CAF CL | ANGALIA MAGOLI YOTE | SIMBA 3-1 ASEC MIMOSAS | HIGHLIGHTS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 209

  • @madarakamwakagugu1727
    @madarakamwakagugu1727 2 года назад +14

    Mtangazaj punguza kelele....this is Simba brother ❤️❤️

  • @absm8084
    @absm8084 2 года назад +35

    Ee Mungu mwenye NGUVU tunakuomba umlinde mchezaji P.O.Sakho awe na Afya njema na wachezaji wote wa SIMBA ili tushinde mechi zote zilizobaki AMINA

  • @moustaphagaye4617
    @moustaphagaye4617 2 года назад +3

    Tati tato senegal Tati 3 . Tanzania Simba . senegal Simbe and Samba Asante sana Swahili peaple peace and love from Senegal

  • @gracesage989
    @gracesage989 2 года назад +2

    Jamani msiwe mnarelax mwanzo hadi mwisho wekeni nguvu zote. Mnatupa raha mashabiki wenu. Pongezi sana.

  • @eliampagike6262
    @eliampagike6262 2 года назад +10

    Sijapenda kabisa reaction ya mkude baada ya makosa ya Babu onyango yani anamwangalia tu adui anakabia tu macho nahisi angereact aggressively whenda asingefunga daaah. Huyu Jamaa akiwa hana mpira sio mzuri kbx

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +6

    Hili kweli ni goal bora la mwaka duniani sio tu africa

  • @magesachacha3897
    @magesachacha3897 2 года назад +25

    Ila jamani tuseme yote huyu Papaa Jonh Rafael Bocco ana mikimbio ya hatari yaani mabeki wa wapinzani hawapati amani kabisa anapokuwa uwanjani tumpe heshima yake

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 2 года назад +1

      Mmmh baada ya jana kufanya vizuri😂😂 Simlikua mnasema aondoke simba ameshazeeka akasomee ukocha

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 года назад

      @@hamidayanga8224 nyie utopolooo 🐸👈🏽👉🏿🐸 🤣🤣

    • @pamilamussa2749
      @pamilamussa2749 2 года назад

      Leooo mzur kesho mbaya sindokaz yet

  • @shedrackjacksonkaboza4348
    @shedrackjacksonkaboza4348 2 года назад +6

    Goal of the Year .Africa 2022. Macho yako yanaona kama Mimi?

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 года назад +3

    Amen amen. Mungu ni mkuu.Amen.

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 2 года назад +19

    SIMBA ACHENI USTAAA, MUWE MNAJITUMA KWA NGUVU ZOTE MUWAPO UWANJANI YANI KUFA NA KUPONA. (MNAJISAHAU SANA)GOLI MLIOFUNGWA NI UZEMBE UZEMBE UZEMBE MNAKABIA MACHO MBIO HAMNA KABISAAA. HONGERA KWA MATOKEO

    • @michaelgibril8594
      @michaelgibril8594 2 года назад +1

      Well said

    • @mwidiniharuna9618
      @mwidiniharuna9618 2 года назад

      Sasa Simba isifungwe yenyewe imekuwa nani?

    • @2times273
      @2times273 2 года назад +1

      @@mwidiniharuna9618 hamna mtu hafungwi ila lile golikwa namna hali ilivyokua liliweza kuepukika au walau wangejitahidi zaidi. Mkude angeweza kumbugudhi Aziz Ki lakini akawa anamuangalia tu badala ya kukimbia

  • @lidyaobedy3639
    @lidyaobedy3639 2 года назад +13

    Nyie watangazaji mna tangaza vibaya khaaa ... Ninii kwanza mbn mnapga kelele tuu aaanh Ani naboeka khaaa .... . Lakini asanteee team yangu ♥️ Simba sport club 💕♥️💕💕💕

    • @sophiahussein8858
      @sophiahussein8858 2 года назад

      😜😜😜

    • @hopefor2088
      @hopefor2088 2 года назад

      Siuache kuangalia

    • @muhzuhmoh3859
      @muhzuhmoh3859 2 года назад

      Kwel kak

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 2 года назад

      Kaangalie highlight ya CAF afu utaelewa uchafu wakule na hapa.
      CAF wanatoa highlight mbovu kuwahi kutokea.

