Mwizi On Time

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Tamaa unapo tamani ila ukikamatwa hutotamani

Комментарии • 607

  • @JotiTV
    @JotiTV  6 лет назад +100

    Kumbuka: Sasa unaweza kutangaza biashara yako na Joti TV. Niandikie kwa jotitvtz@gmail.com

  • @hamzakhalid1539
    @hamzakhalid1539 6 лет назад +46

    3:41 kipande kacheka bwana...hizi kazi zina hitaji moyo

    • @mwalimomar925
      @mwalimomar925 6 лет назад +3

      hamza khalid ahahaha ndio kacheka kweli mmmh alafu ww kiboko wajua chunguza mpa midomo

    • @damasmwalongo5178
      @damasmwalongo5178 6 лет назад +1

      ha ha ha nilitaka kucoment kama hvo..jamaa na yeye kazidiwa..kuwa srious kwny hz mambo lazima uwe na kipaji

    • @dakinnie
      @dakinnie 6 лет назад

      hamza khalid t

    • @alfaomega1932
      @alfaomega1932 6 лет назад +1

      hamza khalid amecheka yeye na joti

    • @wilbertrobert8549
      @wilbertrobert8549 6 лет назад +1

      kweli kacheka....ila naona yuko sawa sababu kacheka kwa dharau katika scene

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 6 лет назад +3

    On Time 😂😂joti bure nakupenda

  • @joycenungu2249
    @joycenungu2249 5 лет назад +4

    nimekuja on time naondoka on time napanda Ndege on time hahahahaaa

  • @dashuusaalim8882
    @dashuusaalim8882 6 лет назад

    Sopa ndo manager!! Jmn me napenda kazi za joti khaswa akimhucxh babaa kipande na sopah
    Nawapenda nyote na hongeren

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 6 лет назад +14

    Nakukubari sana joti achana na hawa wa kuji ita binti kiziwi, cjui ebtoke wewe ndo mkubwa wao wa kazi hahahaaaaaa

  • @sebastianmboya6702
    @sebastianmboya6702 6 лет назад +2

    Kaiba hadi MENU 🤣🤣🤣😂🤣🤣

  • @nasranyundo5373
    @nasranyundo5373 6 лет назад

    Daaaa jot kichaaa kwa kwel😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @nasraidd7616
    @nasraidd7616 6 лет назад +3

    Mwizi on time 😂😂😂😂😂

  • @dianasaria7065
    @dianasaria7065 6 лет назад

    Hilo shati i alilovaa joti baba yangu analipenda sana🤣

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 6 лет назад +1

    Joti ulikua unahamisha,,, 😂😂😂😂😂 sasa unapakwa mafuta on time 🙄🙄🙄

  • @ahmadmaandaz2267
    @ahmadmaandaz2267 4 года назад

    Joti noma mpaka kipande kacheka

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau2783 6 лет назад +1

    Mzuri pesa sio kwamba joti anapenda anasaka tonge😂😂

  • @binhuntler1658
    @binhuntler1658 6 лет назад +2

    😂😂😂😂 uyu joti ni balaa jengne ktk nchi hii

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 лет назад +10

    joti umecheka wewe ni kiboko jamani pitieni na kwangu sapot yenu tafadhali

  • @nasraabdallah5408
    @nasraabdallah5408 6 лет назад

    Joti ni shidaaa

  • @arqamhaiadar1835
    @arqamhaiadar1835 6 лет назад

    Kazi yako nzuri joti

  • @diananindi3106
    @diananindi3106 6 лет назад

    we joti ww dah yaan hata kama ninamawazo yanaisha aaaahahhhaha

  • @hajuboy2882
    @hajuboy2882 6 лет назад

    HAHAAHAHAHAHAHAA DUUU LIKE NYING KWA HUYU JAMAA MAANA DUUU

  • @mariamidd3855
    @mariamidd3855 4 года назад

    Hatar jaman namkubal sopa xana

  • @obby2559
    @obby2559 6 лет назад

    Ha po mngerudi room au mapokezi,nafanya kazi kwenye mazingir hayo.

  • @abdallahmohamed5698
    @abdallahmohamed5698 6 лет назад

    Nouma aiseee

  • @agapitiprivatus5036
    @agapitiprivatus5036 4 года назад +1

    Kama umemuona kipande kachek gonga like twende🤣🤣

  • @silveratony2664
    @silveratony2664 2 года назад

    Joti mkari wao

  • @aminaally93
    @aminaally93 6 лет назад

    Umetisha asee nimecheka atar

  • @maulevo6250
    @maulevo6250 5 лет назад +1

    Kipande kacheka

  • @missie_neema2781
    @missie_neema2781 6 лет назад

    Hahaha mafuta nipake wewe meneja haha jotiiii mbavu zangu

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634
    @hasiyakeniyausiachiebabu7634 6 лет назад

