MWISLAMU. KUACHA UISLAMU HADHARANI KAKUMA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 224

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg Год назад +11

    Mashaallah.... Kuokoka ni neema.... Bwan wetu yesu mkristo na amulinde sku zotee na amuepushe na mambo maovu wakristo wote tuseme Amin

    • @edinahochiche4718
      @edinahochiche4718 Год назад

      Ameen and Ameen

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Год назад

      Mbona kma yesu ndio muokozi kisha uneanza na mashaa llah 😂😂,na huyo sio muislam ameveshwa kanzu tuu mwambie asome suratul fatiha tuu tuone

    • @IssaSaid-vf3lg
      @IssaSaid-vf3lg Год назад

      @@andallaathman3856 sasa nshangaaa nn, kwan mungu kwa karbu anaitwa je..unababaishwa na lugha mpk miaka hii... Tumia lugha yako...

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Год назад

      @@IssaSaid-vf3lg hKuna mungu haezi Kua na majina Mia moja no way lazima kuna lazima kuna jina alio toz

    • @katherinasamwel3937
      @katherinasamwel3937 Год назад

      Amina

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 Год назад +12

    Bwana yesu asifiwe saaana kabisa❤❤❤❤❤❤ wakristo wenzangu naomba tumuonyeshe ishara ya upendo

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Год назад

      Mmepata huyo kichaaa mmoja chiz wafuateni waislam wenye akili timamu kama mtawapata..

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 8 месяцев назад

      Hahaha ona wanao waritadisha,mtu hata hajijui

    • @allyhamad9665
      @allyhamad9665 6 месяцев назад

      Uyo bwana yesu asifiwe na nani kwani ana mtoto au mke mbona apo hujaeka wazi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад

      ​@@abuushakiraddausiy8666Uislam bila uongo utafutika kabisa, kielelezo cha uislam ni Muhammad na maisha yake ni aibu hata kusema alikuwa mtume

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 Год назад +3

    Kazi safi Mungu akubariki Mwalimu Ndacha,Jina la Yesu litukuzwe.

  • @BuchichiJoseph-xm8kn
    @BuchichiJoseph-xm8kn Год назад +6

    Bwana Mungu akubariki Sana mtumishi for God using you to do this great job, kuhubiria an lslam mpaka aokoke it's not a simple thing

  • @davidfelix927
    @davidfelix927 Год назад +2

    Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe sana❤

  • @dickson1820
    @dickson1820 Год назад +3

    Ubarikiwe ndacha KWA kazi nzuri.

  • @MariaWambugha-nh1wh
    @MariaWambugha-nh1wh Год назад +2

    Kazi nzuri kabisa mwalimu Ndacha😅😅😅😅😅😅😅

  • @Bwivugekisa
    @Bwivugekisa 4 месяца назад

    Mwalimu Mungu akubariki

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Год назад +2

    Barikiwa sana Mwalimu Ndasha Mungu akubariki kwa kuendelea kuokoa watu wake

  • @sammunialo5463
    @sammunialo5463 Год назад +1

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah..., Glory be to the Almighty God
    Abundant blessings pastor Ndacha. Be covered by the blood of Jesus Christ in every mission you pertake.

  • @khamisijumamkoka9106
    @khamisijumamkoka9106 Год назад +2

    movies ni nyingi

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +2

    That is holy spirit at work,thank you Jesus Christ,Africa for Jesus Christ🎉

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 Год назад

    Hapo hapo watasema Yesu ni mungu kisha hapo hapo Yesu bwana wa mungu hapo hapo watasema Yesu ni roho takativu hapo hapo wakristo watasema Yesu ni mtume wa mungu ama kweli imani ni upotevu

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Год назад

      Unaposema roho mtakatifu Ni Mungu mwenyewe na ndiye Yesu ,ukifuatilia maana ya Yesu na maana ya roho mtakatifu ndiyo hivyo.

  • @ruthmagare8725
    @ruthmagare8725 Год назад +2

    Mtumishi Mungu akuinue na azidi kukutumia

  • @alicemaitapo2932
    @alicemaitapo2932 3 месяца назад

    Mungu akumbariki

  • @dottosweetbert8879
    @dottosweetbert8879 Год назад +1

    Ubarikiwe Ndacha.

