akili, Akili ikiwa imetulia unaweza fanya mengi sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      ni kweli kabisaaa

    • @joycejames4603
      @joycejames4603 2 года назад

      Nimejifunza kitu nashukuru Kaka Joel natakiwa kuweka akiba Ila hapo kwny utulivu wa akili imenigusa mpaka nimecheka ukiwa huna akiba....unahisi kufakufa tuu Kama dunia inakuangukia kweli Kaka yang

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph 5 месяцев назад

    Presentation zako zipo powa sanaa nazidi muomba mungu nionane na wewe a keep studying book ila vitabu vyako viko vizurii sanaa kaka joel nanauka naitwa Paulo kazuba niko chuo cha DuCe .. nagifunzaa public speaker wwe unaifupatia knoweledge naongezea pia kwa vitabu navyo somaaa asantee kwa kusoma ujumbe huu

  • @kiotastar1791
    @kiotastar1791 3 года назад +3

    Kaka uko vizuri Sana aiseee nataman siku moja nifike hapo ulipo nikuletee zawad yako unastahili kupokea zawad yangu maana umeyabadilisha maisha yangu kwa asilimia 1000%

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 3 года назад +2

    sababu zote ulizozitaja hapo ni muhimu sana kaka joel...kila sababu moja inabeba nyingine na mwisho wa siku zote zinakuwa za muhimu..baraka ziwe juu yako na juu yetu pia kama tutazingatia ulichotoa katika somo

  • @Bahatigabriel50
    @Bahatigabriel50 3 года назад +1

    Yani unanipoza sana kaka hasa nikiwa nakosea

  • @GeorgeWilinas-op1xm
    @GeorgeWilinas-op1xm Год назад

    Kaka uko vizuri Yani hapo kwenye akiba nimejikuta namiliki Mali nyingi Sana kupitia akiba ..asante sana

  • @mwidadiabdalla3564
    @mwidadiabdalla3564 3 года назад +6

    Shukran sana hapo kwa fursa na nidhamu nikweli kabisa.

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 3 года назад +1

    Utulivu ktk kupangilia biashara zaidi pale ntakapoweka Akiba nikweli kabisa

  • @mariammohamed8829
    @mariammohamed8829 3 года назад

    Kweli umeongea hapa vizur asante

  • @paschalmanyama44
    @paschalmanyama44 2 года назад

    Kk akiba ni mtaji kwanza kabisa

  • @neysmiller1307
    @neysmiller1307 3 года назад +5

    Asante Sana mwalimu ,, video hii naamini itabadilisha maisha yangu ,,,

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ahsante kwa kuendelea kufuatilia kila
      Wakati 🙏🏼

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Год назад

    Ahsantee sanaaa 🙏

  • @sarapaul8382
    @sarapaul8382 2 года назад +3

    😂😂😂 najifunza pia nafurahi Joel ukikosa akiba unahis kama mwisho wa dunia unakuja..that made my day 😂. Umenifunza mengi Asante Mungu kwa uzima wako 🙏🏽

    • @pauljosephtarimo2279
      @pauljosephtarimo2279 2 года назад

      Ni kweli kabisa

    • @bonifacewanyonyi3555
      @bonifacewanyonyi3555 2 года назад

      Joel umeniamsha akili yangu sana ni ponface maruti kutoka Kenya nitakutempelea Sikh moja Tanzania mungu akupariki sana uziti kusaitia wengi na kipawa chenye mungu alikupa asandi

  • @sixbertmchucha9223
    @sixbertmchucha9223 Год назад

    Jambo muhimu Sana jinsi ya kuweka akiba hongera unasaidia watu

  • @rajaburajabu12509
    @rajaburajabu12509 Год назад

    Ni kweli kabisa
    Mr Joel
    Unatutengeneza kwa mambo mengi sana
    God bless you!!!

