Rubani Aliangusha Kwa Makusudi Ndege Yenye Abiria 33 Msumbiji, Watu Walikarika Baada Ya Kujua Sababu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 50

  • @leofocas7503
    @leofocas7503 11 дней назад +15

    Kwamajina naitwa Leo toka Mozambique mkoani Pemba turiuzunika sana na umenikumbusha majonzi

  • @KINGABUMEKAR
    @KINGABUMEKAR 11 дней назад +9

    tuekee video ya ndege ya ethopia iliyoangukaaa

  • @CristinahKimaro
    @CristinahKimaro 11 дней назад +9

    sasa stress zake ndo aue watu si angejiua yy na shida zake😏😏😏

  • @KINGABUMEKAR
    @KINGABUMEKAR 11 дней назад +9

    inahuzunisha kwa kweliiii kila aliyehuzunishwa na hiii story naomba u like comment yangu

  • @designer-tv
    @designer-tv 11 дней назад +5

    You are so wonderful. I'm mozambican and what you said is really truth... 🙏
    It means, you are a real good researcher.

  • @kaykay5605
    @kaykay5605 5 дней назад

    Haikuwa Boeing eh bwana we. Ilikuwa ndege aina ya Embraer 190. Lets cut Boeing some slack.

  • @briankiptoo3416
    @briankiptoo3416 9 дней назад +4

    Si angekuja Kenya tumpe kazi Kuna mtu ametusumbua huku

  • @DbrownMozta
    @DbrownMozta 11 дней назад +4

    Leo nchi yangu kwenye bongo fasta kusimuliwa

    • @EmmanuelNjugunah
      @EmmanuelNjugunah 10 дней назад

      Dah nilizani utacomment na Kireno mkuu
      Vp Kwani Msumbiji mwajua Kiswahili

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 10 дней назад +1

    Tuletee na yaliyojificha kuhusu Samora Michelle

  • @emmanueldionizi9900
    @emmanueldionizi9900 11 дней назад +3

    Wa kwanza nipeni like

  • @AmimoSefo-gk2bf
    @AmimoSefo-gk2bf 11 дней назад +3

    from Moçambique 🇲🇿 nakupenda sana bongo fasta

  • @gabrielsimasi7791
    @gabrielsimasi7791 5 дней назад

    Stress killing s...

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 11 дней назад +1

    When was it. This is really heartbreak for the innocents passengers. May God continue resting in peace all who passed in this crash. 20.09.24.

  • @Amirimzara
    @Amirimzara 11 дней назад +1

    Kulikua na ex wake umoo

  • @charleskipingukipingu4154
    @charleskipingukipingu4154 9 дней назад

    Naomba story ya hiii ndege. boeing kq737

  • @Nanah18
    @Nanah18 10 дней назад +1

    Ni hatari kuendeshwa na mtu ambaye hayuko sawa mentally, iwe ni basi, ndege n.k, kuna mtu unakuta ana stress zake na amegive up, kuna ajali pia ilishawahi kutokea rubani aliua watu kama 169

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 9 дней назад

      Taratibu za aviation huruhusiwi kuendesha ndege ukiwa na msongo wa mawazo pia na engineers hawaruhusiwi kufanya maintenance yeyote wakiwa na msongo wa mawazo.

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 8 дней назад

    Mozambique🇲🇿 wanakupenda sana kaka

  • @aby21111
    @aby21111 9 дней назад

    The similar plane crashed in Indonesia, Ethiopia, etc.

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240 10 дней назад

    Im from Mozambique 😂thank you bro Justin shed

  • @BartolomeuHenrique-e6w
    @BartolomeuHenrique-e6w 8 дней назад

    Niko pemba Mozambique safi sana

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 9 дней назад

    Ushauri ni kuwa na marubani zaidi ya wa 2 ndani ya chumba cha marubani

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 7 дней назад

    Mke angekamatwa pia

  • @clintonobegi8458
    @clintonobegi8458 9 дней назад

    Watu walikatika ama walikasirika😮😮😮😮

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 10 дней назад

    Hio mambo ya ndoa jinga wapimen akili,ma rubani,

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 10 дней назад +1

    Au bomu ndani ya ndege ?

    • @controlTheoryChamps
      @controlTheoryChamps 6 дней назад

      Sidhani, hata juzi kati mwaka 2015 pilot wa Germanwings Flight 9525, kafanya hivyo hivyo

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 7 дней назад

    Ninoma sana jaman

  • @GodfreyJulius-qh2du
    @GodfreyJulius-qh2du 9 дней назад

    Inasikitisha jamani 😭😭

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240 10 дней назад

    Thank you big Justin Shed

  • @MatridaGodfrey-xf1zn
    @MatridaGodfrey-xf1zn 11 дней назад +2

    Mmmh Sasa hao watu kwenye ndege walikufa kabla ya kuanguka au maana hata hawakusumbuka kuomba msaada au kupiga kelele za kiashiria uoga wa tukio mmmh hii ilipangwa kiaina

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 дней назад

    👊👍✌️.

  • @stiquestique137
    @stiquestique137 10 дней назад

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 11 дней назад +1

    Aliamua kujiua jmn kweli dahhh

    • @stephanSandika
      @stephanSandika 7 дней назад

      Angekunywa sumu yeye kama yeye Kwa asababishe vifo Kwa wengine

  • @SwadyChino-z2h
    @SwadyChino-z2h 10 дней назад

    From Mz🇲🇿