Happy birthday wema twashukuru kwayote ilio semwa kwenye patty yako dada wema lakini heshimu mamako sababu maneno ya mamako yaumiza sana chunga sana utafanya mengi sababu una pesa lakini heshima kwa mamako itadumu milele
Mzazi ni mzazi hawezi kumchoka mwanae na anamfunza jins ya kufanya ili mama wake ajivunie mwanae na sio kumuwacha mwanae ahalibikiwe ingali yeye mzazi yupo nimejifuna kupitia huyu mama love you mama wema ❤❤❤❤
Jaman mama. Mbona kama aibu naona mimi. Yesu tuhurumie sisi wakike kwa kukosa adabu kwa wazazi wetu na jamii yote. Yesuu tuhurumie tuu.Mama pole kwa malezi magumu na Mungu akujalie kuwa na mwisho mwema wewe umefanya kwa sehem yako
Mama wema umenifurahisha Sana kama ungeungana na wAzazi wengine mkazidi kuwaelewesha waache tabia mbaya ambazo hazipendezi imgekuwa bora sio wema tu mwenye tabia mbaya ila karibia wasanii wote wenyewe wanaona sija lamda wakiambiwa adharani wataelewa kwa sababu Mama wema alisha mkanya wema wakiwa peke yao ila wema hakumtii Mama yake hakuna kama Mama DUNIANI chukuwa radhi ya Mama wakati yu hai Mama yako anakupende sanaaa
@@MboniHatibuKwanini anateseka?Binti yake si mtoto wa miaka 14 tena, ana miaka 33 kwa sababu anaingilia maisha yake?Kama anampenda kwa dhati, asingesema hayo yote hadharani. Nilihuzunika sana alipomdhalilisha whozu vile.
Niseme tu kimsingi mama anakemea uzinifu.kama kawakilisha wazazi wote wasiopenda uzini kueleza vijana wote yaan mama hadharani ujumbe huu haikua wa wema pekee.bali mama akitaka kuwafikisha wale wote wazinifu wasio penda kufata taratibu.mama ujumbe wake mzuri ila hakuangalia wapi sehemu sahihi yakufikisha ujumbe wake.ila ni binadam tumpe heshima ni mama yetu.
Sawa kaongea point ila haikua aongee siku ya birthday ya mtoto. Chengine ajue majira yamebadlika. Hatuezi kuishi maisha ya mababu zetu. Huko tulitoka kitambo sana na hatutorudi.
Mtoto mtu mzima hapangiwi wala hapelekeshwi anamaamuzi binafsi hata kama wewe ni mzazi, hayuko chini ya mzazi tena kwa hiyo hayuko katika hali ya kusikiliza muda wote eti mzazi anataka nini au hataki nini.
Amekaa na wanaume wangapi huyo,kwenda uchi ndio maisha yenu,ilimpate hela na umaarufu,huo niunafiki mama napatizenu za kishetani,nahuyo Manara kama ni Alhaji hapokafata nini,pumbafu zenu namamaenuhuyo.msingi wajambo ukiharibika mwenyehaki atafanya nini.hivyovyakula mngewapa yatima
Mimi ni mu congomani nipo Congo mama wema kakosa hekima kabisa aifurahishe jambo Hilo tafazali mama kwa heshima kubwa nakuomba usirudiye tena wema MTU muzima tena Kila Siku mapenzi inavuka mipaka
Kamzalilisha mwanae ila nyumba yao anaijuwa kwanini amuharibie mbele za watu mim niseme kafanya so vizuri sana yani kahalibu fulaha ya mwanae maana mama hajawaza kwanza hapa niwapi ira kwastaihi atasema na mpaka esemee natena yan hapo bado sana kwanahiyo wale kila mtu anamaisha yake mbili wema ni mtu mzima sana kwahiyo awaache
Wema kumbe ww Mpumbavu kweli na utakuwa umelaaniwa yaani kweli mnapeana mahaba kwa mda wote huo kumbe hujaenda hata kumtambulisha kwa Mama yako?mjinga Sana hata huyo mme wako sijui mpenz hajitambui kabisa Leo aibu imewashika shuu mkome dharau Sana
Wewe unamuona mpumbav lkin ukikaa ukatuliza akili utajua wema anamuheshim sana mam yake anawaz atawatambulisha wangapi vip kuhusu aib atayopat kwa ndg wa karibu?ipo sababu hakuna Ambae hapend heshima usimtukane muombee ili cku Moja iwe kweli!