  • @groupone8412
    @groupone8412 Год назад

    Ahsante kaka hapo kwenye kuweka akiba kabla ya matumiz

  • @elizabethleonard2429
    @elizabethleonard2429 3 года назад +1

    Nimependa zaidi ktk kusaidia kutumia fursa zinazojitokeza bila kuzitarajia na kukuongezea kipato!Barikiwa sana braza

  • @khamisasaid25
    @khamisasaid25 2 года назад

    Sante kaka kwa mafunzo mazuri

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 3 года назад +2

    Nilifanikiwa kutatua jambo muhimu sana kwa kujiwekea akiba,nimekuelewa vizuri sana shukrani.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Wow hongera sana Devotha🙏🏼

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 3 года назад

      @@joelnanauka nashukuru kwa mafundisho Yako ubarikiwe.

  • @kalyweedy5106
    @kalyweedy5106 Год назад

    Nimesaidika sana na masomo mazur, ahsante sana

  • @firdosoman3133
    @firdosoman3133 3 года назад +4

    Wakenya tuisukume hii video kwa status ili wenzetu nao waelimike,,kwa kweli kaka anatuelimisha tumuombeeni kwa pamoja mungu ampe afya na moyo zaidi apate kutuelimisha kwa pamoja.Mimi mkenya lakini niko Oman natizama kila video yako unavoiweka,,kwa kweli kwanzia nianze kutizama video zako nimefika mbali sana.Mungu akueke kaka akupe na afya tuseme amiin🤲

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Nakushukuru sana kwa kuendelea kufuatilia na kujifunza. Tuendelee kushare na wengine pia🙏🏼

  • @JanethLyari
    @JanethLyari 7 месяцев назад

    Imei gundua kitu
    Muhimu sana Mungu akuba rik

  • @augustinomarkmmbaga3170
    @augustinomarkmmbaga3170 3 года назад

    Akiba kwa ajili ya utulivu ni namba moja kwani unakuwa na uhakika wa kukabiliana na dharura inayohitaji pesa kwa kiasi fulani. Lakini kuweka akiba tu wakati dharura ikitokea unaweza kuitumia yote nayo inakuwa bado si vyema sana.
    Sasa kama una akiba na fursa imetokea na ukaitumia vizuri inaweza badilisha maisha yako.
    Somo nzuri sana mkuu,,,,👍

  • @frankshayo262
    @frankshayo262 3 года назад

    SoMo zuri sana hta mini kuna wakati fursa zinajitokez najijuta sin akiba na wenye akiba wanazchkua

  • @aggu08
    @aggu08 3 года назад

    Sure...akiba haiozi,weka akiba kwa malengo👍

  • @LJSMATHLAW
    @LJSMATHLAW 2 года назад

    Kweli ndugu Joel, Mungu amekubariki. Kuhusu akiba umenipa muelekeo mzuri sana. Hasa kwenye swala la utulivu wa akili.

  • @bilshanjames6482
    @bilshanjames6482 3 года назад

    somo zurii sana kwahakia ..ijapokuwa nimechelewa kuanza kukufatilia kupitia video zako.. lakin ninashukuru maeke naanza kubadili mwenendo wa maisha yangu

  • @wilejohn7239
    @wilejohn7239 2 года назад

    nakubalisan kaka tuelimshe tu mungu atakujaliya milele ilavtabutuelekezenamna yakuvipata

  • @edigamabere5212
    @edigamabere5212 3 года назад +2

    Nimekuelewa sana una masomo mazuri sana mungu akubaliki ila naomba kujua vitabu vyako vinapatikana wapi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ameen, karibu sana kupata vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71

  • @ndobeheshija4176
    @ndobeheshija4176 2 года назад

    Asante sana Sir Joel nanauka

  • @TheLegend-vj5zt
    @TheLegend-vj5zt 3 года назад +2

    Big up my Kaka upo makini Sana Ahsante Sana kwa ujumbe mzuri

  • @mcnyoka
    @mcnyoka 3 года назад

    Shikamoooo... Nimekusoma vizuuuriii

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Год назад

    Kaka tunashukuru Sana kuelimisha Watanzania.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 года назад

    Ipo sawa kabisa

  • @virgosixthemoon9652
    @virgosixthemoon9652 2 года назад

    Asante Kwa SoMo lako Kila siku napata ujuzi mpya kupitia wewe

  • @martinbanda6382
    @martinbanda6382 3 года назад

    Hakika yote ulio ongea ni kweli na yana faida, MUNGU akubariki sana

  • @AraAra-fs7tg
    @AraAra-fs7tg Год назад +1

    Ni ukweli ukiwa na nidhamu ya fedha,utaweza kuwa na nidhamu maeneo mengine kwa hakika imenigusa

