Naomba mmwambie kocha wa yanga ache visingizio mpira nimchezo wa makosa hivi kwanini makocha wakipoteza mechi tu wanatafuta kichaka hawamini kwamba anaecheza nae anataka matokeo kama ingekuwa Kila ukienda uwanjani unashinda mashabiki tusinge kuja
ata mm nikiwa nafatiliaa takwimu na. kkuongelea takwimu siwezii shindwa kuwa mchambuzii talk about mbinuuu na how to play or wamecheza vipii so takwimu tu kama geoflea
boko alisema hapa wachambuzi bongo ni wengi kuliko wanamichezo.. jemedari mchambuzi unaeendana na upepo wa matukio badala ya kuchambua kinachotokea uwanjani.. badilika ndugu yangu 😅😅
Jemedari Saidi ni mchambuzi wa ajabu sana. Mwaka 1993 alikuwa wapi? Simba ilifika fainali na bahati mbaya ilifungwa na Stella Abidjan kwa goli 2. Kwanza Jemedari hata alipokuwa anacheza hakuwa na maajabu yoyote. Mbona Zamoyoni Mogella alifanya vzr na bado hapondi mafanikio ya Simba. Aliiponda Simba kwamba haijawahi kufanya chochote ila Yanga ndo ilofika final
yani ndo shida ya wachambuzi wa bongo huyu ndo hajitambui kabisa eti waalimu nyooo yanga sio kacheza fainali kabisa sasa hawa wakutabiliwa ndo waalim pumbav hamna wachambuzi bongo ni mashabiki tu sio kuchambua
To be honest
Jemedari ni mchambuzi mahiri na Bora.
Sema tuna utimu ndio maana wengi kumuelewa ni kazi.
Big up brother.
SIMBA SONGA MBELE KIMYA KIMYAAA!!!
Ushindi kimya kimya msie mpenda mungu amemuinua
Akiwa anaongea Jemedari gwiji la mpira Geof unapaswa kuwa kimya. Yeye anaongea quality ya mpira wewe kivurugee.
😂😂😂
🦁🏆♥️♥️💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏
Chawa anatoa macho namiuwani yake. Alisema Simba underdog 😂😂😂
si mlisema simba ni underdog😂
jemedari upo vizuri sana sana
Jemedari said kaongea ukweli , Wana Simba tumpongeze
Hao topdog wako wp Leo? Gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally 😂😂
J lea leo kageuka
Sio kweli hamna kitu
Geof usicomment chochote
Wao ndo 2nagundua kumbe walibaatsha2
wanafiki leo wamekutan na wamegeuka yale maneno yot waliyo ongea ck 5 zilizopita wanaongea lakn sura zao zimejaa aibu
huwez kunponda jemedari na si tupo apa, komata ww😊,,we endelea kunywa supu sawa,,,tuache wenzio tukacheze fainali..
wanafiki nyinyi kasoro Jemedali peke ake
John Bocco alikua sahihi
Wachambuz weng hawajui mpira waongea tu ili nawe waonekane wameongea ila jamedar yuko vzr
Mnachambua mpira ambao tuneona chambue kitu kinakuja
ME BINAFSI NAESHIM UWEZOWENU WAKAZI NA NAUKUBALI SANA UCHAMBUZI WENU MUNGU AWABALIKI
Naomba mmwambie kocha wa yanga ache visingizio mpira nimchezo wa makosa hivi kwanini makocha wakipoteza mechi tu wanatafuta kichaka hawamini kwamba anaecheza nae anataka matokeo kama ingekuwa Kila ukienda uwanjani unashinda mashabiki tusinge kuja
Geof ni mnafki sana ila basi tu
Ovyoooo
Wachambuzi wanafiki sana sijapat kuona
Jemedar ndumilakuwili ww
we geof acha kiherehere mpira hujui😂😂😂
tupewe stellanbosch
Waandish mavi hawa umbea tu umewajaaa hatuwataki😅😅😅
ata mm nikiwa nafatiliaa takwimu na. kkuongelea takwimu siwezii shindwa kuwa mchambuzii talk about mbinuuu na how to play or wamecheza vipii so takwimu tu kama geoflea
Iyo ndg mtangazaji siyo vizuli unaiona Simba wapi
Unataka Simba wabweteke kama yanga wajue wapo faino
Watu wamejazana studio
Geof hana hadhi ya kuiongelea Simba, si alisema kuwa Simba ni underdog. Akae kimyaaaaa
Jamaaa anasepa na upepo tu
Mnafiki huyu
Huyo gofrei mwehuu
Huyu dogo hans ni mshenzi mkubwa yan upo kwenye media kubwa unasema mtu anafanya mapenzi na mpira😊
Uyo jofu afukuzwe TU,
Hivi kweli unakili timamu wasikiliza wachambuzi wa bongo
Ebu vaeni suti muheshimishe hapo mnavyovaavaa hamjafanana na kazi yenu
ww akili zako ndogo za kizaman suti haimpi mtu heshima hiyo nisawa na kufunika mavi na sahani heshima huletwa na ww kwanza cyo nguo
Wachambuzi wengi wa mpira wafata upepo
Huyu dogo bana😅😅😅yeye anaongea kilekule to metome nini bana
boko alisema hapa wachambuzi bongo ni wengi kuliko wanamichezo..
