Cheki MAJALIWA akiwa stendi ya kisasa Mwanza/ watafutieni miradi mingine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi pamoja na maegesho ya malori Nyamhongolo katika Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza ambao hadi kukamilika mwezi Mei 2021 unatarajiwa kugharimu fedha za Serikali shilingi bilioni 28.
    Tovuti @BMG BLOG www.bmgblog.co...
    Facebook @BMG HABARI / bmghabari
    Twitter @bmghabari / bmghabari
    Instagram @bmghabari / bmghabari
    #BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG

Комментарии • 21

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад +7

    Safi sana

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 3 года назад +6

    Bonge moja la speech. Hizi miaka 20 ijayo watoto watakuja kusikiliza na kujifunza kitu. Hakuna mtu atakayekuja kuijenga Tanzania kama siyo watanzania wenyewe. Watanzania tunaweza.

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 3 года назад +3

    Liwepo wazo la kiunganishwe na kituo cha stand ya train ya mwendokasi

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 года назад

    Waoooh nyumbani kumenoga

  • @bahatibunzali15
    @bahatibunzali15 3 года назад

    Mwana sehemu gani hiyo jamani ambapo stand inajengwa?

    • @anordbazila4154
      @anordbazila4154 3 года назад +1

      Wanaijengwa pele Nyamhongoro

    • @michaeljohnjmalonja6434
      @michaeljohnjmalonja6434 3 года назад

      Hiyo stendi inajengwa wilaya gan hapo mwanza

    • @denisbuchard3718
      @denisbuchard3718 3 года назад

      Wilaya ya ilemela ni ya basi na parking ya malori pamoja na hoteli ya kupimzika madereva wa malori, pia ya nyamagana ndo kubwa zaidi inajengwa Nyegezi

  • @emanuelpaul7971
    @emanuelpaul7971 3 года назад

    Mje muone na stend mpya ya moshii

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 3 года назад +4

    Mikoa mingi mabadiliko mazuri

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 3 года назад +3

    Stendi nzuri Sana mwanza rahaaaaaaaaaaaaaa mnoooooo

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 3 года назад

    Muheshimiwa bas pambamia japo uzindue meri za abilia ziende mtwara au hata leli iende mtwara mikoa yoote zipo vp kupeleka tren mtwara

  • @تاتوجمعه
    @تاتوجمعه 3 года назад +2

    Mic sana mwanza one day yes 😍😍

    • @ibrahimsongo2566
      @ibrahimsongo2566 3 года назад

      Hongera sana waziri mkuu nakupenda sana ktk sela zako uko makini nakazi mzee wangu piga kazi huu ndo wakati wako mungu awabaliki viongoziwote.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  3 года назад

      Karibu sana

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 года назад

    Chapeni kazi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад

    Magu kapania sio mchezo nchi nzima panajengwa maeneo mbalimbali

  • @emanuelpaul7971
    @emanuelpaul7971 3 года назад

    Mje mjionee na stend mpya ya mosi