Washukiwa watatu ambao ni ndugu wauwawa Mombasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 97

  • @mercymuranga817
    @mercymuranga817 Год назад +3

    Kisauni ni kubaya kweli kuna wezi karbu wanimalizie mwanangu lkn nashukuru Mungu...pole mama mwenzangu ni uchungu sana Mungu akupe faraja ya moyo Amin

  • @acapulco4842
    @acapulco4842 Год назад +3

    That's great work because tumeibiwa sana vijana wahalifu Hawana ata huruma afadhali raia kufanya kazi Yao coz wakipelekwa police huaga hawakai

  • @Kasweetie_254
    @Kasweetie_254 Год назад +6

    Hapa pwani wengi mwapenda sana kutetea wanao na ilhali wanajua wazi kwanza ni wezi

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 Год назад +9

    Pole mum Mungu akusaidiye akutiye nguvu na akufariji akika ni uchungu kwa mzazi kupoteza watoto ooh mimi ni mzazi wa mtoto mmoja ninapo ona huyu mama akilia kwa uchungu naumia matumbo

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 Год назад +3

    Mmezoea kuwaficha wanawenu wakiambiwa niwahalifu saii hayo ndio matokeo, mkiambiwa watoto wenu wahalifu mnawatetea na kuficha ukweli ili waendeleze kuvuta bangi na kukatakata watu mapanga, Mombasa saii haihami watu wanaishi na hofu kwa kuogopa kisa na maana ni vijana wadogo wenye kupora na kujeruhi watu, Wakaazi wamechoka, nawakiendelea na system hiyo wengine watasoma lesson, wazazi wao wangewakanya na kuwapa malezi ya Kumuogopa Mwenyezi Mungu leo hii nauhakika asingepata msiba wa wanawe wote watatu.

  • @chikoanderson669
    @chikoanderson669 Год назад +4

    Jamii ikiwa strong uhuni hupungua

  • @saumusiara6694
    @saumusiara6694 Год назад +3

    Pole aunt yangu mimi nakuombea mungu akupe subra na azidi kukupa😭😭😭😭😭 nguvu🤲🤲🤲 akufanyie wepesi katika hali ngumu unayopita ,mungu awalaze mahali pema peponi yaraby

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Год назад +3

    Mungu wangu jameni, wooiyie watoto watatu

    • @hellenk2752
      @hellenk2752 Год назад +2

      Imagine watoto watatu kama kupoteza tu moja mtu auskia nikama atakufa na watatu sasa aki

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Год назад +15

    😭😭😭😭😭 nimeshindwa kuvaa viatu vya huyu mwanamke 😭😭😭😭

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 Год назад +1

      Amini viatu fyako.kuiga mtu hakufai.ujiamini lady 50

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 Год назад

      @@zamzamabdi5279 huja elewa hio comment yake

  • @bestofbothworlds4990
    @bestofbothworlds4990 Год назад +9

    Kama unakaa Mombasa, wajua polisi huwa wanawaachilia wezi baada ya siku moja tu

  • @aishamoha3141
    @aishamoha3141 Год назад +7

    Mombasa lazima usalama udumishwe wallah tumechoka

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Год назад +3

    Watu wamechoka pengine hao wengine walikua wamehangaisha watu ukiskiliza Hugo mama utajua ukweli watoto wengine walikua wahalifu ila ajali yakifo poleni,mkue mkiwakanya watoto wenu ama mukaripoti polisi kma wamewashinda

  • @Mr.Stingy
    @Mr.Stingy Год назад +1

    Sad indeed. Poleni sana

  • @nevergiveupinlife753
    @nevergiveupinlife753 Год назад +3

    Watu wanahurumia wezi lakini mimi niliishi kusaini kweli hao wezi ni wabaya tena wanakata watu mapanga wako watoto kama mia, wazazi wakataze watoto wao waache kuibia watu,tena heri kuiba tu, lakini hao vijana wanakuibia na kukata watu mapanga

  • @paulnyakxx
    @paulnyakxx Год назад +10

    I used to support these "human rights" groups, but over time, I have come to question on whether we also do have a right to be human.

    • @joleenmasha
      @joleenmasha Год назад +1

      I don’t thing so, it is very sad 😢

    • @abdul-majidndegwa6607
      @abdul-majidndegwa6607 Год назад +1

      Human Rights is a Scam... the world is rotting as we speak

  • @husseinnassir3372
    @husseinnassir3372 Год назад +6

    it's tough tukaze roho tulie siku mbili na tuendele na maisha,thats the only solution, uwizi kisauni umezidi, sungu sungu watowe watu kanisani misikitini na wafunge files

    • @jackieshamim3162
      @jackieshamim3162 Год назад

      Waliua shemeji yangu hapo kisauni. Vijana tu wadogo wawili na bunduki jioni.bado tunaomboleza

    • @husseinnassir3372
      @husseinnassir3372 Год назад

      @@jackieshamim3162 poleni sana mungu awape subira

  • @chikoanderson669
    @chikoanderson669 Год назад +1

    Polici hawajui kazi zao wanachi wamechoka I wish Hawa watu wangazi za juu wangeelewa chenye kinaendelea uku chini madawa yakulevya pia yamezidi

