MAMA WEMA SEPETU ,SIPENDI MWANANGU KUKAA NA WHOZOU BILA NDOA NACHUKIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 104

  • @fatumamniga1715
    @fatumamniga1715 Год назад +5

    Mama Wema ulilolifanya ni sahihi mzazi hafurahishwi mwanae akienda kinyume na maadili yetu na utamaduni wetu wa kiafrika umeongea point na nifundisho kwa watoto wetu waache dharau lazima waheshimu wazazi na tamaduni zetu

  • @Fabiolamsofe
    @Fabiolamsofe Год назад +4

    Yn uyu n mama wng kabisa ❤wema n una mama mzr mwenye upendo hekima muheshimishe mama ako asee

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 6 месяцев назад

    wema kakaa na mondiiii weeeee mama ukusema kitu leo whozu unaanza kuleta shida 😂😂😂TOKA ZAKOMBELEEEEEEEEEE

  • @neemamrisho7500
    @neemamrisho7500 Год назад +5

    Hongera mama ipo cku wema ata zaa lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana mama umeongea point

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Год назад +22

    Mama umeongea cha muhimu, ulimzaa wema 1986? Au 1988? Kwa hiyo Wema ni 37 yrs kama sio 35 yrs😂mmesikia hukoo😅au tuongeze sauti

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 Год назад +2

    Unamshikisha whuzu wema?mbona hukufanya hivyo huko nyuma ,waache wanachunguzana bado,mm kwani hujui siku hizi wanaanza kuishi ndoa baadaye mama

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 Год назад +4

    Hili neno heshima yako then unaitikia marhaba mhh

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад

    Mama unapoint sana mungu atakupa subra na inshallah yatatengenea ameen

  • @florencekafeero220
    @florencekafeero220 Год назад +3

    Yes maama you are right the man should man up

  • @DijaMriri-wc4qd
    @DijaMriri-wc4qd Год назад +4

    Mashallah mama mrembo pia ana saut nzur

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 8 месяцев назад +1

    Tanzania COME we STAY iko nyingi sana hata Waislamu

  • @mkonojr53
    @mkonojr53 Год назад +2

    Hongera xn mama zidi kumuombea kwa mungu mwanao atapata mtt ishaalah

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy Год назад +6

    WEMA BADO UNA MAMA AMEONGEA UKWELI MTUPU FATA MAELEKEZO YA MAMA YAKO AKITANGULIA MBELE YA HAKI HAKUNA MTU WA KUKUSHAURI HAYO 🙏🙏🙏🙏

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Год назад

      Ushamuharibu ndio unasema, Tulia tu usijifanye kuwa na hekima..

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Год назад

    Mama mhongo.sana wema 1988 yani mihaka 35 ...mungu amurumihe sana you mama kweli

  • @EmanuelHunjuTV
    @EmanuelHunjuTV Год назад

    Ni kweli mama umeongea point mtoto ni mungu mwewe

  • @FAIDAKIBIBI
    @FAIDAKIBIBI Год назад

    Mama kachelewa kumushauri biti yake,katamba tu sana
    Nahiyo miaka niuongo amefisha miaka

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Год назад +2

    Super Mom ❣️

  • @adamummy4363
    @adamummy4363 Год назад +5

    Mbona alivyokua na diamond mama ulitulia tu kwa hiyo inaonekana wazi mama anaangalia kipato dunia hii balaa kweli Kweli

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews Год назад +4

      Anataka ndoa mama sio km hampendi whozu

    • @ashurahaji4794
      @ashurahaji4794 Год назад +2

      Sio kwamba hampendi hapana ila hapendi anavyokaa kwa kwanamke bila utaratibu

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад +1

    Mbn diamond kakanae wema bila ya ndoa na hujaaema

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 Год назад +2

    Wewe ni mama 🥰😍

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Год назад +1

    tz mama g petience ozoko mariam sepetu

  • @monicathomaskadaso8293
    @monicathomaskadaso8293 Год назад +1

    Kukaa bila kutambulishana si sana, ila kinachomuuma sana mama inaonekana Whozu analelewa na Wema. Hiki ndicho kinamuuma sana mama!!

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Год назад +1

    Angaria watangazaji wa tanzania warivyo kuwa wapumbavu na machokora eti wema mamayake anamushauri nini kuhusu kpata😅😅😅😅 mtoto mtangazaji ni mradi ayo tu wengine nyoko nyoko

  • @adnanjuma4657
    @adnanjuma4657 Год назад +6

    Mama kusema ukweli unatakiwa umushkuru huyo kijana kaamua kumstil mwanao pasipo kujali umuri,mwanao katumika sana lakin kakosa wa kumuoa,huo ushauri wako ungeutoaga zamani ungemsaidia mwanao ila leo umechelewa

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Год назад

      Kamstil nn sasa,kwaiyo kama kamstl ndo wafanye uhun wa kuzarrsha wazaz waish bila kujulikana nyumbn ila mitandaon,,siamn ktk kustlka naamn ktk Mungu kwamba akiamua kukupa wako ata uwej atabk na ww tu so uhun uhun wa kipumbf

