FADHILA ZA RAMADHAN..OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 329

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 7 месяцев назад +1

    MashaAllah Sheikh kazi yako ni nzuri kweli kweli.Juhudi yako haitopotea
    #upendokwawote

  • @OmarOmar-zr3vd
    @OmarOmar-zr3vd 4 года назад +5

    Alhamdulillah rabillallahmin ,Yarabi mpe umri mrefu kipenzi chetu maalim wetu shekhe wetu othman maalim na umpe vilivyo vya kheri amiyn

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +8

    Isha Alla, ALLA atuja'alie nyoyo zetu zikinai ya dunia tutafute ya kesho aakhera 🤲🤲🤲🇰🇪.

  • @asiyanchimbi6435
    @asiyanchimbi6435 4 года назад +3

    Alhamdulillah.. Allah. Akusamehe wewe na wazazi wako wawili shekhi wetu . tunafaidika saana na mawaidha..jazaka Allahu Khayra...

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 Год назад +1

    MaashaAllah tabarakallah sheikh wetu Allah akupe umbri mrefu weny heri na manufaa ndani yke,,,bado tunafatilia darsa lako hili hadi leo2023 alhamdulillah

  • @mwashumunassor318
    @mwashumunassor318 4 года назад +1

    Mwenyezi mngu akuweke sheikh wetu mwenye sauti iliyejaa upole nabusara uzidi kutuzindua mashaallah

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 7 месяцев назад

    Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 5 лет назад +19

    Mansha Allah sheikh othuman malim Allah akulipe kila lakheir kutembelea mji wetu wa bujumbura, Allah akupe umri uzidi kutupa dawa ya roho zetu, tuwe wote pepo firdausi

  • @mimamkassy6563
    @mimamkassy6563 4 года назад +11

    JAZAKALLAHu kheir mwenyezi MUNGU akulipe janatul firdaus

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 4 года назад +13

    Allah ukuzidishie ilmu yenye manufaa, akuzidishie umri.امين

  • @bisadakhalidy1111
    @bisadakhalidy1111 4 года назад +3

    Shukurn jazzila dua nyingi na nakuombea hai piti siku bila kukutaja♥️♥️♥️♥️♥️ 1/5/2020 ramadhan ya7

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 5 лет назад +15

    Mashalllah nimejifunza mengi kupitia kwako na Namuomba Allah akupe ujiraa wako Amiin🤲

  • @badrikilas3806
    @badrikilas3806 Год назад +1

    InxhaAllah Mungu atupe Mwisho mwema

  • @babdhere7730
    @babdhere7730 4 года назад +5

    Allah akupe umri sheikh athman maalim uzidi kutupa mawaidha

  • @qasimukimwaga123
    @qasimukimwaga123 7 месяцев назад

    Mashallah, miongoni mwa Mashekh wenye tashwishi sana katika viswa, mwenyezi Mungu akupe umri mrefu shekh uthman Maalim.
    #upendokwawotechannel

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 года назад +22

    Masha Allah shekh Allah akupe umri Zaid na Zaid insha'Allah 🙏 na hakika nimejifunza kitu muhim Sana katika maisha insha'Allah nitayazingatia Allah anifanyie wepes Amin ya'allab 🤲🤲🙏

  • @kayitesiassoumini5568
    @kayitesiassoumini5568 Год назад +1

    Allah akupe pia kuwa pamoja na Mtume Swala'Allahu Alaihi Wasallam ndani ya Fildaus

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky9724 4 года назад +1

    Allah akujalie amani na kheri na umri mrefu uzidi kutufunza dini maa Shaa Allah. Navyio penda ukitoa mawaitha yani hua na tulia pia Shukraan

  • @hadjihilali23
    @hadjihilali23 3 года назад +2

    sheikh Allah amekupa zawadi yakupendwa sana na mimi ndani yawenyekukupenda Allah atukbaliwa swaumu zetu atukutanishe hapa duniani na kesho peponi ya Rabbi

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Год назад

    Maashallah nipo hapa ramadhan Kareem 2023 allihamdulillah kher na baraka kwa wote na tujaaliwe mwisho mwema na kukumbushwa na Allah kufanya yaliyo mema🤲🤲🤲🤲

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 года назад +1

    Sheikh Uthuman maalim Kwa kunibadilisha shukran Allah akuzidishie

  • @thuwaibamohd8233
    @thuwaibamohd8233 2 года назад

    MashaAllah nampend sana huyu sheikh wallah natamani awe miongon mwa familia yang .

