HII MUPYA! MAHARUSI WAMEKUTANA INSTAGRAM, HAWAJAWAHI KUONANA , MAREKANI NA TANZANIA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 апр 2021
  • Baada ya kua na urafiki kwa miaka 11 na mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu yote hiyo bila kuonana Bw akiwa Marekani bibie Tanzanian. Hatimae Macrey na Doroth waoana baada ya kukutana face to face for only two weeks .....
    TUMERUDI RUclips RASMI. Poleni sana kwa kutumiss..
    Tell friends to Subscribe, Share and Comment
    @Mcgarab
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 404

  • @fatumasidi3372
    @fatumasidi3372 3 года назад +34

    Its so amazing, i share the same love-marriage story. Met my lovely wife on facebook june 18th 2018.. akiwa Tanzania mm nikiwa Qatar, miezi 9 baadae ambayo ni feb 16 2019 nikaja Tz kila kitu kilikua tayari ndio tulifunga ndoa.
    Hapa hatujawahi kuonana kwanza mm mkenya na mke wangu mtanzania. Tunapendana sana na Mwenyezi Mungu katujaalia na mtoto 1 sasa.
    With true love, its possible.
    Hongereni sana

  • @haroldmerei1830
    @haroldmerei1830 3 года назад +35

    If you don't have anything good to say to the couple it is a good idea unyamaze. Very nice looking couple, beautiful wedding ceremony, acheni wivu!

    • @dibabatv5761
      @dibabatv5761 3 года назад +4

      Umeongea sahihi Sana,watakie mema watu wafanikiwe, acheni kukosoa kosoa watu wanependana, hatuwez zaliwa sawa

    • @gloryfrankie1743
      @gloryfrankie1743 3 года назад +2

      Yes this is very true

    • @zulfahamidu5348
      @zulfahamidu5348 2 года назад

      @@dibabatv5761 you can p

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 3 года назад +7

    Msuwakosoe maarusi Mungu amewakutanisha. Jifunzeni kuacha wivu.

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 3 года назад +5

    Glory be to God,
    I wishing you all the best ,Mungu awalinde, na kuwatunza,,na kuwafanikisha katika maisha yenu ya ndoa.

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 года назад +3

    Nimempenda Bibi harus hajaweka minywele ya bandia Kichwani, na mie cku Mungu akinijalia nikapata Mume! Cku ya harusi ctaweka nywele za bandia kichwani

    • @treasureforashes3497
      @treasureforashes3497 2 года назад +1

      Hamna ubaya na weaves,kila mtu na style yake,haimaniishi ya wengine mbaya,

  • @nashymbaty1119
    @nashymbaty1119 3 года назад +13

    😃😃😃kwani Mahusiano yenyew yanasemaje 🙌🙌 ila everything is possible when yu trust God

  • @harrietsutta2568
    @harrietsutta2568 3 года назад +24

    Hongera sana mdogo wangu Dorothy. You have been a good child I have seen you growing up tukiwa shuleni. You have been cool all the way with that beauty that has never faded. Well behaved.
    Nakutakia heri na baraka tele. Make the man happy... treat him like a king he will make you his queen as you build your castle.
    Happy marriage life

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 года назад +3

    Dada wa kidimbwi huyu..mjanja kuliko jamaa..ila hongera sana..kizungu zaid

  • @sumaaramson5903
    @sumaaramson5903 3 года назад +11

    Nlipata mume Facebook sasa tuna miaka 8 kwa ndoa na watoto wa3 na tuna Amani na maelewano kabisa tena nchi tofauti

  • @elizabethmwambopo9505
    @elizabethmwambopo9505 3 года назад +4

    That is True Love congratulation❤❤❤❤

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +9

    Hongera sana,lakini mbona bwana harusi mpole sana

  • @BeatriceNyato
    @BeatriceNyato Месяц назад

    Ni nzuriii nimeipenda naomb nam nipate

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 3 года назад +22

    Mimi pia nimeolewa kupitia tu mitandao sijawah kuonana nae nimemjua mme wangu siku tunafunga ndoa yaan ni nzur usiogope kila kitu mungu ndy anajua tumuachie

