I promise to prepare and plan to Pray this novena, so May the Almighty God Guide me and walk with me through out the 54 days without breaking the chain,in Jesus Mighty Name AMEN 🙏🙏 🙏.
Nakushuru sasa Baba Mbiku, mimi nimekuwa nikisali novena hii lakini kwa mafundisho yako sasa nimefahamu kwamba nilikuwa naisali ndivyo sivyo na labda ndiyo maana sikujibiwa maombi yangu. Nimefarijika sana sana kwa tafakari na mwongozo huu. Mungu azidi kukubariki katika uijilishaji wako unatufunulia mengi sana. nasikiliza sana na kujifunza kupitia Believe and Be filled Amen
Asante sana Baba Mbiku kwa mchanganuo huo wa Hii novena. Mimi niliwahi kuelezwa na Padre mmoja jina nimelihifadhi. Hakuna tofauti na ulichoeleza. Na nilijibiwa ombi langu. Tunakushukuru Ee MUNGU kwa zawadi ya Fr. Mbiku kuwepo pamoja nasi.
Asante sana baba kwa makumbusho ayo bora ya novena Mungu akubariki pia akulinde na akujalie nguvu zaroho mtakatifu ili upate ku mtumikia sikuzote zamaisha yako amina
Tumsifu Yesu Kristu. Naomba Padri unisaidie ku-clarify katika ku-establish nia ya novena. Naomba Mungu nifanikiwe ku-recover malipo katika kesi ya madai pamoja na kupokea uongozi wa Roho Mtakatifu katika restoration ya maisha baada ya kupoteza mali zangu zote. Je hili ni ombi moja au zaidi ya moja katika nia? Asante sana kwa lishe hii bora ya kiroho. Amen.
Ahsante sana Baba Padri kwa mafundisho hayo mazuri yahusuyo hiyo Novena ya siku 54, na kwamba tukumbuke pia kumshukuru Mungu kwa mengi aliyotujalia na si kuomba tuu kama wengi wetu tunavyofanya.
Novena hii ilinipatia Mume Mwema. nakumbuka nilienda kwa Fr Mbiku ofc kwake ana kwa ana nikaandika. a nikaifanyia nikaaza kusali. na huwa nimewafundisha wengi
Tumsifu yes kiristo jinalangu John Lucas Petro swali mmi ninauchumba wapata miaka 18 Sasa mchumba wangu nimwisilam tunaishi vizuri tuna watoto 3nilishajalibu kumshawishi lakin sijafanikiwa nae anamsimamo namim sishiliki komniyo nifanye Nini ilinifanikiwe 2kazi yangu ni dereva wamagar makubwa yanayo safir nje ya nnchi ya Tanzania padri nifanye nn iwapo nataka kusali hiyo novena
Ok Sasa ire ya mwisho ya sita Kuna misa ya wajibu ok na miss yanovena mfano mie naishi daa kz zangu Zanzibar kanisa ni Moja tu kama hakuna Sara ya novena nitafantaje hapo mnisaidie Kwa bars sawa viwasini Sasa naomba msaada Nina siku mbili tu dareslaam nasafili huko visiwani
Unaweza kuja ukaonana nae chuo kikuu cha Dar es salaam Karbu sana siku za kazi j4 adi ijumaa mda Saa 9:00 asubui adi 1:00 Alafu jion 4:30 adi 6:30 jion
ahsante sana Baba yangu uliyebadili sehem ya maisha yangu kwa asilimia kubwa sana.. tunawashukuru pia wote wanaousika na chanel hii, msichoke kufanya hivo
Tumsifu yesu kristo, ahsante sana kwa maelezo mazuri. Nilikuwa na swali Je kama nimejagua tendo la kusali sala nitayochagua inakuajebhapo? kwenye shariti la sita naona umelezea tendo moja tu la kwenda kanisani kama wajibu wako.