  • @halidiyasin7485
    @halidiyasin7485 5 лет назад +14

    Napenda sn darsa zako shee wang allah akuifadha inshaalla

  • @shahadatayn7870
    @shahadatayn7870 4 года назад +10

    مشالله اسأل الله الکریم ان یزیدک خیرا باذنه یا معلمی

  • @mulhazinzibar6912
    @mulhazinzibar6912 4 года назад +1

    Mashaallha mungu akupekilalakheri akulinde nashari za washirikina shk Osman maalim

  • @kulthumbassadiq9024
    @kulthumbassadiq9024 5 лет назад +6

    Mashallah sheikh outhman maalim may Allah bless u for biutiful daawa.

  • @jumamachano8752
    @jumamachano8752 4 года назад +2

    Mashallah sheikh wetu Allah akuzidishie elim na akulinde na mahasidi

  • @umugumyabangahadjiri6104
    @umugumyabangahadjiri6104 3 года назад

    maashaallah Alllah akuhifadhi shekh wetu kipnz

  • @SubiraHussein
    @SubiraHussein 7 месяцев назад

    Mashallah nayapenda mawaidha yako mashallah Allah amuweke kwaajil yetu

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +7

    Shukran sana sheikh,nimeelumika vzr hapo penye dhulma kwani nami ni mmoja nilie dhulumiwa kiasi cha fedha niliyo ipata kwa kazi ngumu sana ila namuomba MUNGU anitatulie tatizo hilo. Nawe vilevile ALLAH akupe umri insha Allah🤲🤲🤲🇰🇪

    • @ishabbe4489
      @ishabbe4489 4 года назад +1

      Inshllah mwenyez mngu atakulipia dia

    • @mwanaishahussein2635
      @mwanaishahussein2635 4 года назад +1

      @@ishabbe4489 Amiin thuman Amiin🙏🙏

    • @mwanaishahussein2635
      @mwanaishahussein2635 4 года назад

      Tamaa kwa jasho la mtu,wallahi watu watakwenda juta mbele za ALLAH😗😗😗🇰🇪

    • @ishabbe4489
      @ishabbe4489 4 года назад

      @@mwanaishahussein2635 watu wankosa hofu na Allah wanasahau cku ya malipo wajaijutia twamshtakia Allah pia twaombeana her dia pole subra yako atakulipia muumba

    • @mwanaishahussein2635
      @mwanaishahussein2635 4 года назад

      @@ishabbe4489 Dada hiyo pesa niliipata kwa dhiki sana ni pesa ya Saudia,Niko huko sija samehe ila namlilia MUNGU nipate pesa yangu

  • @allyissa5801
    @allyissa5801 4 года назад +4

    Mashaa allah. allah akujaalie kheri shekh

  • @ramanondonondo1557
    @ramanondonondo1557 3 года назад +1

    Ustaz mwenyezi mungu akuweke

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 5 лет назад +8

    Allah akulinde zaidi sheikh kazi yako nzuri

  • @nailanajim4221
    @nailanajim4221 4 года назад +7

    Mashallah Allah kakupa kipaji haki mashallah Allah akuhifadhi yarabi

  • @abmsaid8915
    @abmsaid8915 5 лет назад +16

    Shukrani Kwa ujumbe Allah atulinde na mahasid

  • @aishajeaninejeanine8934
    @aishajeaninejeanine8934 5 лет назад +34

    Mansha'Allah mwenyezi mungu akujalie umri sheikh wetu mpendwa.

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 лет назад +5

    MashaAllah tabarakaAllah, Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuongoza sisi tulopotea

    • @maadammwana9996
      @maadammwana9996 4 года назад

      Mashallah Mmungu akuwwke uendele kutupa elim na utukumbushe tuwe na hof ya Mungu inshallah

  • @fatumashabani4274
    @fatumashabani4274 4 года назад

    Mashaallah,, tunashukur kwa mawaidha mazur shekhe nmejifunza masuala makubwa

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад +1

    (Dua ya kuingia msikitin na kutoka msikinitini)
    1)dua ya kuingia..... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma ftahalii abewaaba rahmatika
    2) yakutoka..... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma inniy as aluka min fadhilika allahumma A'aswiminy minash shaytaani rajiyim. Love you all from 🇰🇪🇰🇪

  • @tatumohamed5901
    @tatumohamed5901 3 года назад +1

    MashaAllah Jazaka Llahuayra Alla akupe umri na mwisho mwema🙏🙏🙏

  • @husseinndabahagamye6819
    @husseinndabahagamye6819 4 года назад +3

    Maa Shaa Allah, nimekufuata kwa faida kutoka Burundi-Bujumbura

  • @NasriMkangala-tw8hl
    @NasriMkangala-tw8hl Год назад

    Nakuombea mungu akuwezeshe uje tanga na ss tufaidike na darsa zako love

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +12

    MashaAllah. Alhamdullillah. Lahaulawalakuwata illabillah.
    Shukran 🙌🏽

  • @adidjakhalfani8794
    @adidjakhalfani8794 4 года назад +1

    Allah akupe maisha marefu Maalim Othomaan, natamani siku nikuone Wallah

  • @hassanmfulu470
    @hassanmfulu470 Год назад

    Mungu akubariki akulinde na shari za usiku na mchana amin

  • @muhidinmbwana9327
    @muhidinmbwana9327 4 года назад +4

    Allah akuweke unapata faida nyiiingi Sana kutoka kwako, asikufishe kabra hajakusahe dhambi zako zoote, yaa Allah msamehe huyu na Mimi pia.

