Ukweli kuhusu Uumbaji wa Mwanadamu - Creation of Mankind
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Ukweli kuhusu Uumbaji wa Mwanadamu - Creation of Mankind
#MajaliwaMachinda
Kama kweli Mungu alimuumba mwanadamu, alimuumbia pale Afrika. Na hiyo ni Africa ya kati na ya mashariki, ambayo ni nchi ya Eden na nchi ya ahadi.
If God created a man, then creation took place in Africa. And this is Central and East Africa, the land of Eden and the Promised Land.
Historia ya uumbaji wa mbingu na dunia pamoja na uwepo wa mwanadamu hapa ulimwenguni, umeleta changamoto kubwa katika dini mbalimbali. Pia wanasayansi wanazo hoja nyingi kuhusu uumbaji, uwepo wa Mungu, hukumu ya mwisho na Jehanamu.
Fuatilia video zetu kwa kujifunza zaidi.
Muda wa uamsho umefika - Tuamke enyi waBantu...
Facebook: / majaliwamach. .
Instagram: / majaliwamac. .
#WifeInheritance
#Tamadunizakupiana
#BantuIsraelites
#UzaowaIbrahimu
#AwakeningCampaign
Halleluyah Kaka. Nashkuru sana. Natoka Kenya. Endelea na kazi ya Mungu. Uamsho waja lakini mapasta hawataki kufundisha watu ukweli. Tafadhali usichoke kuhubiri. Hata nywele za Samson rasta zaonyesha alikuwa mtu mweusi na nywele a kiafro. Barikiwa.
Tunakupata loud and clear. Ni mpaka tu mtu mweusi atakapo jielewa ndipo dunia itaweza kupata amani ya kweli maana tutakuwa tumetoka kwenye fikra za ukoloni.
Big up bro.
Thank you brother 🙏 YAH bless you always.