  • @selemanikitatungwa9283
    @selemanikitatungwa9283 Год назад +2

    Mama hongera kwa kuzaa, pili siku nyingine salamu hii ukiamkiwa kuwa "heshima yako mama,sema iendelee kuwa ya kwangu peke yangu" ndio hivyo mama, samahani kwa kukuelekeza

  • @MunahSadiq-bh7ol
    @MunahSadiq-bh7ol Год назад +7

    Mama yuko right

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Год назад +2

    Mama kaongea kwa uchungu whozu shikamoo😂😂😂😂

  • @princessmimi4404
    @princessmimi4404 Год назад +4

    1986--1988😂😂😂 mama tukuelewe vp na kule insta card y hsptl feki yaonesha 1990 na bday nyuma ya mwaka 2018 alikua na miaka30. Basi hayaaaaa hayatuhusu

  • @eliusfrolian-iw9uy
    @eliusfrolian-iw9uy Год назад +2

    Mama wema she is supper lady

  • @SaidChalema
    @SaidChalema Год назад +2

    Sema mama'angu umechelewa mtoto wako ameshazeeka ndo unakumbuka kumsimamia maadiri

  • @ruzaunahemed5948
    @ruzaunahemed5948 Год назад +1

    Ulilo sema ni sahihi ila alipokua na Diamond mbona hukuwa unaongea hivo ww mama mbaguzi 😂😂😂

  • @ashamfinanga727
    @ashamfinanga727 Год назад +1

    Ulishindwa nini kumueleza mwenyewe nyumbani

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 Год назад +1

    Hungeropoka siku ya birthday. Ungemwacha asherekee. Ulimdhalilisha hadharani ukamharibia siku ulikosa ustaarabu. Muite kando muongee si hadharani

  • @RosemaryLema
    @RosemaryLema Год назад +4

    Tumejua wema n 1986 mama kajkuta kajchanganya ikabd aende sawa na mwanae1988😅

    • @princessmimi4404
      @princessmimi4404 Год назад +1

      Mwanae kasema kazaliwa 1990 Amefika 33

    • @nancychambo6091
      @nancychambo6091 Год назад +1

      Mama kaongea kweli umri wa mwanae 1986 kumbe mwanae anajirudishaga nyuma makubwa ndonn Sasa

  • @johnnjini5387
    @johnnjini5387 Год назад +3

    Hakika mama anaumizwa na matokeo ya mwanawe

  • @blandinamanongi8818
    @blandinamanongi8818 7 месяцев назад

    upo right

  • @rachelrobert659
    @rachelrobert659 Год назад +5

    Sasa ndio mtandaoni jamn .. cku ya kuzaliwa binti yako 😢

  • @judithlugongo8804
    @judithlugongo8804 Год назад

    Safi sana mama umenena mema

  • @moviekaa
    @moviekaa Год назад +5

    amkia heshima yako ndo nini?

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Год назад +1

    Uyu mama ni kama mama angu kabisa mi neno yakee😅😅

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 Год назад

    Mtangazaji upo vzr kaka

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 Год назад

    Hawa wakaka wambea mama khaa

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Год назад

    Huyu mama nimemwelewa anauchungu sana

  • @corandamisi9005
    @corandamisi9005 Год назад

    Alafu uyu mama kama kalewa ivi ao macho yangu

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад

    Hiki kizazi hakijui kuisha kama wana ndoa bila ridha ya wazi ni laana, ni matusi kwa wazazi

  • @rizikikhalid5119
    @rizikikhalid5119 Год назад +2

    Waache wajichanganye bado hawajasema watasema miaka yake halisi akifa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +3

    Mama hampendi Whozu ,,,😂😂hawez sema tu waz

  • @bettynjoki-kk9sm
    @bettynjoki-kk9sm Год назад

    Mama anatakai mtoto wake mzuri

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 Год назад

    Mama alilewa kwanza ndio akaanza kuongea inamaanisha ichi kipo moyoni mda mwingi Leo kapata pakusemea

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    wandshi wa hbar kuwn na maswli ya mana ssa hv wandshi w hbar wngi ni WA kuokota mtaani ndio mna maswli Yao hyana msingi maswli ya hvyo hvyoo

  • @nancychambo6091
    @nancychambo6091 Год назад +1

    Kumbe kazariwa 1986 makubwa sasa kujirudisha nyuma ndonn mtu una miaka 37 unasema 33 duuu watu mnapenda utoto dunia hiii wasanii nyie

  • @MusaMasika-to8xf
    @MusaMasika-to8xf Год назад

    Dudu tamu mamaaa

  • @BerthaModest
    @BerthaModest Год назад +6

    Uyu dhahil amtaki whozu ni basi ana namna 😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Na Whozu ndio kamsaidia Wema kurudi kuwa alivyo kujiheshimu alishakwisha 😢 .Whozu arudi kwa Tunda watulie waongeze familia hapo anatumika na hata hamna asante.

