Nahda Mohammed watu wanakopi sana na wanaweka kwenye account youtube zao Kwahio hio nembo ni kama hati miliki pia inafanya mtu akiiba hio video akiweka kwake inakufanya we Mtazamaji uone hio video imekopiwa na jina hilo unaliona ivo itakufanya uende ukatafute account sahihi...Mfano kuna mtu humu anajiita brother k comedy ni hodari wa kukopi vichekesho vya watu
Yani namuwazia nikimpata mkojani pesa zangu nilomkopesha Yule mtu mpka ss miezi sita hanilipi ananihangaisha.ningempa mkojani kazi hii ingekua nshazipata.au munasemaje wadau
Wmterfresh the chance to talk about this world is still waiting for you about that but it's not sure how much time do you have to be there at work with the first thing you want to do is the best way to do it is possible for you about the life of the people who are not going back to talk about this later today and tomorrow I have been seen by myself but it's not sure what you mean by the chance to get the money isn't that what you want all you want is. Life
Leo nime wahi acheni zenu nipeni like💃
Hapaaaanaa km unamkubali mkojani like yako please twende sawa
Yupo vizuri hapanahapana
pia ningeshauri hiyo nembo hapo kat kat mungeiondosha hapo haioneshi vizur ni ombi tu au vipi wenzangu jaman
Nahda Mohammed watu wanakopi sana na wanaweka kwenye account youtube zao Kwahio hio nembo ni kama hati miliki pia inafanya mtu akiiba hio video akiweka kwake inakufanya we Mtazamaji uone hio video imekopiwa na jina hilo unaliona ivo itakufanya uende ukatafute account sahihi...Mfano kuna mtu humu anajiita brother k comedy ni hodari wa kukopi vichekesho vya watu
@@mdigokhan8227 sw nimekuelewa tupo pamoja
yuko sahihi iyo nembo hpo itoke kati kati iwe moja tu ya pembeni
We umesema me nibora nishie hapahapa maana neno lngu umeliongea ww
@@mdigokhan8227 sawa Ila taruten sehem ambayo aitamkela mtazamaji
Mi mkojani ananimaliza Anaposema hapanaaah day aisee
Mkojan unapenda hela ww 🤣🤣🤣🤣
Yani namuwazia nikimpata mkojani pesa zangu nilomkopesha Yule mtu mpka ss miezi sita hanilipi ananihangaisha.ningempa mkojani kazi hii ingekua nshazipata.au munasemaje wadau
@@safiambaroukkhamis439 Shilingi ngapi unamdai nikusaidie mm
Ni nzuriii allah awaongoze mfike mbalii zaidii
Erefu sarasini mumirioni mbiri😁😁😁😁🇧🇮
😂😂😂imagine
Mkojani nakupenda bure 😂😂😂😂😂
Za siku halima
Halima
weka inayoendeleaaaaaaaaaa mzee
Oso media mnafeli kutuwekea hii nendo yanu katikati, inatukera wengine kwakweli, hiyo ya juu inatosha jmn, ni mawazo tu🙏🙏
Nikweli
Mkojani unahatibu filam porojo jingi..afu sis wenyewe wapemba wakojani hatuongei hivo...unapotea sana
We unafeli wap bwana sareh igiza nafasi ya mkojani
Huyo mwigizaji na watu tumenkubar usipomkubari kausha
Janeth James
Wewe ndo hatukuelewi ila kipupwe sisi tunamuelewa akiigiza kama mkojani
Kama una mkubali mkojani twendeni sawa chini apo ata 10 zina tosaha
Mkojani taamaa zitakuponza kamaumeuza mali za chuma 🤣🤣 🤣 a k a nagwa 🐘 🐘 💤
🙏🏻🙏🏻🙏🏻tuekee part zote leo we kaka jamaniiii
Mmezinguaaaa nahio nembo yenu ktkaaaaaaati
Yaani hawa watu wananfrahisha, hadi naona Nasafisha ubongo kwa stress za waarabu🤔😂
Hata mm warabu wakinitibua nikiwanhalia hawa viumbe nasafisha ubongo😂😂
@@khadijakisingo7920 hahaa kumbe tuko sote
@@khadijakisingo7920 uko kwa upande gan?