  • @luielias2400
    @luielias2400 3 года назад +1

    Ayeeee na ni mupyaa kweli kwelii🤩🤩nzuri mnoo👌

  • @mfumbuzionlinetv
    @mfumbuzionlinetv 3 года назад +2

    ☺️☺️☺️ nzuri

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 года назад +5

    mbona kama ana sura yakike hongerani sana mnapendexan

  • @betydalaurent6485
    @betydalaurent6485 3 года назад +3

    Waooh it's so amazing jmni,,God is great.😍
    Mc hujawahi kufail

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala7597 3 года назад +8

    😂😂😂😂😃🤣🤣🤣jaman km mie mume wangu alilosea number nakupiga kwngu ndipo tukafamihana humo

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 3 года назад +24

    Huyu mwanamke nahisi sio poa kama mcharuko kuliko mwanaume hapa

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 2 года назад +1

    So fantastic 😍😍😍

  • @fabianlucas3594
    @fabianlucas3594 3 года назад

    Mc uko vizuri
    Hawa wanandoa wakaishi vyemaaa

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 3 года назад

    Hongeren

  • @julianamuga389
    @julianamuga389 3 года назад +19

    Nmegundua kitu😅😅😅😅Bibi kachachuka bwana mpole
    Then bwana mcha Mungu haswa apo kwa kidawa !?!?!so watasaidiana kuchange all the best

  • @ceciliagsaguti1595
    @ceciliagsaguti1595 3 года назад

    Waoooh so nice

  • @franciscanamkuru6185
    @franciscanamkuru6185 3 года назад

    Hongera

  • @rehemasam6946
    @rehemasam6946 3 года назад +1

    Hongera sana Dorothy usiache kuingana na mume wako katika maombi

  • @faridahmutola5778
    @faridahmutola5778 3 года назад

    Beautiful ❣️❣️

  • @MauaMwaka
    @MauaMwaka 2 года назад +2

    God bless your marriage

  • @catherinemwakalinga6503
    @catherinemwakalinga6503 3 года назад +1

    Wow congrats Doroth

  • @kirumscalone3975
    @kirumscalone3975 3 года назад +2

    Kazi ya Mungu haina makosa,mbarikiwe kwa ndoa yenu.

  • @nodjackobo6125
    @nodjackobo6125 3 года назад

    Very good

  • @zuu7130
    @zuu7130 3 года назад +2

    Umepatikana kaka kwauyo mke

  • @jaclinedaniely2563
    @jaclinedaniely2563 3 года назад

    Very nice

  • @dottosembo9236
    @dottosembo9236 3 года назад

    Wooo💕

  • @amukoamercy1172
    @amukoamercy1172 2 года назад +1

    Hapo pa roho mtakatifu
    Holy spirit show me my husband too.

  • @merisianapius4663
    @merisianapius4663 3 года назад

    Nzur

  • @kweka14l35
    @kweka14l35 3 года назад

    True Love still Exist 💓💓💓 Love bird's 👍🎉

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +2

    Nimempenda bi harus kavaa simple mno

  • @elishamwakigali1232
    @elishamwakigali1232 Год назад

    Bro una talent kinoumaaa

  • @rehemakaberege8119
    @rehemakaberege8119 3 года назад +3

    Hongera nyingi kwenu mpendanao wote

  • @milliamkiwire2852
    @milliamkiwire2852 2 года назад +1

    God's plan are always real 🙏🙏🙏❣️

  • @massongatzerick
    @massongatzerick 3 года назад

    Gara B kama Gara B,congrats

  • @greennourish58
    @greennourish58 3 года назад +3

    The same thing happened to me, met the love of my life online in 2019

  • @rebeccanassary1720
    @rebeccanassary1720 3 года назад

    Very nice couple

  • @jnjtraders7274
    @jnjtraders7274 2 года назад

    Jaman nataman kuolewa wananipa wivu daah,Bwana Yesu ahsante na meme yangu itafika.