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 3 года назад +1

    Peace of mind kazi kubwa ya akiba aisee

  • @nahimanaadamo4364
    @nahimanaadamo4364 2 года назад

    Umenena Vema MAANA hatamimi Upandehuo Wa Akiba unanisumbuwa. Vitabu hivyo Vinauzwa beigani

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 3 года назад

    Ubarikiwe sana kaka Joel. Hivyo vitabu napataje hard copy na ni kiasi gani kwakila kitabu. Me Niko Manyara.

  • @asifiwejaphetmwalwayo1764
    @asifiwejaphetmwalwayo1764 26 дней назад

    Hongera Kwa Somo zur

  • @hamisifakihii9468
    @hamisifakihii9468 3 года назад

    Kaka umetisha yote tu yako pw

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 года назад

    Asante kaka joel kwa kujitoa kwako kutuelimisha Mungu akubariki sana

  • @hosianasaitoti3823
    @hosianasaitoti3823 2 года назад

    Nimekupata vizuri .ubarikiwe kwa kutuelimisha

  • @madamjudymuwonge8348
    @madamjudymuwonge8348 5 месяцев назад

    Kwangu nimeona ni muhimu zaidi kuweka akiba kwa ajili fursa zinazojitokeza , mara papu nyumba inauzwa hapahapa ninapofanyia biasha halafu ananunua mwingine itakuwa ni zaidi ya maumivu

  • @malembopraygod1653
    @malembopraygod1653 2 месяца назад

    Ni mwaka wakumi nipo kazin, ndo nmejifunza kuweka akiba. Point yako namba 3 ni kwel kabsa

  • @IbrahimMwakapinga
    @IbrahimMwakapinga Год назад

    Kaka nashukuru sana

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 2 года назад

    Ni kweli kaka Joel

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 года назад

    Asante kaka, kwa elimu nzuri, nitaanza kuweka akiba.

  • @sionloserian7010
    @sionloserian7010 2 года назад

    Hakika nimeelewa kitu broo

  • @giovanniotto8
    @giovanniotto8 3 года назад

    Asante kwa somo zuri bro

  • @godwingeorge7051
    @godwingeorge7051 3 года назад +1

    J Nanauka umenibadilisha sana maisha yangu kwa videos zako Mungu akubariki sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ameen namtukuza Mungu kwa hilo

  • @marcJuma66
    @marcJuma66 18 дней назад

    Nimekuelewa sna bro

  • @mwanzolazaro5138
    @mwanzolazaro5138 2 года назад

    Kuna fursa nyingi zimenipita kwa kutokuwa na akiba.

  • @happymollel4635
    @happymollel4635 3 года назад +1

    Mafunzo mazuri mimi kila siku nafuatilia mada zako miaka miwili mfululizo sasa, nimejifunza mengi. Pia nimeongeza kujiamini

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Hongera sana Happy, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🏼

  • @hamzamkugilo5373
    @hamzamkugilo5373 3 года назад

    Upo vizuri mkuu

  • @samirijumajuma5724
    @samirijumajuma5724 6 месяцев назад

    Nakuelewa sanaa kaka

  • @salmarugusha9319
    @salmarugusha9319 3 года назад

    Nimekuelewa sana bro ubarikiwe

  • @mussaulaya3926
    @mussaulaya3926 2 года назад

    Hapo kwenye akiba ikitokea fursa unaitumia hapo nami ndipo nilipotobolea

  • @paulfrenck7269
    @paulfrenck7269 3 года назад

    Ahsante Sana ubalikiwe Joel nan

  • @robertgordon2745
    @robertgordon2745 3 года назад

    nakuelewa vizuri mentor wangu

  • @mwajumaathumani-f4q
    @mwajumaathumani-f4q 8 месяцев назад

    Nataka hicho kitabu cha kuweka akiba kwa kiswahili

  • @farajahkibona9022
    @farajahkibona9022 3 года назад

    Nakushuru sana ,umenifungua akil ,navipataje hivyo vitabu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Karibu sana 0762 31 21 71 utavipata

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 2 года назад

    Asante bro true

  • @ismaildonald3052
    @ismaildonald3052 3 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi.

