NOVENA ISIYOSHINDWA KITU | Msgr. D.H. MBIKU PHD
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Ili kuifikisha huduma ya neno la Mungu mbali zaidi Tafadhari Subscribe kisha Like, Comment na Share
Tufuate Kwenye Mitandao ya Kijamii:-
Facebook: / theservantmedia
Mawasiliano:-
THE SERVANT MEDIA,
Parokia ya Chuo kikuu,
P. O. BOX 35027,
Dar es Salaam.
For Bookings
Phone Number +255758949904
+255788865025
Asante baba bado unaishi katika maisha yetu
Hakika Mungu ni mwaminifu
Milele Amina 🤲🤲🤲
Asante sana kwa yote.. Mungu aendelee kukupumzisha katika amani yake.
Tumsifu YESU kristo,nahitaji muongozo ktk novena isiyoshindwa kwaupande wangu ninakizuizi naishi nampagani he naruhusiwa kufunga novena hiyo?
Asante sana
Kiukweli mpk nimeiyogopa,kweli ningumu.Mwenyezi Mungu akupe pumnziko la milele baba
Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.
Pumzika kwa amani baba
@@theservantmedia7566naweza pata namba za cm kwa msaada zaidi?
Mapendo ,mm nataman kufanya hii noven sem sasa apo kwenye kuungama kil ukitenda dhambi ndo tatizo maan mm naingia kazin jumatatu ad jumali natok satano usiku
hii novena unaweza kuomba ombi zaidi ya moja?
Ni moja
Unaomba ombi moja tu