  • @jibriladan9523
    @jibriladan9523 4 года назад

    Ma shaa Allah Sheikh wetu Allah akupe hekima zaidi na atukinge na Adhab ya Jahannam sote in shaa Allah

  • @halimamsafiri1532
    @halimamsafiri1532 4 года назад

    Ma shaa Allah Sheikh Othman Maalim mawaidha yako tametulia sana Allah akulinde kwa kila baya hapa dunian

  • @mgenikhamis.zubeirkhamiszb9934
    @mgenikhamis.zubeirkhamiszb9934 4 года назад +3

    Shukran mungu akupe wepesi katika maisha yako

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 года назад +1

    Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuzidishie umri mlefu uzidi kutupa vitu vizur Aamiin Nas Allah atufanyie wepes iltuyazingatie tupate kuyafanyia kazi mambo ya akhera Aamiin

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 5 лет назад +11

    Swadakta ya shekhe Othman shukran sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +1

    Jamani Sheikh Othman.. msikitini kuna vijana wanavaa vivazi siyo vya heshma ya MASJID...Tizameni kitu hichi...

  • @maindutu5475
    @maindutu5475 3 года назад

    Mashallah Shekhe wetu Allah akujaalie kila kheli inshallah

  • @malhajaeddy9780
    @malhajaeddy9780 4 года назад +2

    Allah akujalie mwisho mwema pia akizidishie elmu

  • @rehemajuma4656
    @rehemajuma4656 4 года назад +2

    Mashaallah Allah azidi Kukuongoza sheikh othman maalim

  • @ruznahaji1053
    @ruznahaji1053 4 года назад +4

    Mashaallh shekh allah atakulipa ujira wako kutuelimisha

  • @mohamednoornoor944
    @mohamednoornoor944 4 года назад +1

    Allah akupeleke peponi inshalla tuwe sote katika mabustani ya peponi

  • @abdallahmatimlah7676
    @abdallahmatimlah7676 4 года назад +1

    Maishaaaaalah Allah akujaalie kila la kheri Shekh wetu,Wallah natamani sanaaa kukuona live

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 3 года назад +1

    Shekhe Othman na kupenda sn. Allah akulipe kheri nyingi sn.

  • @badrikilas3806
    @badrikilas3806 Год назад +4

    Ramadhan karim❤❤❤❤❤

  • @sharmilarashid5401
    @sharmilarashid5401 4 года назад +1

    Masha Allah Allah akulipe kher na back amiina asant kwaukumbusho

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 5 лет назад +24

    Barakallahu shekhe wetu mawaidha matamu. nikweli mimi nime dhulumiwa. safari mbili tafauti na watu tofauti. nili mulilia Allah. wakwanza alikuwa jirani. wapili ni selekari. imenidhulumu ploti yangu nime nunua. pesa zangu. ilinidhulumu muda wa myaka mbili. baada ya dua juu ya haki yangu. week mojo waliniita nakunirudishia. ploti yangu. jirani yeye alinidhulumu pesa muda wa myaka 4 nahazikose na wakati hiyo nilikawa. munyonge wanjaa. ya watoto. wakati nilimulilia Allah. asubuhi yake mwenyewe alikuja kunitafuta nakuniambia kama usiku amekosa amani na usingizi juu ya pesa zangu. ntangu apo akanilipa Nikamshukuru Allah anajibu. wanyonge wake

  • @khadijaabdalla2221
    @khadijaabdalla2221 3 года назад +1

    Mashawallh shekh kumu azid kukufavy wepesi

  • @sharifrajab1166
    @sharifrajab1166 Год назад

    Nakupenda sana Sheikh wangu nakudhamini toka 🇰🇪

  • @MJbendera
    @MJbendera 4 года назад +14

    May Allah bless you with Jannatu Fidaus Sheikh Othman.

  • @kwekwemahendo9747
    @kwekwemahendo9747 3 года назад +1

    ma sha Allah jazakallah kher sheikh wetu Allah akupe afya njema akupe umri mrefu Allah akupe mwisho mwema IN SHA siku kam ya leo last Ramadan nikisiliza mawaidha yako sheikh wetu Alhamdulillah

    • @habibarashid8850
      @habibarashid8850 3 года назад

      Mashaallah mawaidha mazuri .mwenyezi mungu akuzidishie uwezo na umri mrefu dunian.