Huyo mama ameshalewa zake na amesahau hiyo ni birthday party hakutakiwa kumharibia siku yake mtu amekaribishwa kwenye party halafu anaenda kuongea utopolo kwenye party wamama wa kiafrica wanamidomo sana ndiyo maana nimekaa mbali na mama yangu hata ummtendee mazuri ndiyo kwanza anakuona mjinga
Zari oyeeeeeeeeeeee mwenye kujiheshimu arivishwa peteeee maman dangote kasema muganda hakuvishwa pète n'a mwambaye aibuuuuu bi Sandra zari muzima endeleya nabangine zari arisha tosha muguru wake n'a batoto she IS able yakubareya family ta mashetani mweye
Ata kama ni mzazi anashusha brand ya familiaa🤣🤣..kama ajatambulishwa mkwe ajue mwanae yupo singo na kama anaona mwanae anachunwa hayo n maisha aliochaguaaa!! Wamama msaidieni mama mwenzenuu kuwa na ustaharabu kwenye vitu visivyohusubuchumbaa😏😏
Kwa hiyo unasema kuwa wema Hana adabu au vipi,Sasa kwa nn usiende kumsema kwake had unamuaibisha mtoto wako mbele ya watu?unadhan watu wanafurahia unachikisema au wanakuona kuwa wewe ndio hufai,maana huna hekima?mwanao
Happy birthday wema twashukuru kwayote ilio semwa kwenye patty yako dada wema lakini heshimu mamako sababu maneno ya mamako yaumiza sana chunga sana utafanya mengi sababu una pesa lakini heshima kwa mamako itadumu milele
Mama umeongea point , Mwenyenzi Mungu akupe umri mrefu..R,I P my mom
Mzazi ni mzazi hawezi kumchoka mwanae na anamfunza jins ya kufanya ili mama wake ajivunie mwanae na sio kumuwacha mwanae ahalibikiwe ingali yeye mzazi yupo nimejifuna kupitia huyu mama love you mama wema ❤❤❤❤
Ila Wema anasauti nzuri sanaaaa. Nyororo inapendeza masikioni. Gonga like kama unaunga nami
❤❤❤❤❤
mama mariam sepetu i love you mum youare a good mum big up
Jaman mama. Mbona kama aibu naona mimi. Yesu tuhurumie sisi wakike kwa kukosa adabu kwa wazazi wetu na jamii yote. Yesuu tuhurumie tuu.Mama pole kwa malezi magumu na Mungu akujalie kuwa na mwisho mwema wewe umefanya kwa sehem yako
Allhamdulilah hapo umewakanya wote waliokuepo hapo yani umeouga ndege 1000 kwa jiwe 1 hongera sana sana mama hao wote hapo ni majanga tuu kwakweli
Nahisihuyumama
Hapewiheshimayake
Namwanawe
Mama umeongea point na ubarikiwe maana Dunia imeharibika: mim tu umenifunza kitu. wema ujifunze kitu mtu mzima ni mtumzima tu❤️
Happy Birthday Wema Sepetu. 🎉❤🎉 your fan in USA.
Vizuri sana mama ni kweli kabisa
Safi sana weeee ni mama kwelikweli Balikiwaaa sana
Na ukute wakifunga ndoa mungu anaweza kuwabariki mtoto kwasabab mama atakua yupo ridhaa nao
Ndio
Heshima ya mtoto wakike ni kanga (Leso) I like ithis..🔥❤️
Mama wema umenifurahisha Sana kama ungeungana na wAzazi wengine mkazidi kuwaelewesha waache tabia mbaya ambazo hazipendezi imgekuwa bora sio wema tu mwenye tabia mbaya ila karibia wasanii wote wenyewe wanaona sija lamda wakiambiwa adharani wataelewa kwa sababu Mama wema alisha mkanya wema wakiwa peke yao ila wema hakumtii Mama yake hakuna kama Mama DUNIANI chukuwa radhi ya Mama wakati yu hai Mama yako anakupende sanaaa
Mama kaharbu kbsaaa🙆🙆🙆pole role model, happy more years
Happy birthday wema nakupa hongera sana na pia. Nakupa hongera kwa kuwa na mm kama mm yako dear nakupenda saaana mpz wangu
Mama nakupongeza sanaaaa! Wema acha kujifanya unajua mtu mzima akiadhirika huchutama kuficha aibu yake!nyamaza unazidi kujidhalilisha mitandaoni!