  • @samirasaid9204
    @samirasaid9204 3 года назад +6

    Nilicho gundua kuna watu wana roho ya kwa nini kila kitu anapanga mwenyenzimung acheni wivu😏😏

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 3 года назад +2

    Mungu aibariki ndoa yenu. Naimani mtafurahia maisha yenu mpaka mtakapo zikana. Roho mtakatifu humuongoza mtu sehemu sahihi. Mungu akubariki sana kaka kwa kumsikiliza roho mtakatifu. Amina.👨‍👩‍👧‍👦💖

  • @swagger7053
    @swagger7053 2 года назад +1

    Glory to god

  • @powerlifeayurvedicclinicsirare
    @powerlifeayurvedicclinicsirare 2 года назад

    GOD IS GOOD

  • @fatmamajid7613
    @fatmamajid7613 2 года назад

    Yes sir

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 3 года назад

    This is what we call trust,

  • @esthela5105
    @esthela5105 3 года назад

    Amen

  • @raphaelmagayane4733
    @raphaelmagayane4733 2 года назад

    It's a matter of prayers and God will do the rest. be blessed Guys

  • @paschallukanya5889
    @paschallukanya5889 3 года назад +3

    Nguvu ya pesa hiyo

  • @annanyoni1981
    @annanyoni1981 2 года назад +1

    Mbona comment zimejaa za kiinglishi tu😂 kwani wenzangu namimi wabuza kwa lulenge hatupo

  • @rechoevarist9103
    @rechoevarist9103 3 года назад +2

    Mwanamke anashughulika

  • @amanijosiah5205
    @amanijosiah5205 3 года назад +1

    Mwanamke hamna kitu hapo mcharuko balaaa

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +3

    Wamependeza sana

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 года назад +1

    Bibi harusi upo vzuri huna mambo mengi na umependeza sana

  • @cosmasvicta658
    @cosmasvicta658 3 года назад

    How did you know what she is right person?, did you deeply investigate her much???.

  • @sarasereki7526
    @sarasereki7526 2 года назад

    Yes

  • @rehemarehema1445
    @rehemarehema1445 3 года назад +1

    Mwanamke hamna kitu jmn mpaka naona aibu kama nipo karibu vile

  • @josephinemnyindo39
    @josephinemnyindo39 3 года назад +3

    Hii nayo mupya!!!

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад +4

    Kila la kheri comments nyingi mnasema mwanamke mcharuku wivu tu watu hupendana sio wngine huishia kuonywa kama mboga

    • @matundumgweno4533
      @matundumgweno4533 3 года назад +2

      Hahahaah kuonywa kama mboga

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 года назад

      @@matundumgweno4533 kabsa mtoto wa shangazi 😄😄😄😄🤠💯

  • @emmanuelmrisho8676
    @emmanuelmrisho8676 2 года назад

    Nyimbo waloingilia ukumbini hawa inaitwaje na kaimba nani please

  • @vasilistasamson5245
    @vasilistasamson5245 2 года назад +1

    Cheese huyu mwanamke mungu saidia

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 3 года назад

    GOD’s plans 🙏

  • @clospercleophace2668
    @clospercleophace2668 3 года назад

    Mc nimekuelewa

  • @novakauki5560
    @novakauki5560 3 года назад +1

    Mwanamke mdangaji sana uyo

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 3 года назад +23

    Wale wanawake wote mnaotukana wanaume wakija fb au mesenja ndoa mtaisikia kwa wenzenu tuuuuh upooo 👌 mwenzenu nami nimepata stara fb 😂😜😜🙈

  • @gloryemmanuel165
    @gloryemmanuel165 3 года назад +1

    True love 💪🏻

  • @aishamtuli8926
    @aishamtuli8926 2 года назад

    Hapa kaashwa mtoto m2

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 года назад

    Inapendeza

  • @faithmlayda5306
    @faithmlayda5306 3 года назад

    ❤️❤️🥰

  • @florencekashaija7539
    @florencekashaija7539 3 года назад

    Kwamba Bibie ndiye wa kutoka mamtoni.