  • @patricianyale
    @patricianyale Год назад +1

    Mungu akulinde ndacha kwa kazi ngumu unayopitia

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 Год назад +1

    Amen karibu mjoli kwa matengenezo na nitaendele kukumbuka kwa maombi

  • @Abdulracheed
    @Abdulracheed Год назад

    Huyo hajui maandiko ndio maana umempoteza Mathayo 22:29 Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu

  • @issakongolo2832
    @issakongolo2832 3 месяца назад

    Nami vile natoka kwenye uwisilamu😢

  • @niceboy6943
    @niceboy6943 Год назад

    Sasa MTU mwenyew hajui maandik yoyot ...hatun muislam kam Huyo....

  • @moureenaswani1493
    @moureenaswani1493 Год назад

    GOD bless you mwalimu Ndacha hata malaika mbinguni wamefurahi

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Год назад +2

    Bwana Yesu Pokea sifa

  • @MudyKing-ub6he
    @MudyKing-ub6he Год назад

    Kiufupi cjaelew ata kdg.

  • @onyamonynoahnyakundi4035
    @onyamonynoahnyakundi4035 Год назад +1

    Praise the name of the living God through His Son Jesus Christ

  • @khamishaji9508
    @khamishaji9508 Год назад

    uyo mtu mwenyewe kavaa chupi ya kichwa atajua uislam

  • @louisejeanne8306
    @louisejeanne8306 Год назад

    Karibu ndugu kwenye ukristo damu ya Yesu Christo izidi kukufunika

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Год назад

    Yohana 17:3 inasema na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee Yesu ni Mutume

  • @edinahochiche4718
    @edinahochiche4718 Год назад +2

    Ameen and Ameen, be blessed abundantly Mr Ndacha kwa kazi nzuri.

  • @user-pw9pz5gj3s
    @user-pw9pz5gj3s 8 месяцев назад

    Amina

  • @davidmutiso529
    @davidmutiso529 10 месяцев назад

    Wachungaji mkue kama Dacha anaubilia wayaundi mpaka wana kubali yesu nimwana wa mungu nawakabatizwa sio ati unaubilia waklisto ,ubilia waislamu wakatoleki nawayauti wengine wale awaombangi kupitia kwa Yesu klisto wamujue yesu nanilazima tupindue dunia wamjue yesu kama mwana wa mugu (mungu mkuu)

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Год назад

    Sam's Hadi jini

  • @lilwilson6283
    @lilwilson6283 Год назад +1

    Amen mtumishi Ndacha 🙏

  • @Futurelife-fk1os
    @Futurelife-fk1os 11 месяцев назад

    Amina sana

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 Год назад +1

    God bless you all we thank God for the brother

  • @musajabir-pe2hn
    @musajabir-pe2hn Месяц назад

    Hio ni game mtu wenu huyo sio muisilamu

  • @jcwanyoike2757
    @jcwanyoike2757 Год назад +1

    Mungu atukuzwe milele

  • @ronaldmunanda5614
    @ronaldmunanda5614 Год назад +1

    Hallelujah ndacha nani kama wewe.mungu akuinue saidi

  • @user-vt4rp6tq1m
    @user-vt4rp6tq1m Год назад

    Amina ubarikiwe sana mtumishi

  • @yasinsalim6179
    @yasinsalim6179 Год назад +1

    Umetakasika Allah hawajui wayatendayo wanamacho lakini hawaoni😢

  • @mohdmud194
    @mohdmud194 Год назад

    Mtume Muhammad saw ni mjumbe tu wa mwenyezimungu Hana uwezo wa kimpeleka mtu peponi Wala motoni kazi yake ni kufikisha ijumbe muamini mwenyezimungu na utende mema uwache maovu utasalimika na adhabi za mwenyezimungu Kama vile yesu asivyoweza kumpeleka mtu peponi Wala motono matayo ,20:23 akawambia hakika mtakinywea lakini kuketi mkono wangu wa kuume au kishot Sina amri ya kuwapa Bali watapewa waliowekewa tayri na baba yangu
    Acheni ubishi na kupoteza muda msipomuamini mtume Muhammad na mkafa makafiri mtakua kuni