  • @saidasaidahungu8659
    @saidasaidahungu8659 Год назад

    Mashaallah Allah akuhifadhi shekh darasa zako nimafunzo makubwa sana

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 2 года назад

    Shekhe akuzishiye Allah kutuogoza mawaidha mazuri sana

  • @MuniraKhamisMoura-df1zs
    @MuniraKhamisMoura-df1zs 7 месяцев назад

    Shukran sheikhe napenda sana dawaa zako Allah akupe ujira usioishaaa

  • @sadaali8665
    @sadaali8665 4 года назад +1

    Mashallh sheikh wetu mungu akupe umri mrefu jala jalal

  • @abdulmsuya4867
    @abdulmsuya4867 3 года назад

    Inshaaallah shekh Allah akupe umri

  • @HawaiMohamed-vf3ix
    @HawaiMohamed-vf3ix Год назад

    Masha Allah may Allah grant you janatul fardos

  • @halimaswaleh
    @halimaswaleh Год назад

    Jazakum khairah mungu akupe umri mrefu shekh

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Mwenyezi mungu akulipe kheli yarabra aramin

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 5 лет назад +26

    Shekh wetu wewe ni mwenye hekma .Allah amekujaalia

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 4 года назад

      Kwani Hekma maanake nini??Mana Nasikiaga Tu neno hilo!

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 4 года назад +1

      @@أبوفيصل-د3ش Hekima (wisdom) ni kufanya jambo lifaalo kwa namna ifaayo kwa wakati ufaao

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 4 года назад +1

    Shukran shekhee Allah akujaalie khelii

  • @Rashmmy
    @Rashmmy 3 года назад

    Mashallah tunapata faida sana katika khutba zako.mola akujazi yarabi.

  • @mubalipiti2631
    @mubalipiti2631 3 года назад +1

    Ishaalah shekh osmani malimu

  • @raheemhamis7292
    @raheemhamis7292 3 года назад +4

    Jazzakka llah kheri huyu she namfananisha na swahabha flan nampenda sio kidogo !!! Thanaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад

    Darasa makhusi,shekhe. Mwenyezi Mungu akupe afya insha allah

  • @jumamahina8193
    @jumamahina8193 4 года назад +1

    Wallah nimependa Sana ulivyosoma Quran shekh, Allah akupe afya njema siku nikija zenji nitakuja kuswali ktk msikit wako

  • @nasriyndune3021
    @nasriyndune3021 Год назад

    Jazakallah kheir Shekh AThman

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Shekhe wangu umeongea mambo mazuri sana

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 года назад

    Masha Allah sheikh Othman maalim ana hekma kubwa sana ALLAH akuepushe na husda.

  • @halimalikutu3790
    @halimalikutu3790 4 года назад +4

    Inshaallah allah atujaalie iman zaid shehe allah atujaalie sote mwisho mwema minshaallah

  • @shanswyayubfashionswagz
    @shanswyayubfashionswagz 3 года назад +1

    Allah barik

  • @ziadamaulid9089
    @ziadamaulid9089 4 года назад +1

    Allah akulipe kheri shehe wetu

  • @MariamuShabani-g7h
    @MariamuShabani-g7h 7 месяцев назад

    Mashaallah Allah Akupe kheri nyingi kesho akhera

  • @zabibunduwimana4233
    @zabibunduwimana4233 4 года назад

    Allah akuhifadhi sheikh Othman maalim

  • @fatmanassoramir5614
    @fatmanassoramir5614 2 года назад +1

    Jazakallah kheir

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад +5

    Haya ni mawaidha ya husnul khulq

  • @twalaataib9297
    @twalaataib9297 3 года назад +1

    Shukran Jazakallah Khery

  • @jamilanassoro8408
    @jamilanassoro8408 4 года назад +3

    MashaAllah Sheikh wetu Allah akupe umri mrefu🤲

  • @issayassin
    @issayassin 4 года назад +7

    Allah akujaaliye umri uzidi kuelimisha umma

  • @Naziluna-en7lj
    @Naziluna-en7lj 4 года назад +2

    Mashaallah
    shukran san shekhe wetu

  • @salmamiraji2830
    @salmamiraji2830 4 года назад +2

    Mwenyewe mtaratiiibu,wala hana haraka mashaallah

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 лет назад +16

    Man'sha Allahu tabark Allah 💕 💞 💕

  • @yusufomar4138
    @yusufomar4138 4 года назад +5

    Allah akuzidishie shekhe wtu Allah akupe umri mrefu uzidi kutufunza

  • @esharashid4072
    @esharashid4072 2 года назад +1

    Ndio mawaitha ya shibuu surat yasin

  • @esmailrajab2829
    @esmailrajab2829 3 года назад +1

    Mola atujaliye funga zetu