Mama Wema ulilolifanya ni sahihi mzazi hafurahishwi mwanae akienda kinyume na maadili yetu na utamaduni wetu wa kiafrika umeongea point na nifundisho kwa watoto wetu waache dharau lazima waheshimu wazazi na tamaduni zetu
Angaria watangazaji wa tanzania warivyo kuwa wapumbavu na machokora eti wema mamayake anamushauri nini kuhusu kpata😅😅😅😅 mtoto mtangazaji ni mradi ayo tu wengine nyoko nyoko
Mama kusema ukweli unatakiwa umushkuru huyo kijana kaamua kumstil mwanao pasipo kujali umuri,mwanao katumika sana lakin kakosa wa kumuoa,huo ushauri wako ungeutoaga zamani ungemsaidia mwanao ila leo umechelewa
Kamstil nn sasa,kwaiyo kama kamstl ndo wafanye uhun wa kuzarrsha wazaz waish bila kujulikana nyumbn ila mitandaon,,siamn ktk kustlka naamn ktk Mungu kwamba akiamua kukupa wako ata uwej atabk na ww tu so uhun uhun wa kipumbf
Mama hongera kwa kuzaa, pili siku nyingine salamu hii ukiamkiwa kuwa "heshima yako mama,sema iendelee kuwa ya kwangu peke yangu" ndio hivyo mama, samahani kwa kukuelekeza
Na Whozu ndio kamsaidia Wema kurudi kuwa alivyo kujiheshimu alishakwisha 😢 .Whozu arudi kwa Tunda watulie waongeze familia hapo anatumika na hata hamna asante.
Whozu sikia maneno ya huyo Mama wewe bado kijana mdogo ondoka usikae kwa Mwanamke, huyo Mama kakutukana tena ki uwazi uwazi. Huyu Mama kasahau Wema kukaa na Whozu kastirika katulia kwani kuolewa je hao aliotembea nao walimuoa mbona alichezewa mpaka akashuka thamani, afadhali sasa kukaa na Whozu karudi kueleweka. Whozu rudi kwa Tunda huyu Mama anamdomo sana .
Waandisha wa habar ni wapumbaf sana mnakua ma fala sana huwez muuliza habar za kipumbaf mzaz kama hizo et kuzaa sijui et mapenz huo ni unafk wapumbaf sana nyie huo ni usenge
Mama Wema ulilolifanya ni sahihi mzazi hafurahishwi mwanae akienda kinyume na maadili yetu na utamaduni wetu wa kiafrika umeongea point na nifundisho kwa watoto wetu waache dharau lazima waheshimu wazazi na tamaduni zetu
Yn uyu n mama wng kabisa ❤wema n una mama mzr mwenye upendo hekima muheshimishe mama ako asee
wema kakaa na mondiiii weeeee mama ukusema kitu leo whozu unaanza kuleta shida 😂😂😂TOKA ZAKOMBELEEEEEEEEEE
Hongera mama ipo cku wema ata zaa lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana mama umeongea point
Mama umeongea cha muhimu, ulimzaa wema 1986? Au 1988? Kwa hiyo Wema ni 37 yrs kama sio 35 yrs😂mmesikia hukoo😅au tuongeze sauti
But google says she’s 33
Hiyo imeendaaa
Mama Leo kaongea kweli umri wamwanae 1986
😂😂😂86 ndio alizaliwa then 88 niya kitambukisho
Unamshikisha whuzu wema?mbona hukufanya hivyo huko nyuma ,waache wanachunguzana bado,mm kwani hujui siku hizi wanaanza kuishi ndoa baadaye mama
Hili neno heshima yako then unaitikia marhaba mhh
Mama unapoint sana mungu atakupa subra na inshallah yatatengenea ameen
Yes maama you are right the man should man up
Mashallah mama mrembo pia ana saut nzur
Tanzania COME we STAY iko nyingi sana hata Waislamu
Hongera xn mama zidi kumuombea kwa mungu mwanao atapata mtt ishaalah
WEMA BADO UNA MAMA AMEONGEA UKWELI MTUPU FATA MAELEKEZO YA MAMA YAKO AKITANGULIA MBELE YA HAKI HAKUNA MTU WA KUKUSHAURI HAYO 🙏🙏🙏🙏
Ushamuharibu ndio unasema, Tulia tu usijifanye kuwa na hekima..