Father tumsifu yesu Kristu. Hakika nimefurahi sana kupata mafundisho haya. Naomba kama kuna uwezekano wa kuongea na father hata kwa simi mimi nipo Arusha
Kwa kanisa katoliki kama umeshindwa kuonana na Padre kuungama, Unashauriwa kupiga goti na kuomba toba kwa MUNGU Mwenyezi, Nilimuuliza swali enzi za uhai wake kama unaruhusiwa kutoa sakrament ya kitubio kwa njia ya simu alijibu hairusiwi kabisa. Fatilia video ya siku tatu za neema siku ya tatu alijibu hili swali vizuri kabisa
Saraphine Moshi; iman yako ni kubwa maana haujal dhehebu la mwingne; Mwenye imani anatumikia popote, penye kumwabudu MUNGU kwa roho na kwel, UBARIKIWE sana mpendwa wa MUNGU.
Ahsante sana Baba Paroko kwa somo hili muhimu; Nilipokuwa na miaka 10 baba yangu alipata ajali na kufariki hivyo nikalelewa na mdogo wake ambaye aliasi Ukristo (RC) na kuwa muda mfupi kabla ya ajali; kifupi niliiishi ktk jamii mchanganyiko inayoongozwa na Muislam na hivyo sikuweza kupata Sakramenti mbalimbali japo nimehakikisha wanafamilia wangu ninaowaongoza wapitia ngazi/sakramenti zote; Je kwa mapungufu hayo nitashiriki vipi kusali novena hiyo?
Nakushauri utafte padri akuongoze na akuelekeze zaidi..au muone father Mbiku mwenyewe...mtafte ili uweze kupata maelekezo zaidi ...natamani upate maelezo ya kina
Baba padri mimi naswali je,mimi nataka kusali lakini nyumbani asubuhi saa Moja na je ikitokea nimesafili au nipo nje na nyumbn napoishi naluhusiwa kuendelea na Novena
Fatilia mafundisho ya Rozari aliyotoa Baba utapata majibu ya swali lako. Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Baba, ninashauku sana kuanza kusali novena hii. Ila sasa nina mwanamke ambaye hatujafunga pingu za maisha, ila mbele yetu tunania yakufunga pingu za maisha. Je, ninaweza kusali novena hii
Nami nitawafundisha wenzangu namna ya kusali novena hii. Nilinunua kitabu cha novena hii, nilikisoma nikashindwa nianzie wapi. Nilikisoma mara kwa mara. Ninashukuru sana sana kwa maelezo na maelekezo ya Baba.
Tumsifu YESU kristo... samahani jamani mimi nimeitafuta hii NOVENA Google hata nisiipate hivyo nawaombeni ndugu zangu yeyote yule ambae anayo hii NOVENA naomba sana anisaidie nitashukuru mbali na kufurahi kama nitaipata NOVENA hii asanteni sana... Tumsifu YESU kristo......🙏🙏🙏
Asante sana kwa MAFUNDISHO mazuri. Mi nina swali Natamani sana kuifanya hii novena na ninamiezi miwili sjaungama je ninatakiwa Tena kuungama? Na je novena hii ntafunga na chakula au nafunga mfungo wa kawaida tu huku nakiwa napata na chakula sjaelewa vzr hapo
Mimi Joseph naomba kuuliza kwenye swala la ibada ya wajibu Na kutimiza ahadi ya novena Je hapo ya nipasa kusali Misa ya Kwanza Na ya pili Na pia swali la pili kama Nina mke naishi naye hatuja funga ndoa napaswa kushiliki naye ki mwili
Kwanza tafuta kumjua huyo mt. historia yake vema na usali kwa maombezi ya mt. huyo uweze kuyaishi maisha mfano wake. Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Baba nashukuru kwa somo zuri. Naomba kuuliza kama mtu yuko na kimada anataka asali hii novena atafanyaje kwa kuwa bado yumo ndani ya kimada akiungama dhambi nyingine hiyo ya kimada inakuwaje?
