UJUE UCHAFU WA WIGI NA MAPAMBO WANAWAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 124

  • @AdelaBigilimana
    @AdelaBigilimana 2 месяца назад

    Hongera kwa kuhubiri kweli yote, Mungu alitumia kipekee kuandaa wateule Amina

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz Год назад +1

    Barikiwa sana servant of God

  • @rebecakigutu
    @rebecakigutu Год назад +1

    Baba wewe Mungu akubariki sana akutie nguvu kabisa kabisa ...Mungu akubariki

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je 7 месяцев назад

    Hallelujah hallelujah hallelujah

  • @christinabiyengo2955
    @christinabiyengo2955 6 лет назад +10

    Ubarikiwe Mchungaji kwa kuhubiri kweli, kwanza hayo mawigi ni kujidharau mwenyewe, unawekaji kichwani nywele za marehemu wa kihindi na kuidharau asili yako!! Mungu awafunulie na Wachungaji wengine neno hili.

  • @ednamsovela9366
    @ednamsovela9366 2 года назад +1

    Umependeza sana dadaang MUNGU akutunze sana

  • @florachamgeni8557
    @florachamgeni8557 3 года назад +1

    Ubarikiwe baba yangu,hutadaiwa ktk hili umeisema kweli yote ya MUNGU,Asante YESU kuniponya

  • @janechege7692
    @janechege7692 2 года назад +1

    Injili ya kweli ndio inayofaa asante sana mchungaji

  • @kinotititus8798
    @kinotititus8798 Год назад

    jiunge na Holiness Revival Movement Worldwide

  • @mawazomarceline899
    @mawazomarceline899 Год назад

    Ubarikiwe mama

  • @kaburachristella2539
    @kaburachristella2539 6 лет назад +3

    Ubarikiwe muchungaji mama ubarikiwe mungu akupe nguvu aendelee na safari naweza nikasema unabahati nzuri umemupokea bwana wakati muzuri Saana yesu yu karibu Yuko njiani anaweza kufika muda wowote .

  • @JAMESKELI-z1m
    @JAMESKELI-z1m 2 месяца назад

    Mtumishi apo sawa.

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 4 года назад +4

    Watumishi wengi sana wanaogopa kusema ukweli kwasababu wanaamini wataondokewa na washirika,dunia imewameza wameileta kanisani! Ubarikiwe sana hata Mimi ndio Injili ninayoihubiri sana

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 6 месяцев назад

    Amen 😔🙌

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je 7 месяцев назад

    TRUE MESSAGE.

  • @tamaliulimbo5388
    @tamaliulimbo5388 2 года назад +1

    Mbarikiwe sana ni mkoa gani mpo na sehemu gani je mikoa mingne matawi yenu yapii

  • @kinotititus8798
    @kinotititus8798 3 года назад +1

    Mungu akubariki mchungaji 1 timotheo 2:9-10,1 petro 3:3-4

  • @upendoshija2235
    @upendoshija2235 5 месяцев назад +1

    Wachungaji wana hukumu kubwa sana MUNGU awafundishe upya

  • @isaacochieng8460
    @isaacochieng8460 4 года назад +1

    Amina mchungaji kwa somo zuri hakika yesu yu hapo

  • @leahdaniel271
    @leahdaniel271 3 года назад +1

    Hata sasa MUNGU amejisazia watumishi waaminifu MUNGU akubariki sana

  • @kinotititus8798
    @kinotititus8798 3 года назад

    Mungu akubariki saana

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 2 года назад +1

    Mchungaji hapa Kenya hakuna mchungaji wa ukweli, waongo na matapeli tupu. sasa nikitoroka ntapata wapi mafundisho, afathali nikusikize ww hapa na kufata mafundisho jinsi ipasavio, MUNGU wa amani akulinde🙏🙏🇰🇪🇰🇪.

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor2166 6 лет назад

    Amen muana muke wa bien Binti muzuri saaana naturel Beautiful

  • @gasparpeter4049
    @gasparpeter4049 2 года назад +1

    Binafsi, najua Injili ya kweli ni ile ya kufundisha fundisho sahihi: kwamimi naamini mwanamke anapaswa kupambwa na kujipamba kwa ukiasi, kwani hata Sara na Rebeka mke wa Israhimu na Isaka inaonyesha walikuwa wanajipamba kwa Pete na vikuku soma Mwanzo 24:22 na Mwanzo 24:47
    Wanawake wanapaswa kuambiwa kuwa yawapasa kujipamba wakiwa na moyo wa ukiasi, na wasipende kuiga kila kitu kilichopo duniani:
    Ahsante

    • @neemameshack2758
      @neemameshack2758 Год назад

      Mungu akuhurumie sana. Sio sahihi kumkosoa Mungu, Mungu anataka tunaki asili yetu, mwafrika abaki kuwa mwafrika. Jehanam inawahusu wote wanaojipamba.