    • @saumusanjiama6991
      @saumusanjiama6991 Год назад +1

      Kweli

    • @AishaKhamisy
      @AishaKhamisy Год назад

      Hata d alikua hampendi

    • @kiatu
      @kiatu Год назад +1

      Kwa maneno yake anataka waache kuzini, ametumia lugha nyepesi tu.

    • @saumusanjiama6991
      @saumusanjiama6991 Год назад

      @@kiatu ndio

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Год назад +5

    Vijana wametoka mbio baada ya kusikia comment ya mama sepetu.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +2

    Whozu sikia maneno ya huyo Mama wewe bado kijana mdogo ondoka usikae kwa Mwanamke, huyo Mama kakutukana tena ki uwazi uwazi. Huyu Mama kasahau Wema kukaa na Whozu kastirika katulia kwani kuolewa je hao aliotembea nao walimuoa mbona alichezewa mpaka akashuka thamani, afadhali sasa kukaa na Whozu karudi kueleweka. Whozu rudi kwa Tunda huyu Mama anamdomo sana .

  • @marymolel800
    @marymolel800 Год назад +1

    Afu maza kama kazimua vile 😅

  • @datty.wozaah865
    @datty.wozaah865 Год назад

    Kwahyo whozu anakaa kwa wema😅😅😂

  • @husseinrashidy-r5d
    @husseinrashidy-r5d Год назад +1

    Waandisha wa habar ni wapumbaf sana mnakua ma fala sana huwez muuliza habar za kipumbaf mzaz kama hizo et kuzaa sijui et mapenz huo ni unafk wapumbaf sana nyie huo ni usenge

  • @SamuDshira-xm9yn
    @SamuDshira-xm9yn Год назад +2

    Wema anaipenda dyudyu sn mama kama anavyokupenda wewe mama.

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc Год назад +1

    Mama unapata taabu tatizo mwanao naye anapenda ngono na ndo inavyokuwaga yaan unakuwa tayari hata kuwa kimada miaka buku😊

  • @ashamfinanga727
    @ashamfinanga727 Год назад

    Unakumbuka shuka kushakucha

  • @DaudFataki
    @DaudFataki Год назад

    Mather uposawa kingine hajulikan mwanaume ndiomana wema anamuona kama shogayake wote heren na shedo

  • @khadijaamiri6629
    @khadijaamiri6629 Год назад +1

    Papi ndoo nini hata party

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Год назад

    Yapu

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Год назад +2

    Daaah !mama anajua amezaliwa ila kasahau Wema kamwambia 1990 daaaah,

  • @yami_hami
    @yami_hami Год назад

    WEMA MSIKILIZE MAMA YAKO HAKUNA KAMA MAMA. KAMA KWELI WHOZU UNAMPENDA WEMA MUOWE ILI MAMA APATE FURAHA NA MPATE BARKA

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +2

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,,,

  • @AishaKhamisy
    @AishaKhamisy Год назад

    Huyu mama anatabia za wamama wa kinyakyusa live bila chenga

  • @AntoniaFabian-r5p
    @AntoniaFabian-r5p Год назад

    Mama yupo sahihi sana jaman

  • @mwanahussein5935
    @mwanahussein5935 Год назад

    Mama ameongea kwa uchungu jmn

  • @IdrisaHaruna-vk8nr
    @IdrisaHaruna-vk8nr Год назад +1

    Ndo Mimi mama ya singida ilivyo

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    Muandish unaoji kiswahili unchngnya na kingreza umsomea wp uandshi

  • @khazzxplore4963
    @khazzxplore4963 Год назад

    Sasaa mom nitskujakujitambuliza

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Год назад +2

    Whozu mama mkwe hakupendi ondoka harakaa umariooo utakuponza

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Год назад

    ❤❤❤

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Mwandishi kanjanja kabisa!!

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 Год назад

    Ata mimi sipendi wema kudate na uyo kipusa whozu Cjui na siku wakiachana naenda kulewa

    • @willykyando5647
      @willykyando5647 Год назад

      Unawivu pole

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Год назад

      @@willykyando5647 😂😂😂😂😂 wewe mwehu kweli nitamuoneaje wivu mtu kama whozu niache kumuonea Wivu Mume wangu

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Год назад

      @@willykyando5647 hiii ni kuchangia mada tu mpenzi kama unapanic kaoge

    • @willykyando5647
      @willykyando5647 Год назад

      @@verobecamfipa8655 sawa

  • @Fatusuleiman
    @Fatusuleiman Год назад +1

    ᴍᴀᴍᴀ ᴜᴍᴇᴏɴɢᴇᴀ ᴜɴɢᴇsᴇ ᴛᴜᴜ ᴍʙᴏɴᴀ ᴋᴀᴋᴀᴀ ɴᴀ ᴅɪᴀᴍᴏɴᴅ ʜᴜᴋᴜsᴇᴍᴀ ᴍᴀsʟᴀɪ ᴍᴀᴏᴋᴏᴛᴏ ʜᴜᴘᴇᴡɪ ᴀᴍᴀ