Bi Msafwari | Usafi wa Mwanamke

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Bi Msafwari | Usafi wa Mwanamke
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Комментарии • 38

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 года назад

    Shukran sana

  • @violetkakenya3860
    @violetkakenya3860 6 лет назад +5

    Pole sana dada Kanze kwa wakati huu mgumu.

  • @asheilla
    @asheilla 6 лет назад +1

    nakupenda sana bi Mswafari MI Mrundi much love from the UK

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 лет назад +3

    Pole xana kanze mungu awe nawe kwa kipindi kigumu.

  • @jainaboman8952
    @jainaboman8952 4 года назад

    Mungu atusamehe kweli uchafu nimtihani sana

  • @blessedforever9486
    @blessedforever9486 6 лет назад +3

    My condolences to Kanze Dena&family.GOD'S Comfort in JESUS Name, Amen.

  • @virginiamuthoki8288
    @virginiamuthoki8288 5 лет назад

    Pole Kanze.. Mungu awatie nguvu..

  • @carolynemwangi7909
    @carolynemwangi7909 6 лет назад +5

    Watching from Germany Berlin jamani mawaitha mazuri

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад +1

    Mue mnawasaidia au watafutieni wafanyakazi wa kuwasaidia wake zenu. Mkitaka kila kitu afanye mwanamke mtakuja anza kumlaumu kwenye tendo la ndoa, Mana atakua amechoka. Jamani wanawake si matrector kua afanye kila jambo na pengine ana na vitoto juu. Mue na imani wanaume.
    Ww ndio unaenda kazini lkn pengine kazi yako si ya machofu ya hivyo na mda unapata wakuiba/kupumzika. Halafu utegemee ukirudi nyumbani kushapikwa, nyumba safi, mke msafi, watoto wasafi na pengine nyumba inapikwa mara tatu asubuhi, mchana na jioni cha usiku. Mbadilike haya si maisha yale ya zamani kua wazee wetu walikua na makumbi makubwa ya kusafisha na kupiga hoover, au ma furniture ya kupangusa mavumbi. Mke unataka awe km robot hana hata mda wakujifurahisha kwa kuangalia series au vitu vyengine?

  • @sherrykeya7370
    @sherrykeya7370 6 лет назад +6

    Sorry Kanze my condolences to you and your family

  • @crocodilemasala7956
    @crocodilemasala7956 2 года назад

    Bi Msafrwari tosha!

  • @magdalinebosibori995
    @magdalinebosibori995 6 лет назад +3

    Pole kanzee

  • @mercyshapili2417
    @mercyshapili2417 5 лет назад

    Napeda mashauri yako mama asante

  • @nadhraawadh7055
    @nadhraawadh7055 6 лет назад +1

    Pole sana Kanze

  • @mbarakblisaad160
    @mbarakblisaad160 5 лет назад +1

    Nakata kuwa.nikipaji hiyo mungu ana wajulisha wazi kua unapo tawadha huwa unakua msafi

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 6 лет назад

    Iyo ni kweli

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 6 лет назад +1

    pole sana kanze

  • @HgJ-d2t
    @HgJ-d2t 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 5 лет назад +1

    Kwann mwanaume asimgeuze mwanamke kuwa msafi.

  • @magdalinebosibori995
    @magdalinebosibori995 6 лет назад +6

    Waulize waarabu usafi wanaelewa kweli

  • @sheillaarazia6096
    @sheillaarazia6096 6 лет назад +1

    Be musafari umeongea kweli usafi ni kama kipaje

  • @moidasilwamba1482
    @moidasilwamba1482 5 лет назад

    Mafundisho mazur nime yapenda kutoka Tz

  • @bibimzee7880
    @bibimzee7880 4 года назад +1

    Nunueni vipodozi ukiona cream mnunulie mke wako mwasema wamama niwachafu

  • @ireenkin308
    @ireenkin308 5 лет назад +4

    Warabu hawatabui maji

  • @faithonyach2199
    @faithonyach2199 5 лет назад +1

    Waambie,jasho na spray hazipatani.

  • @magdalinebosibori995
    @magdalinebosibori995 6 лет назад +1

    Abt glasses ya wageni its normal

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 5 лет назад +2

    Kwani nyie wanaume ni watoto? Si ni watu wazima? Usafi ni kwa wote

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 3 года назад

    Z

  • @elizabethmwandoe2426
    @elizabethmwandoe2426 5 лет назад

    lol

  • @marysikolia9580
    @marysikolia9580 6 лет назад

    kanze Dena makiwa

  • @nellyliz9901
    @nellyliz9901 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