FABRICE NGOMA AWAVUNJA MBAVU WATU SIKIA ALICHOKISEMA/KAPOMBE ASHINDA MILIONI 1/AWESU/ZIMBWE JR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App Store - apps.apple.com...
    📱 Play Store - play.google.co...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC RUclips Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

Комментарии • 96

  • @vendelinlyakurwa1624
    @vendelinlyakurwa1624 Месяц назад +13

    Hongera Baba Ester kwa kujishindia Milioni moja.

  • @MoalparslanKalele
    @MoalparslanKalele 16 дней назад

    Naipenda sana timu yangu l love simba nguvu moja pamojasana

  • @kudrathmohammed
    @kudrathmohammed Месяц назад +8

    kapombe, Zibwe, Ngoma waongezewe mkataba waendelee kutupushi kweny simba yetu maan wote toka msimu uwanze wako vzr

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango Месяц назад +16

    Ubaya ubwela!Simba nguvu moja! Mimi nu mkereketwa harisi wa SsC hapo tu ninapoona hicho kinywaji nimejishindia ml moja! Tuleteeni mikoani na wilayani haraka! Wenye ngekewa zetu tupo!

  • @MoalparslanKalele
    @MoalparslanKalele 16 дней назад

    Hamu yangu na kiu nikuona timu yangu siku moja ikishinda taji kombe la mabigwa Africa inshallah ❤

  • @gilajr6627
    @gilajr6627 Месяц назад +8

    UBAYA UBWELA 🔥🔥🔥

  • @PaschalmahengePaschalmahenge
    @PaschalmahengePaschalmahenge Месяц назад +3

    Oh,ooo Simba chama kubwaaaa

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine Месяц назад +3

    Awesome Awesu huna baya baba

  • @PendoJoram
    @PendoJoram Месяц назад

    Daaaa akiondoka Zimbwe simba inapoaaaaa

  • @ndilanhangereja3601
    @ndilanhangereja3601 Месяц назад +4

    Hongelen chama langu

  • @WaSimba-n6z
    @WaSimba-n6z Месяц назад +2

    Sema zibwe kaongea nweti zaidi kaongea vizuri

  • @MisangaNassoro
    @MisangaNassoro Месяц назад +8

    Ubaya ubwela episode ya pili inakuja 🎉🎉🎉🎉🎉 episode ya kwanza imeisha tupo juu ila hii episode ya pili ndio ubaya ubwela🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @sholdaniemmanuel8684
      @sholdaniemmanuel8684 Месяц назад

      Huo inaitwa ubaya ubwela pro max ni mishindo

    • @HalimaYusuphLusinde
      @HalimaYusuphLusinde Месяц назад

      Kapombe, Zimbwe, Ngoma, Aweso bado mpo kwenye mooyo yetu tunawahitaji sana msiondoke tunawapenda mnafanya vizuri viongozi mstuuzi muwaongezee mikataba

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Месяц назад +5

    Ngoma abaki simba anafaa kuwa kiongozi haswaaa plz viongozi.

  • @mpakaahmadi9371
    @mpakaahmadi9371 Месяц назад +4

    Wacheni manenooo.....Leteni Mo cola tunyweeeeeee tushindeeeee😂😂

  • @PingaBombwe
    @PingaBombwe Месяц назад +1

    Ngoma 😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MooddyAkayaya
    @MooddyAkayaya Месяц назад +1

    Tajir 💪💪💪💪🦁🦁🦁🦁🦁

  • @MajutoBudeba
    @MajutoBudeba Месяц назад

    Sana2

  • @EvarineRobart
    @EvarineRobart Месяц назад

    Ubaya ubwela mnyama kaunguruma 🎉🎉🎉🎉

  • @JoshuaSebastian-m9o
    @JoshuaSebastian-m9o Месяц назад

    Nguvu moja

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Месяц назад

    simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤❤

  • @BATULIALLY-x4s
    @BATULIALLY-x4s Месяц назад

    Jamani chondechonde ngoma tunaomba abaki simba

  • @NeemaMushi-wj1zn
    @NeemaMushi-wj1zn Месяц назад

    Hongera Sana Baba esta

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Месяц назад

    ila Ngoma dah mtu mcheshi sn 😂😂😂 ubaya ubwela ❤️💯❤️ na SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪

  • @HamisShinge-gm6mr
    @HamisShinge-gm6mr Месяц назад

    Unyama mwigiiiii!!!!!