jemedari mchambuzi unaeendana na upepo wa matukio badala ya kuchambua kinachotokea uwanjani..
badilika ndugu yangu 😅😅
Hapo hakuna wachambuzi watafute kazi wenyewe mpira wamejua ukubwani njaa simba imetia aibu
Yani apo jemedar said tu bas
Jemedari Saidi ni mchambuzi wa ajabu sana. Mwaka 1993 alikuwa wapi? Simba ilifika fainali na bahati mbaya ilifungwa na Stella Abidjan kwa goli 2. Kwanza Jemedari hata alipokuwa anacheza hakuwa na maajabu yoyote. Mbona Zamoyoni Mogella alifanya vzr na bado hapondi mafanikio ya Simba. Aliiponda Simba kwamba haijawahi kufanya chochote ila Yanga ndo ilofika final
Acha kujingopea wew kaangalie kwenye history ya cuf km Kuna timu inaitwa Stella abijan ilichkuwa kombe la shilikisho
Geof nenda steshen kachambue kule humo unatuzingua
Uyo anae regeza mdomo mnafiki hata Simba ifanye vzr aisema vibaya
Geofleah anapoongea jemedari msikilize kwa umakini kuna elimu utapata
Keahiyo yanga ndo mnaowaamini eti wameishia wapi
Huyo jamaaa mbon mshamba sana hicho sio kijiwe nogwa asubil nafas ya kuonge ndo maana huwa analopoka vitu
Ikitokea simba wanatafuta mchezaji kutoka yanga mwenye uwezo wa kucheza simba ni moja tu,clement maize BASI
Clement mzize au maize
Kione geof kishingo chake vile kileeefu kama njoka hakijui hata uchambuzi, ushabiki 2 uchambuzi aaaa!
Leah tumia akili bac unavyoongea, eb msikilize jemedal
"Denis Kibu" 😂
Huyu jamaa mwenye miwan kwan anamatatizo ya akili?
Nyie ni wachambuzi wa kutabili,hamtambui kitaalamu,yaani nyie hamna kitu
Wachambuzi waovyo ovyo njaa na chuki angalia uyo choko mwenye shingo km nyoka
Wachambuzi wa hovyo
Kaa kimya wewe
Apo Kuna wachambuzi feki Sana kwanza Wana haibukubwa kabisa wakifikilia pumba walizokua wakiongea kabla ya mchezo
Geof ni mbwa,fisi panya kabisa
Wanafiki nyie...c mnasemaga smb mbov imeshinda mnaisifia
We unasema wakuachie bom lako sio Mimi ni wewe
Msenge Geof huyo analopoka tu hata uchambuz hajui
yani ndo shida ya wachambuzi wa bongo huyu ndo hajitambui kabisa eti waalimu nyooo yanga sio kacheza fainali kabisa sasa hawa wakutabiliwa ndo waalim pumbav hamna wachambuzi bongo ni mashabiki tu sio kuchambua
Kwahiyo yanga akicheza faina timu zingine haziluhusiwi kucheza fainal😅😅😅😅
@MeshackManoja elewa nilicho andika ndo ureplay
ruclips.net/video/HAfiqcAo-hA/видео.html KATAZAME HAJI MANARA ALICHOSEMA BAADA YA SIMBA SC KUTINGA ROBO FAINALI KIBABE
Geof nyamaza mbwa wewe. Usiongea kabisa pumbu zako
Acha mwanaume aongee unaongeza nn fala ww