Cheki MAJALIWA akiwa stendi ya kisasa Mwanza/ watafutieni miradi mingine
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi pamoja na maegesho ya malori Nyamhongolo katika Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza ambao hadi kukamilika mwezi Mei 2021 unatarajiwa kugharimu fedha za Serikali shilingi bilioni 28.
Tovuti @BMG BLOG www.bmgblog.co...
Facebook @BMG HABARI / bmghabari
Twitter @bmghabari / bmghabari
Instagram @bmghabari / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG
Safi sana
Bonge moja la speech. Hizi miaka 20 ijayo watoto watakuja kusikiliza na kujifunza kitu. Hakuna mtu atakayekuja kuijenga Tanzania kama siyo watanzania wenyewe. Watanzania tunaweza.
Liwepo wazo la kiunganishwe na kituo cha stand ya train ya mwendokasi
Wazo zuri
Waoooh nyumbani kumenoga
Mwana sehemu gani hiyo jamani ambapo stand inajengwa?
Wanaijengwa pele Nyamhongoro
Hiyo stendi inajengwa wilaya gan hapo mwanza
Wilaya ya ilemela ni ya basi na parking ya malori pamoja na hoteli ya kupimzika madereva wa malori, pia ya nyamagana ndo kubwa zaidi inajengwa Nyegezi
Mje muone na stend mpya ya moshii
Mikoa mingi mabadiliko mazuri
Stendi nzuri Sana mwanza rahaaaaaaaaaaaaaa mnoooooo
Muheshimiwa bas pambamia japo uzindue meri za abilia ziende mtwara au hata leli iende mtwara mikoa yoote zipo vp kupeleka tren mtwara
Mic sana mwanza one day yes 😍😍
Hongera sana waziri mkuu nakupenda sana ktk sela zako uko makini nakazi mzee wangu piga kazi huu ndo wakati wako mungu awabaliki viongoziwote.
Karibu sana
Chapeni kazi
Magu kapania sio mchezo nchi nzima panajengwa maeneo mbalimbali
Hakika
Mje mjionee na stend mpya ya mosi
Shukrani Paul kwa mwaliko