FABRICE NGOMA AWAVUNJA MBAVU WATU SIKIA ALICHOKISEMA/KAPOMBE ASHINDA MILIONI 1/AWESU/ZIMBWE JR
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Hongera Baba Ester kwa kujishindia Milioni moja.
Naipenda sana timu yangu l love simba nguvu moja pamojasana
kapombe, Zibwe, Ngoma waongezewe mkataba waendelee kutupushi kweny simba yetu maan wote toka msimu uwanze wako vzr
Ubaya ubwela!Simba nguvu moja! Mimi nu mkereketwa harisi wa SsC hapo tu ninapoona hicho kinywaji nimejishindia ml moja! Tuleteeni mikoani na wilayani haraka! Wenye ngekewa zetu tupo!
Hamu yangu na kiu nikuona timu yangu siku moja ikishinda taji kombe la mabigwa Africa inshallah ❤
UBAYA UBWELA 🔥🔥🔥
Oh,ooo Simba chama kubwaaaa
Awesome Awesu huna baya baba
Daaaa akiondoka Zimbwe simba inapoaaaaa
Hongelen chama langu
Sema zibwe kaongea nweti zaidi kaongea vizuri
Ubaya ubwela episode ya pili inakuja 🎉🎉🎉🎉🎉 episode ya kwanza imeisha tupo juu ila hii episode ya pili ndio ubaya ubwela🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huo inaitwa ubaya ubwela pro max ni mishindo
Kapombe, Zimbwe, Ngoma, Aweso bado mpo kwenye mooyo yetu tunawahitaji sana msiondoke tunawapenda mnafanya vizuri viongozi mstuuzi muwaongezee mikataba
Ngoma abaki simba anafaa kuwa kiongozi haswaaa plz viongozi.
Wacheni manenooo.....Leteni Mo cola tunyweeeeeee tushindeeeee😂😂
Ngoma 😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Tajir 💪💪💪💪🦁🦁🦁🦁🦁
Sana2
Ubaya ubwela mnyama kaunguruma 🎉🎉🎉🎉
Nguvu moja
simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤❤
Jamani chondechonde ngoma tunaomba abaki simba
Hongera Sana Baba esta
ila Ngoma dah mtu mcheshi sn 😂😂😂 ubaya ubwela ❤️💯❤️ na SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
Unyama mwigiiiii!!!!!
Sasa mangi atakupa kweli hiyo milioni 1 au utaipataje
Inaonekana ww c wazaman sana maana hizo zawad zilishakuwepo sana kipind hicho kwenye coca-cola na Pepsi miaka ya 2000 unaenda kwa wakala wao mkuu au depo km upo kwenye mkoa au mangi km anayo anaweza kukupa yy wanakuja kumlipa akionyesha
❤❤❤❤❤
Ubaya ubwela simba nguvu moya
Mmmh kuna watu mpo chaaap😂😂
ila ngoma nimecheka sanaa 😂😂😂😂😂😂😂
Huna baya baba chautundu👍
kaz nzulu
Hiyo jezi ya simb kali san
Hii ni kwa nchi nzima au
❤❤💥💥
Alf utasikia simba napata asara
Acha upimbi tajr akiongea mbugila mbugila kausha humfanyii auditing wewe
sms za kichawi baki nazo mwenyewe
Simba nimwemdo wahumu tu
Ubaya ubwela simba nguvu moja
Pamoja
Mbona hamjampost Nouma jamani ila Ngoma Una vituko wewe 😂😂
Simba NGUVU MOJA
Uto wanavyo subir kwa hamu watakavyo kuwa wananywea choon kwa wingi hao yaaan
😂😂😂😂😂 Lucas wewe
Yaan nmejikuta nacheka Kwa sauti
@RehemaPeter-s8n unacheka nn tena Ray wangu
@@CarolinePeter-jn1ld Namh
@@RehemaPeter-s8n Unanicheka Ray
Ushakiona kilichopangwa au sio mnatudanganya 2 kwann upangiwe kinywaji chako afu et utajichagulia
Wa 3 leo lik jmn
Ahmed Ali anafaa kuwa Mchezaji na yeye
Ivi uyu ngoma ni mcongo kweli
Acheni mambo yenu tuleteeni muweke hata buku 5 tu kushinda kwa mikoan muone balaaa lake mifarakano ya wachza chandim mbona kina mangi watajuta😂
Kumbe jina lako ni shomar juma salum kapombe, Sasa jina la baba Ester limetoka wapi hapo?
Mbona wenzetu🐸🐸🐸 HAWANA vitu kama hivi😁😁😁
𝙈𝙖𝙣𝙚𝙣𝙤 𝙢𝙚𝙣𝙜𝙞 𝙮𝙖 𝙣𝙣 𝙡𝙚𝙩𝙚𝙣𝙞 𝙢𝙤 𝙘𝙤𝙡𝙖 𝙖𝙥𝙖𝙖𝙖
Mbona tabora na wilaya zake hicho kinywaji hakipo
Hivo vinywaji vifike mikoani
Ubaya ubwera leteni mzigo huwo Wana ubaya ubwera
Ubaya ubwela nguv moja....
Sasa kama wameanza matangazo ya biashara inakuwaje
Hapo kwa ka pombe uogo umeweka vyote vinazawa hapo uogo
cha kufurahisha nyuma mwiko wataongoza mchakato wa kubashili😂😂😂😂
😂😂Hujakosea
Hii campaign inaanzia wapi na itaenea Tanzania nzima Kwa kipindi gani
Tff iogeze idadi ya wachezaji wa kimataifa wafike 15 angalau
Arusha zipo?
Tunazipataje hizo zawadi
Si wazee wa ubaya ubwela
Je nikishinda zawadi yangu napataje??
Shomari ufanye kunipa mm hizo ela ww unazonyingi kaka😅
Jamani wachezaji tena wamekua watangaza biashara
Acha utoto ndoo una kuona leo 😂😂
Kitendo tu Cha kuvaa nembo ya sportpesa mchezaji ameshatangaza biashara kwa hiyo unaweza tangaza biashara kimya kwa bango au kunena kwa neno hivyo usiumize kichwa mpira pesa jasho hawamwagi hivi hivi bure uwanjani akili kichwani timu zote zinafanya biashara kupitia wachezaji
Ushindi ni man made
Kuna watu wanavyo penda hela nadhani wataumwa kusukari kwa kunywa mo cola nyingi ili washinde
Hacha bangi wewe maswala ya simba yanakuhusu nini..
Sio lazina unywe wanunulie watoto
Ubaya ubwela wachezaji wetu
😂😂
Tajili usije ukasema una pata hasrara badae
Ubaya ubwela
jichanganyeni mashabiki mtakunywa ata 50 na hushindi
♥️♥️♥️🦁🦁♥️♥️♥️🏆🏆💪💪💪💪💪🙏🙏
Mbona wenzetu🐸🐸🐸 HAWANA vitu kama hivi😁😁😁
Ubaya na ubwela
Ubaya ubwela
Ubaya ubwela