Nilikoniwa na mmoja mombasa, hatakoni mwingine, nilimpeleka mpaka akazilipa, nendeni kwa labour hapo town Nssf mombasa, kisha mtatumwa kwa mkubwa wao wa ma agent kisha huyo mkubwa wao atamtuma hapo arban polis town ataitwa hapo na akikataa aende akachukuliwe na mtalipwa pesa zenu, hivyo ndivyo tulifanya agent mmoja hapo mombasa na alitulipa pesa zetu alikuwa yuazipeleka hapo polis mpaka akaja akamaliza kutulipa nora muwe na evidence ya hizo pesa
Mbona hamuerevuki! Kila siku mnaibiwa tu! Fanyeni kazi ndogo ndogo MUNGU atawainua pole pole!
300 thousand naanza biashara kenya siezi jaribu
Sijui hata mm nianze hii job ya agency naona kuna pesa hii kenya yetu
Pole Sana
Poleni pia mm kilinikuta 2018
Subirini ndege imepata pancha
Lia na wanaolia 😂😂
😂😂😂😂
The funny part of it, is that some of the gvnment officials are in this business, walalahoi tuko pweke.. but yote tisa ya kumi ni Bottom up..😂
Ni kubaya
Huyo mkishika nyongeni
Teacher, wakenya, ni kuteach kenya, uganda na tz
Zaidi ya hdpo msidanganywe
Ahaaaa, mbona Kuna walimu wakenya over the world 😊
God of us😢😢😢
Muende mkafunze singapo?
Sasa hao ndio watakuja kufunza wakenya ama wakenya ndio watawafunza?
I know the woman😮
Kuna ingine iko hapo Nairobi pia inaitwa ANITA AGENCY. Wamekula 100k yangu. Am coming for u
Pia
Ala ata ANiTA
Nilikoniwa na mmoja mombasa, hatakoni mwingine, nilimpeleka mpaka akazilipa, nendeni kwa labour hapo town Nssf mombasa, kisha mtatumwa kwa mkubwa wao wa ma agent kisha huyo mkubwa wao atamtuma hapo arban polis town ataitwa hapo na akikataa aende akachukuliwe na mtalipwa pesa zenu, hivyo ndivyo tulifanya agent mmoja hapo mombasa na alitulipa pesa zetu alikuwa yuazipeleka hapo polis mpaka akaja akamaliza kutulipa nora muwe na evidence ya hizo pesa
@@fhhfd8449😂😂😂
Huyu anafanya na watu WA kubwa ,hayuko pekee yake ,hii ni Kenya aiseei,lakini wakenya laki moja wekeni niashara
Biashara gani Kenya sahii ueke laki moja
@@andallaathman3856 sasa hivo imepotea ina faida gani?
Njoon tz😂😂
Yaani utoe pesa na unatafuta kazi upate hizo hela😅😅😅😅 akili kichwani mwako lakini
Wanyama alilibwa asiiseme first choice
Scams will never end buana Kila mtu acheze na IQ yake maze
Ng'ombe na zikamuliwe kabisa🐄🐮🐂🐃😂😅🤣
Badala ya kupea mtu pesa si utumie hiyo pesa kwa BIASHARA hata kama ni ndogo
Tafuta Onyango Kisumu 🙈🙈🙈🙈🙈
Ndio msikie na Bado endeleeni kuwa wajinga
WaLuhya tunaomba mtukopeshe Weta na Mudavadi 2032 tupigie Gachagua kura. Tutalipa deni yote 2042.
Kuna agents mombasa zinajulikana wewe unafuata mtu kwa mtandao facebook unatapeliwa unalia.
I know that lady 😢aki
Waa anapatikaba wapi.sai si anetorika oengunevata yui saudia aki
Nkubad☠️
Commission ya 300k 😂
😂
Aki waligongwa kugongwa😂😂😂
😂😂😂😂😂mie pia 2015 kiliniramba 😂😂😂