TUNATANGULIZA SAMAHANI KWA KUCHELEWESHA KUIWEKA MUVI HII "KUBWA KULIKO" PIA MASHABIKI ZETU WAPENDWA MSISAHAU KU SUBSCRIBE/ LIKE/SHARE&COMENTS CHANEL YETU. THANX FOR YOR SUPPORT 👏👏👏
Ndani ya Kubwa kuliko kabla sijaicheki nimeona ni comment kwanza ayse hongereni wana White's Film mnapambana kwa kutoa vitu adimu from funny real life... Heko sana
TUNATANGULIZA SAMAHANI KWA KUCHELEWESHA KUIWEKA MUVI HII "KUBWA KULIKO"
PIA MASHABIKI ZETU WAPENDWA MSISAHAU KU SUBSCRIBE/ LIKE/SHARE&COMENTS CHANEL YETU.
THANX FOR YOR SUPPORT 👏👏👏
Mmi wala Mn nawapend sana Sana nyie watatu mkojan tin and nagwa yani mambo bruu bruu haaapaaana hapana 😂 Aah weeh
@@emmymajula879 thanx
Mm nimshabiki kweliii
Mvumilivu kwa kila kitu,
Pambaneni ninawapenda sana
@@OSOONLINETV 👌 😍 😍
Mumetisha
Ambao hatuchoki kuitazam basi weka like kubwa hapo tuwe pamoja
Jamani kama ulikuwa unaisubili kwa hamu kama mimi gonga like
Niliisubr sana ila ndo ninaiona Leo
Heheh
@@joelteti4007 mm DA
Tulioikubal kubwa kuliko gonga like hapa 👌
Watching frm saudia movie nzuri sana mungu awape mafanikio zaidi inshallah
Mmetisha sana wakuu kwa mwaka huu bongo movie mmeibeba mabegani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thanx for your compliment
Wacht from Qatar ilike this movie
Ndani ya Kubwa kuliko kabla sijaicheki nimeona ni comment kwanza ayse hongereni wana White's Film mnapambana kwa kutoa vitu adimu from funny real life... Heko sana
Yaani leo nimecheka na hii movie pale kwenye kula
Daaah kama ulikuwa unateseka kamaa mm kuisubiri KUBWA KULIKO weka like twenzetu mpk mwisho
Tin white and mkojani ..fire sana ..watching fro Dubai plz part 2
Nipe likes kutoka kenya 🇰🇪
Apa sasa nimekubal japo uliahid j2 ila syo mbaya kazi nzuri kw Tinwhite na washriki wengine Bonge la movie imekaa kizazi zaidi🙌🙌🙌
Hawa watu wanahitaji support kubwa... wako vizuri sana...yaani kazi kama hizi raha hadi unasahau taabu za dunia
Nawapenda mnatuokoa sana kutuwekea RUclips cc tulio nje ya nchi tunafili km vle tupo home tz
Tin White ana expressions za mshangao kali balaa. Tujivunie vipaji vyetu 👏🏼👏🏼👏🏼
Kabisa yani noma sana mchizi
Oy
Katisha kinoma
Kabisaàaa
@@arafaali3738 .
Napenda san movie ya mkojan na tin white ❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Daaaaah mkojan bwana ukichanganya tin white a cha tu ety msnhahara n six mouth😂😂😂😂😂💖💖💖
Jaman mm ni nanyota ya mbwa 🤣🤣🤣👀👀👀 like za white 🏠 tin ft mkojan from nagwa tunawafilimba cna 🤣🤣🤣
Kubwa kuliko
Mm pia napenda kuigiza San lakin sijuw kwakutokea jaman please help me
Mimi ni William naishi Australia since day one napenda sana kazi zenu
Nawakubali Sana tin white na mkojan movie nzuri sana
Kazi yenu iko Safi kabisa 🇰🇪
Laki6 mbona nyingi sana nipunguzie utaniua mim baba Sijazoea😂🤣
😂😂👍👍
😂😂😂
@@sadamissa5687 ucjl
Imetulia na ipo kwenye kiwango Cha asilimia 💯
Always am with you guys naipenda kaz yenu we needs more than that.