  • @fatmahamesa2449
    @fatmahamesa2449 Год назад

    Mimi n msichana w miaka 25 ukijuwa kilonipata nikiwa naenda college ukiona mwenzi yuwapiga huwezi tetea

  • @brisbanesokoth5541
    @brisbanesokoth5541 Год назад +3

    Good job wazazi hiyo ndio raha yenu juu mnafuga jambazi

  • @waywepet6871
    @waywepet6871 Год назад +12

    Afadhali wauawe Mombasa tumechoka kwanza Likoni

    • @onyaluoma848
      @onyaluoma848 Год назад +5

      Wewe waona kuuwawa ndio suluhu! Na wasio na hatia,Kama mzazi sio vyema,MTU Akiwa amekosa ashikwe apelekwe mahakamani

    • @waywepet6871
      @waywepet6871 Год назад +5

      @@onyaluoma848 POLISI WALISHINDWA.KWANI MAGONGO KULITULIAJE KAMA SIO WANANCHI KUAMUA,WATU TULIIBIWA SIMU NA UKICHEZA WAKATA MAPANGA USICHEZE NA HAWA VIJANA SIWAHURUMII MIMI I WAS A VICTIM.

  • @brianluvin9989
    @brianluvin9989 Год назад +1

    This is a great move let the criminals be smoked like none sense wamesumbua sana mombasa you can't even walk with your fon during day time not.

  • @davidngari8642
    @davidngari8642 Год назад +5

    Ndo manake kisauni tumekimbia ata maa innocent wanaisha mungu atawalipia inshaa Allah

    • @chikoanderson669
      @chikoanderson669 Год назад

      We bro kama watokea kisauni waelewa uhuni ulivyo Jaa kama ndunguyo ywapigwa mtaani kwako huezi kosa strategy zakutackle Ile issue nt unless wewe nimuhuni pia au hujimix na watu ukiingia kikumbavu Kwa mob utachanganywa tu

  • @gloriawawuda3075
    @gloriawawuda3075 Год назад

    mungu atusaidie haya ndio tulisema watauliwa wahusika na ambao sio wausika kenya keeenya kenya

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Год назад

    Pole mama huonimtihan

  • @calvinefitness2543
    @calvinefitness2543 Год назад +12

    Hii ni ujumbe napeana wazazi...kama mwanao ni mwizi mkanye aache uizi...hii mambo ya kulia baadaye eti mwanangu hana kosa mob hawatasikia

    • @abubakarsalim1505
      @abubakarsalim1505 Год назад +2

      Correct maana pia kuna wazazi wengine hulia wakati mwanao anamshambulia asiye kuwa na kosa

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Год назад +2

      Kama wA me uwawa na mob justice ni WA kora Mana binadamu HAEZI chukiwa na WATU wote MTAANI bila sababu

    • @kevg1794
      @kevg1794 Год назад

      Sema wewe, mie nikaibiwa simu tena mzazi akanitia ndani ,,,maskini nikatoboka ndo nikatoka.

  • @easypaisa
    @easypaisa Год назад +2

    Uhalifu kama hizo havikua awali. Kileh msemo ya Mombasa Raha impotea kabisa...

  • @justusndunda2621
    @justusndunda2621 Год назад

    Wezi waendelee kuuliwa.

  • @kabesawilfred6525
    @kabesawilfred6525 Год назад

    Weziiii

  • @chikoanderson669
    @chikoanderson669 Год назад

    Ubaya jamii wazazi hua tunakua kimya na hawa wahuni twawajua.kila siku wanagraduate na kua na roho ngumu yakiuaji

  • @sheilamjune1233
    @sheilamjune1233 Год назад +1

    Pole san family 😭😭😭

  • @mangerarisimmangerito2088
    @mangerarisimmangerito2088 Год назад +3

    The level of insecurity is high in mombasa infact broaders are now used to rob and even break into cars and steal

  • @victorodehe6160
    @victorodehe6160 Год назад

    So painful

  • @bradoxidenoor4678
    @bradoxidenoor4678 Год назад +2

    Why this IPO intimidate Ahmed Rashid when he finished such cases in Eastleigh??🤔🤔🤔. Akuna mtoto mtamu kuliko wengine kama mtoto wako ni mwizi na anangamiza watoto wa wengine kubali amalizwe na risasi broad day light

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 Год назад

    There is no smoke without fire..iko kitu

  • @shabanalhpo1425
    @shabanalhpo1425 Год назад

    Uhuni uishe

  • @mwenifiona797
    @mwenifiona797 Год назад +2

    Rashid achiliwe aende Kazi uko

  • @phelistermetobo6439
    @phelistermetobo6439 Год назад

    Scarely.

  • @danomolo7365
    @danomolo7365 Год назад +4

    Police wamechoka baadaya kuona Rashid sasa anahangaishwa.

  • @kenagichangi3757
    @kenagichangi3757 Год назад +1

    When police fail and the community loses confidence in them ...people take matters in to their own hands

  • @RICHIESCOCINA
    @RICHIESCOCINA Год назад +3

    The cause of all this is police firce who do nothing except kuchukua tu hongo and now watu wanachukua sheria kivyao.