  • @godfreychilya8299
    @godfreychilya8299 2 года назад +7

    Nice commentary and video quality keep it up

  • @moussathioye2575
    @moussathioye2575 2 года назад +5

    Bonne continuation pa Ousmane Sakho

  • @issaallykitumbu1645
    @issaallykitumbu1645 2 года назад +3

    Vzr xanaa good quality video thank you 🙏🥂

  • @brayanimamiro861
    @brayanimamiro861 2 года назад +5

    Love u simba

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif4564 2 года назад +6

    Hongeren sana watangazaji hakika mko vizur

  • @zakaliakomba6022
    @zakaliakomba6022 2 года назад +2

    Naipenda simba

  • @patrickmkude8756
    @patrickmkude8756 2 года назад +2

    Safi sana quality video

  • @brightchako1832
    @brightchako1832 2 года назад +8

    This must be the goal of year 2022

    • @tracejeezy8917
      @tracejeezy8917 2 года назад

      Na ndivyo ilivyotokea leo 21 July, 2022.

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 года назад +3

    Uyu mtangazaji Bora Wamrudishee Kwaoo Akale Mbegee Simuelewi Kelele Nyingi Mtangaji wa mpira ni Bakari Mpenja Hao Wengine upuuz

  • @zamzaomary8878
    @zamzaomary8878 2 года назад +1

    I love simba

  • @christinajames2620
    @christinajames2620 2 года назад +14

    Katika watu leo nimeona wamepiga game nzuri ni INONGA,tumuache tu kwakweli halali yake kwakweli

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo 2 года назад

    Tv,3 mko vizuri

  • @livianromanus4245
    @livianromanus4245 2 года назад +2

    Amazing won to simba

  • @wilsonwaziri9678
    @wilsonwaziri9678 2 года назад +7

    Hapo ndio utaona utofauti wa mtangazaji baraka mpenja na wasimulizi wa mpira

  • @johnsonkombe3439
    @johnsonkombe3439 2 года назад +5

    ni nomaaaaa uyu sako kama ronaldo cristian vilee

  • @lucamatiku1532
    @lucamatiku1532 2 года назад +6

    Highlights ya kijanja ndio hii wengne wnaturekodia ktk tv za majumbni mwao Kisha wanaweka you tube Bora huyu ameitoa sehm nzur

  • @luluadam3086
    @luluadam3086 2 года назад +4

    Huyuu mtangazaji wa hovyo sanaa

  • @somicotv3000
    @somicotv3000 2 года назад +9

    Simba registered their squad before the return of Chama, therefore no 17 for champion league and confederation is for Sakho, after return, Chama wears 17 for domestic competitions since cannot play internationally.

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 2 года назад +3

    This is simba 💪,Ila huyo matangazaji anajitahid kwa kelele

  • @nazminhassan2526
    @nazminhassan2526 2 года назад +6

    Congrats ma team👍👏

  • @khellykhelly7395
    @khellykhelly7395 2 года назад +3

    Dj walete🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @issahamis581
      @issahamis581 2 года назад

      vipi mbona utoporo amshagirii Gori ra piri ra Simba na ra Banda utoporo mnateseka sana

  • @ommyg2424
    @ommyg2424 2 года назад

    Yes mnyamaa

  • @hamadjuma9059
    @hamadjuma9059 2 года назад +1

    Asante ni

    • @emmanuelzambi2309
      @emmanuelzambi2309 2 года назад

      SSC.kazeni.Uzi.huko.MoROCO.watanzania.Tuko.nyuma.yenu.

