Hamadai feat Alikiba - Niamini (Official Video) SMS [Skiza 8091373] to 811
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2022
- #Hamadai #Niamini #Alikiba #KingKiba
SMS VCT 10749501 To 15577 Vodacom Tz
SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/HamadaiRUclips
Listen & Download Hamadai Music Worldwide
ffm.to/hamadaimusic
Follow:
Instagram: / hamadaitz_
/ officialalikiba
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Видеоклипы
Hivi wangapi wakimuon kiba wanasmile tu...km upo fany kukonga like hpo chin
nampenda sana
Tupoooo🤣🤣🤣🤣👏👏👏
Tupooooooooo🤗
xana mwamba ajawah kchuja toka cndelela
Huuuuuu unyama mwingiiiiii sanaaaaa 🔥🔥🔥 wameuwa jamani nataka nione like za kingkiba 👑 hapa
Ali king umejuwa kunifurahisha hakika
King king king, is you Ali.
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Uyujama King Kiba ananinilakin mbona ashikiki yan jam ananjiazake mwenyewe anazijua avyopita kwenye ilibit niamin imebamba kinoma noma Hamadai Kaaminiwa vilivyo🙌👑👑👌
Alikiba number one both kenya 🇰🇪 and tanzania 🇹🇿
Akiwepo alikiba mambo yote moto lazima wimbo unoge zaidi nazaidi nakupenda alkibamungu akuzdixhie baraka akwepuxhe na mikosi💞💞
Alikiba the best 👑 of Tanzania 🇹🇿❤️ much love 😘😘🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯👌👌👌✌️✌️✌️
Ngoma tamuuuu huishii kiiskiliza thx HAMADAI umenitoa kimasomasoo my broo nilikuwa nawaza ipo sikuuu umenikata kiuuua saport Kwa HAMADAI NIAMINIIIIIIIII
Ali kiba hana tofauti na Ngolo kante ni kiraka yani nasikiliz anavyoitikia izo verse nabaki natabasamu tu Ali kiba ni Ali tu jamni
Tukisonga like za kiba na sisi wakenya 👍❤
kenya tuko ndani siku zote tz tuko pamoja all the time
I'm leaving this comment here so that after 10years when someone likes it, I get reminded of this song😇🇰🇪
Bravo! Alikiba.
And My Star Of Eminence believe in me you, nakupenda beyond acceleration of words.... My beautiful Soulmate 💕 till death do us apart
Am Leaving This Comment Here So That When Someone Likes It I Will Come Back To ReWatch This Wonderful Content Over And Over 💯💯💯 Alikiba Kali
alikiba huna maringo kama yule mwingine, collabo safi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daaah kwa style hii ngoma zakina Jason Derulo zisubir kwanza mnatufanya ya tuwe wazalendo. Kazi nzuri 💯🔥🔥NIAMINI KWAMBA ALIKIBA ni 👑 👑 KING😍
Dah! Nyimbo inaimbwa had unasismka #Hamadai umetu surprise kumuweka #kingKiba asee ni 🔥🔥🔥🔥
Wow we did a good job. Hamadai.
Kingkiba na hamadai maaad combination 254 tumelipitisha ili goma🔥🔥🔥🔥🚀🚀
Hapa umepatia mtu wakumpa kollabo 🙏🙏🙏 kiba kwenye kaz za wasanii wenzake huwa anafanya vizur sana
Tizama ful videol XXX 👇 Love Stori XXX
ruclips.net/video/oUMutSyv3Cc/видео.html
This is King anawapa 💯
Kama unaamini hii ngoma Itaishi milele. Gonga like twende sawa🫥🫥🫥
Akiamungu tena umenene
Niamn
SWEET LIKE PIPI
@@ericka.mulamula9680
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
kiba umetisha sana awoteeeeeeeee yaaaap yeeeeba goma 🔥🔥🔥🔥🔥
Uwiiiiiiii kiba what a vocal 🙌🙌🙌 good music Hamadai unyama ni mwingi mwaisa
Tizama ful videol XXX 👇 Love Stori XXX
ruclips.net/video/oUMutSyv3Cc/видео.html
Kwa Sauti King hakosei
🔥🔥🔥 Kwakipindi kirefu nilitamani kuskia Corabolation ya KIng & Hamadai nimeipenda Hamjawahi kosea My favorite Singers
Yaaaaaaaaaap kaua comment Kama umemuelewa boc wetu king
Ali Kiba is number one of Tanzania
Kitu ni 🔥🔥🔥🔥🫥 sana. Uta'enjoy life babe japo life yangu Kabwela. Let 🤴🏿stand as a king🛸
King 💪💪NIAMINI hii track KALI💪💪..ALWAYS ON THE TOP🙏
Kono nmeliona star wetu kiongoz wa muziki wa bongo King Kei fitness 💪
Wewe king umefunika dogo😊😊
Wimbo utakaotumika kule heaven kutuamsha kila Asubuhi.