Sorry nilikuwa sifahamu km Pd Mbiku amefariki. Ila kama kuna padre mwingine kwa nafasi aliyokuwa nayo pd Mbiku sawa naweza kupata namba ya simu ya mkononi. Asante
Tumsifu yesu kristu father samahan sijaelewa kwa upande wa kuchagua sala au kwa mfano nikachagua fumbo moja wapo katika rozari ya bikra maria nitatakiwa kusali rozari hiyo tu bila rutania yake?
Naomba msaada katika swala hili....je kama mtu atachukua kipengele cha sala ataitajika kusali matendo yote manne ya rozali takatifu yaani ya furaha,uchungu,utukufu na mwanga pamoja na vipengele vyote tano?au ataitajika kuchukua tendo Moja na kuenda nalo mpaka hapo siku 54 zitakapowadia?? Swali la pili....kama alivosema baba yatupasa kuweka nia Moja na kuenenda nayo je kwa mfano kama nia yako ni katika kumtafuta mwenzi aliyebora katika maisha utaitajika kumweleza Mwenyezi MUNGU sofa zote za yule unayemwitaji?
Sifa unazozitaka sio uhitaji wako. Usimpangie Mungu akulitee nani. Mungu anamjua anayekifaa na anayekustahili. Mungu hakupi unachokitaka anakupa unachokihitaji, usimpangie.
Tumsifu Yesu Kristu,nimepitiliza muda kidogo,nimechelewa kama nusu saa kuanza kuisali novena lakini muda ni uleule,je natakiwa kurudia yaan kuanza upya?!
I promise to prepare and plan to Pray this novena, so May the Almighty God Guide me and walk with me through out the 54 days without breaking the chain,in Jesus Mighty Name AMEN 🙏🙏 🙏.
Wonderful!
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Nakushuru sasa Baba Mbiku, mimi nimekuwa nikisali novena hii lakini kwa mafundisho yako sasa nimefahamu kwamba nilikuwa naisali ndivyo sivyo na labda ndiyo maana sikujibiwa maombi yangu. Nimefarijika sana sana kwa tafakari na mwongozo huu. Mungu azidi kukubariki katika uijilishaji wako unatufunulia mengi sana. nasikiliza sana na kujifunza kupitia Believe and Be filled Amen
Maura Mwingira hii novena naipata wapi
Samhan hii novena n ipiii naomba kujua tafadhal
Naiomba hii novena
Naomba
Hapo Fr.aliposema utasali misa mbili ni kwa namna gani maana Jumapili nikienda kanisani narudi tena ibada ingine au
Asante sana Baba Mbiku kwa mchanganuo huo wa Hii novena. Mimi niliwahi kuelezwa na Padre mmoja jina nimelihifadhi. Hakuna tofauti na ulichoeleza. Na nilijibiwa ombi langu. Tunakushukuru Ee MUNGU kwa zawadi ya Fr. Mbiku kuwepo pamoja nasi.
Mwaka 2020 nilifanya nikafanikiwa Asante Sana Mwisinyori Mbiku
Jamani..hyo novena ipoje au ndo hayo maelezo unafata kwa siku 54
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Tumsifu Yesu Kristu samahan naomba namba zako
Pumzika kwa amanii Baba naamini nimekuelewa nitaanza novena mda so mrefu 🙏🙏
Nakushukuru sana Baba mbiku nijiandaa kusali hii novena ee mungu nitangulie nisali na kuifuata sheria zake🙏
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
Baba umenibariki na umenifungua.AMINA.