    wengi sana ni waizi

  • @maryamammar1702
    @maryamammar1702 6 лет назад

    Jamani joti wewe 😂 kiboko 😂😂😂

  • @ednapeter8153
    @ednapeter8153 6 лет назад

    😂 😂 😂 adi menu ulikua unapeleka wap jaman.. 😅

  • @jfineisaac6219
    @jfineisaac6219 5 лет назад +1

    Asa glass imenasiaje kwenye linda 🤣🤣🤣

  • @edwinemichael6665
    @edwinemichael6665 6 лет назад

    Toa zaid

  • @twaibunyoni1795
    @twaibunyoni1795 6 лет назад

    Etii nan nan 😁😁😁😁😁😁

  • @husnamarandu8380
    @husnamarandu8380 6 лет назад

    Hahahaha! Hadi raha Kwa wezi

  • @mahmoudaziz6281
    @mahmoudaziz6281 6 лет назад

    Jotii wewe nom banaa. Upo juu.

  • @rasheedmbaraka7556
    @rasheedmbaraka7556 2 года назад

    Eti store iko wazi na mafuta unayo..hahaha

  • @mishijuma6326
    @mishijuma6326 6 лет назад

    Joti mpaka MENU.hahaha ana mshipa

  • @agripinamgema8879
    @agripinamgema8879 6 лет назад

    😂😂😂😂joti umeniuwa mbavu. Sasa unapeleka home? Uwiiii

  • @michaelmacha6592
    @michaelmacha6592 4 года назад

    5:34 huyo demu kasemaje?? Ama nimeskia vitu vyangu??😂😂

  • @shaibumkanda9194
    @shaibumkanda9194 6 лет назад

    anawahi ndege on time joti

  • @josephjosephchuwa9859
    @josephjosephchuwa9859 6 лет назад

    Uwiiiiii Joti wewe nishiiida !

  • @denismethod1284
    @denismethod1284 6 лет назад +3

    ila joti jmn mwizi wa on time

  • @emmanuelkayogolo9397
    @emmanuelkayogolo9397 6 лет назад

    hahaaaa!! jotti umenishinda tabia

  • @salumsleiman4971
    @salumsleiman4971 6 лет назад

    joti noma

  • @nicholasmutuku4308
    @nicholasmutuku4308 6 лет назад

    sababu ni gani ya kuniagalia

  • @kennedymaliva6081
    @kennedymaliva6081 5 лет назад

    hahaaa,, kaiba adi menu!!!

  • @lucyboniface6320
    @lucyboniface6320 4 года назад

    ety adi menyuuu

  • @jamesdosela3321
    @jamesdosela3321 6 лет назад

    Mwizi au jizi
    On time

  • @frankelisha572
    @frankelisha572 6 лет назад

    Joti nishida

  • @fridaus78abdllah39
    @fridaus78abdllah39 6 лет назад +1

    Ontime

  • @kelvinetoo
    @kelvinetoo 6 лет назад

    Nimeamka na tabasamu 😂😂😂

  • @monamotheboss355
    @monamotheboss355 6 лет назад +1

    Mafuta tena jamani😆😆😆😆

  • @josephchegeh6039
    @josephchegeh6039 4 года назад

    Mafuta anayo😂😂

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 6 лет назад

    mhhh... hahahahaaaa....

  • @henrytawa1191
    @henrytawa1191 6 лет назад +1

    Kaali sana 🤣🤣🤣

  • @chrisantgeorge6018
    @chrisantgeorge6018 6 лет назад +3

    ha ha haaaaaa uwiiii

  • @aminaally93
    @aminaally93 6 лет назад

    Vitu vyote hvyo duuh

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад

    😂😂😂😂😂hatary 🔥

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 6 лет назад

    Hahaaa noma

  • @yaaasssbishhh9874
    @yaaasssbishhh9874 4 года назад

    MAFUTA NIPAKE WW MANAGER 🤣🤣🤣

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 6 лет назад

    kipande yalimshinda hapo 3:41 akaamua acheke kabisa

  • @kirahurigasisi7338
    @kirahurigasisi7338 6 лет назад +1

    Hadi menu😀😀😀

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 6 лет назад

    Mafuta ya nn 😂😂😂😂😂😂Joti utaniua

  • @dullaommy2991
    @dullaommy2991 6 лет назад

    duh joti kaona mafuta jau

  • @ahmedaa9123
    @ahmedaa9123 5 лет назад

    #ThelegendJotii

  • @charlesnabiswa6843
    @charlesnabiswa6843 6 лет назад

    Joti

  • @amenaamena220
    @amenaamena220 6 лет назад

    😃😃😃😃😃😃

  • @Happydaysworld
    @Happydaysworld 6 лет назад +49

    Joti nawezakukupa idea za comedy . fanya moja unangia ndani ya dala dala au mwendo kasi huku umembeba mwezio mgongoni kwa kutumia ticket moja wakiuliza ticket wambia huyu si umembeba sasa ticket YA nini 😂😁😁😁

  • @nabetv8024
    @nabetv8024 6 лет назад +79

    Like nying kwa joti

  • @kitatakitata8678
    @kitatakitata8678 6 лет назад +88

    Uki Puuza kugonga like utakuwa una chuki na Joti

  • @elshariefiam1110
    @elshariefiam1110 6 лет назад +101

    Kama unamkubali joti hebu like hapa 😂😂

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 лет назад +1

    Hahahaha unajua nikuwa nasema hotel ataiba nini nikwa najiuliza kumbe mtu anweza kuimba hata matulo majaga inafudisha kwali.

