Bi Msafwari | Usafi wa Mwanamke
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Bi Msafwari | Usafi wa Mwanamke
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
Shukran sana
Pole sana dada Kanze kwa wakati huu mgumu.
nakupenda sana bi Mswafari MI Mrundi much love from the UK
Pole xana kanze mungu awe nawe kwa kipindi kigumu.
Mungu atusamehe kweli uchafu nimtihani sana
My condolences to Kanze Dena&family.GOD'S Comfort in JESUS Name, Amen.
Pole Kanze.. Mungu awatie nguvu..
Watching from Germany Berlin jamani mawaitha mazuri
Mue mnawasaidia au watafutieni wafanyakazi wa kuwasaidia wake zenu. Mkitaka kila kitu afanye mwanamke mtakuja anza kumlaumu kwenye tendo la ndoa, Mana atakua amechoka. Jamani wanawake si matrector kua afanye kila jambo na pengine ana na vitoto juu. Mue na imani wanaume.
Ww ndio unaenda kazini lkn pengine kazi yako si ya machofu ya hivyo na mda unapata wakuiba/kupumzika. Halafu utegemee ukirudi nyumbani kushapikwa, nyumba safi, mke msafi, watoto wasafi na pengine nyumba inapikwa mara tatu asubuhi, mchana na jioni cha usiku. Mbadilike haya si maisha yale ya zamani kua wazee wetu walikua na makumbi makubwa ya kusafisha na kupiga hoover, au ma furniture ya kupangusa mavumbi. Mke unataka awe km robot hana hata mda wakujifurahisha kwa kuangalia series au vitu vyengine?
Sorry Kanze my condolences to you and your family
Bi Msafrwari tosha!
Pole kanzee
Napeda mashauri yako mama asante
Pole sana Kanze
Nakata kuwa.nikipaji hiyo mungu ana wajulisha wazi kua unapo tawadha huwa unakua msafi
Iyo ni kweli
pole sana kanze
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwann mwanaume asimgeuze mwanamke kuwa msafi.
Waulize waarabu usafi wanaelewa kweli
Magdaline Bosibori siutikiani nawe kwa sababu wanatekemea house maid na wa Africa 90% wanajitekemea
Magdaline Bosibori hapo sasa
Walai umenena
Magdaline Bosibori umeongea kweli mm nakanao daah
😂😂😂😂😂
Be musafari umeongea kweli usafi ni kama kipaje
Mafundisho mazur nime yapenda kutoka Tz
Nunueni vipodozi ukiona cream mnunulie mke wako mwasema wamama niwachafu
Warabu hawatabui maji
Waambie,jasho na spray hazipatani.
Abt glasses ya wageni its normal
Kwani nyie wanaume ni watoto? Si ni watu wazima? Usafi ni kwa wote
Z
lol
kanze Dena makiwa
🤣🤣🤣🤣