💝💖💗💞
Pumzika kwa amani mbinguni baba capilano. Hakika maneno yako yanaishi. Ulale salama mzee baba
Mungu nisaidie shida yangu
Asante sana baba kwa makumbusho ayo bora ya novena Mungu akubariki pia akulinde na akujalie nguvu zaroho mtakatifu ili upate ku mtumikia sikuzote zamaisha yako amina
Ahsante Mungu kwa kutupa mtumishi wako Mwalimu bora wa imani Mungu abarki kazi zake zote na naomba tuzitumie tupate wokovu.
Nabarikiwa saaaana kupita maelezo, Nina shida inayo nisumbuwa, Mwenyezi MUNGU anisaidiye, niendeye sharti hizo niziweze 😭😭
Rest in eternal peace Fr. Thanks for your teaching
Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.
naomba unisaidie😢🙏
We Mungu upe afya njema msr mbiku namwombea maisha ya kiroho aendelee kutuimatisha kiroho ubarikiwe baba
Asante baba, maelezi yako yamenifungua vyema sana, amina
Mm imenisaidia tu sana chnye ilikua nahitaji Mungu amenibariki nacho nashkuru sana
Really inspired i once tried this kind of novena but i have found that i skipped some of the principles. I'm thankful for this video
Mm pia Nina swali mmoj je? Kam nimechagua Sala na takiwa kuacha misa au nitafanyaje?
Tumsifu Yesu Kristu. Naomba Padri unisaidie ku-clarify katika ku-establish nia ya novena. Naomba Mungu nifanikiwe ku-recover malipo katika kesi ya madai pamoja na kupokea uongozi wa Roho Mtakatifu katika restoration ya maisha baada ya kupoteza mali zangu zote. Je hili ni ombi moja au zaidi ya moja katika nia? Asante sana kwa lishe hii bora ya kiroho. Amen.
Hayo Ni maombi 2 changua moja Kati hizo nia
Upumzike kwa amani baba monsinyori
Nimebarikiwa sana na ujumbe wako baba Padre hakika naomba Mungu aniongoze nifanye hii novena kwa uaminifu... Naamin Mungu ataniwezesha
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Tumsifu yesu kristo..
.. Je Kuna kitabu maalum au io novena.
.
Hakuna kitabu cha hii novena
Mungu ampe mume wangu kazi nzuri
Ahsante sana Baba Padri kwa mafundisho hayo mazuri yahusuyo hiyo Novena ya siku 54, na kwamba tukumbuke pia kumshukuru Mungu kwa mengi aliyotujalia na si kuomba tuu kama wengi wetu tunavyofanya.
Amina Karibu Sana
Novena hii ilinipatia Mume Mwema. nakumbuka nilienda kwa Fr Mbiku ofc kwake ana kwa ana nikaandika. a nikaifanyia nikaaza kusali. na huwa nimewafundisha wengi
Unapatikana wapi kwa sasa???
Baba umenibariki sana nakushukuru sana
Naomba kuwasiliana na ww ndgu
Naomba Namba yako ya Simu
Naomba namba yako
Upumzike kwa amani baba🙏mafundisho yako yatabaki kizazi hata kizazi
Amina Nimekusikiliza kwa Makini Sana Father Mbiku Deogratius H. Inawezekana kusali hii Novena with the Help of God.