  • @rojahussein9530
    @rojahussein9530 3 года назад

    br am proud of you...

  • @ibrahimmwilapwa7632
    @ibrahimmwilapwa7632 3 года назад +4

    Thanks bro

  • @ashirafumustafa9419
    @ashirafumustafa9419 3 года назад

    Nashukuru kaka

  • @rubbenmacha7254
    @rubbenmacha7254 Год назад

    Kaka naanza kuweka akiba

  • @eliagabriel5284
    @eliagabriel5284 2 года назад

    Zeto lakini zaidi
    (Ni utulivu wa akili)

  • @mketoofficial1740
    @mketoofficial1740 2 года назад

    Asee bro ubarikiw kutokan na masomo yako unatufanya tutimize malengo

  • @pierrnyerere1158
    @pierrnyerere1158 3 года назад

    Uko vizuri kwa kutuelimisha aise

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 3 года назад

    Ahsante nimeaza kuweka Akiba
    Toka nikiwa Skuli
    Wakatihuo kulikuwa na Bank ya Posta unapeleka kitu cha posta

  • @lydiaedwin6911
    @lydiaedwin6911 2 года назад

    Ubarikiwe

  • @saviourkasekwa2042
    @saviourkasekwa2042 3 года назад +3

    Kweli akiba inaleta utulivu wa akili

  • @stephanoleonce5530
    @stephanoleonce5530 3 года назад +1

    Nakubali

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад

    Vitabu vyako kaka napataje

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 3 года назад

    Mungu akubariki sana

  • @petermasha4123
    @petermasha4123 2 года назад +1

    Kwa nini hivi vitabu vyako havipatikani huku kwetu Mombasa jamhuri ya Keny?

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi 2 года назад

    Ni nouma.

  • @Visa_222
    @Visa_222 8 месяцев назад

    kaka nikweli kabisa akili inatulia kabisaukiwa na akiba

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 2 дня назад

    THANKS KAKA

  • @oderingsomela5967
    @oderingsomela5967 21 день назад

    thank you so much

  • @ashirafumustafa9419
    @ashirafumustafa9419 3 года назад

    Asante kaka nakufatilia sana

  • @josephjohn4283
    @josephjohn4283 3 года назад

    Okay! Good idea

  • @jacobmwise2893
    @jacobmwise2893 3 года назад

    Nakubali kaka

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 3 года назад

    Ahsante

  • @MamabenKaranja
    @MamabenKaranja 4 месяца назад

    Good 😊

  • @CHRISTIANO-q4r
    @CHRISTIANO-q4r 8 месяцев назад

    Nimependa mafunzo yako mr

  • @consiliazakaria3219
    @consiliazakaria3219 3 года назад

    Pastor Joel nakutafuta

  • @brayankimambo5125
    @brayankimambo5125 3 года назад

    Ni kweli

  • @owlbig
    @owlbig 3 года назад

    That is true brother

  • @mgl_africa
    @mgl_africa 3 года назад

    Joel nije unipunguzie Vitabu basi😂😂😂😂

  • @SIAZMEDIA
    @SIAZMEDIA 3 года назад +1

    Masha Allah!!!Broo uko vizuri kwa kuelimisha jamii.Mungu akujaalie moyo huo huo wa kujitolea kutuelimisha🔥🔥. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪Mombasa.Mimi wa kwanza umenielimisha...

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад +1

      Ameen, ahsante sana sana🙏🏼

  • @dicksongadson2223
    @dicksongadson2223 3 года назад +1

    fursa zinazo jitokeza apo imenigusa sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Umeshawahi kukutana na hiyo hali

  • @mussajabiry3891
    @mussajabiry3891 3 года назад

    Mm ni shuhuda WA I'lo skuwa naweka akiba awal ila now naweka naimenisaidia

  • @augustinomwamasinga639
    @augustinomwamasinga639 3 года назад

    Sawaaa

  • @PhilipWanyonyi-ou3gy
    @PhilipWanyonyi-ou3gy 7 месяцев назад

    Asante sana ndugu yangu Joel,nabarikiwa na elimu Yako,..ila nauliza can I download your series