Aibu,,,ukumbini...kwa kweli watoto muwaheshimu wazazi wenu,ndio wasiri wenu,walimu na kila kitu kwenu..Molla waongoze watoto wetu..
Shukuru Sana Dada Rehema Wema..........Hongera mama...... Hongera sana
Hiyo sherehe ingekuwa harusi mama angefurahi sana
Wema na marafiki zako hapo Diva,Hamisa na wengine mmependeza
Hbd chimama nkupenda wema wangu.Tnakupenda MAMA
Huyu mama anaona ishara gani kwenye maisha yake.
Hongera mama mpaka mbele ya mungu ukiulizwa utasema nilimwambia hongera sana mama
Kwani miaka yote alikuwa wapi huyu mama hakuona
@@yahyamajidyahyahilalal-har8762 unajuwa sasa mda umefika wa kutubu na mda huo humfikia MTU baada ya dhambi kupita
@@yahyamajidyahyahilalal-har8762 yupo hai na kasema
Hbd cute❤❤❤🎉mama wema,wenye masikio watakuwa wamesikia na kuelewa.all the best
Mama kaongea vizuri Ila sio siku ya birthday ya mtoto.
Huenda mzazi alishazungumza sana juu ya hili, lkn bila ya mazingatio: sasa leo ameonelea azungumze hadharani huenda atazingatia.
Kaaribu mwenyewe wema kumtambulisha mpenzi wake kw mamake siku iyo mama nae kamaliza khalas
Lkn sio siku ya furaha
Kweli umeongea point sana mama kizazi hakina adabu hiki hakisikii na kinakutana na laana ya mauti kwa ajili ya kutoheshimu wazazi asante yeyo lai
😅😅😅😅dash good mom she is very active❤
Maashallah mamaangu hongera sana
MAMA yuhai na maneno makali alioyatoa wema kua makini na kauli ya Mama
Mungu huwa na makusudi yake nyie jamani,wema hawezi kuijua thamani ya mama hata siku moja☝.binti mbaya sana ww
Duuuh japo kua ni mzazi pakini ndoo aje hapo kusema upande wangu sijapenda😢
Kamaanisha kuwa keshamwambia Sana ila hasikii au hashikiki
Yaaan wema huwa hapoi wala hakeri..❤❤❤❤
Mamaa anahasira sana ila ukupaswaa kusema yote auo mble za umat ten siku yak kuu jamani
Mama was on a mission, usichoke kumsema mtoto wako. Yame mfika shingoni
Kizazi cha sasa hicho cha Manara hatariiiii😂😂😂😂
Aibu naona mimi yani mzazi mpaka amesema ivi inamana kasha choka 😳😳😳😳🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kawaida ya mzazi kusema hata ww utasema bado hujasema na hakuna mzazi anae mchoka mtoto wake usijidanganye😊😊
Anataka kiki uyu bibi kwani wema ana nyumba
@@MboniHatibuKwanini anateseka?Binti yake si mtoto wa miaka 14 tena, ana miaka 33 kwa sababu anaingilia maisha yake?Kama anampenda kwa dhati, asingesema hayo yote hadharani. Nilihuzunika sana alipomdhalilisha whozu vile.
@@rogerabdallah439kiki imsaidie nn?
@@rogerabdallah439 kwan anakaaa kwao
Dada wema weka akilini ujumbe wa mama........ kuna siku utakuja kuukumbuka
Wema zingatia maneno ya mama hayo, nina hakika mama ameona mbali ujue
Aone mbali wapi mama ampendi chi baba
Mama uko sahihi 🎉🎉🎉
Mama ungetakiw kumwambh ndn mwenyw xio mbl za wat n mby
Umeongea point ila xio sw San mama
Niseme tu kimsingi mama anakemea uzinifu.kama kawakilisha wazazi wote wasiopenda uzini kueleza vijana wote yaan mama hadharani ujumbe huu haikua wa wema pekee.bali mama akitaka kuwafikisha wale wote wazinifu wasio penda kufata taratibu.mama ujumbe wake mzuri ila hakuangalia wapi sehemu sahihi yakufikisha ujumbe wake.ila ni binadam tumpe heshima ni mama yetu.
