Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hakuna mwanamke mwenye dharau kwa mwanamme mwenye upendo, ukimpenda mke na kumjali lazima atakutii
Yawezekana umetokea familia iliyosimama. Yapo manamake ya ajabu hujawahi kuona Dunia tangu uzaliwe
@@emmanuelmasanja7976 🤔🤔🤔 muombee MUNGU amsaidie
Hivi kila mwana ume yuko wakwangu hajali kabisa
Kweli doctor christ yani kuanzia sasa lazima operation chunguza mamkwe ifanyike 😅😅
Wamaume nao wanachepuka sana jaman kuna mda hawajali wake zao hawana mda na wake zao matumizi shida heshima itatoka wapi? Umtii ktk manyanyaso hawajui nafasi zao ndo maana wanadharaulika.
Wanawake nao hawaolewi wengi kwa sasa ßbabu ni wafisadi kwa wanaume,wajeuri.Hata wanawake wanadharauliwa ndiyo maana wengi SK Hz hawaolewi
Fact uko sahihi wanaume kunahaja yabkubadilika pia
Mwanamke anarudisha mara mbili ya unachompa.hakuna mwanamke mkorofi akionyeshwa thaman na upendo.mbona mnataka utii pasipo upendo??
Wanawake hawaridhiki pesa mbele kuliko kingine,sasa upendo gani kwa anayejali pesa kwanza?
Sikubaliani kabisa😢,,Mwanamke hatari
Kuna wanawake wahujumu tu hata kama ungempenda kama malaika ni kaksi tu mbona kwa sasa wanawake wengi ndivyo walivyo
❤❤❤
Wewe ndoa yako ina tabu sana
Wewe Chris,kama sio mm kumuongoza hata nyumba ya kulala tusingekuwa nayo !
Huyo ndiye aliyeshindwa kukusimamia! Ndiyo maana akashindwa hata kuwa na nyumba mpaka wewe ukamsimamia ndiyo nyumba ikajengwa
😅😅😅 duh. Kikaangoni it was necessary
Shukurani sana kwa somo
Kwel kabisa
Doctor mimi nimekosa mke kwenye u mkasa
Ukweli semwe ❤❤❤
Habari doctor mimi ni mwanamke ziwa linaniwasha naomba nisaidie shida inaweza kuwa nini?
Weweee, nenda kapime haraka iwezekanavyo usisubiri majibu humu, utajikuta umechelewa
hii video nataman hubby aione ..hajiwezi kwa kila kitu..acha nimuongoze tu aise🚮
😂😂
Nataka semina yote napateje semina hii
Tazama sehemu ya pili hapa Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Maukiruclips.net/video/8HtiiJXIPvI/видео.html
Hata maandiko yanasema ishini kwa akili na wanawake,wewe ishi kindezi unywe chai kwa mruzi.
Hakuna mwanamke mwenye dharau kwa mwanamme mwenye upendo, ukimpenda mke na kumjali lazima atakutii
Yawezekana umetokea familia iliyosimama.
Yapo manamake ya ajabu hujawahi kuona Dunia tangu uzaliwe
@@emmanuelmasanja7976 🤔🤔🤔 muombee MUNGU amsaidie
Hivi kila mwana ume yuko wakwangu hajali kabisa
Kweli doctor christ yani kuanzia sasa lazima operation chunguza mamkwe ifanyike 😅😅
Wamaume nao wanachepuka sana jaman kuna mda hawajali wake zao hawana mda na wake zao matumizi shida heshima itatoka wapi? Umtii ktk manyanyaso hawajui nafasi zao ndo maana wanadharaulika.
Wanawake nao hawaolewi wengi kwa sasa ßbabu ni wafisadi kwa wanaume,wajeuri.Hata wanawake wanadharauliwa ndiyo maana wengi SK Hz hawaolewi
Fact uko sahihi wanaume kunahaja yabkubadilika pia
Mwanamke anarudisha mara mbili ya unachompa.hakuna mwanamke mkorofi akionyeshwa thaman na upendo.mbona mnataka utii pasipo upendo??
Wanawake hawaridhiki pesa mbele kuliko kingine,sasa upendo gani kwa anayejali pesa kwanza?
Sikubaliani kabisa😢,,Mwanamke hatari
Kuna wanawake wahujumu tu hata kama ungempenda kama malaika ni kaksi tu mbona kwa sasa wanawake wengi ndivyo walivyo
❤❤❤
Wewe ndoa yako ina tabu sana
Wewe Chris,kama sio mm kumuongoza hata nyumba ya kulala tusingekuwa nayo !
Huyo ndiye aliyeshindwa kukusimamia! Ndiyo maana akashindwa hata kuwa na nyumba mpaka wewe ukamsimamia ndiyo nyumba ikajengwa
😅😅😅 duh. Kikaangoni it was necessary
Shukurani sana kwa somo
Kwel kabisa
Doctor mimi nimekosa mke kwenye u mkasa
Ukweli semwe ❤❤❤
Habari doctor mimi ni mwanamke ziwa linaniwasha naomba nisaidie shida inaweza kuwa nini?
Weweee, nenda kapime haraka iwezekanavyo usisubiri majibu humu, utajikuta umechelewa
hii video nataman hubby aione ..hajiwezi kwa kila kitu..acha nimuongoze tu aise🚮
😂😂
Nataka semina yote napateje semina hii
Tazama sehemu ya pili hapa
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
ruclips.net/video/8HtiiJXIPvI/видео.html
Hata maandiko yanasema ishini kwa akili na wanawake,wewe ishi kindezi unywe chai kwa mruzi.