Ndo maana unaitaji kutubu ili uwemsafi wa moyo n.a. Mungu atakutangulia
Nimebarikiwa na maelezo ya baba Mbiku. Pumzika kwa amani mtumishi mwema
May you Rest In Peace Padre Mbiku,umetufundisha mengi sana katika maisha yetu
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
Tumsifu yes kiristo jinalangu John Lucas Petro swali mmi ninauchumba wapata miaka 18 Sasa mchumba wangu nimwisilam tunaishi vizuri tuna watoto 3nilishajalibu kumshawishi lakin sijafanikiwa nae anamsimamo namim sishiliki komniyo nifanye Nini ilinifanikiwe 2kazi yangu ni dereva wamagar makubwa yanayo safir nje ya nnchi ya Tanzania padri nifanye nn iwapo nataka kusali hiyo novena
@@johnpetrosono1189 nashauri ukafunge ndoa ya serikali
Mbona anachukua nafasi ya Yesu Kristo .. Yeye ni Bwana na ni Mwokozi wa Maisha ya kila mwanadam
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Asante baba kwa maarifa haya, nitaanza novena hii Mungu anisaidie kwenda kitakatifu wakati wote wa Novena
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Mana Mana@@theservantmedia7566 9plllñ
Ni Ni o9oo789
Asante sana father mbiku nawezaje kuwasiliana na wewe nina matatizo nahitaji msaada wa kiroho na ushauri
Unaweza kuja ukumhona hapa chuo kikuu
@@theservantmedia7566 nipo mbali kidogo nipo udom
Mungu akupe pumziko la amani Baba.AMINA
AMINA
nimejifunza kwa uzuri kabisa Msgr Deogratuius Mbiku, mbarikiwe sana @believe and be filled
Ok Sasa ire ya mwisho ya sita Kuna misa ya wajibu ok na miss yanovena mfano mie naishi daa kz zangu Zanzibar kanisa ni Moja tu kama hakuna Sara ya novena nitafantaje hapo mnisaidie Kwa bars sawa viwasini Sasa naomba msaada Nina siku mbili tu dareslaam nasafili huko visiwani
Asante kwa elimu kubwa kuhusu NOVENA YA SIKU 54 lakini naomba tupate elimu ya NOVENA YA SIKU 9
Asante sana baba Askofu , umenijenga kiimani sana, Amina.
Kristu. Sara ya Mt inyasi inafaa katika novena hii
Sala au Tendo lolote, unaweza itumia pia
Nimejifunza Mengi.....Asante Padre 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Asante sana father nimebarikiwa na nimejifunza kitu kikubwa sana maishani mwangu, Mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kutoa elimu kwa jamii.
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Asante sana father kwa kutusaidia kuweza kujua masharti ya novena hii,ila shida yangu kubwa nikutamani kuonana na wewe kwa ushauri zaidi baba
Unaweza kuja chuo kikuu ukaonananae karibu chuo kikuu
Unaweza kuja ukaonana nae chuo kikuu cha Dar es salaam Karbu sana siku za kazi j4 adi ijumaa mda Saa 9:00 asubui adi 1:00 Alafu jion 4:30 adi 6:30 jion
ahsante sana Baba yangu uliyebadili sehem ya maisha yangu kwa asilimia kubwa sana..
tunawashukuru pia wote wanaousika na chanel hii, msichoke kufanya hivo
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
@@kelvintech3797 Na Amani duniani. 🙏🙏🙏
Kweli Leo nimejifunza sana Asante Sana padri kwa ufafanuzi mzuri
Tumsifu yesu kristo, ahsante sana kwa maelezo mazuri. Nilikuwa na swali Je kama nimejagua tendo la kusali sala nitayochagua inakuajebhapo? kwenye shariti la sita naona umelezea tendo moja tu la kwenda kanisani kama wajibu wako.
Kama huwezi kwenda Misa chagua Sala yoyote ile ndo usali inaweza kuwa rosal takatifi,litania ya Mt yoyote ile
Amina , asante kwa maelekezo mazuri mtumishi wa Mungu ubarikie sana
Nakushukuru sana Baba nimemueleza vizuri sana Fr
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Tumsifu yesu kristu , Je naweza nikasali tena novena hii kwa ombi jingine baada ya kumaliza novena ya kwanza
Ndio unaweza kuomba ombi jingine baada ya ombi la kwanza
Asantee baba kwa mafunzo
MAFUNDISHO mazuri
Dah hakik mejifunz meng mm ni m kristo lkn cikua nafaham mambo haya ...
