NOVENA ISIYO SHINDWA KITU by Msgr Deogratius Mbiku

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Novena ya siku 54, ni novena isiyo shindwa kitu chochote unapata unachokiomba kwa 100% kwa sababu unamuomba Mungu moja kwa moja.

Комментарии • 366

  • @bonifacemusyoki7030
    @bonifacemusyoki7030 3 года назад +25

    I promise to prepare and plan to Pray this novena, so May the Almighty God Guide me and walk with me through out the 54 days without breaking the chain,in Jesus Mighty Name AMEN 🙏🙏 🙏.

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад +1

      Wonderful!

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад +1

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @mauramwingira8912
    @mauramwingira8912 5 лет назад +16

    Nakushuru sasa Baba Mbiku, mimi nimekuwa nikisali novena hii lakini kwa mafundisho yako sasa nimefahamu kwamba nilikuwa naisali ndivyo sivyo na labda ndiyo maana sikujibiwa maombi yangu. Nimefarijika sana sana kwa tafakari na mwongozo huu. Mungu azidi kukubariki katika uijilishaji wako unatufunulia mengi sana. nasikiliza sana na kujifunza kupitia Believe and Be filled Amen

  • @estermiho9612
    @estermiho9612 5 лет назад +5

    Asante sana Baba Mbiku kwa mchanganuo huo wa Hii novena. Mimi niliwahi kuelezwa na Padre mmoja jina nimelihifadhi. Hakuna tofauti na ulichoeleza. Na nilijibiwa ombi langu. Tunakushukuru Ee MUNGU kwa zawadi ya Fr. Mbiku kuwepo pamoja nasi.

  • @mwlsimonitvchannel1577
    @mwlsimonitvchannel1577 3 года назад +10

    Mwaka 2020 nilifanya nikafanikiwa Asante Sana Mwisinyori Mbiku

    • @mastabethajohn8490
      @mastabethajohn8490 3 года назад

      Jamani..hyo novena ipoje au ndo hayo maelezo unafata kwa siku 54

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

    • @rosemarywakolela1862
      @rosemarywakolela1862 3 года назад +1

      Tumsifu Yesu Kristu samahan naomba namba zako

  • @MagdalenaJoseph-fm7jv
    @MagdalenaJoseph-fm7jv 10 месяцев назад +1

    Pumzika kwa amanii Baba naamini nimekuelewa nitaanza novena mda so mrefu 🙏🙏

  • @eliasmossae2637
    @eliasmossae2637 3 года назад +9

    Nakushukuru sana Baba mbiku nijiandaa kusali hii novena ee mungu nitangulie nisali na kuifuata sheria zake🙏

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.

  • @janethnkwama1096
    @janethnkwama1096 3 года назад +11

    Baba umenibariki na umenifungua.AMINA.

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa584 4 года назад +4

    Asante sana baba kwa makumbusho ayo bora ya novena Mungu akubariki pia akulinde na akujalie nguvu zaroho mtakatifu ili upate ku mtumikia sikuzote zamaisha yako amina

  • @gregorymajenga9072
    @gregorymajenga9072 2 года назад +1

    Ahsante Mungu kwa kutupa mtumishi wako Mwalimu bora wa imani Mungu abarki kazi zake zote na naomba tuzitumie tupate wokovu.

  • @uwimanaaline232
    @uwimanaaline232 2 года назад +1

    Nabarikiwa saaaana kupita maelezo, Nina shida inayo nisumbuwa, Mwenyezi MUNGU anisaidiye, niendeye sharti hizo niziweze 😭😭

  • @magdalinekomen1631
    @magdalinekomen1631 3 года назад +9

    Rest in eternal peace Fr. Thanks for your teaching

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.

    • @annalyimo-py3pt
      @annalyimo-py3pt Год назад

      naomba unisaidie😢🙏

  • @janemlesi5932
    @janemlesi5932 4 года назад +2

    We Mungu upe afya njema msr mbiku namwombea maisha ya kiroho aendelee kutuimatisha kiroho ubarikiwe baba

  • @tabithajanethmhella3364
    @tabithajanethmhella3364 4 месяца назад

    Asante baba, maelezi yako yamenifungua vyema sana, amina

  • @bahatikazungu670
    @bahatikazungu670 3 года назад +3

    Mm imenisaidia tu sana chnye ilikua nahitaji Mungu amenibariki nacho nashkuru sana

  • @kingdomnjimbi6725
    @kingdomnjimbi6725 5 лет назад +15

    Really inspired i once tried this kind of novena but i have found that i skipped some of the principles. I'm thankful for this video

    • @albinatango7353
      @albinatango7353 3 года назад

      Mm pia Nina swali mmoj je? Kam nimechagua Sala na takiwa kuacha misa au nitafanyaje?