    • @Jossy-qk8vw
      @Jossy-qk8vw Год назад

      Kwenye Biblia, maagizo yanayohusu kusuka na kujipamba yalitolewa ku wahimiza wanawake kutilia maakini kujipamba kwa undani. NYAKATI HIZI watu wengi wana hubiri na kufundisha kulingana na hisia zao tena shuhuda nyingi zina leta mtafaruko mwingi kwa kanisa. Tuji hadhari SANA na mafundisho ya kuchangaya imani za watu. Naomba kuwauliza maswali enyi wenye mafundisho yanayo wakemea wanawake. ENDELEA KUSOMA
      1. Mwenyezi Mungu ametupa sisi wanadamu maarifa mbali mbali. Amewezesha wanadamu kuvumbua na kutengeneza vitu fulani fulani vya kuwasaidia binadamu kwa matumizi yao ya kimaisha. Kwa mfano:
      Mtu anapo poteza mguu kupitia ajali au ugonjwa - uvumbuzi wa miguu bandia unawezesha mtu huyo kutumia MGUU bandia. Mtu anapo poteza mkono kupitia ajali au ugonjwa - uvumbuzi wa mikono bandia unamwezesha kutumia MKONO bandia. Mtu anapo poteza MENO kupitia ajali au ugonjwa - uvumbuzi wa meno bandia unamwezesha kutumia MENO bandia. Kwanini basi tuna kemea wanawake wanapo tumia wigi (nywele bandia)?
      Ina maana kusema hatuelewi kwamba mwanamke anaweza kupoteza nywele kupitia AJALI AU OGONJWA? Kama ni sawa kuruhusu watu wengine kutumia vitu bandia (kama meno, macho, mguu, mkono) mbona inakua dhambi mwanamke anapo tumia nywele bandia? Wanawake wengi wana magonjwa yanayo sababisha kupoteza nywele.
      Magonjwa kama thyroid disease, diabetes, PCOS, saratani, na mengineo yanaweza kusababisha mtu kupoteza nywele. Sasa mwanamke anapo funika uchi wa kupoteza nywele kwa kutumia wig ama weave hiyo ni dhambi???
      2. SWALI LA PILI
      Mwenyezi Mungu ndiye amewapa wanadamu vipawa tofauti. Wengine ni madktari, wengine ni engineers, wengine ni hairdresser, stylist, barber, fashion designer, tailor etc. Sasa mtu aliye pewa kipawa cha hairdresser ama beautician na anapata RIZIKI yake kwa kutengeneza wenzake nwyele, huyo mtu anatenda dhambi???? Hiyo riziki yake ama KIPAWA chake kimetoka kwa nani?
      Ina maana kusema hatutambui au kuheshimu vipawa kama vya ma designer, kinyozi, hairdresser na kadhalika? Kwani vipawa vikubwa pekee ndivyo vipawa kutoka kwa Mwenyezi Mungu?

    • @fabianmkimbu880
      @fabianmkimbu880 Год назад

      @jossy acha kitumia akili za kibinadamu kitafsiri mambo ya Mungu,Utakuja kidaiwa kwa kipotosha watu wa Mungu.mapambo na vipodozi ni machukuzo kwa Mungu,inabidi kwanza utubu dhambi na kuziacha yaani uokoke,ndipo utakapofunuliwa Siri hii,

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 3 года назад

    Kabisa Ni kweli mi

  • @heppynesmsafi8989
    @heppynesmsafi8989 3 года назад

    Jaman ni kweli kabisa mungu Awabarik san jaman wachungaji weng hawaubir iy kitu jaman MUNGU ATUSAIDIE SANA

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 2 года назад +1

    Mchungaji na mimi pia nilibadika kupitia wewe, sikuzote sikujua kama ni thambi sasa nimebadilika kabisa mimi ni mshirika wako tokea 🇰🇪🇰🇪 Kenya,natamani nije nikuone majaliwa🙏🙏.

