Pole mum Mungu akusaidiye akutiye nguvu na akufariji akika ni uchungu kwa mzazi kupoteza watoto ooh mimi ni mzazi wa mtoto mmoja ninapo ona huyu mama akilia kwa uchungu naumia matumbo
Mmezoea kuwaficha wanawenu wakiambiwa niwahalifu saii hayo ndio matokeo, mkiambiwa watoto wenu wahalifu mnawatetea na kuficha ukweli ili waendeleze kuvuta bangi na kukatakata watu mapanga, Mombasa saii haihami watu wanaishi na hofu kwa kuogopa kisa na maana ni vijana wadogo wenye kupora na kujeruhi watu, Wakaazi wamechoka, nawakiendelea na system hiyo wengine watasoma lesson, wazazi wao wangewakanya na kuwapa malezi ya Kumuogopa Mwenyezi Mungu leo hii nauhakika asingepata msiba wa wanawe wote watatu.
Pole aunt yangu mimi nakuombea mungu akupe subra na azidi kukupa😭😭😭😭😭 nguvu🤲🤲🤲 akufanyie wepesi katika hali ngumu unayopita ,mungu awalaze mahali pema peponi yaraby
Watu wamechoka pengine hao wengine walikua wamehangaisha watu ukiskiliza Hugo mama utajua ukweli watoto wengine walikua wahalifu ila ajali yakifo poleni,mkue mkiwakanya watoto wenu ama mukaripoti polisi kma wamewashinda
Watu wanahurumia wezi lakini mimi niliishi kusaini kweli hao wezi ni wabaya tena wanakata watu mapanga wako watoto kama mia, wazazi wakataze watoto wao waache kuibia watu,tena heri kuiba tu, lakini hao vijana wanakuibia na kukata watu mapanga
it's tough tukaze roho tulie siku mbili na tuendele na maisha,thats the only solution, uwizi kisauni umezidi, sungu sungu watowe watu kanisani misikitini na wafunge files
@@onyaluoma848 POLISI WALISHINDWA.KWANI MAGONGO KULITULIAJE KAMA SIO WANANCHI KUAMUA,WATU TULIIBIWA SIMU NA UKICHEZA WAKATA MAPANGA USICHEZE NA HAWA VIJANA SIWAHURUMII MIMI I WAS A VICTIM.
We bro kama watokea kisauni waelewa uhuni ulivyo Jaa kama ndunguyo ywapigwa mtaani kwako huezi kosa strategy zakutackle Ile issue nt unless wewe nimuhuni pia au hujimix na watu ukiingia kikumbavu Kwa mob utachanganywa tu
Why this IPO intimidate Ahmed Rashid when he finished such cases in Eastleigh??🤔🤔🤔. Akuna mtoto mtamu kuliko wengine kama mtoto wako ni mwizi na anangamiza watoto wa wengine kubali amalizwe na risasi broad day light
Kama polisi hamufanyi kazi wacha watu wafanye hio kazi ndio wanao hangaisha watu usiku na mchana wakome mama zetu na wazee wanalia kila wakati kisa vijana wasiotaka kazi ila kuhangaisha watu
Sad for kenya, but this is the example the Ruto adminstration is setting by appointing people with pending court cases as cabinet. And police nit doing their part and when some do their part, they get labeled as thugs and charges preferred. Sad !!!
What does this have to do with Ruto? Failure of police to deal with criminals by taking bribes instead of protecting citizens. Let’s be realistic on security matters.
Kisauni ni kubaya kweli kuna wezi karbu wanimalizie mwanangu lkn nashukuru Mungu...pole mama mwenzangu ni uchungu sana Mungu akupe faraja ya moyo Amin
That's great work because tumeibiwa sana vijana wahalifu Hawana ata huruma afadhali raia kufanya kazi Yao coz wakipelekwa police huaga hawakai
Hapa pwani wengi mwapenda sana kutetea wanao na ilhali wanajua wazi kwanza ni wezi
Pole mum Mungu akusaidiye akutiye nguvu na akufariji akika ni uchungu kwa mzazi kupoteza watoto ooh mimi ni mzazi wa mtoto mmoja ninapo ona huyu mama akilia kwa uchungu naumia matumbo
Na jeee kma walikua wahuni kweli wameuwa wangapi
Mmezoea kuwaficha wanawenu wakiambiwa niwahalifu saii hayo ndio matokeo, mkiambiwa watoto wenu wahalifu mnawatetea na kuficha ukweli ili waendeleze kuvuta bangi na kukatakata watu mapanga, Mombasa saii haihami watu wanaishi na hofu kwa kuogopa kisa na maana ni vijana wadogo wenye kupora na kujeruhi watu, Wakaazi wamechoka, nawakiendelea na system hiyo wengine watasoma lesson, wazazi wao wangewakanya na kuwapa malezi ya Kumuogopa Mwenyezi Mungu leo hii nauhakika asingepata msiba wa wanawe wote watatu.