  • @kabibirwechungura9813
    @kabibirwechungura9813 3 года назад

    Tumsifu Yesu Kristu. Naomba Padri unisaidie ku-clarify katika ku-establish nia ya novena. Naomba Mungu nifanikiwe ku-recover malipo katika kesi ya madai pamoja na kupokea uongozi wa Roho Mtakatifu katika restoration ya maisha baada ya kupoteza mali zangu zote. Je hili ni ombi moja au zaidi ya moja katika nia? Asante sana kwa lishe hii bora ya kiroho. Amen.

  • @ANDREACHARO-i3l
    @ANDREACHARO-i3l 9 дней назад

    Upumzike kwa amani baba monsinyori

  • @marthakilawe9293
    @marthakilawe9293 3 года назад +1

    Nimebarikiwa sana na ujumbe wako baba Padre hakika naomba Mungu aniongoze nifanye hii novena kwa uaminifu... Naamin Mungu ataniwezesha

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @fulkomlwale5790
    @fulkomlwale5790 4 года назад +3

    Tumsifu yesu kristo..
    .. Je Kuna kitabu maalum au io novena.
    .

  • @mathaphilipo9257
    @mathaphilipo9257 Месяц назад

    Mungu ampe mume wangu kazi nzuri

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta6733 3 года назад

    Ahsante sana Baba Padri kwa mafundisho hayo mazuri yahusuyo hiyo Novena ya siku 54, na kwamba tukumbuke pia kumshukuru Mungu kwa mengi aliyotujalia na si kuomba tuu kama wengi wetu tunavyofanya.

  • @peterfanyeni3134
    @peterfanyeni3134 3 года назад +19

    Novena hii ilinipatia Mume Mwema. nakumbuka nilienda kwa Fr Mbiku ofc kwake ana kwa ana nikaandika. a nikaifanyia nikaaza kusali. na huwa nimewafundisha wengi

  • @PraxedaMahendeka
    @PraxedaMahendeka 5 месяцев назад +1

    Upumzike kwa amani baba🙏mafundisho yako yatabaki kizazi hata kizazi

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 5 лет назад +3

    Amina Nimekusikiliza kwa Makini Sana Father Mbiku Deogratius H. Inawezekana kusali hii Novena with the Help of God.

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  5 лет назад

      Ndo maana unaitaji kutubu ili uwemsafi wa moyo n.a. Mungu atakutangulia

  • @sibilinamboki6806
    @sibilinamboki6806 Год назад +1

    Nimebarikiwa na maelezo ya baba Mbiku. Pumzika kwa amani mtumishi mwema

  • @petronillajuma3299
    @petronillajuma3299 3 года назад +10

    May you Rest In Peace Padre Mbiku,umetufundisha mengi sana katika maisha yetu

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.

    • @johnpetrosono1189
      @johnpetrosono1189 3 года назад

      Tumsifu yes kiristo jinalangu John Lucas Petro swali mmi ninauchumba wapata miaka 18 Sasa mchumba wangu nimwisilam tunaishi vizuri tuna watoto 3nilishajalibu kumshawishi lakin sijafanikiwa nae anamsimamo namim sishiliki komniyo nifanye Nini ilinifanikiwe 2kazi yangu ni dereva wamagar makubwa yanayo safir nje ya nnchi ya Tanzania padri nifanye nn iwapo nataka kusali hiyo novena

    • @irenekongwa1224
      @irenekongwa1224 Месяц назад

      @@johnpetrosono1189 nashauri ukafunge ndoa ya serikali

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 года назад +1

    Mbona anachukua nafasi ya Yesu Kristo .. Yeye ni Bwana na ni Mwokozi wa Maisha ya kila mwanadam