@@chunaamina8719 Waarabu wawapi jamani, tuambizane, yawezekana tupo pamoja huku
Kilangaso kasha komaa saiv 👍👍
Kama nembo ya apo katikati umekukela gonga like twende sawa
daaa jamaa mkojani anapenda hel
Kama umeliona buti la jeje gonga like tuishi pls
Bonge LA picha man
We kaka sehem ya pili 2naomba u2tolee ilo lebo lako apo kati umeshaieka juu hujaridhka2 m naona kiza2
Xio ww tuuuu ht mieee
Mwenyw sipend bc ty
Inaboa knyama yan ata muvi inakua mbaya sasa
Haha mkojani kibokooo aiseeeh
Mnao ng'ang'ania nembo itoke itoke hivi hamjui maana ya hiyo nembo bola hata kazi zao zikiibiwa mngekua mnawasaidia kulipoti ndo muwambie watoe nembo
Mkojani unatuua Mbavu 🤣😂🤣😂
Hapa tumeshinda wazee
Muvi nzur sema iyo nembo ya kat inakera picha haiyonyesh vzur,mbn apo juu inatosha tu
Ndio kabisa dada yangu
Jamani hvi lingo mmkosana wapi
yaan mm kabla sijaanza naanza kucheka mapemaaaa , na hawa watu watatufanya tuonekane machizi manake unakuta unacheka peke yako hahahahahahah
Pole mamy
Yaan hatar kweli m nacheka mpka bas
Nahda Mohammed 😂😂
@@ramaccr7525 kweli voo yaan mm hawa watu wananitowa stress ki kweli
Yaani wajikuta wacheke pekeako, wanajua adi raha 😂😂
Nawapenda sana kisha kipupwe una nichekesha sana😂😂😂
Hiyo oso media Apo katikati inakera sana
Wa nne comment naombeni like zenu
Saf sana nawakubalu
Hie
Mkojani alivyo sasahiv utafikiri mzee sanaaa
Nawakubali sana vipi part2
Tunaiweka leo
OSO ONLINE TV hapo sawa pamoja
Vipi Mbona mzigo bado
Dah!awa watu ni🔥🔥💯
Ninauwezo wakukupiga nikakuumiza afu nikakupeleka hospotali nikakutibia! 🤔🤔🤔🤔yaani mkojani ananimaliza
Safi sana wazee kazi
Benad morison au kilangaso namkubali sana
Noma Sana mtu mzima nagwa
Tia mbili tumalize kazi ! Mkojani nakuelewa
Raundii ii mkojan kalud na njaa kalii
Hahahahahaha mkojani wewe jaman
Mambo
Poa
Unaweza nipa namba yako +255719374199
Nichek
@@musaally4838 saw
Iyo membo yenu inaboa bhana hapo kati
Acheni usenge nembo ya nn katika movie
Kashatapeliwa mtu 😂😂😂
Mkari
Wekeni muendelezo wake
Nawaelewa sanaaaaaaaaaa nyieee majamaaaaaa
Hiyo nembo kama mnauza ng'ombe ndo nini
Ok
mkojani😆😆😆
Haujambo mwananguuuuuu ???
Nipenii like zanguu mapemaaaa💙💙💙
Mkojani anapenda pesa 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa oso ilo rilogo kati kati ya picha
Mkojan unapnda ela jamn duh sio p
Nani amesikia jamaa akimuita kaka baba yake
Nadhani hiyo nembo hapo katikat mngeitoa inaboa
😂😂😂 Nakukubali sana msela angu #mkojani
Alafu kino chengine
mkojani 🤝🤝🤝🤝
Nimejitanguliza counter ATTACK
Lebo yenu inachosha sana hta azamtv wankwama apoapo upti utmu
Nzuri sn muvi
Twaombeni ya pili Sasa
Kirangaso habadilishagi shati
Wekeni part 2 fasta
Tena chapuuu kabla hatujapoa
Matin mi nauliza mbona ringo sioni siku izi kuwa pamoja
Ni kweli ila mda mwingine unaangalia upepo ulipo kwa sasa tini na mkojani ndo wanakismati sana
Mimi nishaanza kumsahau Ringo saiv ndo umenikumbusha
Ndo ilivyo kwa wasanii mara wanakorofishana
Yupo karantini
Kama umeona kama mimi uyu jamaa kafanana molison gonga like
Logo Kila sehemuuu,
mmezinguaaaaaaaaaa
Wyy
Mkojana ni mwana kharamu saana
💪💪💪💪👀
Unyama ni mwingi 🇶🇦
Million 2 lak 2
🤣🤣🤣🤣 mkojani duh
Oi
😄😄😄
Elf 30😂😂
Mkojani mwaka ni wako usilale
hahahahahba umeona ee
Ila hicho kilebo vip ,mana vipo viwili mtue kimoja bx
😂😂😂Acha uchawa
Mkojani anatamaa kweri tamaa mbaya
Mara kaka mara baba which is which 😂
Kali
ringo hutumuoni jaman
Hapaaanaaaa! 😂😂😂😂😂😂
Mwendelezo jmn
Acha uchawa 😂😂😂😂
mbona oso mmeweka kat
Eneo ni la mkojani lina nunulika?
Nzurii
Mimi namkubali ila sijawaerewa awajamaa wanaeshauliana aje mjini uyu ni baba au kaka
dah nimekuewa wa 20 leo
Good
Nataka nikupe 30000
Kwa anaewakubali Hawa aguse profile yangu🙏👈👈
🤣🤣🤣
Uyo ajitae nkojani ni nkojani wa waaa!
Wapi part 2??
Wmterfresh the chance to talk about this world is still waiting for you about that but it's not sure how much time do you have to be there at work with the first thing you want to do is the best way to do it is possible for you about the life of the people who are not going back to talk about this later today and tomorrow I have been seen by myself but it's not sure what you mean by the chance to get the money isn't that what you want all you want is. Life
Da hawa watyyy co poahhhhh an
Nakukubali kazi
Daaaaa xio pw
Chris CNN icon