  • @mwalimumathematician1014
    @mwalimumathematician1014 6 лет назад +2

    MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI

  • @kinotititus8798
    @kinotititus8798 3 года назад

    Mungu akubariki

  • @josephatnkoleki4911
    @josephatnkoleki4911 2 года назад

    Ni mimi josephine na toka Texas amen amen mutumishi

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 3 года назад

    Ubalikiwe

  • @chumachadollardTV
    @chumachadollardTV 6 лет назад +1

    ubarikiwe baba

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard3928 4 года назад

    This blesses me big,

  • @janechege7692
    @janechege7692 2 года назад

    Injili ya kweli ndio inayofaa

  • @lenolidanestoly9448
    @lenolidanestoly9448 5 лет назад

    Mungu akupe maisha maref pastory

  • @asiimweanthony9057
    @asiimweanthony9057 6 лет назад +3

    Ushuhuda ni moto sana ulivyo nyoa nywele umependeza sana

  • @yvonnemuyengo5823
    @yvonnemuyengo5823 4 года назад

    Amen

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 4 года назад +1

    Daaah _mm nilijaribu kuwahubiria wakina mama kanisani kwetu baadhi wakina mama waliondoa hayo mapambo _lakin mchungaji akambiwa kuwa na wambia wakinamama wasijipambe duu mchungaji alinihubilia kweli lakin naamin Mungu ata tenda

    • @millicentayangokunting3728
      @millicentayangokunting3728 3 года назад

      Huyo mchungaji ni washeta

    • @sarahmdindile4301
      @sarahmdindile4301 3 года назад

      Ubarikiwe kwa kuwahubiria waache mapambo, vifungu vingi kwenye biblia vinasema ikiwemo warimi 1:26

    • @neemameshack2758
      @neemameshack2758 Год назад

      Mimi pia nina vita na mchungaji mpaka sasa. Ila usiogope simamia kweli ya Mungu

  • @clementineuwamahoro5780
    @clementineuwamahoro5780 2 года назад

    Nikweli

  • @aminashemdoe9158
    @aminashemdoe9158 5 лет назад +1

    Baba Mchungaji njoo korogwe Tanga tunakuhitaji
    Sana

    • @RobertTvTanzania
      @RobertTvTanzania  5 лет назад

      TAFUTA KIWANJA NAKUJA HAPO UTAPIGA NAMBA HII +255757591013

    • @lizzyboytzofficial7527
      @lizzyboytzofficial7527 4 года назад

      Mchugaji mi mkewagu aliku Ana mimba alijifugua kwa upalesheni kwa sababu alioneka kuwa Ana pulesha na alipo jifungua ala majini yaka muingia lakini aliobeawa yaka toka lakini kichwa kina muama mala kinahcha mchugaji wagu naoba umuombe mkewagu

  • @asiimweanthony9057
    @asiimweanthony9057 6 лет назад +3

    Wewe mama ni shujaa Mungu akutie nguvu uweze kusimamia kweli

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 6 лет назад +3

    Kweli baba yangu unasema ukweli hatuambiwi ukweli

  • @franklusuva6026
    @franklusuva6026 4 года назад +1

    Kanisa la ukweli kama lako hakuna lete na Iringa

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 2 года назад

    Swali, Mwanamke no 1.ana mapambo ya mwilini mengi tu. Ila ana matendo/maisha matakatifu, hana wala hashiriki ovu lolote ulijualo chini ya jua, Lkn mwanamke no 2 huyu hana pambo lolote mwilini zaidi ya nguo aliyovaa, lkn maisha yake yamejaa maovu na machukizo kwa Mungu na wanadamu, je kati ya hawa 1 na 2. yupi anampendeza Mungu .?

    • @lindamongi6315
      @lindamongi6315 2 года назад

      Wote ni chukizo mbele ya Mungu

    • @gasparpeter4049
      @gasparpeter4049 2 года назад

      Wanawake wanapaswa kujipamba na kupendeza, msidanganyike kuwa muwe na muonekano kama wanaume, nyinyi mliumbwa kupendeza, pendezeni: ila mjipambe mkiwa na moyo wa ukiasi mioyoni mwenu mkimtanguliza Mungu kuwa namba moja na mapambo namba 2:
      Ukisima Mwanzo 24 utaona Rebeka mke wa Isaka alipambwa kwa mapambo kutoka kwa baba mkwe wake Ibrahimu hii inaonyesha hata Sara alikuwa anajipamba kwa mapambo ya dhahabu, mavazi mazuri, na vikuku:
      Kikubwa Mungu mpe namba moja mambo mengine yafuatie uku ukikumbuka tunda la ukiasi.