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @emmakinyamagoha3577
    @emmakinyamagoha3577 3 года назад +1

    Asante baba kwa maarifa haya, nitaanza novena hii Mungu anisaidie kwenda kitakatifu wakati wote wa Novena

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

    • @victoriamallya9102
      @victoriamallya9102 3 года назад

      Mana Mana@@theservantmedia7566 9plllñ

    • @victoriamallya9102
      @victoriamallya9102 3 года назад

      Ni Ni o9oo789

  • @elizagervas5751
    @elizagervas5751 5 лет назад +2

    Asante sana father mbiku nawezaje kuwasiliana na wewe nina matatizo nahitaji msaada wa kiroho na ushauri

  • @lisaernest2844
    @lisaernest2844 3 года назад +1

    Mungu akupe pumziko la amani Baba.AMINA

  • @levismaximillian2176
    @levismaximillian2176 5 лет назад +4

    nimejifunza kwa uzuri kabisa Msgr Deogratuius Mbiku, mbarikiwe sana @believe and be filled

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Год назад

      Ok Sasa ire ya mwisho ya sita Kuna misa ya wajibu ok na miss yanovena mfano mie naishi daa kz zangu Zanzibar kanisa ni Moja tu kama hakuna Sara ya novena nitafantaje hapo mnisaidie Kwa bars sawa viwasini Sasa naomba msaada Nina siku mbili tu dareslaam nasafili huko visiwani

  • @matemangamhema6541
    @matemangamhema6541 4 года назад +5

    Asante kwa elimu kubwa kuhusu NOVENA YA SIKU 54 lakini naomba tupate elimu ya NOVENA YA SIKU 9

  • @adelardiwoisso135
    @adelardiwoisso135 4 года назад +1

    Asante sana baba Askofu , umenijenga kiimani sana, Amina.

  • @priscapascal9738
    @priscapascal9738 4 года назад +3

    Kristu. Sara ya Mt inyasi inafaa katika novena hii

    • @winnermariah
      @winnermariah 3 года назад

      Sala au Tendo lolote, unaweza itumia pia

  • @winnermariah
    @winnermariah 3 года назад +1

    Nimejifunza Mengi.....Asante Padre 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @theresiakimaryoaugustin2854
    @theresiakimaryoaugustin2854 3 года назад

    Asante sana father nimebarikiwa na nimejifunza kitu kikubwa sana maishani mwangu, Mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kutoa elimu kwa jamii.

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @floraritha1454
    @floraritha1454 5 лет назад +3

    Asante sana father kwa kutusaidia kuweza kujua masharti ya novena hii,ila shida yangu kubwa nikutamani kuonana na wewe kwa ushauri zaidi baba

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  5 лет назад

      Unaweza kuja chuo kikuu ukaonananae karibu chuo kikuu

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  5 лет назад

      Unaweza kuja ukaonana nae chuo kikuu cha Dar es salaam Karbu sana siku za kazi j4 adi ijumaa mda Saa 9:00 asubui adi 1:00 Alafu jion 4:30 adi 6:30 jion

  • @kattopeter7280
    @kattopeter7280 5 лет назад +16

    ahsante sana Baba yangu uliyebadili sehem ya maisha yangu kwa asilimia kubwa sana..
    tunawashukuru pia wote wanaousika na chanel hii, msichoke kufanya hivo

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 4 года назад +1

    Kweli Leo nimejifunza sana Asante Sana padri kwa ufafanuzi mzuri

  • @eliasmossae2637
    @eliasmossae2637 3 года назад

    Tumsifu yesu kristo, ahsante sana kwa maelezo mazuri. Nilikuwa na swali Je kama nimejagua tendo la kusali sala nitayochagua inakuajebhapo? kwenye shariti la sita naona umelezea tendo moja tu la kwenda kanisani kama wajibu wako.

