Nyumba kuukuu za mtaa wa Buxton Mombasa zabomolewa
HTML-код
- Опубликовано: 23 окт 2024
- Nyumba kuukuu za mtaa wa Buxton Mombasa zabomolewa
Ujenzi wa makao mapya kuanza hivi karibuni Mombasa
Waliokuwa wakiishi ndani ya nyumba za Buxton wapewa fidia
Wanaopinga mradi huo wamekata rufaa ya kesi waliyoshindwa
Buxton must have a new. Look.. Great job👏👏👏👏
Atleast, buxton itachange sana.
We need progress... Mabanda mpaka lini?
Its a good development project as long as it will be completed on time without corruption and affordable for the pple who were leaving there 1st.
Those houses are old.tukubali maendeleo.Tulipitia hapo pia ssi
Hini dhulma kwa wanyonge in sha allah mwenye zi mungu ata hukumia na kuwalipia
hahahaha...kila wakati kilio ...tafuta maisha yako bana
Tuwasubirini Kwa bbi
Yaani hata baada ya wao kuambiwa na koti kwamba wahame bado hawataki kuhama
hata wewe ha unge kubali
Eeeh,ningekubali kwa sababu ndo.maendeleu tunayotaka,nyumba hizo zilijengwa enzi za ukolono so afadhali wajengewe nyumba za kisasa Kama Nairobi
Hahaaaaaaa joho 4 president
Buxton🤦😢😢😢
Zibomolewetu zimezeeka sana
Jamani munao bomowa hebu mufanye hekima kuwasuburi watowe mali zao sio haki hii kenya ndio mwazidi kuwafanya wananchi kuwa basikini kuongenzeka joho ww ndio una hasira na hii baxtown basi kwanini musitowe watu kibinaadamu
Swali ni kwamba,je kwani mlipewa TAHADHARI kwanza au?? Kama serikali haikuwapa warning kabla basi serikali iko na makosa lakin kama ilitoa warning before ni Sawa kuvunja basi pigeni kelele mpaka kesho
Walalamishi wote hao si watu wa Mombasa. Walikuja kufanya nini Pwani? Wamejaza mabanda kila sehemu. Uchafu wao kwanini wasipeleke kwao? Kila anaekuja kutoka Kenya anakuwa muharibifu wa mji wetu. Mabanda kila mahali kisha munamlaumu Joho kuwa mji ni mchafu. Rudi kwenu Kenya kwani pwani si Kenya . Hamujasikia mpaka sasa ?
wa kenya wote wana weza ishi pahali popote usi seme pwani si Kenya pwani ni Kenya
@@MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf Kasome historia ndio ujue kuwa pwani si Kenya.
eebo hassan Ali kwani ni gavana wa usa
@@MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf Hiyo utajaza wewe.
fool ww ndo uchafu wa mombasa