    • @Jossy-qk8vw
      @Jossy-qk8vw Год назад

      Mafundisho mengi ndio yana kimbiza watu kutoka kwa makanisa. Mchawi akija kanisani huku amevaa mavazi marefu na kitambaa kichwani - atakubalika na kukaribishwa kwa sababu amevaa mavazi "yanayo stahili" LAKINI mwanamke ambaye bado hajafahamu utakatifu na ana moyo wa kumjua Bwana na kujifunza Neno, anapokuja kwenye kanisa akiwa na mavazi "ya kidunia" mnakemea huyo mwanakme na kumfanya asipende kanisa. Mbona msifundishe kwa upendo. Hata Bwana anatuambia kwa kitabu cha Mattayo 10: 16 . . . “Tazama, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu kama nyoka na wapole kama hua. (be as wise as serpents and yet as harmless as doves). Watumishi wanapaswa kutumia ujasiri wanapo fundisha. Sio kufundisha kwa hisia zao.

  • @merrypeter5909
    @merrypeter5909 5 лет назад +1

    makanisa hatufundishwi ukweri kuusu kirimu mawigi ,wachungaji tufundisheni kweri

  • @merrypeter5909
    @merrypeter5909 5 лет назад +2

    Ukweri nikuachana mapambo yote nawigi yote hayafai kujiklimu nikumkosoa Mungu

    • @mariahungwi6352
      @mariahungwi6352 5 лет назад +1

      Basi wanaume wanafurahia hao hasa wale walochoka kuombwa ombwa hela za saluni na ambao akiacha hela anakuta mboga za hovyo hovyo hela mke anamaliza kwenye losheni, krimu na manywele ya bandia. Ila ukweli hilo neno lifike mbali turudi tuwe asilia na MUNGU atusaidie. Tuwe natural

  • @aminashemdoe9158
    @aminashemdoe9158 5 лет назад

    Mchungaji Najifunza sana mafundisho yako

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 4 года назад

    Emen nimepona na mambo mengi

  • @lindakapita7751
    @lindakapita7751 2 года назад

    Chungaji nadjukuru kwa mafundisho ,ila Nina swali je hatakusuka nywele kawaida bila kuongezea nywele bandia je nayo ni zambi?

  • @anngrace522
    @anngrace522 6 лет назад +3

    Huu ni mda wa uamsho YESU yuko mlangoni anarudi.

  • @annysamwel9669
    @annysamwel9669 2 года назад

    Watu walivaa hadi vipini rebeka mke wa isaka tutajien limeandikwa wapi hlo neno la kutojipendezesha na lile andiko lililoandikwa mwili ni hekalu la bwana atakae liharibu nae ataharibiwa bc na kunyoa tusinyoa maana tunaliharibu hekalu la bwana

  • @dinnatamson3150
    @dinnatamson3150 6 лет назад

    Aaaah huyu anaombea kweli wengine wakiombea wanadondoka inakuwa ni nini jamani

  • @kamauwanjeri8131
    @kamauwanjeri8131 3 года назад

    Boldness, confront sin

  • @سلطانالقحطاني-ظ3ع
    @سلطانالقحطاني-ظ3ع 3 года назад

    lakini nywele kwa mwanamke ni fahari nakofia yakifalme .mikorongo nasyo aifai hio nikumkosoa mungu ya kutoridhika

  • @asifiwediodos1328
    @asifiwediodos1328 6 лет назад

    Ninatamani kuona watumishi wote wakielexa injili halisi

  • @amiwitu9101
    @amiwitu9101 6 лет назад +1

    aliyepost Ujumbe huu njoo uwajibu na kuwafundisha watu wanaocomenti hapa na kutoa ushahidi wa maandiko yanayo mruhusu mwanamke aliye olewa kunyoa nywele.
    mimi najua mwanamke kuwa na nywele ni fahari maana alipewa badala ya mavazi. pia najua kuwa mwanaume ndiye hatakiwi kuwa na nywele NDEFU.
    maandiko yabayokataza mwanamke kusuka na kumruhusu kunyoa ni yapi hayo mtu wa Mungu ? karibuni

    • @joybek1614
      @joybek1614 4 года назад

      Hatubishi Mtumishi wa MUNGU TUNATAKA KIJIFUNZA ILIYO KWELI. TUSAIDIE.

