HII MUPYA! MAHARUSI WAMEKUTANA INSTAGRAM, HAWAJAWAHI KUONANA , MAREKANI NA TANZANIA.
HTML-код
- Опубликовано: 23 апр 2021
- Baada ya kua na urafiki kwa miaka 11 na mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu yote hiyo bila kuonana Bw akiwa Marekani bibie Tanzanian. Hatimae Macrey na Doroth waoana baada ya kukutana face to face for only two weeks .....
TUMERUDI RUclips RASMI. Poleni sana kwa kutumiss..
Tell friends to Subscribe, Share and Comment
@Mcgarab - Развлечения
Its so amazing, i share the same love-marriage story. Met my lovely wife on facebook june 18th 2018.. akiwa Tanzania mm nikiwa Qatar, miezi 9 baadae ambayo ni feb 16 2019 nikaja Tz kila kitu kilikua tayari ndio tulifunga ndoa.
Hapa hatujawahi kuonana kwanza mm mkenya na mke wangu mtanzania. Tunapendana sana na Mwenyezi Mungu katujaalia na mtoto 1 sasa.
With true love, its possible.
Hongereni sana
Fatuma nae anaoa c MAAJABU
Hongera Mungu hukutanisha popote don't worry Hiyo no yesu beautiful couples
Hongera
Bwana Fatuma aka Mr Fatuma nawatakieni kila la heri na Mrs Fatuma
If you don't have anything good to say to the couple it is a good idea unyamaze. Very nice looking couple, beautiful wedding ceremony, acheni wivu!
Umeongea sahihi Sana,watakie mema watu wafanikiwe, acheni kukosoa kosoa watu wanependana, hatuwez zaliwa sawa
Yes this is very true
@@dibabatv5761 you can p
Msuwakosoe maarusi Mungu amewakutanisha. Jifunzeni kuacha wivu.
Glory be to God,
I wishing you all the best ,Mungu awalinde, na kuwatunza,,na kuwafanikisha katika maisha yenu ya ndoa.
Nimempenda Bibi harus hajaweka minywele ya bandia Kichwani, na mie cku Mungu akinijalia nikapata Mume! Cku ya harusi ctaweka nywele za bandia kichwani
Hamna ubaya na weaves,kila mtu na style yake,haimaniishi ya wengine mbaya,
😃😃😃kwani Mahusiano yenyew yanasemaje 🙌🙌 ila everything is possible when yu trust God
Hongera sana mdogo wangu Dorothy. You have been a good child I have seen you growing up tukiwa shuleni. You have been cool all the way with that beauty that has never faded. Well behaved.
Nakutakia heri na baraka tele. Make the man happy... treat him like a king he will make you his queen as you build your castle.
Happy marriage life
Dada wa kidimbwi huyu..mjanja kuliko jamaa..ila hongera sana..kizungu zaid
Nlipata mume Facebook sasa tuna miaka 8 kwa ndoa na watoto wa3 na tuna Amani na maelewano kabisa tena nchi tofauti
Nawapongeza saana MUNGU babaa awajaliee daima
That is True Love congratulation❤❤❤❤
Hongera sana,lakini mbona bwana harusi mpole sana
Ameish marekan
Ni nzuriii nimeipenda naomb nam nipate
Mimi pia nimeolewa kupitia tu mitandao sijawah kuonana nae nimemjua mme wangu siku tunafunga ndoa yaan ni nzur usiogope kila kitu mungu ndy anajua tumuachie
Aswaaaah best ww kma mie tuuuh
Safi dear ukimtanguliza mungu hakuna kitakachoshindikana kwasabbu mungu ndy anatupangia kila kitu
@@habibatyntosso1436 Amina 🙏
Bora unatupa moyo
@@duhrurhhddhheud8575 yaah
Ayeeee na ni mupyaa kweli kwelii🤩🤩nzuri mnoo👌
☺️☺️☺️ nzuri
mbona kama ana sura yakike hongerani sana mnapendexan
Waooh it's so amazing jmni,,God is great.😍
Mc hujawahi kufail
😂😂😂😂😃🤣🤣🤣jaman km mie mume wangu alilosea number nakupiga kwngu ndipo tukafamihana humo
Weeee
Huyu mwanamke nahisi sio poa kama mcharuko kuliko mwanaume hapa
Umeona ee
@@rehemanditu686 Anakimuye muye kweli
@@masoudsalum9514 🤣🤣
Kweli Yani si kwa kihereher.amepata Kaka mstaarabu ajifunze toka kwake na atulie
Kabs 🤣
So fantastic 😍😍😍
Mc uko vizuri
Hawa wanandoa wakaishi vyemaaa
Hongeren
Nmegundua kitu😅😅😅😅Bibi kachachuka bwana mpole
Then bwana mcha Mungu haswa apo kwa kidawa !?!?!so watasaidiana kuchange all the best
Hahahaha mchachuajii
We mungu nisaidie nami nipate mime kama huyu
Waoooh so nice
Hongera
Hongera sana Dorothy usiache kuingana na mume wako katika maombi
Beautiful ❣️❣️
God bless your marriage
Wow congrats Doroth
Kazi ya Mungu haina makosa,mbarikiwe kwa ndoa yenu.
Very good
Umepatikana kaka kwauyo mke
Kwa nn
Very nice
Wooo💕
Hapo pa roho mtakatifu
Holy spirit show me my husband too.