Mama mhongo.sana wema 1988 yani mihaka 35 ...mungu amurumihe sana you mama kweli
Miaka 35 ni mikubwa
Ni kweli mama umeongea point mtoto ni mungu mwewe
Mama kachelewa kumushauri biti yake,katamba tu sana
Nahiyo miaka niuongo amefisha miaka
Super Mom ❣️
Mbona alivyokua na diamond mama ulitulia tu kwa hiyo inaonekana wazi mama anaangalia kipato dunia hii balaa kweli Kweli
Anataka ndoa mama sio km hampendi whozu
Sio kwamba hampendi hapana ila hapendi anavyokaa kwa kwanamke bila utaratibu
Mbn diamond kakanae wema bila ya ndoa na hujaaema
Wewe ni mama 🥰😍
tz mama g petience ozoko mariam sepetu
Kukaa bila kutambulishana si sana, ila kinachomuuma sana mama inaonekana Whozu analelewa na Wema. Hiki ndicho kinamuuma sana mama!!
Angaria watangazaji wa tanzania warivyo kuwa wapumbavu na machokora eti wema mamayake anamushauri nini kuhusu kpata😅😅😅😅 mtoto mtangazaji ni mradi ayo tu wengine nyoko nyoko
Mama kusema ukweli unatakiwa umushkuru huyo kijana kaamua kumstil mwanao pasipo kujali umuri,mwanao katumika sana lakin kakosa wa kumuoa,huo ushauri wako ungeutoaga zamani ungemsaidia mwanao ila leo umechelewa
Kamstil nn sasa,kwaiyo kama kamstl ndo wafanye uhun wa kuzarrsha wazaz waish bila kujulikana nyumbn ila mitandaon,,siamn ktk kustlka naamn ktk Mungu kwamba akiamua kukupa wako ata uwej atabk na ww tu so uhun uhun wa kipumbf
Mama hongera kwa kuzaa, pili siku nyingine salamu hii ukiamkiwa kuwa "heshima yako mama,sema iendelee kuwa ya kwangu peke yangu" ndio hivyo mama, samahani kwa kukuelekeza
Mama yuko right
Mama kaongea kwa uchungu whozu shikamoo😂😂😂😂
1986--1988😂😂😂 mama tukuelewe vp na kule insta card y hsptl feki yaonesha 1990 na bday nyuma ya mwaka 2018 alikua na miaka30. Basi hayaaaaa hayatuhusu
Mama wema she is supper lady
Very intelligent lady!.
Sema mama'angu umechelewa mtoto wako ameshazeeka ndo unakumbuka kumsimamia maadiri
Ulilo sema ni sahihi ila alipokua na Diamond mbona hukuwa unaongea hivo ww mama mbaguzi 😂😂😂
Ulishindwa nini kumueleza mwenyewe nyumbani
Hungeropoka siku ya birthday. Ungemwacha asherekee. Ulimdhalilisha hadharani ukamharibia siku ulikosa ustaarabu. Muite kando muongee si hadharani
Tumejua wema n 1986 mama kajkuta kajchanganya ikabd aende sawa na mwanae1988😅
Mwanae kasema kazaliwa 1990 Amefika 33
Mama kaongea kweli umri wa mwanae 1986 kumbe mwanae anajirudishaga nyuma makubwa ndonn Sasa
Hakika mama anaumizwa na matokeo ya mwanawe
upo right
Sasa ndio mtandaoni jamn .. cku ya kuzaliwa binti yako 😢
Safi sana mama umenena mema
amkia heshima yako ndo nini?