    • @neemameshack2758
      @neemameshack2758 Год назад

      1 petro 3:3, Timothy 2:9.
      Mwafrika hana asili ya nywele ndefu mpaka asked, so kunyoa nywele zake wakat alikua na nywele za dawa anataka ziote nyingine zakwake, then mbadala wa nywele ndefu ni kiremba. Tofauti na hapo unAariharibu hekalu la Mungu

  • @lydiamwamhanga5499
    @lydiamwamhanga5499 6 лет назад +1

    Naomba hilo andiko kuhusu kunyoa

    • @RobertTvTanzania
      @RobertTvTanzania  6 лет назад

      1timotheo 2:9 makorokoro yote ya mapambo,lakini pia kuhusu kukoboa ngozi soma yeremia 13:23

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 6 лет назад +1

      Na ukikalia kila kichafu maandiko umepotea hata Free mason utataka Andiko.unamhitaji Mungu akufunulie kweli bado uko mbali mpendwa,kikifungwa Duniani na mbinguni kimefungwa

    • @sarahmdindile4301
      @sarahmdindile4301 3 года назад

      Warumi 1: 26 inasema hata Mungu akaacha wafuate tamaa zao za aibu hata wanawake wakaacha mambo ya asili kwa mambo yasio ya asili.

    • @zabibuomari8754
      @zabibuomari8754 2 года назад +1

      alinyoa ili zianze upya sababu zilikuwa na dawa

  • @joybek1614
    @joybek1614 4 года назад

    Watajie Andiko linatoka kitabu gani?ili watu wajue.

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 года назад +1

      Bwana Yesu asifiwe,,,,tusome pamoja Yeremia 4:30-31...1kings9:30...walawi19:27-28...kumbukumbu22:5...yeremia2:21...1peter3:3...1timothy2:9....1corint3:16....1corint6:15-29.....amina..barikiwa Sana...

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck 6 лет назад

    hidaya kasuga kwaya imefanyaje??

    • @funnelcakeking3278
      @funnelcakeking3278 6 лет назад +1

      Muchungaji robert ubalikiwe kwamafunsisho yamawigi naa mmahereni na mukorogo yani baba wa MBINGUNI AKUBALIKI DUNIYAYOTE ASANTE

    • @joanfredrick4261
      @joanfredrick4261 6 лет назад

      kusuka so dhamb jaman,labda mikologo,dawa,na mengne lakn so kusuka na kama ni dhamb naomba andiko jamen.Mchungaj waga nakufatilia sana nakukubal,lakn kwakusema kusuka ni dhamb andiko tafadhal nijue nataman kujifunza

  • @lydiamwamhanga5499
    @lydiamwamhanga5499 6 лет назад

    Je kusuka nywele zako za kawaida ambazo Mungu amekupa ni dhambi?

    • @elisifahaali714
      @elisifahaali714 6 лет назад

      C dhambi

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 6 лет назад +3

      Mbona wazungu hawajipambi?ila sisi weusi ndo kila takataka ni sisi?niko nje ya nchi miaka 8,mzungu aliyeokoka havai hata heleni

    • @evelinamahenge8299
      @evelinamahenge8299 6 лет назад +1

      ubarikiwe mtumishi kufundisha kweli ya mungu so good!! hata mm mungu alisema na Mimi mwenyewe wanaojipamba wote hakuna mbingu.

    • @jindedolat3995
      @jindedolat3995 5 лет назад +2

      Ni Dhambi, bado kusuka ni marembo

    • @millicentayangokunting3728
      @millicentayangokunting3728 3 года назад

      @@melissateddybearcossan9506 kweli

  • @nakinjakinja2163
    @nakinjakinja2163 6 лет назад

    Ubarikiwe sana muchungaji kwa kuhubiri wakina mama ukweli naomba number yako please

  • @mariumchima8098
    @mariumchima8098 6 лет назад +1

    tunaomba andiko LA kunyoa baba

  • @mwalimumathematician1014
    @mwalimumathematician1014 6 лет назад

    hilo dhehebu linaitwaje watumishi?