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Месяц назад +7

    Sasa mangi atakupa kweli hiyo milioni 1 au utaipataje

    • @ce-08
      @ce-08 Месяц назад

      Inaonekana ww c wazaman sana maana hizo zawad zilishakuwepo sana kipind hicho kwenye coca-cola na Pepsi miaka ya 2000 unaenda kwa wakala wao mkuu au depo km upo kwenye mkoa au mangi km anayo anaweza kukupa yy wanakuja kumlipa akionyesha

  • @Isakhiayusuph-jb3yx
    @Isakhiayusuph-jb3yx Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @WaSimba-n6z
    @WaSimba-n6z Месяц назад

    Ubaya ubwela simba nguvu moya

  • @EnesiaIlomo-lc6vr
    @EnesiaIlomo-lc6vr Месяц назад +3

    Mmmh kuna watu mpo chaaap😂😂

  • @TriciaSambo
    @TriciaSambo Месяц назад +2

    ila ngoma nimecheka sanaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @TinnaPitta
    @TinnaPitta Месяц назад

    Huna baya baba chautundu👍

  • @MrishoJumanne-e9r
    @MrishoJumanne-e9r Месяц назад

    kaz nzulu

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 Месяц назад

    Hiyo jezi ya simb kali san

  • @petermsabaha1215
    @petermsabaha1215 Месяц назад +2

    Hii ni kwa nchi nzima au

  • @bakarimasai
    @bakarimasai Месяц назад +1

    ❤❤💥💥

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Месяц назад +8

    Alf utasikia simba napata asara

  • @ShabanShamsu
    @ShabanShamsu Месяц назад

    Simba nimwemdo wahumu tu

  • @PaulLambert-n4r
    @PaulLambert-n4r Месяц назад +1

    Ubaya ubwela simba nguvu moja

  • @ImaMushi-or7jf
    @ImaMushi-or7jf Месяц назад +1

    Pamoja

  • @WendeMposola
    @WendeMposola Месяц назад

    Mbona hamjampost Nouma jamani ila Ngoma Una vituko wewe 😂😂

  • @kibegiTv
    @kibegiTv Месяц назад

    Simba NGUVU MOJA

  • @LucasRuben-x1t
    @LucasRuben-x1t Месяц назад +2

    Uto wanavyo subir kwa hamu watakavyo kuwa wananywea choon kwa wingi hao yaaan

  • @SelemanJuma-l7v
    @SelemanJuma-l7v Месяц назад

    Ushakiona kilichopangwa au sio mnatudanganya 2 kwann upangiwe kinywaji chako afu et utajichagulia

  • @topamtu
    @topamtu Месяц назад +1

    Wa 3 leo lik jmn

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад +1

    Ahmed Ali anafaa kuwa Mchezaji na yeye

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 Месяц назад

    Ivi uyu ngoma ni mcongo kweli

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 Месяц назад

    Acheni mambo yenu tuleteeni muweke hata buku 5 tu kushinda kwa mikoan muone balaaa lake mifarakano ya wachza chandim mbona kina mangi watajuta😂

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba Месяц назад

    Kumbe jina lako ni shomar juma salum kapombe, Sasa jina la baba Ester limetoka wapi hapo?

  • @EmanuelPaulo-gn8qf
    @EmanuelPaulo-gn8qf Месяц назад

    Mbona wenzetu🐸🐸🐸 HAWANA vitu kama hivi😁😁😁

  • @DaxydizzyChristopher
    @DaxydizzyChristopher Месяц назад +1

    𝙈𝙖𝙣𝙚𝙣𝙤 𝙢𝙚𝙣𝙜𝙞 𝙮𝙖 𝙣𝙣 𝙡𝙚𝙩𝙚𝙣𝙞 𝙢𝙤 𝙘𝙤𝙡𝙖 𝙖𝙥𝙖𝙖𝙖

  • @DeokaryDizdery
    @DeokaryDizdery 5 дней назад

    Mbona tabora na wilaya zake hicho kinywaji hakipo

  • @issaayubu3807
    @issaayubu3807 Месяц назад

    Hivo vinywaji vifike mikoani

  • @MachameMachame-tx3bk
    @MachameMachame-tx3bk Месяц назад

    Ubaya ubwera leteni mzigo huwo Wana ubaya ubwera

  • @Elizabethdaniel-y2u
    @Elizabethdaniel-y2u Месяц назад

    Ubaya ubwela nguv moja....

