Zaidi ya wakaazi 40 wanaotafuta ajira ugaibuni watapeliwa na wakala Mombasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 41

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana8823 Год назад +7

    Mbona hamuerevuki! Kila siku mnaibiwa tu! Fanyeni kazi ndogo ndogo MUNGU atawainua pole pole!

  • @Ruu974
    @Ruu974 Год назад +7

    300 thousand naanza biashara kenya siezi jaribu

  • @bornifacekayo2409
    @bornifacekayo2409 Год назад +5

    Sijui hata mm nianze hii job ya agency naona kuna pesa hii kenya yetu

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Год назад

    Pole Sana

  • @fatimajuma8033
    @fatimajuma8033 Год назад

    Poleni pia mm kilinikuta 2018

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Год назад +4

    Subirini ndege imepata pancha

  • @thomaswhuwanyoike7956
    @thomaswhuwanyoike7956 Год назад +2

    The funny part of it, is that some of the gvnment officials are in this business, walalahoi tuko pweke.. but yote tisa ya kumi ni Bottom up..😂

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 Год назад +1

    Ni kubaya

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 Год назад +2

    Huyo mkishika nyongeni

  • @sonywajustus
    @sonywajustus Год назад +2

    Teacher, wakenya, ni kuteach kenya, uganda na tz
    Zaidi ya hdpo msidanganywe

    • @Ann-Strong
      @Ann-Strong Год назад

      Ahaaaa, mbona Kuna walimu wakenya over the world 😊

  • @winniewayesu6876
    @winniewayesu6876 Год назад +1

    God of us😢😢😢

  • @Goch46
    @Goch46 Год назад +1

    Muende mkafunze singapo?
    Sasa hao ndio watakuja kufunza wakenya ama wakenya ndio watawafunza?

  • @pamelaogutu1119
    @pamelaogutu1119 Год назад

    I know the woman😮

  • @dabasowako6933
    @dabasowako6933 Год назад +1

    Kuna ingine iko hapo Nairobi pia inaitwa ANITA AGENCY. Wamekula 100k yangu. Am coming for u

    • @marionnjoki3874
      @marionnjoki3874 Год назад

      Pia

    • @abijahhamisi1474
      @abijahhamisi1474 Год назад

      Ala ata ANiTA

    • @fhhfd8449
      @fhhfd8449 Год назад +1

      Nilikoniwa na mmoja mombasa, hatakoni mwingine, nilimpeleka mpaka akazilipa, nendeni kwa labour hapo town Nssf mombasa, kisha mtatumwa kwa mkubwa wao wa ma agent kisha huyo mkubwa wao atamtuma hapo arban polis town ataitwa hapo na akikataa aende akachukuliwe na mtalipwa pesa zenu, hivyo ndivyo tulifanya agent mmoja hapo mombasa na alitulipa pesa zetu alikuwa yuazipeleka hapo polis mpaka akaja akamaliza kutulipa nora muwe na evidence ya hizo pesa

    • @Manuh721
      @Manuh721 Год назад

      ​@@fhhfd8449😂😂😂

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Год назад +1

    Huyu anafanya na watu WA kubwa ,hayuko pekee yake ,hii ni Kenya aiseei,lakini wakenya laki moja wekeni niashara

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs Год назад +1

    Njoon tz😂😂

  • @aishamoha3141
    @aishamoha3141 Год назад

    Yaani utoe pesa na unatafuta kazi upate hizo hela😅😅😅😅 akili kichwani mwako lakini

  • @shadrackkipsang8429
    @shadrackkipsang8429 Год назад

    Wanyama alilibwa asiiseme first choice

  • @mkadinali3670
    @mkadinali3670 Год назад +1

    Scams will never end buana Kila mtu acheze na IQ yake maze

  • @samuelmatoke5104
    @samuelmatoke5104 Год назад +3

    Ng'ombe na zikamuliwe kabisa🐄🐮🐂🐃😂😅🤣

  • @janethmakori7942
    @janethmakori7942 Год назад

    Badala ya kupea mtu pesa si utumie hiyo pesa kwa BIASHARA hata kama ni ndogo

  • @magufuli2465
    @magufuli2465 Год назад

    Tafuta Onyango Kisumu 🙈🙈🙈🙈🙈

  • @malemojuma6745
    @malemojuma6745 Год назад +2

    Ndio msikie na Bado endeleeni kuwa wajinga

  • @erickanyugo3253
    @erickanyugo3253 Год назад

    WaLuhya tunaomba mtukopeshe Weta na Mudavadi 2032 tupigie Gachagua kura. Tutalipa deni yote 2042.

  • @phoenixhub4454
    @phoenixhub4454 Год назад +1

    Kuna agents mombasa zinajulikana wewe unafuata mtu kwa mtandao facebook unatapeliwa unalia.

  • @karakiprono
    @karakiprono Год назад

    I know that lady 😢aki

  • @kay_oliyo
    @kay_oliyo Год назад +1

    Nkubad☠️

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Год назад +3

    Commission ya 300k 😂

  • @husna34562
    @husna34562 Год назад

    😂😂😂😂😂mie pia 2015 kiliniramba 😂😂😂