Nimekupenda bure mama
Kama umesikia sauti ya gigy gonga like 🤣🤣🤣
Sawa kaongea point ila haikua aongee siku ya birthday ya mtoto. Chengine ajue majira yamebadlika. Hatuezi kuishi maisha ya mababu zetu. Huko tulitoka kitambo sana na hatutorudi.
Wine 🍷 mwanaharamu😢 🤷🏽 Mmmmh Mama Umemkosea mwanao, on her special day, Kweli wewe mama😢 Sad!!! Pombe mwanaharamu😢🤷🏽 🤷🏽
Mama Wema Mama Wemaaaaa barikiwa sanaaa DADA Umeongea point
Naskia sauti ya gigy 😅😅😅😅 too
Mtoto mtu mzima hapangiwi wala hapelekeshwi anamaamuzi binafsi hata kama wewe ni mzazi, hayuko chini ya mzazi tena kwa hiyo hayuko katika hali ya kusikiliza muda wote eti mzazi anataka nini au hataki nini.
Jamani hebu wadada tujiheshimuni bas, kwanimtu ukivaa vizuri unakatika wapi au utaambiwa haujakamilika kiurembo mmmmh mumezid, sasanguo umeivaa alafu wajibanabana manaake nn naumetaka kujionesha mwiliwako adharani, emungu tusamehe
Amekaa na wanaume wangapi huyo,kwenda uchi ndio maisha yenu,ilimpate hela na umaarufu,huo niunafiki mama napatizenu za kishetani,nahuyo Manara kama ni Alhaji hapokafata nini,pumbafu zenu namamaenuhuyo.msingi wajambo ukiharibika mwenyehaki atafanya nini.hivyovyakula mngewapa yatima
Huyu mama yupo sahihi wengi wanaishi maisha mabaya kwjir za kuzalau walio wazaaa
Mama alishachoka Tabia ya mwanae ndo maana kaweka wazi
Mama ulilemeza wa kwenye malez unaonekane mbabe kidogo
Love 💕 mama wema wachane
Mimi ni mu congomani nipo Congo mama wema kakosa hekima kabisa aifurahishe jambo Hilo tafazali mama kwa heshima kubwa nakuomba usirudiye tena wema MTU muzima tena Kila Siku mapenzi inavuka mipaka
Mama umesema vizuri.
Bona anakuja kumwambia mbele ya watu? Nkt, hakuwa apate time naye? Sometimes these parents hapana. She doesn't look rude. Why the embarrassment?
Kamzalilisha mwanae ila nyumba yao anaijuwa kwanini amuharibie mbele za watu mim niseme kafanya so vizuri sana yani kahalibu fulaha ya mwanae maana mama hajawaza kwanza hapa niwapi ira kwastaihi atasema na mpaka esemee natena yan hapo bado sana kwanahiyo wale kila mtu anamaisha yake mbili wema ni mtu mzima sana kwahiyo awaache
Mama ana mipaka kwa mwanae popote pale anauwezo wa kusema mwanae 😊
Chibaba nenda nenda kwa mamaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
MAMA katunza kanga ili ujistiri usende uchi ukipinga kauli ya Mama kinachofuata ni laana MAMA anaongea kwahisia sana
Mama mwenyewe yupo Uchi pia
Huyu mama hafanya vizuri. Haya maneno ange mwambia mwanae faraghani
Mpaka kaongea yote haya kachoka sana hapend hizo tabia
Nasikwa wematu na kwa sisi wote tunaofanya Ohio wazazi awafulai tunawakosea 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏🌺🌺🌺🌺🌺🎅🎅🎅🤶🤶🤶🤶🤶🤶🤶🎅🎅
MUNGU_wewe_ni_Tajiri_unawapa_pesa_wana_chezeea_hivi_Tupe_na_sie_Tufanye_kazi_y_ALLAH
Kweli I see!
Fanya kazi acha kutuletea majungu
Wema kumbe ww Mpumbavu kweli na utakuwa umelaaniwa yaani kweli mnapeana mahaba kwa mda wote huo kumbe hujaenda hata kumtambulisha kwa Mama yako?mjinga Sana hata huyo mme wako sijui mpenz hajitambui kabisa Leo aibu imewashika shuu mkome dharau Sana
Wewe unamuona mpumbav lkin ukikaa ukatuliza akili utajua wema anamuheshim sana mam yake anawaz atawatambulisha wangapi vip kuhusu aib atayopat kwa ndg wa karibu?ipo sababu hakuna Ambae hapend heshima usimtukane muombee ili cku Moja iwe kweli!