Salute kwenu tin white mkojan mmetisha thank
Noma sana hii kitu kubwa kuliko
Jaman uy mkojani ana nikosha kwl😘😘😘😘😘😘😘😘
Good work
Duh watu mnajuwa kuwahi 🤦♀️🤦♀️💕🤣🤣
Aise
Siraha ya rungo na makerere😁😁😁😁😁 jamani tin na kipupwe❤❤❤🇧🇮
wrka mzgo mkojani bnh acha utani... part twooo
Leo mm wamisho kuiangalia like yako peleka benki ukaiifadhi
Chakufia nn naacha kazi kwakweliii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli ni kubwa kuliko saluti kwenu kaka
Nimeanza kucheka kabla hata yakutizama, acha niendelee
Nampendag tin whitee mambo zakee tuu😂😂😂
waooo mkojani na tim white muko sawa mapenda move zenu yani hata kama hutaki kucheka utacheka tuu hahahahahaaaaaaaa
Wakumi na sita😍😍😍
safii sanaa
Watch from chille good job
Yani nilivyokuwa naisubil😆nyota ya mbwa😆😆😆😆😆😆
Mm
Alie sikia mshahala ni six months😂😂 agonge like
Ni utaratibu wa kuletewa chakula labda au yule mpemba ana funguo 😆😆😆😆kubwa kuliko
Nimeipenda movie
Kubwa kuliko
Makelele Tu baba
Please from USA 🇺🇸 we need part 2 man why y’all take so long to bring part 2 this movie is funny and good 👍🏾👍🏾🟩💚
Soon
Gongaa tena mbwaa we😂😂😂
I can see ,, so funny
Nyota ya ubwa 😆😆🤣🤣😂😂
Tin white unapewa pesa nyingi hasa ya kulinda unasema punguza 😅😅 sawa bhana
I like this movie
Tunatakapart 2 nakwenderea jmn
Am not scared mbwaa ww😂😂😂😂😂😂😂😂
God is bless bigg up for big move 🙏🙏🙏 one day yes friends
Mwanga ndiye anagonga
Yaaaan bonge LA surprise jmn
Weka part 2.. 😋😋
Tin white😀😀😀😀😆😆😆eeh bwana eeèeh anakuja😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌
Safi sanaaaa
babu yangu anaitwa kipepe😂🤣🤣
Nawapenda sana woooooooooote
Magid
Mkojani napenda Sana move zako🌹🌹🌹
Mkojani ni mwarabu mshahara wa laki sita 😅😅😅tini wey wakupunguziy hujazowey😅😅
kazi Yenu ipo vizuri sana Tena sana
Nawakubali sanaa
Kama umechelewa Kama mm Like hapa
Hatimae ile juma tatu imefika
Jamani tuendeleeni no 2
Kama kawa
Hiii kweli nyota yambwa😀😀😀
Wapi prt 2 wakubwa
niliisubirii xana hii
Hi mmejua kunifurahixha,,,,
Fantastic
More than comedy
Chakula niuhai bhna 😂😂😂😂
Namaste tin bwan
Duuuh nikuja kumpasua mtuna lungu mm 🤣🤣🤣
sema jaman muwe mnanyoa ndevu kidogo 😂😂😂
I see 2day. It's good move
Nawapend sana nyie watu watatu Nna CD zenu Kama zote
Part 2 please🙏😭
ON in mozambique 🇲🇿
Soon...thanx for your support
I need support
Ghaii am very late sanaa..tulioko bahrain si tujuane ama niko alone...
Laki sita ahhh.. Sijazowea nipunguzie
😄😄😄😂.. Danke alle für machen mir spaß.. Ich bin glücklich geboren tanzania.. 🇹🇿 Hamburg +255
Asanteni na wewe kwa kutufurahisha!!!!!!!!🙏
Nilisubir sanaaaa na waqubal sanaa
Do yu wanti jobu yes i wanti this jobu take jobu i have jobu😂😂😂😂😂
soh
Wa 48 like zangu tu
Nawapend saan jaman nachek kam chiz
Kama umesikia makange ya ngamia gongs like
Nimecherewa lkn xo mby
Hellow
KIEKIEKIEEEEE the show is the start wangapi tupo wazima kwenye corona hiiiiiiiii
Kweli leo nimejua nina nyota ya mbwa😁😁😁😁
Movies nzuri sana
Et makelele nayo siraha duu
mungu azidi kuwafungulia njia
Ameen
Hongereni jmn tamu km nanii😊
Makn xan hii muvi
Tin hanajua kuni vunja mbavu 😂😂😂😂😂😂
Mwalimu wa karet🤣🤣🤣🤣 zunde utakufwaaa
I am security code,protector and.commandor of this house.the show is starting😂
Love this movie
Nice movie
😂😂😂😂😂😂😂yaani mecheka wallah tin wewe siyo mzima duh