    • @berthamichael372
      @berthamichael372 3 года назад +1

      Kama huwezi kwenda Misa chagua Sala yoyote ile ndo usali inaweza kuwa rosal takatifi,litania ya Mt yoyote ile

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 2 года назад

    Amina , asante kwa maelekezo mazuri mtumishi wa Mungu ubarikie sana

  • @jamesassey5583
    @jamesassey5583 3 года назад +1

    Nakushukuru sana Baba nimemueleza vizuri sana Fr

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @dionisialazaro2352
    @dionisialazaro2352 4 года назад +1

    Tumsifu yesu kristu , Je naweza nikasali tena novena hii kwa ombi jingine baada ya kumaliza novena ya kwanza

  • @pendojuma8075
    @pendojuma8075 3 года назад +2

    Asantee baba kwa mafunzo

  • @josephinepancrasy3194
    @josephinepancrasy3194 Год назад +1

    MAFUNDISHO mazuri

  • @ireneassey3685
    @ireneassey3685 4 года назад +5

    Dah hakik mejifunz meng mm ni m kristo lkn cikua nafaham mambo haya ...

  • @NdewedoMichael14
    @NdewedoMichael14 4 года назад +1

    Father tumsifu yesu Kristu. Hakika nimefurahi sana kupata mafundisho haya. Naomba kama kuna uwezekano wa kuongea na father hata kwa simi mimi nipo Arusha

  • @mosescharles5477
    @mosescharles5477 3 года назад

    Mungu aniongoze niweze kusali hii Novena

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 4 года назад +3

    Asante sana baba Mbiku

  • @emmanuelachengula9978
    @emmanuelachengula9978 Год назад

    Ahsante sana. Nimefunguka

  • @evernyongesap7314
    @evernyongesap7314 Год назад

    Asante Padri kwa kunipa mwelekeo kamili.

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 3 года назад +2

    Amina baba,mi niko mbali na hakuna kwenda kanisani,je sasa ntaungama wapi,?na nifanyeje

    • @happyjohn7630
      @happyjohn7630 3 года назад

      Baba angekuja kutujibu hapa

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Kwa kanisa katoliki kama umeshindwa kuonana na Padre kuungama, Unashauriwa kupiga goti na kuomba toba kwa MUNGU Mwenyezi, Nilimuuliza swali enzi za uhai wake kama unaruhusiwa kutoa sakrament ya kitubio kwa njia ya simu alijibu hairusiwi kabisa.
      Fatilia video ya siku tatu za neema siku ya tatu alijibu hili swali vizuri kabisa

  • @haikangowi3828
    @haikangowi3828 5 лет назад +4

    Asante sana sana father....hakika nimebarikiwaaa

    • @beatricenyamba8820
      @beatricenyamba8820 4 года назад

      Ikiwa nipo kwenye novena na nimetenda dhambi na wakati huo kumpata padri in vigumu yaan Yuki mbali na ninapoishi nitafanyaje?

    • @olgachaula9383
      @olgachaula9383 4 года назад

      Hakikisha unaungama kwa padre. Usipoungama na siku ikaisha Novena inayeyuka na itabidi uanze upya.

  • @rodgersakaya7158
    @rodgersakaya7158 5 лет назад +4

    Asante sana Mosinyori Mbiku.

  • @saraphinemoshi2868
    @saraphinemoshi2868 5 лет назад +6

    Mimi ni mkristo wa KKKT natamani sana nisali hii Novena lakini nitafanyaje kuhisu kuungama kwa padri pamoja na ekaristi jamani naomba mwongozo

    • @haikangowi3828
      @haikangowi3828 5 лет назад +2

      Saraphine Moshi naamini hata ninyi mnautaratibu wa toba..fanya hivo itafaa

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  5 лет назад +2

      Asante sana kwa swali hii novena kwa wakristo wanao pokea ekaristi n.a. kuhungama kwa padri tu au ubadili zehebu

    • @safarijuma3811
      @safarijuma3811 4 года назад +1

      Salafina Mimi nakushauri kapate Ushauli kwa padre yeyote ayapuma ushauli mzuri zaidi

    • @petromachanga29
      @petromachanga29 4 года назад +1

      Saraphine Moshi,heri nyinyi mnaoulizauliza kupata kufaham bila kujali madheheb

    • @veronicaalfred5739
      @veronicaalfred5739 3 года назад +1

      Saraphine Moshi; iman yako ni kubwa maana haujal dhehebu la mwingne; Mwenye imani anatumikia popote, penye kumwabudu MUNGU kwa roho na kwel, UBARIKIWE sana mpendwa wa MUNGU.