  • @franciskaonga6037
    @franciskaonga6037 5 лет назад

    Baba nakufuatilua vizuli ila kunamjomba angu ame change nyikuwa naomba umuombee 0655794479 hiyondo namba yangu Mt robati

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck 6 лет назад

    kweli mawigi si mazuri kama Mimi huko nyuma niliyatumia sana lakini kwa sasa nikivaa nywele bandia kichwa kinaniuma sana

    • @hidayakasuga4064
      @hidayakasuga4064 6 лет назад

      Joyce George0787 918614 kwaya

    • @mathiasrazalo8363
      @mathiasrazalo8363 6 лет назад

      mchungaji upo vizuri

    • @lizamarko2755
      @lizamarko2755 6 лет назад

      Ni kweli dada yangu hata mimi niacha kusuka nyele. Nikisuka kichwa kinawaka moto sana. Ila mme wangu anaedeleya kunihimiza sana eti ni tumiye tu mafuta. Ila hata nikivaa wigi najisikya uzito sana

    • @neemameshack2758
      @neemameshack2758 Год назад

      Kama unataka kumuona Mungu acha

  • @josephatzilio4979
    @josephatzilio4979 6 лет назад

    1.wakorintho 11/13...... inasema fahari ya mwanamke ni nywele siyo kipala wala kitambaa?yapo madiko mengi ya mwanamke asinyowe nywele zake?

    • @turimurugendo7408
      @turimurugendo7408 3 года назад +1

      Sasa ndugu uriona balikuruhusu mubakolinto 11 5 nakuendereyz balikuruhusu kubadili nywerryako uweke marangi nabingine ??wewe ukiyaca jisi ulivyo nywerryako na inapaswa ufunge kitambaa iyo ndio sheliya usije ukaongeze kwaneno la biblia hakuna paripo andikwa kusuka awu kwenda kicwa wazi wala kupaka vitu vya ajabuhajabu

  • @gracebashimbe9787
    @gracebashimbe9787 6 лет назад +3

    1 koritho 11:3-18 soma vizuri....hata maumbile yenyewe hayawafundishi kuwa aibu kwa mwanamke aliyenyolewa?!?? mwanamke inampasa na amepewa nywele ndefu iwe badala ya mavazi.......someni biblia jaman .......sio kukubali tu tufate neno la Mungu sio kumwamini mwanadam nae anakoseaa

    • @RobertTvTanzania
      @RobertTvTanzania  6 лет назад +3

      1timotheo2:9, 1petro 3:3 ,yeremia 13:23, kuwa na nywele zako za asili siyo kosa ,ila ukiongeza mawigi, dawa za kuua nywele ,lipstiki, kukoboa ngozi ,ni dhambi hakuna mbingu ya watu wa jinsi hiyo epukeni maneno ya faraja ya wachungaji wanaobembeleza sadaka na kushindwa kuisimamia kweli kumbuka hao hawana mbingu.1petro 4:1-5 tukisha okoka hatuwezi kutenda kwa mfano wa mataifa.Biblia nzima mwanamke aliyejipodoa ni YEZEBERI MAMA WA MAKAHABA pekee.

    • @michaeljonas7497
      @michaeljonas7497 6 лет назад

      +Robert Tv Tanzania naomba unipe andiko linasema mwanamke kunyoa nywele

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 6 лет назад +2

      Ukiendelea kusoma maandiko yanasema ukishindwa kufunika na unyolewe,na wewe soma Biblia uelewe vizuri

    • @melissateddybearcossan9506
      @melissateddybearcossan9506 6 лет назад +1

      Soma hapo hapo mstari wa 6 ukishindwa kufunika nyoa(katwa) hivyo kizuri zaidi ni kufunika ukiwa na nywele ndefu sawa ila siyo mawigi

    • @absalimlufyagile4974
      @absalimlufyagile4974 4 года назад

      Kweli mchungaji hatufundi uje na mapanda

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 лет назад

    tat si not true ,

  • @shufaayakuti754
    @shufaayakuti754 2 года назад

    Mungu akubariki Sana sana

  • @annaezekiel5685
    @annaezekiel5685 3 года назад

    Amina

  • @geramonique1408
    @geramonique1408 3 года назад

    Amen

  • @dorcasmbuya3608
    @dorcasmbuya3608 2 года назад

    Amen