  • @mceradj9173
    @mceradj9173 2 года назад +5

    Peter Pedro erasto Sanchez banda😂😂😂😂

  • @abelemmanuel6761
    @abelemmanuel6761 2 года назад +2

    Binafsi mtangazaji wa Leo ameharibu ladha ya mpira🤔🤔🤔

  • @suzanasungula5039
    @suzanasungula5039 2 года назад +1

    Simba

  • @MrBm369
    @MrBm369 2 года назад +1

    Asanteni wachezaji wetu #NguvuMoja

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 Год назад +1

    Na Leo sacko ameshinda goal kama hili na assist ametoa shomar kapombe

  • @kutumbadavidsikota6320
    @kutumbadavidsikota6320 2 года назад +7

    So Chama wears number 17 and this Sakho guy also wears number 17?🤔 balance me up

    • @emmanuelichoirihandakongwa3034
      @emmanuelichoirihandakongwa3034 2 года назад

      in domestic league chama use17 but internationaly 17 belong to sakho bro

    • @graceelias6503
      @graceelias6503 2 года назад

      Nice

    • @azizimuhibu7771
      @azizimuhibu7771 2 года назад +1

      Sakho, ashasajiriwa kule namba 17 ,shirikisho ,na pia chama hachez shirikisho ,so hausumbui

    • @kutumbadavidsikota6320
      @kutumbadavidsikota6320 2 года назад

      @@emmanuelichoirihandakongwa3034 How can a single player have two squad numbers? That's a first

  • @erizabethmichael6584
    @erizabethmichael6584 Год назад

    Mungu awabalik

  • @mariamlucas3441
    @mariamlucas3441 Год назад

    Duh hyu mtangazaj ni nomaa

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 2 года назад

    Yanga hongera kwa ushindi wenu jana

  • @richardgeorge6603
    @richardgeorge6603 2 года назад

    sensetional

  • @barakabernard5730
    @barakabernard5730 Год назад

    Baraka benard

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 2 года назад +1

    🔥🔥

  • @byerajoel3965
    @byerajoel3965 2 года назад +1

    ❤️❤️🥰❤️🥰

  • @zadockstaford7422
    @zadockstaford7422 2 года назад +5

    Mtangazaji una sauti mbaya yani huwezi kutangaza kabisa

  • @HassanHamad-kw9up
    @HassanHamad-kw9up Год назад

    Good

  • @joelkahuya6719
    @joelkahuya6719 2 года назад

    Video quality saf san, onyeshen na NBC tutaenjoy

  • @floraladislaus1142
    @floraladislaus1142 2 года назад

    Huyo mtangazi sikamuelewa kabisaa hata rahaa hamna utafikir anatangaza ndondo cup

  • @muhonimagere3008
    @muhonimagere3008 2 года назад

    Safi sana

  • @omaryramadhani3187
    @omaryramadhani3187 2 года назад

    Hatariiiiiiiii mnyamaaaaaa

  • @nahbirujuma5215
    @nahbirujuma5215 2 года назад +5

    💯💯💯💥💥💥 Simba nguvu moja

  • @blessebrown2552
    @blessebrown2552 2 года назад +2

    Michezo ni mzuriiiii ila mtangazaji anaharibuuuuu waachiee wakongweeee

  • @kassimmagembe7141
    @kassimmagembe7141 2 года назад

    We mtangazaji achana na kutangaza mpira hujui fanya kazi nyingine

  • @adammvuoni472
    @adammvuoni472 2 года назад +3

    Watangazaji hawavutii kuwasikiliza
    M

  • @jumamwenda1677
    @jumamwenda1677 2 года назад

    Vision shooter

  • @edsonjonas229
    @edsonjonas229 2 года назад +3

    Lwanga arudi kwa kweli, hapo mkude anamwangalia tu mtu anaenda kufunga

  • @wahidahilaly6570
    @wahidahilaly6570 2 года назад +2

    💪💪💪💪💪

  • @royaltourtz6215
    @royaltourtz6215 2 года назад

    Kweriii

  • @kivungemmbuji2311
    @kivungemmbuji2311 2 года назад +1

    Hebu Kumbuka timu ya Pamba FC walifanya mazoezi miezi mi 3 kabla ya ligi kuanza. Ndivyo Paper anavyotakiwa kufanya mazoezi

