Sijapenda kabisa reaction ya mkude baada ya makosa ya Babu onyango yani anamwangalia tu adui anakabia tu macho nahisi angereact aggressively whenda asingefunga daaah. Huyu Jamaa akiwa hana mpira sio mzuri kbx
Ila jamani tuseme yote huyu Papaa Jonh Rafael Bocco ana mikimbio ya hatari yaani mabeki wa wapinzani hawapati amani kabisa anapokuwa uwanjani tumpe heshima yake
SIMBA ACHENI USTAAA, MUWE MNAJITUMA KWA NGUVU ZOTE MUWAPO UWANJANI YANI KUFA NA KUPONA. (MNAJISAHAU SANA)GOLI MLIOFUNGWA NI UZEMBE UZEMBE UZEMBE MNAKABIA MACHO MBIO HAMNA KABISAAA. HONGERA KWA MATOKEO
@@mwidiniharuna9618 hamna mtu hafungwi ila lile golikwa namna hali ilivyokua liliweza kuepukika au walau wangejitahidi zaidi. Mkude angeweza kumbugudhi Aziz Ki lakini akawa anamuangalia tu badala ya kukimbia
Nyie watangazaji mna tangaza vibaya khaaa ... Ninii kwanza mbn mnapga kelele tuu aaanh Ani naboeka khaaa .... . Lakini asanteee team yangu ♥️ Simba sport club 💕♥️💕💕💕
Simba registered their squad before the return of Chama, therefore no 17 for champion league and confederation is for Sakho, after return, Chama wears 17 for domestic competitions since cannot play internationally.
Mtangazaj punguza kelele....this is Simba brother ❤️❤️
Ee Mungu mwenye NGUVU tunakuomba umlinde mchezaji P.O.Sakho awe na Afya njema na wachezaji wote wa SIMBA ili tushinde mechi zote zilizobaki AMINA
Amen
Aamiin
Nguvu moja
Ameen
Dua yako imesikika! AMEN!!
Tati tato senegal Tati 3 . Tanzania Simba . senegal Simbe and Samba Asante sana Swahili peaple peace and love from Senegal
Jamani msiwe mnarelax mwanzo hadi mwisho wekeni nguvu zote. Mnatupa raha mashabiki wenu. Pongezi sana.
Sijapenda kabisa reaction ya mkude baada ya makosa ya Babu onyango yani anamwangalia tu adui anakabia tu macho nahisi angereact aggressively whenda asingefunga daaah. Huyu Jamaa akiwa hana mpira sio mzuri kbx
Hili kweli ni goal bora la mwaka duniani sio tu africa
Ila jamani tuseme yote huyu Papaa Jonh Rafael Bocco ana mikimbio ya hatari yaani mabeki wa wapinzani hawapati amani kabisa anapokuwa uwanjani tumpe heshima yake
Mmmh baada ya jana kufanya vizuri😂😂 Simlikua mnasema aondoke simba ameshazeeka akasomee ukocha
@@hamidayanga8224 nyie utopolooo 🐸👈🏽👉🏿🐸 🤣🤣
Leooo mzur kesho mbaya sindokaz yet
Goal of the Year .Africa 2022. Macho yako yanaona kama Mimi?
Amen amen. Mungu ni mkuu.Amen.
SIMBA ACHENI USTAAA, MUWE MNAJITUMA KWA NGUVU ZOTE MUWAPO UWANJANI YANI KUFA NA KUPONA. (MNAJISAHAU SANA)GOLI MLIOFUNGWA NI UZEMBE UZEMBE UZEMBE MNAKABIA MACHO MBIO HAMNA KABISAAA. HONGERA KWA MATOKEO
Well said
Sasa Simba isifungwe yenyewe imekuwa nani?
@@mwidiniharuna9618 hamna mtu hafungwi ila lile golikwa namna hali ilivyokua liliweza kuepukika au walau wangejitahidi zaidi. Mkude angeweza kumbugudhi Aziz Ki lakini akawa anamuangalia tu badala ya kukimbia
Nyie watangazaji mna tangaza vibaya khaaa ... Ninii kwanza mbn mnapga kelele tuu aaanh Ani naboeka khaaa .... . Lakini asanteee team yangu ♥️ Simba sport club 💕♥️💕💕💕
😜😜😜
Siuache kuangalia
Kwel kak
Kaangalie highlight ya CAF afu utaelewa uchafu wakule na hapa.
CAF wanatoa highlight mbovu kuwahi kutokea.
Nice commentary and video quality keep it up
Bonne continuation pa Ousmane Sakho
Vzr xanaa good quality video thank you 🙏🥂
Love u simba
Hongeren sana watangazaji hakika mko vizur
Mmmmh
Naipenda simba
Safi sana quality video
This must be the goal of year 2022
Na ndivyo ilivyotokea leo 21 July, 2022.