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 Год назад

    😂umepotea baba

  • @Baharia
    @Baharia Год назад

    Ndacha ukimbilia wasio kuwa na ilimu,, nauliza hivi kwa Nini ndacha usikuje mtito andei makueni county uone kivumbi

  • @mkkson6927
    @mkkson6927 Год назад

    Great work god bless you pastor

  • @isaiahosiemo5417
    @isaiahosiemo5417 Год назад +2

    Bwana yesu asifiwe

  • @luluamin1388
    @luluamin1388 Год назад

    😂 Ndacha the comedian ameshimdwa kutafuta muigizaji mzuri. Huyu hajui amechoma kabisa. Ndacha was leading this man to answer. Huyo jamaa ni mkristo. Unadanganya wakristo wenzio.

    • @Zigzag-o6k
      @Zigzag-o6k Год назад +1

      Kumbe wakristo wako cheap sana kudanganywa hivi ndacha anavyo fanya inaonesha dacha alishakata tamaa hawez kuwaritadisha waislam ndio kaamua kuwa comedian ili apate tu pesa kumritadisha muislam wa kweli haiwezekani kabisa hta kama hkusoma

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe 9 месяцев назад

      Unauhakika gani amedanganya? Basi nanyie huwa mnadanganya kuwasilimisha wakristo huwa niuongo tu

  • @mutimbanahashon5133
    @mutimbanahashon5133 Год назад

    Kipovu afanikiwa kuvuta kipovu mwengine kumuingiza ndani ya ukafiri.

    • @jumafundi3133
      @jumafundi3133 Год назад +1

      😂😂😂😂 yule jamaa ikiwa siochiz basi ameshapiga pombenyingiiii

  • @alimau7939
    @alimau7939 Год назад

    Nyote humujielewi vichwa vya pombe

  • @nayef3903
    @nayef3903 Год назад +2

    Lazima huyu ndacha ashtakiwe kwa baraza la kislamu asifanye drama zake kwa kutumia vazi la kislamu na kusema vibaya tena kutumia wakristo wenzao bila ya maandiko yoyote. Wewe unaona uislamu dini ya kweli ndacha inakuwaje udhalilishe uislamu kwa kuvaa kanzu na ili Hali sio muislamu. Na munapotosha umaa. Nitazungumza na baraza la kislamu uchukuliwe hatuwa

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 Год назад

      Hili ndacha ni shetani linajuwa ukweli kama uislamu ndio dini ila tamaa kaiyeka mbele allah atakushuhulikia wewe

    • @daudiisaac676
      @daudiisaac676 4 месяца назад

      Kwan kanzu ni vazi la kislam

  • @omarmakame3027
    @omarmakame3027 Год назад

    Sio kweli ni actors mana muislamu kuyumbishwa na kuwa mkristo ni ngumuu kwasababu anajua nini anatenda

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Год назад

    Ndacha ubarikiwa katika jina jesu

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 Год назад

    Amen Amen 🙏🏽
    Glory be to God Almighty ❤ 🙏🏽

  • @mahamoudgalge8252
    @mahamoudgalge8252 Год назад

    Huyu hata si muislamu Toka mwanzo

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Год назад

      Ata wewe umpokee yesu huko uliko upo gizani

  • @alsamali6964
    @alsamali6964 Год назад +2

    Kwa hiyo ulimpanga 😂😂😂😂😂
    Yani kila kitu anakubali.

    • @frankmpembu
      @frankmpembu Год назад

      Pole😂😂😂

    • @davidmnyela2459
      @davidmnyela2459 Год назад +1

      Allah kashindwa kumpanga wakati ni mbora wa wapangaji😂😂😂
      Surat imran 54
      Na makafiri walipanga njama dhidi ya Isa, lakini Mwenyezi Mungu akapanga, na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa kupanga.