  • @mathiascharles2794
    @mathiascharles2794 2 года назад

    Goli bora LA afrca

  • @chachamarwa8744
    @chachamarwa8744 2 года назад

    Safi san

  • @agnesakazinzurbadamwemanel8909
    @agnesakazinzurbadamwemanel8909 2 года назад

    sijapenda mtangazaji

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Месяц назад

    Nan karud tena 2024 😂 baada ya kushinda 3 moja leo😅

  • @nywelesaid7561
    @nywelesaid7561 2 года назад

    Kaz kaz sakho

  • @OMGGZoo
    @OMGGZoo 2 года назад +1

    Mtangazaji km umefukuzwa. Na Mwenyenyumbaa acha Kz araka baraka chukua my.c

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 2 года назад +2

    4-3-2-1 combo

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 2 года назад +1

    Tatizo gsm wameshindwa kucheza hii mechi dah MO atabaki kuwa MO

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 2 года назад +3

    Mtangazaji kajitafakari

  • @zakiadaniel2497
    @zakiadaniel2497 2 года назад

    Apewe award

  • @drevapatrick5199
    @drevapatrick5199 2 года назад +1

    Yapo maboya yanashangilia 🏋️kare kanjano 😬😬😬😬😬😁😁😁

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 11 месяцев назад

    Kwann Simba Hawakumsajili aziz k????

  • @priscamwakalindile3280
    @priscamwakalindile3280 2 года назад +3

    Bocco tunaomba utusamehe

  • @pakanyeusi8003
    @pakanyeusi8003 2 года назад +1

    Kina jamaaa aliifunga meli4 akavuaa shatiiii akujee aone wanaume huku

  • @Aaron-nu7dv
    @Aaron-nu7dv 2 года назад

    nawaona mashabiki wa Yanga wakishangilia jukwaani....daah mzungu njoo tutawale upya nadhani hatukustahili uhuru...

  • @saidmiraji6252
    @saidmiraji6252 2 года назад +1

    Hilo gor ni kam lile la Ronaldo ambayo ilipgwa faino ndy alifunga goo kam Hilo hil

  • @kivungemmbuji2311
    @kivungemmbuji2311 2 года назад

    Mkude sio mkabaji mzuri kama Thadeo Lwanga.

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 7 месяцев назад

    Hivi ilikuwaje wonder kid bwalya wakaachwa😭😭😭😭

  • @kimbyokostanley4934
    @kimbyokostanley4934 2 года назад +1

    Simb mnanip rah sn

  • @hfsahfsa7742
    @hfsahfsa7742 2 года назад

    Mtangazaji hujui

  • @zephrinenangale2011
    @zephrinenangale2011 2 года назад

    This is simba brother

  • @stevekinabo4050
    @stevekinabo4050 2 года назад +3

    watangazaji hovyo kabisa

  • @omariramadhan146
    @omariramadhan146 2 года назад

    Chama

  • @fredylusungu2214
    @fredylusungu2214 2 года назад

    Sweet

  • @razakisalimurazakisalimu6488
    @razakisalimurazakisalimu6488 2 года назад

    Dj reki studio

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

    Mmepiga kaz

  • @deviskaliare5420
    @deviskaliare5420 2 года назад

    Comments ziwe za kimataifa tafadhali💪

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 года назад

    Mabeki hawa wa simba wamefanya upumbavu sana.
    Wamempa tu sifa azz

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 2 года назад +1

    Simba raha tupu jaman utopolo wanateseka tu🐸🐸😃😃

  • @anusiatamwita25
    @anusiatamwita25 2 года назад

    Simba baba lao

  • @safarimangalili3243
    @safarimangalili3243 2 года назад

    mchezo wa aina yaake..hii ndio level ya kimataifa sasa...

  • @barakamakele9662
    @barakamakele9662 2 года назад

    Alrikiba

  • @musanjopeka837
    @musanjopeka837 2 года назад

    Watangazaji bna mmeifanya mechi ionekane km ya kirafiki vile.. Mcrudie kututangazia mechi za yanga au simba

  • @salumustamili5359
    @salumustamili5359 2 года назад

    Mtangazaji amepata bao Ila bao halijapata mtangazaji kwakweli

  • @madalongenda7682
    @madalongenda7682 2 года назад

    Hogera sana

  • @gugwaxx2197
    @gugwaxx2197 2 года назад

    Simba yanga

  • @shabanikamsawa181
    @shabanikamsawa181 2 года назад

    Kunahusiana nn kufunga gor na kuvua shati wakati unajua kabisa nikivua shati napewa kadi

  • @benjamindanielduday1542
    @benjamindanielduday1542 2 года назад +1

    😎😎 watangazaji uchwara