Nzur
True Love still Exist 💓💓💓 Love bird's 👍🎉
Nimempenda bi harus kavaa simple mno
Kapendeza san
Bro una talent kinoumaaa
Hongera nyingi kwenu mpendanao wote
Rey vp tena
Rey vp tena
God's plan are always real 🙏🙏🙏❣️
Gara B kama Gara B,congrats
The same thing happened to me, met the love of my life online in 2019
Very nice couple
Jaman nataman kuolewa wananipa wivu daah,Bwana Yesu ahsante na meme yangu itafika.
Nilicho gundua kuna watu wana roho ya kwa nini kila kitu anapanga mwenyenzimung acheni wivu😏😏
Kbsaaa kipenz
Mungu aibariki ndoa yenu. Naimani mtafurahia maisha yenu mpaka mtakapo zikana. Roho mtakatifu humuongoza mtu sehemu sahihi. Mungu akubariki sana kaka kwa kumsikiliza roho mtakatifu. Amina.👨👩👧👦💖
Glory to god
GOD IS GOOD
Yes sir
This is what we call trust,
Amen
It's a matter of prayers and God will do the rest. be blessed Guys
Nguvu ya pesa hiyo
Mbona comment zimejaa za kiinglishi tu😂 kwani wenzangu namimi wabuza kwa lulenge hatupo
Hahahahahaha
Mwanamke anashughulika
Mwanamke hamna kitu hapo mcharuko balaaa
Wamependeza sana
Wanapendeza
Bibi harusi upo vzuri huna mambo mengi na umependeza sana
How did you know what she is right person?, did you deeply investigate her much???.
Yes
Mwanamke hamna kitu jmn mpaka naona aibu kama nipo karibu vile
Hii nayo mupya!!!
Kila la kheri comments nyingi mnasema mwanamke mcharuku wivu tu watu hupendana sio wngine huishia kuonywa kama mboga
Hahahaah kuonywa kama mboga
@@matundumgweno4533 kabsa mtoto wa shangazi 😄😄😄😄🤠💯
Nyimbo waloingilia ukumbini hawa inaitwaje na kaimba nani please
Cheese huyu mwanamke mungu saidia
GOD’s plans 🙏
Mc nimekuelewa
Mwanamke mdangaji sana uyo
Mh vipi kuhusu w
Wale wanawake wote mnaotukana wanaume wakija fb au mesenja ndoa mtaisikia kwa wenzenu tuuuuh upooo 👌 mwenzenu nami nimepata stara fb 😂😜😜🙈
😅😅weeee
@@prettyh7509 🤔🤔
😆😆😆😆
Hongera kwako
@@m.mmarckus6298 asante my
True love 💪🏻
True love waits
Hapa kaashwa mtoto m2
Inapendeza
❤️❤️🥰
Kwamba Bibie ndiye wa kutoka mamtoni.
Hatwaar
😍😍😍😍
Mambo winie temu
Bora tumerudi RUclips
Mdada anajishaua weee😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣adi raha
Acha afurahie, wengi wametamani hawakufanikiwa
😂😂😂
😍😍😍😍😍😍😍🤩👌👌👌
Mapenzi ya kweli yapooo😂😂😂
😂😂😂😂
Ipo Instagram 😂😂😂
Mwanamke mapepe
Nimependa
Jamn na mm mungu si anioneshe the right person 😢😢
You want the right person that's my contact +27848885287
@@nyamangaking6608 😂😂😂
@@nyamangaking6608 nitajuaje km ni right person
Omba Mungu atakwambia lakini najua kila aliyeokoka kweli kweli is a right person
Let's talk in box +27848885287 but we must have enough time to know each other
Mkaka mpole ❣️
Yes
Mmmh ni atr
Subiri muendelezo na mwisho wa hiyo ndoa ndo nitakuja cu comment apa napita tu
Mke hakuna
Haki huyo dada kwa mwonekano tu labda tuone wataishia wapi ngoja ninyamaze
💖💖💖💖💖💖💖
mbona kama mwanamke ana kitete kuolewa na kaka wa marekani
😂😂😂
Yote furaha hiyo..
Sasahv hao waowaji walivyokuwa hawapo unafanya mchezo nn?.
Waowaji wenyewe hakuna siku hizi hata ningekuwa mimi ningechangamka balaaa
@@alikutenga3303 😁😁😁😁😁
Kumb inst kn wame😄😋
Aaaaahhhhh wapo ndiyo
Dada mjuajii
Dah Mimi siwezi asee
Hahaha
Huyu mwanamke ana mawengeflan just msikilize vzr nikama jamaa kaokota zagabov
😅😅😅
Eti ZAGABOVU
@@user-ot2io4cy6w sindio mawengeflani iv mcharuko mcharuko iv yaki istergram flani
hamna ndoa hapo. anaibiwa huyo
🤣🤣🤣🙆🙆
Uyu mwanamke anaonekana wamoto kwer alafu kinajishauwa kumshika shika mwanaume iyo kwiyo
Kbs ani kanabwebwe
Nyimbo inaitwaje jaman
All night long
Saluni
Mwanamke anaonekana kama Govinda vile hapa ndgu wa Mme mmepatikana.
Kvp tena
Maana yake hiyo ya kwamba nikama guy ninini?sielewi
Mmh
Natamanii nami iwe like
Welcm to me
Heeh!
Npo If u like my dear
Njoo kwangu bibie
@@nilansaid2927 thanks