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 Год назад

      @@davidmnyela2459 kwani tunazungumzia kupanga nini ?

    • @saidramadhan4516
      @saidramadhan4516 Год назад +2

      Penye ukweli uongo hutoweka…Huyo kwanza sio ktk cc waislaam hata hicho kilemba hajui kinacyovaliwa wamemuokota na kupanga hayo mnayoyaona!!

    • @davidmnyela2459
      @davidmnyela2459 Год назад

      @@alsamali6964 vitu gani ulimaanisha anavikubali Kwa jinsi ulivyoona video ukadai alimpanga???

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 Год назад +1

    Haleluya sifa kwa BWANA

  • @rashidsaidi1588
    @rashidsaidi1588 22 дня назад

    Mmmh msiba huyo jamaa mbna km empty kichwan mmejiokotea kina ndacha game lenu hilo hakuna muislam lain hivo

  • @alinurharun8468
    @alinurharun8468 Год назад

    Huyu alikwa mkristo ata msidaganye

  • @mistasaa9214
    @mistasaa9214 Год назад

    hyo jmaa hana elim ya y uislam, wla hajui anachokifny yey anafuatsh anachosomew n kutikisa kichwa tu. huwez kumuingz ktk ukristo muislam anaeifaham vyema dini yke ata siku 1.

  • @fedrickgeorge290
    @fedrickgeorge290 Год назад

    Kenya mijadala imekywa nihatar

  • @jayequalizer_ke1
    @jayequalizer_ke1 Год назад

    Unapea Waislamu Pesa Waingie Katika Ukristo Halafu Unawachanisha Hapo. Umemwacha Rashid Ekai Baada,Omar Na Huyu Pia Umemhonga

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад

      Kiasi gani cha pesa ulipewa na wewe,mnapenda uongo kama shetani

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Год назад

    Usabato ni dhehebu liloanzishwa na mwanamke aitwaye Hellen G White acha kudanganya huyu ambaye hajasoma chochote

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Год назад

    MUNGU na akundendee makuu umemchagua YESU umemchagua fungu njema

  • @eliakesiajamansimbauwiiiii7143

    Ndacha umechemka Yan unatafuta wahun et unasema umemokowa hakuna mwisilamu mjinga hivo Yani isomwe bibilia yeye anashangilia

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад

      Kwa Yesu wanaenda wenye uhitaji wa kutata mabadiliko,ila wewe kwasababu ni mjuaji kamwe huwezi kumpata Yesu 0:00

  • @suleim505
    @suleim505 Год назад

    KWA WANAOYAJUA MAANDIKO HAWAWEZI KUBATIZWA KWA 7BU ZA KIZEMBE KAMA ZA HUYO JAMAA KWA KUTUMIA ANDIKO HILO,,, NYIE WAISILAMU MNATAKIWA KUSOMA KWANZA KISHA KUINGIA KWENYE MIJADALA NA WATU WA DINI NYENGINE: MNAUTUKANISHA UISLAMU.

  • @onyaluoma848
    @onyaluoma848 8 месяцев назад

    Huyu ni chizi,,

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Год назад

    😂😂😂😂 wewe unahubiria chiz au kashapiga pombe haelewi hata unachokiongea anajua kuitikiat hapo bado hujafanya chochote ,huyo ameipigabangi akaja mkutanoni😅😅

  • @dinahauka6004
    @dinahauka6004 Год назад

    Amen . Kazi nzuri

  • @PeterBoru-xw7bz
    @PeterBoru-xw7bz Год назад

    Bwana yesu Asifiwe

  • @abdisalammohamed7687
    @abdisalammohamed7687 Год назад

    uongo tupuu

  • @AlineMukunda-li8cv
    @AlineMukunda-li8cv Год назад +1

    Amena

  • @SmS-pR
    @SmS-pR Год назад +1

    Unasema ukweli

  • @mwanyunimadee4157
    @mwanyunimadee4157 Год назад

    Long live ndacha and God bless u

  • @abdiqaanurow5924
    @abdiqaanurow5924 Год назад

    Unapotosha ndacha mungu akulaani

  • @hassanramadhan7846
    @hassanramadhan7846 22 дня назад

    Wakristo sijui akili zenu mmeshikiwa na Nani, yaa a mmekaa mnamshangilia mlevi na mnauna ni ushindi, hakuna muislam hapo.