  • @thelesiakabadi2155
    @thelesiakabadi2155 3 года назад +1

    Mungu tuogezee imani

  • @elizabethmapile9795
    @elizabethmapile9795 Год назад

    Asante sana Mungu akubaliki

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 3 года назад +1

    Mungu tusaidie maana mioyo mh

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 4 года назад +3

    Ahsante sana Baba Paroko kwa somo hili muhimu;
    Nilipokuwa na miaka 10 baba yangu alipata ajali na kufariki hivyo nikalelewa na mdogo wake ambaye aliasi Ukristo (RC) na kuwa muda mfupi kabla ya ajali; kifupi niliiishi ktk jamii mchanganyiko inayoongozwa na Muislam na hivyo sikuweza kupata Sakramenti mbalimbali japo nimehakikisha wanafamilia wangu ninaowaongoza wapitia ngazi/sakramenti zote; Je kwa mapungufu hayo nitashiriki vipi kusali novena hiyo?

    • @oliverrwechungura1413
      @oliverrwechungura1413 3 года назад

      Nakushauri utafte padri akuongoze na akuelekeze zaidi..au muone father Mbiku mwenyewe...mtafte ili uweze kupata maelekezo zaidi ...natamani upate maelezo ya kina

  • @renatuskarushaija8438
    @renatuskarushaija8438 5 лет назад +1

    Asante Padre,Mungu akubariki.

  • @elizabethmapile9795
    @elizabethmapile9795 Год назад

    Baba padri mimi naswali je,mimi nataka kusali lakini nyumbani asubuhi saa Moja na je ikitokea nimesafili au nipo nje na nyumbn napoishi naluhusiwa kuendelea na Novena

  • @mamalisa3773
    @mamalisa3773 3 года назад

    Tumsifu Yesu kristu swali langu narusiwa kuomba maombi mengi kabla ya novena

    • @berthamichael372
      @berthamichael372 3 года назад

      Nia ni moja tuuu Kama alivoeleza baba paroko chagua Nia moja tuuu ktk hii novena

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @catherineluoga6288
    @catherineluoga6288 3 года назад +1

    Tumsifu Yesu Kristu swalilsngu ni hiv nimramua kuchagua matendo ya mwanga sasa je naanza kusema nos ndio nasali mate do ama

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Fatilia mafundisho ya Rozari aliyotoa Baba utapata majibu ya swali lako.
      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @theresiathadayo3622
    @theresiathadayo3622 3 года назад +2

    Novena ya siku 9 au siku. 12 inaweza jibu maombi yangu naweza jibiwa najua padre mbiku ametangulia mbele za haki

  • @theresiathadayo3622
    @theresiathadayo3622 4 года назад +1

    Naweza kusali novena Mimi ni zehebu lingine padre naomba kujua

    • @mjm9806
      @mjm9806 4 года назад

      unaweza.

  • @nyandabusiga5637
    @nyandabusiga5637 Год назад +1

    Baba, ninashauku sana kuanza kusali novena hii. Ila sasa nina mwanamke ambaye hatujafunga pingu za maisha, ila mbele yetu tunania yakufunga pingu za maisha. Je, ninaweza kusali novena hii

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  Год назад

      Ndio unaweza kusali lkn uitaji kujiusisha na zambi youote kama alivyofafanua kwenye video

    • @nyandabusiga5637
      @nyandabusiga5637 Год назад

      Ninashukuru sana, kwa kuniondolea mashaka. Kwani ninaamini ninaweza kufika siku hizo zote. Hofu ilikuwa kwenye tendo la ndoa na huyu mwenzangu.

    • @nyandabusiga5637
      @nyandabusiga5637 Год назад

      Nami nitawafundisha wenzangu namna ya kusali novena hii. Nilinunua kitabu cha novena hii, nilikisoma nikashindwa nianzie wapi. Nilikisoma mara kwa mara. Ninashukuru sana sana kwa maelezo na maelekezo ya Baba.

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  Год назад

      Ndo usifanye

    • @nyandabusiga5637
      @nyandabusiga5637 Год назад

      Ninapenda kufahamu juu ya Baba(Padre), nimeneona ameandukwa HAYATI, wameandika sawa au wamekosea? Na kama ameshafariki, nilini?