Father tumsifu yesu Kristu. Hakika nimefurahi sana kupata mafundisho haya. Naomba kama kuna uwezekano wa kuongea na father hata kwa simi mimi nipo Arusha
Alishafariki
Mungu aniongoze niweze kusali hii Novena
na ikawe hivyo. "YL
Asante sana baba Mbiku
Ahsante sana. Nimefunguka
Asante Padri kwa kunipa mwelekeo kamili.
Amina baba,mi niko mbali na hakuna kwenda kanisani,je sasa ntaungama wapi,?na nifanyeje
Baba angekuja kutujibu hapa
Kwa kanisa katoliki kama umeshindwa kuonana na Padre kuungama, Unashauriwa kupiga goti na kuomba toba kwa MUNGU Mwenyezi, Nilimuuliza swali enzi za uhai wake kama unaruhusiwa kutoa sakrament ya kitubio kwa njia ya simu alijibu hairusiwi kabisa.
Fatilia video ya siku tatu za neema siku ya tatu alijibu hili swali vizuri kabisa
Asante sana sana father....hakika nimebarikiwaaa
Ikiwa nipo kwenye novena na nimetenda dhambi na wakati huo kumpata padri in vigumu yaan Yuki mbali na ninapoishi nitafanyaje?
Hakikisha unaungama kwa padre. Usipoungama na siku ikaisha Novena inayeyuka na itabidi uanze upya.
Asante sana Mosinyori Mbiku.
Karbu unaweza kushare kwa wengine
Ni novena ipi hiyo Mimi siijui
Mimi ni mkristo wa KKKT natamani sana nisali hii Novena lakini nitafanyaje kuhisu kuungama kwa padri pamoja na ekaristi jamani naomba mwongozo
Saraphine Moshi naamini hata ninyi mnautaratibu wa toba..fanya hivo itafaa
Asante sana kwa swali hii novena kwa wakristo wanao pokea ekaristi n.a. kuhungama kwa padri tu au ubadili zehebu
Salafina Mimi nakushauri kapate Ushauli kwa padre yeyote ayapuma ushauli mzuri zaidi
Saraphine Moshi,heri nyinyi mnaoulizauliza kupata kufaham bila kujali madheheb
Saraphine Moshi; iman yako ni kubwa maana haujal dhehebu la mwingne; Mwenye imani anatumikia popote, penye kumwabudu MUNGU kwa roho na kwel, UBARIKIWE sana mpendwa wa MUNGU.
Mungu tuogezee imani
Asante sana Mungu akubaliki
Mungu tusaidie maana mioyo mh
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Ahsante sana Baba Paroko kwa somo hili muhimu;
Nilipokuwa na miaka 10 baba yangu alipata ajali na kufariki hivyo nikalelewa na mdogo wake ambaye aliasi Ukristo (RC) na kuwa muda mfupi kabla ya ajali; kifupi niliiishi ktk jamii mchanganyiko inayoongozwa na Muislam na hivyo sikuweza kupata Sakramenti mbalimbali japo nimehakikisha wanafamilia wangu ninaowaongoza wapitia ngazi/sakramenti zote; Je kwa mapungufu hayo nitashiriki vipi kusali novena hiyo?
Nakushauri utafte padri akuongoze na akuelekeze zaidi..au muone father Mbiku mwenyewe...mtafte ili uweze kupata maelekezo zaidi ...natamani upate maelezo ya kina
Asante Padre,Mungu akubariki.
Baba padri mimi naswali je,mimi nataka kusali lakini nyumbani asubuhi saa Moja na je ikitokea nimesafili au nipo nje na nyumbn napoishi naluhusiwa kuendelea na Novena
Tumsifu Yesu kristu swali langu narusiwa kuomba maombi mengi kabla ya novena
Nia ni moja tuuu Kama alivoeleza baba paroko chagua Nia moja tuuu ktk hii novena
Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Tumsifu Yesu Kristu swalilsngu ni hiv nimramua kuchagua matendo ya mwanga sasa je naanza kusema nos ndio nasali mate do ama
Fatilia mafundisho ya Rozari aliyotoa Baba utapata majibu ya swali lako.