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 Год назад +1

    Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu

  • @josphyx.22
    @josphyx.22 Год назад

    Anayeua kwa upanga....

  • @bensonondieki3607
    @bensonondieki3607 Год назад

    Sungu has come in full swing I if you don't stop stealing your is closer

  • @beirut9750
    @beirut9750 Год назад +5

    Mob justice can be more dangerous than river yala cause even the innocent can be caught

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 Год назад +2

      Totally agree. I remember the kitengela four among them 2 brothers who were lynched to death

    • @joleenmasha
      @joleenmasha Год назад +1

      Exactly

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Год назад

    Acheni winzi

  • @Goch46
    @Goch46 Год назад +2

    Raia wamechoka

  • @mamak6802
    @mamak6802 Год назад +1

    Uhalifu umezidi.

  • @margaretnjeri2310
    @margaretnjeri2310 Год назад

    So sad God intervene

  • @soljerboi9193
    @soljerboi9193 Год назад +1

    Sungu sungu is the only solution

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 Год назад

    Maskini

  • @nevergiveupinlife753
    @nevergiveupinlife753 Год назад

    Mombasa wezi wamejosha watu tena likoni pia wezi wanakukata mapanga mchana kweupe, wacha wachomwe

  • @ruthwagen5706
    @ruthwagen5706 Год назад

    Gyueei

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Год назад +1

    So sad

  • @bensonondieki3607
    @bensonondieki3607 Год назад

    Wezi Wacha wizi kabisa

  • @umpump8472
    @umpump8472 Год назад

    Shida ya polici wa kenya muhalifu anashikwa anawachiliwa anachikwa anawachiliwa

  • @salahmohamed3061
    @salahmohamed3061 Год назад

    Mkuu wa polisi ni story tuu mlikua wapi wakitekeleza madhara

  • @Kasweetie_254
    @Kasweetie_254 Год назад

    Kisauni sungusungu ndo wataisafisha Sasa coz wueh

  • @queenmwangui411
    @queenmwangui411 Год назад

    🙄🙄🙄🙄makanisa zifunguliwe Mombasa bure no GODLINESS IN THIS CONFUSED ENVIRONMENTS,

  • @reginawambui7158
    @reginawambui7158 Год назад

    😭😭😭😭😭

  • @phelisiawakio9246
    @phelisiawakio9246 Год назад

    Not guilty till proven guilty.. killing is not a solution.

  • @yazu3007
    @yazu3007 Год назад +2

    Kama polisi hamufanyi kazi wacha watu wafanye hio kazi ndio wanao hangaisha watu usiku na mchana wakome mama zetu na wazee wanalia kila wakati kisa vijana wasiotaka kazi ila kuhangaisha watu

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Год назад

    Polisi wamelala acheni raia wachukue sheria mkononi

  • @omarjeylan4113
    @omarjeylan4113 Год назад

    WACHA POLICE WAFANYE KAZI YAO KUDUMISHA AMANI KILA SEHEMU YA KENYA, POLICE NI WATU WAZURI WANAOLINDA WAHESHIMA VIZURI.

  • @muchirifredrick4674
    @muchirifredrick4674 Год назад

    Wamechoma watu hapa grain bulky juzi tu shimanzi

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Год назад

    Kma niwahuni kweli wauliwe hakuna ujinga hapa wazazi wanwaficha watoto wao wakiuliwa ndio wanazuka

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Год назад

      @Jamal Mohamed nipo , Assalamu alaykum umenyamaza toka ruto awe rais vp maisha Shii ?

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Год назад

      @Jamal MohamedAmin ya rabbi Niko bro

  • @petma5551
    @petma5551 Год назад

    Wanao wakimletea pesa za uizi zilikuwa kaibiwa kwa mwana wa mzazi kama yeye. Hii mambo ya reverse psychology tuachane nayo.

  • @queenmwangui411
    @queenmwangui411 Год назад +1

    Why only Africans not Indians or somalians

    • @husseinnassir3372
      @husseinnassir3372 Год назад +1

      wakianza uhalifu wanapewa bibi na kusafirishwa na kupewa biashara, sisi Africans we r so happy na tume ridhika na pahali tupo in life

  • @KIlonzo111
    @KIlonzo111 Год назад +3

    Sad for kenya, but this is the example the Ruto adminstration is setting by appointing people with pending court cases as cabinet. And police nit doing their part and when some do their part, they get labeled as thugs and charges preferred. Sad !!!

    • @George-d2f5x
      @George-d2f5x Год назад +1

      What does this have to do with Ruto? Failure of police to deal with criminals by taking bribes instead of protecting citizens. Let’s be realistic on security matters.

    • @michaelnderitumaina22
      @michaelnderitumaina22 Год назад

      President Ruto was just chilling. 🙆‍♂️

    • @lookbabes8710
      @lookbabes8710 Год назад

      Ask Raila

  • @mwantimazdombo6049
    @mwantimazdombo6049 Год назад +1

    Ujinga mtupu wanao fanya akika wengi wanauliwa pasipo kua na kosa