Hvi NMB kuna account ambayo naweza kuweka akiba kipindi ambacho nina hela tuu Kama sina nikija kuweka wasinikate maana nilikaa muda mrefu bila kuweka pesa baada kama miez sita nkaanza kuweka wakanilamba zote sina hamu nao hadi leo natamani kuchoma kadi😢😢
Vicoba ni nzur sana ❤❤❤
Asante sana kwa somo la kuweka akiba,
VIKOBA na fixed account nimependa🙏
Ubarikiwe
Njia ya tatu nimeipenda naomba unifundishe
VICOBA NA UPATU ni nzuri sana
Asante sana nimetamani njia ya tano nilikuwa naomba unipe elimu kidgo juu ya hiyo njia
Ok broo kwa ushauri nzur sana
Nmejifunza kitu hapa ubarkiwe brother
Amina kaka
Nimejifunza na nitatendea kaz ,shukran san mwalimu wetu ❤❤
Vikoba safi sanaa
@@HadijaMhando-n8e iko vizuri sana
Barikiwa zaidi kaka kiukweli unanibariki
asante kwa somo zuri, natumia upatu ila ningependelea utufundishe namna ya kuwekeza kwenye mifuko kama utt
Sawaaa🙏🙏🤝
Nami pia napenda kujua zaid kuhusu mfuko wa utt
Vicoba 🙏
Safiii
Njia ya 3 iko vizuri zaidi
Emeelewa❤️
Points 🎉🎉
Nashukuru kwa elimu nzuri. ila pia kwanini usingekua unatengeneza audio books
Naomba nisaidie kujua kuweka kwenye UTT
Napenda vikoba
Safi anza
Ja asisti este video tao especially porque desperta atencao de grand evolucao
Nimeipenda njia ya kaunda group la watu mnao fahamiana then mkaweka mkakati wa kila mtu kuonyesha pay slip pale anapokua aneweka akiba
Ndio. Hii ni nzuri mno
Asante sana kaka
Asante pia
Assnte kaka
🙏🏾
🙏
Yaan mm huwa nashindwa kuweka akiba niliweka kwenye kibubu ikitokea shida tu naitoa asante nmeelewa kaka
😂😂mimi uyo
👏👏👏🙏
🤝🤝
Dr naomba niwe miongon mwa watu unaowasimamia kwenye kuweka helaaaa
Mpesa wekeza
Hii mpya Na ni nzuri
Nimeipenda ile njia ya kusimamiwa na mtu ninaemuheshimu kutoa kuweka sarving acount siwezi kutoa bila huyo mtu
Ni njia nzuri mno
Mm njia ya fixed acaunt
safiii
Mm naomba unifundishe Ile ya kikoba
Hela ya mshahara ikatwe moja kwa moja nipe maelekeza kk
Ukienda bank huduma kwa wateja Kuna form utapewa ya kujaza
Njia ya vikoba
Upatu
Ushaur wako ni mzr San ,nimeipend hiyo Hiyo fix accaunt ndio ipoje
Broo samahan hivi nawezaje kutunza boom langu ili ku avoid kuisha mapema pasipo kufanya vitu vya msingi
Wekeza tu nunua hisa
@Bekaberico nipe somo zaidi kaka kuhus namna ya kununua hizo hisa
Nameipenda hiyo ya kutafuta mentor wa kunisimamia!
Mie nmependa ya kikoba ntajitahidi nianze
Anza ni vizuri. Tafuta vilivyosajiriwa na ambavyo pesa inawekwa bank ya kikundi sio account ya mtu binafsi au mtu kukusanya
@@kelvinkibenje Saw Mr kelvin nitaanza nashukur pia ushaur wako Mzur
Nimependa fixed account, sijui naipataje
Bank yoyote
Hvi NMB kuna account ambayo naweza kuweka akiba kipindi ambacho nina hela tuu Kama sina nikija kuweka wasinikate maana nilikaa muda mrefu bila kuweka pesa baada kama miez sita nkaanza kuweka wakanilamba zote sina hamu nao hadi leo natamani kuchoma kadi😢😢
Nenda ukaulizie pre paid kadi Haina Makato ni ya NMB
Sawa Ahsante @@pendothomas7258
Iyo hakiba inakua na faida pale ukifkia tamati ya kutoa ela yko?
UTT Kuna faida
Sasa kwa sisi wa mikoani tunapataje kikoba
Fixed account IPO vipi mkuu
Nataka hicho kikoba ulichopo ww
Kitaitwa BUTA vicoba
Na Mimi nakitaka @@kelvinkibenje
🙏🙏