@@joycesamwely7896 kwahiyo unashaur waendelee hivyo hivyo
Wewe mama Leo ndio unwona wema mbona kafanya mengi huko nyuma kina jumbe,kapita na wangapi hujawahi sema mama au umeona whozu Hana hela
Hii ni kaz ya mama kumwambia mwanae ukwel hajakoxea ila wem kaombe mxamaa kwa mama
Leo umeongea ya maaana kama mama
Huyo mama ameshalewa zake na amesahau hiyo ni birthday party hakutakiwa kumharibia siku yake mtu amekaribishwa kwenye party halafu anaenda kuongea utopolo kwenye party wamama wa kiafrica wanamidomo sana ndiyo maana nimekaa mbali na mama yangu hata ummtendee mazuri ndiyo kwanza anakuona mjinga
😂😂😂😂😂eti na ww nyamazandio mama nn
Zari oyeeeeeeeeeeee mwenye kujiheshimu arivishwa peteeee maman dangote kasema muganda hakuvishwa pète n'a mwambaye aibuuuuu bi Sandra zari muzima endeleya nabangine zari arisha tosha muguru wake n'a batoto she IS able yakubareya family ta mashetani mweye
Mama wema nikama mama yangu
Ata kama ni mzazi anashusha brand ya familiaa🤣🤣..kama ajatambulishwa mkwe ajue mwanae yupo singo na kama anaona mwanae anachunwa hayo n maisha aliochaguaaa!! Wamama msaidieni mama mwenzenuu kuwa na ustaharabu kwenye vitu visivyohusubuchumbaa😏😏
Sawa mama lakini ungemwita ukaongea nae
Kwa hiyo unasema kuwa wema Hana adabu au vipi,Sasa kwa nn usiende kumsema kwake had unamuaibisha mtoto wako mbele ya watu?unadhan watu wanafurahia unachikisema au wanakuona kuwa wewe ndio hufai,maana huna hekima?mwanao
😢😢mama mwenye akili na asikie
Wema wetu❤❤❤❤
Asante mama umeongea point
Mapigo Hama Hama nanjamana hapate mutoyi maman nikitu kingine cakuogopa wema mbecile débile fiesta maman Yako aibuuuuu bi blessings without yr mother😅😅😅😅😅
Na kumbuka wakati Wa Diamond pia huyu mama alipinga kuvalishwa Pete adhalani
Wema mpeleke whozu kwa mama adi kasema ujue ana taka hivyo
Wema kaa chini na mama yko huenda kunajambo anataka kukusaidia Bali hapati nafasi
Kuambiwa kupo lakini siyo public namna hii hii ni kudhalilishana na kuharibiana tuu siku
wanawake wenye mizigo ya zambi tubuni yesu yuaja❤
yaaan we acha tu
Yesu sio yesu
we mama ulishashusha heshima yako na vlip yako ile, she is her mama's daughter
😊😊, in😊 1:54
Mam kasema neno na wema sikilz nend atananeno moj litakusaidia
Amechelewa sana😅
Umekosea ungewaita sio hadharani ndugu yangu hapo sio
Uyu mama hatakuwepo kesho na wema aturudi kusema na atasema
Kwanza wamezidi kuvaa tupu😢😢
Asante mama wema
Ila bi mkubwa kazingua kwann asimseme nyumbani akamseme hapo
Hata hajazingua sahihi kabisaaa ukiona hivyo kaongea ndaniii imeshindikana
😂😂😂noma San kauwa
Wozu , nenda kapeleke Mali tafazali utapata lahana ya mama wema 😂😂😂
M sjaon kibay alichoongea mam wema
👏👏👏
Shuwehaha😂 hila kamzalilisha
Huyu mama kakosa ustaarabu. Hata kama usingemkosoa mwanao hadharani. Hii siku ilikuwa ya birthday uliharibu moods
Giggy leo umepewa adabu na mama sepetu kaa kimya
Kwa nyakati hizi wazazi mnatakiwa muwe wakali haswa
Wema wema wema nakuita mala tatu siku mama yako akija kukata kauli utalia na mito