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Месяц назад

    Sasa kama wameanza matangazo ya biashara inakuwaje

  • @PaulMwika-p9m
    @PaulMwika-p9m Месяц назад

    Hapo kwa ka pombe uogo umeweka vyote vinazawa hapo uogo

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 Месяц назад

    cha kufurahisha nyuma mwiko wataongoza mchakato wa kubashili😂😂😂😂

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Месяц назад +1

      😂😂Hujakosea

  • @JuliusMbikilwa
    @JuliusMbikilwa Месяц назад

    Hii campaign inaanzia wapi na itaenea Tanzania nzima Kwa kipindi gani

  • @OmaryWaprutoman
    @OmaryWaprutoman Месяц назад

    Tff iogeze idadi ya wachezaji wa kimataifa wafike 15 angalau

  • @IsraeliUrasa
    @IsraeliUrasa Месяц назад

    Arusha zipo?

  • @AjuayeNgao
    @AjuayeNgao Месяц назад

    Tunazipataje hizo zawadi

  • @RachelMwalongo-x6y
    @RachelMwalongo-x6y 26 дней назад

    Si wazee wa ubaya ubwela

  • @YusuphHatibu-m1l
    @YusuphHatibu-m1l Месяц назад

    Je nikishinda zawadi yangu napataje??

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu Месяц назад

    Shomari ufanye kunipa mm hizo ela ww unazonyingi kaka😅

  • @RichardSingano-k2g
    @RichardSingano-k2g Месяц назад

    Jamani wachezaji tena wamekua watangaza biashara

    • @maikomatayo2794
      @maikomatayo2794 Месяц назад

      Acha utoto ndoo una kuona leo 😂😂

    • @ramadhanihabibu-xp3wd
      @ramadhanihabibu-xp3wd Месяц назад

      Kitendo tu Cha kuvaa nembo ya sportpesa mchezaji ameshatangaza biashara kwa hiyo unaweza tangaza biashara kimya kwa bango au kunena kwa neno hivyo usiumize kichwa mpira pesa jasho hawamwagi hivi hivi bure uwanjani akili kichwani timu zote zinafanya biashara kupitia wachezaji

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Месяц назад

    Ushindi ni man made

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Месяц назад +1

    Kuna watu wanavyo penda hela nadhani wataumwa kusukari kwa kunywa mo cola nyingi ili washinde

    • @ChazsMassawe
      @ChazsMassawe Месяц назад

      Hacha bangi wewe maswala ya simba yanakuhusu nini..

    • @athumanmsuya2688
      @athumanmsuya2688 Месяц назад

      Sio lazina unywe wanunulie watoto

  • @WilleSaitabau
    @WilleSaitabau Месяц назад

    Ubaya ubwela wachezaji wetu

  • @edennsajigwa1157
    @edennsajigwa1157 Месяц назад +1

    😂😂

  • @AlifaHamis
    @AlifaHamis Месяц назад

    Tajili usije ukasema una pata hasrara badae

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Месяц назад +1

    Ubaya ubwela

  • @razmansisco8363
    @razmansisco8363 Месяц назад

    jichanganyeni mashabiki mtakunywa ata 50 na hushindi

  • @SamsonSamsoni-q9s
    @SamsonSamsoni-q9s Месяц назад

    ♥️♥️♥️🦁🦁♥️♥️♥️🏆🏆💪💪💪💪💪🙏🙏

  • @EmanuelPaulo-gn8qf
    @EmanuelPaulo-gn8qf Месяц назад

    Mbona wenzetu🐸🐸🐸 HAWANA vitu kama hivi😁😁😁

  • @JumaMullo
    @JumaMullo Месяц назад

    Ubaya na ubwela

  • @sajdayusufu6070
    @sajdayusufu6070 Месяц назад

    Ubaya ubwela

  • @KelvinMakasi-w7r
    @KelvinMakasi-w7r Месяц назад +1

    Ubaya ubwela