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Novena ya siku 9 au siku. 12 inaweza jibu maombi yangu naweza jibiwa najua padre mbiku ametangulia mbele za haki
Naweza kusali novena Mimi ni zehebu lingine padre naomba kujua
unaweza.
Baba, ninashauku sana kuanza kusali novena hii. Ila sasa nina mwanamke ambaye hatujafunga pingu za maisha, ila mbele yetu tunania yakufunga pingu za maisha. Je, ninaweza kusali novena hii
Ndio unaweza kusali lkn uitaji kujiusisha na zambi youote kama alivyofafanua kwenye video
Ninashukuru sana, kwa kuniondolea mashaka. Kwani ninaamini ninaweza kufika siku hizo zote. Hofu ilikuwa kwenye tendo la ndoa na huyu mwenzangu.
Nami nitawafundisha wenzangu namna ya kusali novena hii. Nilinunua kitabu cha novena hii, nilikisoma nikashindwa nianzie wapi. Nilikisoma mara kwa mara. Ninashukuru sana sana kwa maelezo na maelekezo ya Baba.
Ndo usifanye
Ninapenda kufahamu juu ya Baba(Padre), nimeneona ameandukwa HAYATI, wameandika sawa au wamekosea? Na kama ameshafariki, nilini?
Tumsifu YESU kristo... samahani jamani mimi nimeitafuta hii NOVENA Google hata nisiipate hivyo nawaombeni ndugu zangu yeyote yule ambae anayo hii NOVENA naomba sana anisaidie nitashukuru mbali na kufurahi kama nitaipata NOVENA hii asanteni sana... Tumsifu YESU kristo......🙏🙏🙏
milele amina, ukisikiliza vizuri utagundua novena iko kwenye hayo maelezo anayotoa so sikilia vizuri tena hiyo video asante, ukipata shida tena uliza
Daaaa jamani kifo hiki hakina huruma.R.I.P baba mbele yako nyuma yetu.
Amina
Asante sana kwa MAFUNDISHO mazuri. Mi nina swali Natamani sana kuifanya hii novena na ninamiezi miwili sjaungama je ninatakiwa Tena kuungama? Na je novena hii ntafunga na chakula au nafunga mfungo wa kawaida tu huku nakiwa napata na chakula sjaelewa vzr hapo
Amina kubwa
Father Mbiku naomba no yako Nina matatizo ya mengi nahitaji msaada wa kiroho
Ubarikiwe sana jamani
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Mimi Joseph naomba kuuliza kwenye swala la ibada ya wajibu Na kutimiza ahadi ya novena Je hapo ya nipasa kusali Misa ya Kwanza Na ya pili Na pia swali la pili kama Nina mke naishi naye hatuja funga ndoa napaswa kushiliki naye ki mwili
Namba ya Mseja Mbiku nimepoteza naomba mnisaidie kwa sasa maana ningekuwa Mjini DSM ningeenda ofisini kwake. Tafadhali
Alishafariki
Mungu akubariki sana Baba Padre !!
Tumsifu Yesu Kristo hii novena kwa yule ambaye hajafunga ndoa au kipaimara harusiwi kusali???
Nilichelewa kupata ichi chakula cha roho hakika ni kitamu sana
Kimati Karbu sana unaweza kushare n.a. kwa wengine utabalikiwa
Baba ubarikiwe sana, nitaianza mara moja.
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Naweza kusali zaburi?
Tumsifu Yesu Kristo.!..Je hamna hardcopy ya maelekezo hayo?
Mimi Nina maswali 2.moja.tayari nahudhuria clinic Kwa ajir ya shida niliyonayo muda mrefu,niache clinic pindi ninapoanza novena hii?pili,nina novena nyingine ya cku 144 naendelea nayo,je nifanyeje?