  • @jacobmisiani5106
    @jacobmisiani5106 Год назад

    Bwana atukuzwe milele kwa ajili ya ndugu yetu kuokoka

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 Год назад

    Ndacha Kapata Kibonde Asiyejua. Kwa Mwalimu anayejuwa huwezi kupata majibu kama hayo.😮

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Год назад

    great work God is working through you.shalom

    • @yasinsalim6179
      @yasinsalim6179 Год назад

      Eehh allah subhahuwataalah umetakasika na haya hawajui wayatendayo

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Год назад

    Uyo nimusiba mukubwa utawapoteza sana namandiko yabiraraka

    • @davidmnyela2459
      @davidmnyela2459 Год назад

      Msiba Kwa waislamu ila mbinguni ni furaha
      Luka 15:7-10
      Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.

  • @kassimngao2282
    @kassimngao2282 Год назад

    Sasa huyu sini Chizi tu,,,hahaha

  • @asamtulli4598
    @asamtulli4598 Год назад

    Aminaa mpeni maua yake

  • @HassanAjeneza-nd1oh
    @HassanAjeneza-nd1oh Год назад

    Unachukua walevi waturukana eti ni waislaam

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Год назад

    Amen 🙏

  • @nayef3903
    @nayef3903 Год назад

    Utajua haujui safari hii uislamu sio dini ya dhihaka. Asome Qur'an kama yuwajua musilete sarakasi zenu eti muislamu ameingia ukristo never na hautoona muislamu akiingia dini yenu isiyoeleweka. Na ndacha utavua kanzu ikiwa sio muislamu lazima uchukue shahada ndio usilimu uvae kanzu

  • @reubenngonyo1308
    @reubenngonyo1308 Год назад

    Amen

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 Год назад +1

    Waislamu machungu ya nini 🤣🤣🤣😂😂😂

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 Год назад

    Huyu jamaa si mwislam ametengenezwa tu

  • @abubakarsiwa345
    @abubakarsiwa345 Год назад

    Acheni uwongo wenu huyo simuislam,mumetengeneza muislam wamchongo mnababaisha watu hapa?

  • @skmtotowamama6797
    @skmtotowamama6797 Год назад

    mtu mwenyewe wazimu uyu wacheni ujinga hana akili

  • @mamalaozphilemonmtawali.8467
    @mamalaozphilemonmtawali.8467 Год назад +1

    Ameen.

  • @skmtotowamama6797
    @skmtotowamama6797 Год назад

    mnabatiza wenda wazimu

  • @kennedykarunditu6733
    @kennedykarunditu6733 Год назад

    Glory be to God

  • @experiencetours5037
    @experiencetours5037 Год назад

    Hugo Jamaica anaonekana kuwa ni mlevi wala sio muislam kabsa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 Год назад +2

    Ameen Glory to God 🙏

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 Год назад

    Hallelujah 🙌

  • @adlainekamonya-ic2kq
    @adlainekamonya-ic2kq Год назад +4

    Amen.... Christianity is the True religion 💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏

    • @benardoloo-4595
      @benardoloo-4595 Год назад +2

      Especially SDA

    • @adlainekamonya-ic2kq
      @adlainekamonya-ic2kq Год назад

      @@benardoloo-4595 🙏

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 Год назад

      ​@@benardoloo-4595 😂😂 No because you don't believe in Holy Ghost fire now how will you overcome sins without being Baptist with the holy spirit...SDA and Catholic learn to worship God in truth and spirit

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 Год назад +1

    Huyo jamaa hata simuislamu..... acting tu..

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад

    Hata haielekei kabisa

  • @abduljaffer
    @abduljaffer Год назад

    Ata huyu sio muisilamu

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад

    AMEN

  • @jayequalizer_ke1
    @jayequalizer_ke1 Год назад

    Huyu ni Chizi namjua