  • @blezmlundi682
    @blezmlundi682 3 года назад

    Tumsifu YESU kristo... samahani jamani mimi nimeitafuta hii NOVENA Google hata nisiipate hivyo nawaombeni ndugu zangu yeyote yule ambae anayo hii NOVENA naomba sana anisaidie nitashukuru mbali na kufurahi kama nitaipata NOVENA hii asanteni sana... Tumsifu YESU kristo......🙏🙏🙏

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      milele amina, ukisikiliza vizuri utagundua novena iko kwenye hayo maelezo anayotoa so sikilia vizuri tena hiyo video asante, ukipata shida tena uliza

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад

    Daaaa jamani kifo hiki hakina huruma.R.I.P baba mbele yako nyuma yetu.

  • @mayungaagnes5660
    @mayungaagnes5660 Год назад

    Asante sana kwa MAFUNDISHO mazuri. Mi nina swali Natamani sana kuifanya hii novena na ninamiezi miwili sjaungama je ninatakiwa Tena kuungama? Na je novena hii ntafunga na chakula au nafunga mfungo wa kawaida tu huku nakiwa napata na chakula sjaelewa vzr hapo

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 4 месяца назад

    Amina kubwa

  • @agathaphoteen350
    @agathaphoteen350 4 года назад

    Father Mbiku naomba no yako Nina matatizo ya mengi nahitaji msaada wa kiroho

  • @jamesassey5583
    @jamesassey5583 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana jamani

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @josephchagula2483
    @josephchagula2483 2 года назад

    Mimi Joseph naomba kuuliza kwenye swala la ibada ya wajibu Na kutimiza ahadi ya novena Je hapo ya nipasa kusali Misa ya Kwanza Na ya pili Na pia swali la pili kama Nina mke naishi naye hatuja funga ndoa napaswa kushiliki naye ki mwili

  • @godfreyluoga7504
    @godfreyluoga7504 4 года назад +3

    Namba ya Mseja Mbiku nimepoteza naomba mnisaidie kwa sasa maana ningekuwa Mjini DSM ningeenda ofisini kwake. Tafadhali

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 5 лет назад

    Mungu akubariki sana Baba Padre !!

  • @YasntaGeorgy
    @YasntaGeorgy 5 месяцев назад

    Tumsifu Yesu Kristo hii novena kwa yule ambaye hajafunga ndoa au kipaimara harusiwi kusali???

  • @fideliskimati4619
    @fideliskimati4619 5 лет назад +2

    Nilichelewa kupata ichi chakula cha roho hakika ni kitamu sana

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  5 лет назад +1

      Kimati Karbu sana unaweza kushare n.a. kwa wengine utabalikiwa

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 3 года назад

    Baba ubarikiwe sana, nitaianza mara moja.

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @annajoseph706
    @annajoseph706 3 года назад +3

    Naweza kusali zaburi?

  • @irenebeichumila6555
    @irenebeichumila6555 2 года назад

    Tumsifu Yesu Kristo.!..Je hamna hardcopy ya maelekezo hayo?

  • @maryathanas587
    @maryathanas587 5 лет назад +5

    Mimi Nina maswali 2.moja.tayari nahudhuria clinic Kwa ajir ya shida niliyonayo muda mrefu,niache clinic pindi ninapoanza novena hii?pili,nina novena nyingine ya cku 144 naendelea nayo,je nifanyeje?

  • @deogratiusshirima6172
    @deogratiusshirima6172 3 года назад +3

    Ninauliza mm nifanye nini ili niweze kuiga sifa ZA Mtakatifu Deogratius Wa kathiago

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад +1

      Kwanza tafuta kumjua huyo mt. historia yake vema na usali kwa maombezi ya mt. huyo uweze kuyaishi maisha mfano wake. Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @agneskagombe5123
    @agneskagombe5123 4 года назад +1

    Baba nashukuru kwa somo zuri. Naomba kuuliza kama mtu yuko na kimada anataka asali hii novena atafanyaje kwa kuwa bado yumo ndani ya kimada akiungama dhambi nyingine hiyo ya kimada inakuwaje?