Ninauliza mm nifanye nini ili niweze kuiga sifa ZA Mtakatifu Deogratius Wa kathiago
Kwanza tafuta kumjua huyo mt. historia yake vema na usali kwa maombezi ya mt. huyo uweze kuyaishi maisha mfano wake. Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Baba nashukuru kwa somo zuri. Naomba kuuliza kama mtu yuko na kimada anataka asali hii novena atafanyaje kwa kuwa bado yumo ndani ya kimada akiungama dhambi nyingine hiyo ya kimada inakuwaje?
Na Je kama palokia ninayo sali ikiewa Kuna ibada moja Tu Je yanipasa kufanyaje
Badili tendo unaweza sali rozari au litaniaaa
asante sana baba
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@@theservantmedia7566nafanyaje novena hii kama sipokei ekaristi tktf maana nina kizuizi na nataka kuomba ili kizuizi hiki kiondoke maana kinanikera
Nimejifunza mengi ashate badri
Tumsifu Yesu krsto je,Kuna ulazima wa kufunga kwenye hii novena?
Ameeeeeeen
Doreen Lyimo,safi,nakupena pia
Nimekusoma mpendwa doreen
mimi dr msaki nimebarikiwa sana
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
Sorry nilikuwa sifahamu km Pd Mbiku amefariki. Ila kama kuna padre mwingine kwa nafasi aliyokuwa nayo pd Mbiku sawa naweza kupata namba ya simu ya mkononi. Asante
Tumsifu yesu kristu father samahan sijaelewa kwa upande wa kuchagua sala au kwa mfano nikachagua fumbo moja wapo katika rozari ya bikra maria nitatakiwa kusali rozari hiyo tu bila rutania yake?
Lazima usali litania
Tumsifu yesu kristo. Najifunza mengi toka kwako kupitia RUclips. Natamani kukuona live. Unapatikana mkoa gani ?
Nipo dar parokia ya chuo kikuu mlimani
Naomba kuuliza kabla hujaanza sala au tendo wapaswa kusema shida yako au ni baada ya kusal au tendo ndio unasema shida yako?
Ahsante
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
Asante baba nimejifunza kitu kikubwa
Naomba msaada katika swala hili....je kama mtu atachukua kipengele cha sala ataitajika kusali matendo yote manne ya rozali takatifu yaani ya furaha,uchungu,utukufu na mwanga pamoja na vipengele vyote tano?au ataitajika kuchukua tendo Moja na kuenda nalo mpaka hapo siku 54 zitakapowadia??
Swali la pili....kama alivosema baba yatupasa kuweka nia Moja na kuenenda nayo je kwa mfano kama nia yako ni katika kumtafuta mwenzi aliyebora katika maisha utaitajika kumweleza Mwenyezi MUNGU sofa zote za yule unayemwitaji?
Sifa unazozitaka sio uhitaji wako. Usimpangie Mungu akulitee nani. Mungu anamjua anayekifaa na anayekustahili. Mungu hakupi unachokitaka anakupa unachokihitaji, usimpangie.
Tumsifu Yesu Kristu,nimepitiliza muda kidogo,nimechelewa kama nusu saa kuanza kuisali novena lakini muda ni uleule,je natakiwa kurudia yaan kuanza upya?!
Kivipi kuruka siku au mda unaongerea upi??
Tumsifu Yesu Kristo,naomba uliza jee ukiwa katika hii Novena,unaruhusiwa kusali sala nyingine,mfano sala za asubuhi na jioni?
Unaruhusiwa lakin usisahau Kusali novena
Sala hizo za asubuhi na jioni ni wajibu wa kila mtu daima kama ilivyo dominika hivyo timiza novena yako na sala hizo pia
Ina Maana kuungama nikiwa peke yangu then nikaanza maombi haiwezekani ??? Mbk niwe na padri
Pumzika kwa amani Baba,