Ni hatari kuendeshwa na mtu ambaye hayuko sawa mentally, iwe ni basi, ndege n.k, kuna mtu unakuta ana stress zake na amegive up, kuna ajali pia ilishawahi kutokea rubani aliua watu kama 169
Taratibu za aviation huruhusiwi kuendesha ndege ukiwa na msongo wa mawazo pia na engineers hawaruhusiwi kufanya maintenance yeyote wakiwa na msongo wa mawazo.
Mmmh Sasa hao watu kwenye ndege walikufa kabla ya kuanguka au maana hata hawakusumbuka kuomba msaada au kupiga kelele za kiashiria uoga wa tukio mmmh hii ilipangwa kiaina
Kwamajina naitwa Leo toka Mozambique mkoani Pemba turiuzunika sana na umenikumbusha majonzi
😅😅😅😅
Baia d Pemba 😂😂
Pore sana
Polen sana
Pole sana
tuekee video ya ndege ya ethopia iliyoangukaaa
sasa stress zake ndo aue watu si angejiua yy na shida zake😏😏😏
inahuzunisha kwa kweliiii kila aliyehuzunishwa na hiii story naomba u like comment yangu
Nan ukukoment we mwehu nn
Hatari sn
You are so wonderful. I'm mozambican and what you said is really truth... 🙏
It means, you are a real good researcher.
Haikuwa Boeing eh bwana we. Ilikuwa ndege aina ya Embraer 190. Lets cut Boeing some slack.
Si angekuja Kenya tumpe kazi Kuna mtu ametusumbua huku
Nani huyu
@@PETERWANJIRA-ox7ox zakayo /William Ruto president of Kenya
Leo nchi yangu kwenye bongo fasta kusimuliwa
Dah nilizani utacomment na Kireno mkuu
Vp Kwani Msumbiji mwajua Kiswahili
Tuletee na yaliyojificha kuhusu Samora Michelle
Wa kwanza nipeni like
from Moçambique 🇲🇿 nakupenda sana bongo fasta
Karibu san bongo
Stress killing s...
When was it. This is really heartbreak for the innocents passengers. May God continue resting in peace all who passed in this crash. 20.09.24.
Kulikua na ex wake umoo
Naomba story ya hiii ndege. boeing kq737
Ni hatari kuendeshwa na mtu ambaye hayuko sawa mentally, iwe ni basi, ndege n.k, kuna mtu unakuta ana stress zake na amegive up, kuna ajali pia ilishawahi kutokea rubani aliua watu kama 169
Taratibu za aviation huruhusiwi kuendesha ndege ukiwa na msongo wa mawazo pia na engineers hawaruhusiwi kufanya maintenance yeyote wakiwa na msongo wa mawazo.
Mozambique🇲🇿 wanakupenda sana kaka
The similar plane crashed in Indonesia, Ethiopia, etc.
Im from Mozambique 😂thank you bro Justin shed
Niko pemba Mozambique safi sana
Ushauri ni kuwa na marubani zaidi ya wa 2 ndani ya chumba cha marubani
Mke angekamatwa pia
Watu walikatika ama walikasirika😮😮😮😮
Hio mambo ya ndoa jinga wapimen akili,ma rubani,
Au bomu ndani ya ndege ?
Sidhani, hata juzi kati mwaka 2015 pilot wa Germanwings Flight 9525, kafanya hivyo hivyo
Ninoma sana jaman
Inasikitisha jamani 😭😭
Thank you big Justin Shed
Mmmh Sasa hao watu kwenye ndege walikufa kabla ya kuanguka au maana hata hawakusumbuka kuomba msaada au kupiga kelele za kiashiria uoga wa tukio mmmh hii ilipangwa kiaina
👊👍✌️.
❤
Aliamua kujiua jmn kweli dahhh
Angekunywa sumu yeye kama yeye Kwa asababishe vifo Kwa wengine
From Mz🇲🇿