MAREKANI yatoa NENO Hili kwa RUTO kuhusu MAANDAMANO/WAWAHUSISHA POLISI Kwenye HILI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, #AntonyBlinken, amesisitiza kuwa Polisi wa #Kenya wanatakiwa kujizuia na kujiepusha kutumia nguvu dhidi ya Waandamanaji wanaopinga Muswada wa Fedha wa 2024
    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mathew Miller amesema Blinken amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Kenya, #WilliamRuto na wamejadiliana kuhusu kupunguza mvutano unaoendelea
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 2

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 3 месяца назад +2

    Punguza kuangalia chini while ur reading the news its not professinal

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 месяца назад

    Sahi watu wanaingia Parliament police wanatumia live bullets