  • @betyngole3368
    @betyngole3368 2 года назад

    Hatwaar

  • @winnietemu3717
    @winnietemu3717 3 года назад +1

    😍😍😍😍

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 3 года назад +1

    Bora tumerudi RUclips

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 3 года назад +7

    Mdada anajishaua weee😂😂😂😂😂😂

  • @user-qj1vr3jw6r
    @user-qj1vr3jw6r 6 месяцев назад

    😍😍😍😍😍😍😍🤩👌👌👌

  • @cuteninoh572
    @cuteninoh572 3 года назад +2

    Mapenzi ya kweli yapooo😂😂😂

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 3 года назад +1

    Mwanamke mapepe

    • @zuu7130
      @zuu7130 3 года назад

      Nimependa

  • @winfridanambole1341
    @winfridanambole1341 3 года назад +2

    Jamn na mm mungu si anioneshe the right person 😢😢

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 года назад

      You want the right person that's my contact +27848885287

    • @winfridanambole1341
      @winfridanambole1341 3 года назад

      @@nyamangaking6608 😂😂😂

    • @winfridanambole1341
      @winfridanambole1341 3 года назад

      @@nyamangaking6608 nitajuaje km ni right person

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 года назад

      Omba Mungu atakwambia lakini najua kila aliyeokoka kweli kweli is a right person

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 года назад

      Let's talk in box +27848885287 but we must have enough time to know each other

  • @annadamian4178
    @annadamian4178 3 года назад +4

    Mkaka mpole ❣️

  • @swagger7053
    @swagger7053 2 года назад

    Mmmh ni atr

  • @ubarikiweulipo6969
    @ubarikiweulipo6969 3 года назад +7

    Subiri muendelezo na mwisho wa hiyo ndoa ndo nitakuja cu comment apa napita tu

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 года назад +1

      Mke hakuna

    • @ziongodfirst1868
      @ziongodfirst1868 3 года назад

      Haki huyo dada kwa mwonekano tu labda tuone wataishia wapi ngoja ninyamaze

  • @marymaina839
    @marymaina839 2 года назад

    💖💖💖💖💖💖💖

  • @saralusinde53
    @saralusinde53 3 года назад +4

    mbona kama mwanamke ana kitete kuolewa na kaka wa marekani

    • @neleakilanga3834
      @neleakilanga3834 3 года назад

      😂😂😂

    • @alikutenga3303
      @alikutenga3303 3 года назад

      Yote furaha hiyo..
      Sasahv hao waowaji walivyokuwa hawapo unafanya mchezo nn?.

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 года назад

      Waowaji wenyewe hakuna siku hizi hata ningekuwa mimi ningechangamka balaaa

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 года назад

      @@alikutenga3303 😁😁😁😁😁

  • @user-si8qq4kj4b
    @user-si8qq4kj4b 3 года назад +1

    Kumb inst kn wame😄😋

  • @emanuelgavile3856
    @emanuelgavile3856 3 года назад +6

    Dada mjuajii

  • @herbertkamote2213
    @herbertkamote2213 3 года назад

    Dah Mimi siwezi asee

  • @DM_15
    @DM_15 3 года назад +2

    Huyu mwanamke ana mawengeflan just msikilize vzr nikama jamaa kaokota zagabov

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 года назад +1

      😅😅😅

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 года назад

      Eti ZAGABOVU

    • @DM_15
      @DM_15 3 года назад +2

      @@user-ot2io4cy6w sindio mawengeflani iv mcharuko mcharuko iv yaki istergram flani

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 года назад +1

    hamna ndoa hapo. anaibiwa huyo

  • @marryciousben3803
    @marryciousben3803 3 года назад +1

    Uyu mwanamke anaonekana wamoto kwer alafu kinajishauwa kumshika shika mwanaume iyo kwiyo

  • @godfreymushi7222
    @godfreymushi7222 3 года назад

    Nyimbo inaitwaje jaman

  • @rozirobat5448
    @rozirobat5448 2 года назад

    Saluni

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 3 года назад

    Mwanamke anaonekana kama Govinda vile hapa ndgu wa Mme mmepatikana.

  • @estherponda790
    @estherponda790 3 года назад +2

    Maana yake hiyo ya kwamba nikama guy ninini?sielewi

  • @dativambaga6206
    @dativambaga6206 3 года назад

    Mmh

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 3 года назад +1

    Natamanii nami iwe like