Uyu mama ni kama mama angu kabisa mi neno yakee😅😅
Mtangazaji upo vzr kaka
Hawa wakaka wambea mama khaa
Huyu mama nimemwelewa anauchungu sana
Alafu uyu mama kama kalewa ivi ao macho yangu
Hiki kizazi hakijui kuisha kama wana ndoa bila ridha ya wazi ni laana, ni matusi kwa wazazi
Waache wajichanganye bado hawajasema watasema miaka yake halisi akifa
Mama hampendi Whozu ,,,😂😂hawez sema tu waz
Mama anatakai mtoto wake mzuri
Mama alilewa kwanza ndio akaanza kuongea inamaanisha ichi kipo moyoni mda mwingi Leo kapata pakusemea
wandshi wa hbar kuwn na maswli ya mana ssa hv wandshi w hbar wngi ni WA kuokota mtaani ndio mna maswli Yao hyana msingi maswli ya hvyo hvyoo
Kumbe kazariwa 1986 makubwa sasa kujirudisha nyuma ndonn mtu una miaka 37 unasema 33 duuu watu mnapenda utoto dunia hiii wasanii nyie
Dudu tamu mamaaa
Uyu dhahil amtaki whozu ni basi ana namna 😂😂
Na Whozu ndio kamsaidia Wema kurudi kuwa alivyo kujiheshimu alishakwisha 😢 .Whozu arudi kwa Tunda watulie waongeze familia hapo anatumika na hata hamna asante.
Kweli
Hata d alikua hampendi
Kwa maneno yake anataka waache kuzini, ametumia lugha nyepesi tu.
@@kiatu ndio
Vijana wametoka mbio baada ya kusikia comment ya mama sepetu.
Whozu sikia maneno ya huyo Mama wewe bado kijana mdogo ondoka usikae kwa Mwanamke, huyo Mama kakutukana tena ki uwazi uwazi. Huyu Mama kasahau Wema kukaa na Whozu kastirika katulia kwani kuolewa je hao aliotembea nao walimuoa mbona alichezewa mpaka akashuka thamani, afadhali sasa kukaa na Whozu karudi kueleweka. Whozu rudi kwa Tunda huyu Mama anamdomo sana .
Hapan anaongea ukweli
Kaongea ukwel wanaume wa Sasa wanapenda kuishi kwa wanawake
Afu maza kama kazimua vile 😅
Kwahyo whozu anakaa kwa wema😅😅😂
Waandisha wa habar ni wapumbaf sana mnakua ma fala sana huwez muuliza habar za kipumbaf mzaz kama hizo et kuzaa sijui et mapenz huo ni unafk wapumbaf sana nyie huo ni usenge
Wema anaipenda dyudyu sn mama kama anavyokupenda wewe mama.
Mama unapata taabu tatizo mwanao naye anapenda ngono na ndo inavyokuwaga yaan unakuwa tayari hata kuwa kimada miaka buku😊
Sana yaan anapenda. Mishipa
Unakumbuka shuka kushakucha
Mather uposawa kingine hajulikan mwanaume ndiomana wema anamuona kama shogayake wote heren na shedo
Papi ndoo nini hata party
Yapu
Daaah !mama anajua amezaliwa ila kasahau Wema kamwambia 1990 daaaah,
WEMA MSIKILIZE MAMA YAKO HAKUNA KAMA MAMA. KAMA KWELI WHOZU UNAMPENDA WEMA MUOWE ILI MAMA APATE FURAHA NA MPATE BARKA
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,,,
Huyu mama anatabia za wamama wa kinyakyusa live bila chenga
Lupyana classic 😅
Mama yupo sahihi sana jaman
Mama ameongea kwa uchungu jmn
Ndo Mimi mama ya singida ilivyo
Muandish unaoji kiswahili unchngnya na kingreza umsomea wp uandshi
Sasaa mom nitskujakujitambuliza
Whozu mama mkwe hakupendi ondoka harakaa umariooo utakuponza
❤❤❤
Mwandishi kanjanja kabisa!!
Ata mimi sipendi wema kudate na uyo kipusa whozu Cjui na siku wakiachana naenda kulewa
Unawivu pole
@@willykyando5647 😂😂😂😂😂 wewe mwehu kweli nitamuoneaje wivu mtu kama whozu niache kumuonea Wivu Mume wangu
@@willykyando5647 hiii ni kuchangia mada tu mpenzi kama unapanic kaoge
@@verobecamfipa8655 sawa
ᴍᴀᴍᴀ ᴜᴍᴇᴏɴɢᴇᴀ ᴜɴɢᴇsᴇ ᴛᴜᴜ ᴍʙᴏɴᴀ ᴋᴀᴋᴀᴀ ɴᴀ ᴅɪᴀᴍᴏɴᴅ ʜᴜᴋᴜsᴇᴍᴀ ᴍᴀsʟᴀɪ ᴍᴀᴏᴋᴏᴛᴏ ʜᴜᴘᴇᴡɪ ᴀᴍᴀ