Mt. Kizito Makuburi - Hubirini (Live Performance)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 май 2024
  • Karibu kutazama wimbo wa Hubirini, utunzi wake Bernard Mukasa, kama ulivyoimbwa na KMK MAKUBURI katika Dominika ya 6 ya Pasaka.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 15

  • @Mkatachuma89
    @Mkatachuma89 Месяц назад +3

    Hongereni sana Mt Kizito. Walimu wa Muziki Mtakatifu Tanzania na Africa Mashariki. Tunaendelea kujifunza toka kwenu kila iitwayo. Bravo

  • @eugenekeragori6533
    @eugenekeragori6533 Месяц назад +2

    Hongereni sana collman maze..kipaji unazo kaka pamoja na Vinny mukasa..two young vibrant brothers who doing God's work..makuburi hoyeee

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 2 месяца назад +2

    Hakika ninyi ni neema isiyo na kikomo, hongereni sana kwa utume wenu na Mungu azidi kuwabariki katika utunzi wa mziki mtakatifu wa katoliki.

  • @marymimina
    @marymimina 2 месяца назад +1

    Hubirini kwa sauti ya kuimba , yatamkeni mpaka mwisho wa Dunia, semeni Bwana amewakomboa watu wake🥰🙏🏻 mmeimba tamu sana🤗👏👏👏👏

  • @ElidaMtasiwa
    @ElidaMtasiwa Месяц назад

    Hongera kwa utume

  • @WinifridaMgimba
    @WinifridaMgimba Месяц назад

    Safi sana waimbaji

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Месяц назад +1

    🙏🙏

  • @idefoncenicholaus9834
    @idefoncenicholaus9834 Месяц назад +1

    Vocal imesimama sana

    • @piomallya9999
      @piomallya9999 Месяц назад

      Sure kuna sauti ya kwanza mmoja hapo super🔥🔥

  • @PauloKanje
    @PauloKanje 2 месяца назад

    Hongereni sana kwaya Mt. Kizito makuburi kwa kuinjilisha kwa nyimbo nzuri. Mungu awabariki nyote

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Месяц назад +1

    maestro Colman Key kwenye FX

  • @Arati896
    @Arati896 2 месяца назад +1

    Hubirini ❤❤

  • @jessiewanjohi3300
    @jessiewanjohi3300 Месяц назад

    Naombeni muwe mnaleta misa live kwa u tube kama zamani

  • @stellagaspergamaliel1758
    @stellagaspergamaliel1758 2 месяца назад +1

    🎉❤

  • @user-bq9js9ib3o
    @user-bq9js9ib3o 2 месяца назад

    God bless you 🙏