  • @madimbasr.908
    @madimbasr.908 6 лет назад +45

    nimelala on time,nimeamka on time na sasa nawahi ndege on time😂😂😂😂

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 6 лет назад +12

    hahahahahaha jot unatoa elimu coz haya mambo yapo kabisa, big up jot kwa elimu

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад +3

    Numelala on time nimeamka on time na mwizi on time 🔥🔥

  • @shafiesheikhmohamed1338
    @shafiesheikhmohamed1338 6 лет назад +23

    joti utalala ndani ... bag yako imekuwa hoteli ndogo

  • @worlddestinations6507
    @worlddestinations6507 6 лет назад +5

    Hhhhhh kaka umetikissa yani nacheka mpaka basi....nakukubali kutoka nchi jirani...Kenya

  • @harondady8634
    @harondady8634 6 лет назад +2

    😄😄😄 Mpaka tishu we kweli joti like kumpenda joti

  • @rewardzablon8540
    @rewardzablon8540 6 лет назад +29

    Alichoshindwa kubeba ni kitanda 2.....100%

  • @youngstarmuhenga6203
    @youngstarmuhenga6203 6 лет назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂Hahaaaaaaaah! kama unamkubali #joti gonga like yako apa👇

  • @kigalukigalu8897
    @kigalukigalu8897 6 лет назад +11

    Joti.mungu akubariki
    ur Talented to the extent.broder.
    @watching from china.like back

  • @jumaramadhani816
    @jumaramadhani816 6 лет назад +3

    Uko vzuri dogo jitume nakwenye kutoa CD ili wote wawe wanapata kazi zako

  • @monilahcruz7293
    @monilahcruz7293 6 лет назад +2

    Nimecheka mpaka nimetamani nitume voice🤣🤣🤣🤣joti

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 6 лет назад +43

    Safi sanaaaa Joti kazi nzuri sanaaa full mafunzo kwa jamii

  • @emxsimba294
    @emxsimba294 6 лет назад +2

    😂😂😂😂Tz Hakuna comedian Kama wewe bro Kama unakubaliana na Mimi gonga like twende sawa

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +36

    Nimelala ontime nimeamka ontime nawahi ndege ontime😂😂😂😂😂

  • @njolenjole666
    @njolenjole666 6 лет назад +2

    mi nlikua On time nimelala on time nmeamka on time na sasa nawahi ndege ya on time kila kitu on time 😂😂😂 Joti we ni moto wa nchi nyingine 😂😂😂👏👏👏👏🔥🔥

  • @khloealfan7924
    @khloealfan7924 6 лет назад +1

    😂😂😂😂😂joti umenikumbusha mbali...napenda kuiba vijiko na class lodge

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 6 лет назад +12

    Joti alikuja free shopping haha

  • @andrewshirima9575
    @andrewshirima9575 6 лет назад +6

    Next time anaweka hotel yenyewe kwenye begi..

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 лет назад +5

    K2 cha mafuta utafulai joti ww sii mwizi mpakeni uyo safi star wangu joti

  • @elsnyng6815
    @elsnyng6815 6 лет назад +2

    Mi namshipa 😂😂😂😂

  • @mudytondo3130
    @mudytondo3130 5 лет назад +3

    duu joti et on tim nakubari kazi yako

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi3084 6 лет назад +1

    😁😁😁😂😂 joti mwisho jmn anae mkunal joti please like hapo

  • @daflozamwakalinga4044
    @daflozamwakalinga4044 5 лет назад +1

    Joti kweli kiboko! Kama unamkubali gonga like!

  • @jacob2926
    @jacob2926 6 лет назад +12

    Hahahha.. Hadi simu 😂😂😂,, Joti ni bonge la Comedian Tanzania

  • @Alpha-6666
    @Alpha-6666 4 года назад +2

    Joti !sopa ! Kipande big up guys

  • @rehemashabanishomvi7626
    @rehemashabanishomvi7626 6 лет назад +3

    nimelala on time! nimeamka ontime!! nawahi ndege ontime😂😂😂😂

  • @G.rammtuta
    @G.rammtuta 6 лет назад +1

    We joti mungu anakuona unawalibia watu kazizao ha ha ha ha ha ha we nihatareeeeeeee

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 лет назад

    mafuta ya kulainisha hahahaha mambo yetu yaleeeee