  • @josephchagula2483
    @josephchagula2483 2 года назад +1

    Na Je kama palokia ninayo sali ikiewa Kuna ibada moja Tu Je yanipasa kufanyaje

  • @florachogo5537
    @florachogo5537 3 года назад +1

    asante sana baba

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

    • @chrismukaja7771
      @chrismukaja7771 6 месяцев назад

      ⁠@@theservantmedia7566nafanyaje novena hii kama sipokei ekaristi tktf maana nina kizuizi na nataka kuomba ili kizuizi hiki kiondoke maana kinanikera

  • @shelindion261
    @shelindion261 2 года назад

    Nimejifunza mengi ashate badri

  • @deussoka8258
    @deussoka8258 Год назад

    Tumsifu Yesu krsto je,Kuna ulazima wa kufunga kwenye hii novena?

  • @doreendinamica3473
    @doreendinamica3473 4 года назад +3

    Ameeeeeeen

    • @petromachanga29
      @petromachanga29 4 года назад +1

      Doreen Lyimo,safi,nakupena pia

    • @Memoj1214
      @Memoj1214 4 года назад

      Nimekusoma mpendwa doreen

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 года назад +5

    mimi dr msaki nimebarikiwa sana

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika RUclips Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE

  • @springofwisdom_
    @springofwisdom_ 3 года назад +1

    Sorry nilikuwa sifahamu km Pd Mbiku amefariki. Ila kama kuna padre mwingine kwa nafasi aliyokuwa nayo pd Mbiku sawa naweza kupata namba ya simu ya mkononi. Asante

  • @ikubialoys1590
    @ikubialoys1590 4 года назад +1

    Tumsifu yesu kristu father samahan sijaelewa kwa upande wa kuchagua sala au kwa mfano nikachagua fumbo moja wapo katika rozari ya bikra maria nitatakiwa kusali rozari hiyo tu bila rutania yake?

  • @neemambwambo5969
    @neemambwambo5969 4 года назад +1

    Tumsifu yesu kristo. Najifunza mengi toka kwako kupitia RUclips. Natamani kukuona live. Unapatikana mkoa gani ?

  • @michaelalexander7051
    @michaelalexander7051 3 года назад +1

    Naomba kuuliza kabla hujaanza sala au tendo wapaswa kusema shida yako au ni baada ya kusal au tendo ndio unasema shida yako?

  • @johnsanga7895
    @johnsanga7895 3 года назад +1

    Ahsante

    • @theservantmedia7566
      @theservantmedia7566  3 года назад

      Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.

  • @issomhagama3127
    @issomhagama3127 4 года назад

    Asante baba nimejifunza kitu kikubwa

  • @gemmaremy5845
    @gemmaremy5845 2 года назад

    Naomba msaada katika swala hili....je kama mtu atachukua kipengele cha sala ataitajika kusali matendo yote manne ya rozali takatifu yaani ya furaha,uchungu,utukufu na mwanga pamoja na vipengele vyote tano?au ataitajika kuchukua tendo Moja na kuenda nalo mpaka hapo siku 54 zitakapowadia??
    Swali la pili....kama alivosema baba yatupasa kuweka nia Moja na kuenenda nayo je kwa mfano kama nia yako ni katika kumtafuta mwenzi aliyebora katika maisha utaitajika kumweleza Mwenyezi MUNGU sofa zote za yule unayemwitaji?

    • @linusalfredlyimo7098
      @linusalfredlyimo7098 2 года назад +1

      Sifa unazozitaka sio uhitaji wako. Usimpangie Mungu akulitee nani. Mungu anamjua anayekifaa na anayekustahili. Mungu hakupi unachokitaka anakupa unachokihitaji, usimpangie.

  • @charlottekibacha7725
    @charlottekibacha7725 3 года назад +1

    Tumsifu Yesu Kristu,nimepitiliza muda kidogo,nimechelewa kama nusu saa kuanza kuisali novena lakini muda ni uleule,je natakiwa kurudia yaan kuanza upya?!

  • @rodgersakaya7158
    @rodgersakaya7158 5 лет назад +2

    Tumsifu Yesu Kristo,naomba uliza jee ukiwa katika hii Novena,unaruhusiwa kusali sala nyingine,mfano sala za asubuhi na jioni?

  • @jaluluguidoty3153
    @jaluluguidoty3153 Год назад +1

    Ina Maana kuungama nikiwa peke yangu then nikaanza maombi haiwezekani ??? Mbk niwe na padri

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 года назад

    Pumzika kwa amani Baba,