Jamii ikiwa strong uhuni hupungua
Pole aunt yangu mimi nakuombea mungu akupe subra na azidi kukupa😭😭😭😭😭 nguvu🤲🤲🤲 akufanyie wepesi katika hali ngumu unayopita ,mungu awalaze mahali pema peponi yaraby
Poleni poleni sana
Mungu wangu jameni, wooiyie watoto watatu
Imagine watoto watatu kama kupoteza tu moja mtu auskia nikama atakufa na watatu sasa aki
😭😭😭😭😭 nimeshindwa kuvaa viatu vya huyu mwanamke 😭😭😭😭
Amini viatu fyako.kuiga mtu hakufai.ujiamini lady 50
@@zamzamabdi5279 huja elewa hio comment yake
Kama unakaa Mombasa, wajua polisi huwa wanawaachilia wezi baada ya siku moja tu
Mombasa lazima usalama udumishwe wallah tumechoka
Watu wamechoka pengine hao wengine walikua wamehangaisha watu ukiskiliza Hugo mama utajua ukweli watoto wengine walikua wahalifu ila ajali yakifo poleni,mkue mkiwakanya watoto wenu ama mukaripoti polisi kma wamewashinda
Sad indeed. Poleni sana
Watu wanahurumia wezi lakini mimi niliishi kusaini kweli hao wezi ni wabaya tena wanakata watu mapanga wako watoto kama mia, wazazi wakataze watoto wao waache kuibia watu,tena heri kuiba tu, lakini hao vijana wanakuibia na kukata watu mapanga
I used to support these "human rights" groups, but over time, I have come to question on whether we also do have a right to be human.
I don’t thing so, it is very sad 😢
Human Rights is a Scam... the world is rotting as we speak
it's tough tukaze roho tulie siku mbili na tuendele na maisha,thats the only solution, uwizi kisauni umezidi, sungu sungu watowe watu kanisani misikitini na wafunge files
Waliua shemeji yangu hapo kisauni. Vijana tu wadogo wawili na bunduki jioni.bado tunaomboleza
@@jackieshamim3162 poleni sana mungu awape subira
Polici hawajui kazi zao wanachi wamechoka I wish Hawa watu wangazi za juu wangeelewa chenye kinaendelea uku chini madawa yakulevya pia yamezidi
Mimi n msichana w miaka 25 ukijuwa kilonipata nikiwa naenda college ukiona mwenzi yuwapiga huwezi tetea
Good job wazazi hiyo ndio raha yenu juu mnafuga jambazi
Good good
Afadhali wauawe Mombasa tumechoka kwanza Likoni
Wewe waona kuuwawa ndio suluhu! Na wasio na hatia,Kama mzazi sio vyema,MTU Akiwa amekosa ashikwe apelekwe mahakamani
@@onyaluoma848 POLISI WALISHINDWA.KWANI MAGONGO KULITULIAJE KAMA SIO WANANCHI KUAMUA,WATU TULIIBIWA SIMU NA UKICHEZA WAKATA MAPANGA USICHEZE NA HAWA VIJANA SIWAHURUMII MIMI I WAS A VICTIM.
This is a great move let the criminals be smoked like none sense wamesumbua sana mombasa you can't even walk with your fon during day time not.
Ndo manake kisauni tumekimbia ata maa innocent wanaisha mungu atawalipia inshaa Allah
We bro kama watokea kisauni waelewa uhuni ulivyo Jaa kama ndunguyo ywapigwa mtaani kwako huezi kosa strategy zakutackle Ile issue nt unless wewe nimuhuni pia au hujimix na watu ukiingia kikumbavu Kwa mob utachanganywa tu
mungu atusaidie haya ndio tulisema watauliwa wahusika na ambao sio wausika kenya keeenya kenya
Pole mama huonimtihan
Hii ni ujumbe napeana wazazi...kama mwanao ni mwizi mkanye aache uizi...hii mambo ya kulia baadaye eti mwanangu hana kosa mob hawatasikia
Correct maana pia kuna wazazi wengine hulia wakati mwanao anamshambulia asiye kuwa na kosa
Kama wA me uwawa na mob justice ni WA kora Mana binadamu HAEZI chukiwa na WATU wote MTAANI bila sababu
Sema wewe, mie nikaibiwa simu tena mzazi akanitia ndani ,,,maskini nikatoboka ndo nikatoka.