Sema king umemfunika Sana Bwana mdogo 🙌🙌🙌
Msanii mkubw kiba sikilz at saut yake anavyoitumiy
Mwamba Sana huyu King 👑
King Kiba 4 life! 👑👑🔥🔥
Nataman Nikupe Mimba
Kichefuchefu Nibak Nacho Mwenyeweee😁😁😀😁😁😀😁😀😁😀
Alikiba love you my bloo
Alikiba never dissapoint much love
King Kiba much love from 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴♥️
Gonga like Kwa King 👑
Kingkiba🔥🔥🔥
Amadai ampotea sana,,,the mafik isife jamani that was my fev group bongo...mungu amlaze marehemu pema peponi na asiwaachilie mupotee inshallah
King himself hajawahi niangusha....100%zote zake
Rockstar king👑 vibes huwa 💥🔥🇰🇪 and
I love that cream half Jacket Alikiba, and then there's the Yellow on and the hat in Utu song. Man gift me one!!😊😊
I will forever support you kiba for life🔥🔥👌👌🔥🔥
King ni king tu Alikaba ❤️ forever
Alikaba tena 😂😂😂😂😂
King kiba hakika wewe ni mkali hakuna wa kukushusha
Kingkibaaaaa
King ni mmoja tu vocals zmekutanaaaa🙌❤️
Bonge moja la ngoma Niamini 💃💃💃💃King Kiba 🤴 ♥
Producer katulia
Kabisa beat imetulia haichoshi 🔥🔥
👑👑👑👑👑👑👑 king
only one king music..kiba on fire
King Kiba he is always on top
Alikiba my favourite 🔥 king Kiba never disappoints
Alikiba unahuwa sana nakubali kk zidi kuforasha
Alikiba ni moto wakuotea mbali hata hatumii nguvu sana kwenye mziki 🔥🔥♥️♥️♥️
Yaani kiba your vocal is always 🔥much love from🇰🇪
Mpenz niamini baby niamni nakuomba niamini please niamini aaaah
Eeeeeissshh kiba for life much love from Kenya Kisha huyu dogo namkumbukaga kwa ule wimbo wake TUKATIANE🔥🔥🔥🔥
Slogan #Niamini - tune of the Year.
King kiba Magician
Hizo back vocal 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 magician
hamadai fundi tisha sanaa💥💥
Kiba nakukubali kishenzi my brother daaahhhh
King kiba keep singing my brother
Alikiba ni King 🤴 kabisa wala ana zarahu ana pushi wa sani wa changa bila kuwangaliya ukubwa wake ,sio wengine awezi kushirikishwa nawa Sanii wadogo ,afu ndo awo wana jihita wa kubwa 💪🏿🙏🔥🔥🔥one love from Australia 🇦🇺
👑👑👑👑
Nani aliye kwambia huyo aliye mshilikisha ni mchanga kwenye game au wewe ndo mchanga kwenye kumfahamu hamadai mzee huyo ni long Sana kwenye game huyo ni kizazi cha akina barnaba alafu huyo walikuwa na kundi lao linaitwa (the mafik. Sema mwenzo alitangulia mbele za haki ndio maana kwasasa limesha yumba ila usirudie kauli yako ya kusema kashilikiswa na msanii mchanga angeshilikishwa na akina ( lody music ) (mabantu ) hapo ndo ningeipa nafasi kauli yako
@@selemanjuma1595 WAZI HAJUI HUYU ALOCOMMENT
@@selemanjuma1595 hapo kwanza nicheke 😂😂muamshe huyo bado yuko usingizini Hamadai tng lini akawa msanii mchanga..!?
@@selemanjuma1595 hao mabantu wmyw sio wachanga nawajua wanaimba long time sna mzee tangu miaka ya 2010
Niamini ni nyimbo kaliii salute 👑 kiba kwa kumsupport msanii wa chini kabisa hamadai
The only one can handle his role in music Alikiba big up
Team Kiba supporting Hamadai👑
This Man ,Alikiba Man Is a Beast
Naona umefanya unyamwez mwing kinoma king kiba
Alikiba never disappoints always the best
Alikiba 🔥🔥🔥🔥
King is always a king🔥🔥🔥🔥🙏🏾
King kiba did it again😘 the legend himself
Unyama 2 only one King salute uko na fundi hamadai salute kaka umetisha sana 🔥🔥🔥
Heshima ya King 🙌🏿🔥
Best collaboration 💉💊🎶🎵💕❤️🔥💥💥
The only musician with an endless vocals & melodies is King Kiba the legend himself yooooooooo!!! 😏😉
Naitazama kutoka kigoma,,,goma Kali Sana Hammer Dai Umeuwa ukiwa na King
Alikiba never disappoint 🔥🔥🔥🔥
Nature king 🤴 still he is up to the future 🙌
Sio kwa uongo huu jamani but mmefanya poa sana, kaka zetu mmetafuniwa Sasa Bado kumeza TU💯👌👌👌
uyu hamadai moto...And kenyans we are here to support pure talents
Alikiba is a gift hawez kutokea bongo hii labda tumtafute huko duani apambane na wanaume wenzake
King is king,,, 🔥🔥👑 namini uwezi kuniangusha.
King kiba ....unstoppable
bonga like kama umelikubal dude hili
Niamini on fire king kibaaaaaa hamadaiiiiii mumenikosha
🔥🔥🔥🔥🔥 another hit
Hamadai: Eyooh Kiba tufanye ngoma.
Kiba: Haina noma lakini linatakiwa liwe ngoma la milele.
Wote: NIAMINI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Team kiba wapi likes zenu🔥
This dude is so dop .. congratulation to King and hamadai good job
Oyaa team mond apa but this two men's are magician 🔥
Avp modi
am speechless🤐🤐🤐but🔥🔥🔥🔥🔥🔥 no one can stop KING and his servior
video queen wa alikiba superb wamependezana sana ...director big up the selection was good
Easy tu Ila ngoma kali xnaaa Aina haja yakuning'iniza micheni xhingon kama Jibwa kichaaaa. Xafi xnaaa Ngoma inaxikilizika frexh🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂 jibwa kichaa
This must be a Banger...tusibishane,,,NIAMINI,,,🔥🔥😌
Alikiba 🇳🇬🇳🇬 fan, because of u I want to learn Swahili
Team kiba ciwaoni
Alikiba never disappoint 🔥🔥🔥
King of bongoflavor he always on top 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤞🤞🔥🔥
For real