Mai Zumo: Msichana mwigizaji
HTML-код
- Опубликовано: 14 янв 2021
- Mai Zumo akiwa na umri wa miaka mitatu anaingia kwenye sanaa ya uchekeshaji, safari yake ilianza ghafla. Sasa ameweza kuwa kioo kwa wasanii wachanga katika sanaa ya uigizaji. Hadija Halifa anazungumza naye. #MsichanaJasiri. 15.01.2021.
Hongera sana hadija
wote wawili wanavipaji vikubwa sana
Hongera mtangazaji
Mwenyezi Mungu awaongoze watimize ndoto zao.
Mtangazaji uko juu sana utafika mbali ❤️❤️
Mtangazaji nimekupeendaaa uko juuuu
Dah Amini mungu watu wana sifa ya kuonna na masuper star tofauti lkn mmi nahtjii na ni ndoto zangu sana kuonna na mai zumo mungu amuongezee kipji na Tasnia yakee
Wote wako vzur
Huyu mtangazaji ni bint mdogo saan anawashinda hata magwiji wa mitandao wanawake tunaweza💪💪
Nawapenda buree watt wazur
Wow jmn nawapenda
Mashaallah khadija
Swal zur sana hadija
Masha allah
Huyu mtangazaji n balaaa 🔥🔥🔥
kamtangazaji kadogo sana lakini kabalaa kweli!
Mashallah my mungu akupe ufahamu
MashaAllah mtangazaji
Jifunze quran kusom na kuandik gusa p