Uhalifu kama hizo havikua awali. Kileh msemo ya Mombasa Raha impotea kabisa...
Wezi waendelee kuuliwa.
Weziiii
Ubaya jamii wazazi hua tunakua kimya na hawa wahuni twawajua.kila siku wanagraduate na kua na roho ngumu yakiuaji
Pole san family 😭😭😭
The level of insecurity is high in mombasa infact broaders are now used to rob and even break into cars and steal
So painful
Why this IPO intimidate Ahmed Rashid when he finished such cases in Eastleigh??🤔🤔🤔. Akuna mtoto mtamu kuliko wengine kama mtoto wako ni mwizi na anangamiza watoto wa wengine kubali amalizwe na risasi broad day light
There is no smoke without fire..iko kitu
Uhuni uishe
Rashid achiliwe aende Kazi uko
Scarely.
Police wamechoka baadaya kuona Rashid sasa anahangaishwa.
When police fail and the community loses confidence in them ...people take matters in to their own hands
The cause of all this is police firce who do nothing except kuchukua tu hongo and now watu wanachukua sheria kivyao.
Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
Anayeua kwa upanga....
Sungu has come in full swing I if you don't stop stealing your is closer
Mob justice can be more dangerous than river yala cause even the innocent can be caught
Totally agree. I remember the kitengela four among them 2 brothers who were lynched to death
Exactly
Acheni winzi
Raia wamechoka
Uhalifu umezidi.
So sad God intervene
Sungu sungu is the only solution
Kabisaa
Maskini
Mombasa wezi wamejosha watu tena likoni pia wezi wanakukata mapanga mchana kweupe, wacha wachomwe
Gyueei
So sad
Wezi Wacha wizi kabisa
Shida ya polici wa kenya muhalifu anashikwa anawachiliwa anachikwa anawachiliwa
Mkuu wa polisi ni story tuu mlikua wapi wakitekeleza madhara
Kisauni sungusungu ndo wataisafisha Sasa coz wueh
🙄🙄🙄🙄makanisa zifunguliwe Mombasa bure no GODLINESS IN THIS CONFUSED ENVIRONMENTS,
😭😭😭😭😭
Not guilty till proven guilty.. killing is not a solution.
Kama polisi hamufanyi kazi wacha watu wafanye hio kazi ndio wanao hangaisha watu usiku na mchana wakome mama zetu na wazee wanalia kila wakati kisa vijana wasiotaka kazi ila kuhangaisha watu
Polisi wamelala acheni raia wachukue sheria mkononi
WACHA POLICE WAFANYE KAZI YAO KUDUMISHA AMANI KILA SEHEMU YA KENYA, POLICE NI WATU WAZURI WANAOLINDA WAHESHIMA VIZURI.
Wamechoma watu hapa grain bulky juzi tu shimanzi
Kma niwahuni kweli wauliwe hakuna ujinga hapa wazazi wanwaficha watoto wao wakiuliwa ndio wanazuka
@Jamal Mohamed nipo , Assalamu alaykum umenyamaza toka ruto awe rais vp maisha Shii ?
@Jamal MohamedAmin ya rabbi Niko bro
Wanao wakimletea pesa za uizi zilikuwa kaibiwa kwa mwana wa mzazi kama yeye. Hii mambo ya reverse psychology tuachane nayo.
Why only Africans not Indians or somalians
wakianza uhalifu wanapewa bibi na kusafirishwa na kupewa biashara, sisi Africans we r so happy na tume ridhika na pahali tupo in life
Sad for kenya, but this is the example the Ruto adminstration is setting by appointing people with pending court cases as cabinet. And police nit doing their part and when some do their part, they get labeled as thugs and charges preferred. Sad !!!
What does this have to do with Ruto? Failure of police to deal with criminals by taking bribes instead of protecting citizens. Let’s be realistic on security matters.
President Ruto was just chilling. 🙆♂️
Ask Raila
Ujinga mtupu wanao fanya akika wengi wanauliwa pasipo kua na kosa