Uyu mtangazaji Bora Wamrudishee Kwaoo Akale Mbegee Simuelewi Kelele Nyingi Mtangaji wa mpira ni Bakari Mpenja Hao Wengine upuuz
I love simba
Katika watu leo nimeona wamepiga game nzuri ni INONGA,tumuache tu kwakweli halali yake kwakweli
Tv,3 mko vizuri
Amazing won to simba
Hapo ndio utaona utofauti wa mtangazaji baraka mpenja na wasimulizi wa mpira
ni nomaaaaa uyu sako kama ronaldo cristian vilee
Highlights ya kijanja ndio hii wengne wnaturekodia ktk tv za majumbni mwao Kisha wanaweka you tube Bora huyu ameitoa sehm nzur
Huyuu mtangazaji wa hovyo sanaa
Simba registered their squad before the return of Chama, therefore no 17 for champion league and confederation is for Sakho, after return, Chama wears 17 for domestic competitions since cannot play internationally.
Ah this makes sense. Thanks for the explanantion
Llllllllll
This is simba 💪,Ila huyo matangazaji anajitahid kwa kelele
Yaan mpk anaboa
Congrats ma team👍👏
Dj walete🔥🔥🔥🔥🔥🔥
vipi mbona utoporo amshagirii Gori ra piri ra Simba na ra Banda utoporo mnateseka sana
Yes mnyamaa
Asante ni
SSC.kazeni.Uzi.huko.MoROCO.watanzania.Tuko.nyuma.yenu.
Peter Pedro erasto Sanchez banda😂😂😂😂
Binafsi mtangazaji wa Leo ameharibu ladha ya mpira🤔🤔🤔
Simba
Asanteni wachezaji wetu #NguvuMoja
Na Leo sacko ameshinda goal kama hili na assist ametoa shomar kapombe
So Chama wears number 17 and this Sakho guy also wears number 17?🤔 balance me up
in domestic league chama use17 but internationaly 17 belong to sakho bro
Nice
Sakho, ashasajiriwa kule namba 17 ,shirikisho ,na pia chama hachez shirikisho ,so hausumbui
@@emmanuelichoirihandakongwa3034 How can a single player have two squad numbers? That's a first
Mungu awabalik
Duh hyu mtangazaj ni nomaa
Yanga hongera kwa ushindi wenu jana
sensetional
Baraka benard
🔥🔥
❤️❤️🥰❤️🥰
Mtangazaji una sauti mbaya yani huwezi kutangaza kabisa
Good
Video quality saf san, onyeshen na NBC tutaenjoy
Huyo mtangazi sikamuelewa kabisaa hata rahaa hamna utafikir anatangaza ndondo cup
Safi sana
Hatariiiiiiiii mnyamaaaaaa
💯💯💯💥💥💥 Simba nguvu moja
Michezo ni mzuriiiii ila mtangazaji anaharibuuuuu waachiee wakongweeee
We mtangazaji achana na kutangaza mpira hujui fanya kazi nyingine
Watangazaji hawavutii kuwasikiliza
M
Vision shooter
Lwanga arudi kwa kweli, hapo mkude anamwangalia tu mtu anaenda kufunga
💪💪💪💪💪
Kweriii
Hebu Kumbuka timu ya Pamba FC walifanya mazoezi miezi mi 3 kabla ya ligi kuanza. Ndivyo Paper anavyotakiwa kufanya mazoezi
Goli bora LA afrca
Safi san
sijapenda mtangazaji
Nan karud tena 2024 😂 baada ya kushinda 3 moja leo😅
Kaz kaz sakho
Mtangazaji km umefukuzwa. Na Mwenyenyumbaa acha Kz araka baraka chukua my.c
4-3-2-1 combo
Tatizo gsm wameshindwa kucheza hii mechi dah MO atabaki kuwa MO
Mtangazaji kajitafakari
Apewe award
Yapo maboya yanashangilia 🏋️kare kanjano 😬😬😬😬😬😁😁😁
Kwann Simba Hawakumsajili aziz k????
Bocco tunaomba utusamehe
Kina jamaaa aliifunga meli4 akavuaa shatiiii akujee aone wanaume huku
nawaona mashabiki wa Yanga wakishangilia jukwaani....daah mzungu njoo tutawale upya nadhani hatukustahili uhuru...
Hilo gor ni kam lile la Ronaldo ambayo ilipgwa faino ndy alifunga goo kam Hilo hil
Mkude sio mkabaji mzuri kama Thadeo Lwanga.
Hivi ilikuwaje wonder kid bwalya wakaachwa😭😭😭😭
Simb mnanip rah sn
Mtangazaji hujui
This is simba brother
watangazaji hovyo kabisa
Chama
Sweet
Dj reki studio
Mmepiga kaz
Comments ziwe za kimataifa tafadhali💪
Mabeki hawa wa simba wamefanya upumbavu sana.
Wamempa tu sifa azz
Simba raha tupu jaman utopolo wanateseka tu🐸🐸😃😃
Simba baba lao
mchezo wa aina yaake..hii ndio level ya kimataifa sasa...
Alrikiba
Watangazaji bna mmeifanya mechi ionekane km ya kirafiki vile.. Mcrudie kututangazia mechi za yanga au simba
Mtangazaji amepata bao Ila bao halijapata mtangazaji kwakweli
Hogera sana
Simba yanga
Kunahusiana nn kufunga gor na kuvua shati wakati unajua kabisa nikivua shati napewa kadi
😎😎 watangazaji uchwara
TANGAZA WEWE