Bwana Yesus Christu asifiwe Dadangu nashukuru mwenyezi Mungu baba kukupata kwenye youtube kwaukweli ubarikiwe sana kuusu iyi message niukweli wana wake na shetani hapendi iyo message itangaziwe kwa watoto wa Mungu nilipitiya iyo shida piya ila ukweli una bakiukweli wakutaka kuokolewa watatii neno la Mungu katika ukweli,kila mtoto wa Mungu anaye Roho Mtakatifu wa Mungu hawezi kubaki naibyo bitu bya mapambo byote nibya JEZABEL, nashukuru Mungu kwa neema alinipa piya yakukubali ukweli wa neno la Mungu kupitiya Roho Mtakatifu wa Mungu 🙏 Dadangu barikiwa sana jtm bien dans le Seigneur Jésus-Christ nôtre père 🙏💋
Ama kweli mwisho waja karibu mno,mafundisho haya si bahati mbaya ni makusudi ya Mungu kabisaaaa, kundi kubwa linalo kwenda kuangamia ni la wanawake.mawigi mpaka wazungu ajabu,Dada Mungu akutie nguvu Damu ya Yesu yatosha Amina
God 🙏 Almighty bless you through Jesus Christ move ahead to warn and help us to know the truth about true salvation needs or requirements!!! Amen 🙏 Hallelujah Glory Be To God 🙏 Almighty through Jesus Christ
Simu,gari ndege,masomo ,mavazi viti,vitanda blanketi na kadhalika ni ya dunia je unaipenda,heri useme tuwe makini na chochote tunachotumia humu duniani kisichangie twende motoni alipotengewa shetani.
Hicokitabo ca kumbukumbu la Torati kiliandikwa wakati wanaume na wanawake walikuwa wanavaa makanzu, wayahudi hata sasa hivi wote wanavaa kanzu, sasa hii ya pantalo wewe umeisoma wapi. Jifunze histoire kwanza. Kila mungu atafute kumujua mungu naye atamubadirisha. Anapenda sana wanao tafuta kumutambua. Ubarikiwe.
Mungu akubariki sema tupone mutume wa mungu shukurani kwa ufafanuzi bora Asante kwa ku tangaza sauti ya Mungu kwetu n'a dunia nzima yesu azidi kwako mu Congo mani wa kwetu nakufata toka uarabuni shukurani mno🙏🙏
Tunashukuru kwa mafundisho, Mungu atusame na atuwezeshe kuacha kabisa, Mungu wee damu Yako initakase juu na mie kuna saa Naacha kuva pantalon saa ungine nayirudilia, atuwezeshe, Mungu wee😭😭😭😭😭
Mungu aku bariki sana Mjakazi wa Mungu. Mungu ameni ambiya bitu mingi juu ya banamuke. Mungu atu saidiye siye banamuke ! Na unapo sema kweli wana ku chukiya, lakini sisi hatuta choka. Mungu atupe mwisho muzuri kuliko mwanzo.
Dada nimekuelewa,na nashukuru mungu kwa uwepo wako hapa, kwani tangu nianze kukusikiza,ni meacha viote,na mungu anisamehe sana kwa kuharibu hekalu lake,endelea kutuelimisha.
Dadangu Mungu akuinue sana kupitia kwako nikajua ukweli,na sasa nimeviwacha na niko sawa kabisa, MUNGU ndie alikutuma ili utueleweshe kwani tulikua gizani asante kwa Mungu kukutuma kwangu, Nakutazama nikiwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya 🙏.
sisi kanisani tunapoabudu mchungaji amekataza kbs mapambo na mivalio,,,atusuki Rasta Wala atuvai wigi,Wala bangili Wala hereni...tunafunika nywele na Hilo kanisa watu wakihubiriwa kuusu mapambo jumapili ijayo hawaji...mungu atusaidie saaana ...
Unachosema ni kwelii ukishajua hii sirii unapigwa vita hatr jmn siku nilijua ukweli kuusu mapambo iyo siku sikulala lkn nikasemaa sawa sitalala lkn nikiamka tuu naenda kutoa izii nywele ambazo nilikua nimeweka dawa Mungu anatupenda anataka tuwe natural
Don't worry and don't mind,if God called you move on,preach the gospel,bibilia ina sema enyi kizazi cha nyoka, Nani kawaloga? People nowadays are after money ,sio kukombowa mioyo
Umenena vema dada, 🙏 nikweli mwenyee masikio na asikie 📌. Mimi mwenyewe nimekubali kubadilika, nimevaa nguo za hivyo, lakini nimeona ni vema kubadilika 🙏 Ubarikiwe
Barikiwa Mtumishi wa Mungu haya yote unayosema ni kweli na Amina Jina la Bwana wetu Yesu Kristo liinuliwe.
Siachi mapambo hadi pale Mungu atakapo nitolea hamu ya kuvitamani
Mungu akubariki Sana
Roho wa Mungu Yuko ndani yako.
Mungu amewainua watumishi wa kweli ili wanaojipamba wasije kutoa udhulu siku ya mwisho, waukumiwe sawasawa na neno lenu.
Ubarikiwe sana Mtumishi. Kazi yako ni njema sana
Bwana Yesus Christu asifiwe Dadangu nashukuru mwenyezi Mungu baba kukupata kwenye youtube kwaukweli ubarikiwe sana kuusu iyi message niukweli wana wake na shetani hapendi iyo message itangaziwe kwa watoto wa Mungu nilipitiya iyo shida piya ila ukweli una bakiukweli wakutaka kuokolewa watatii neno la Mungu katika ukweli,kila mtoto wa Mungu anaye Roho Mtakatifu wa Mungu hawezi kubaki naibyo bitu bya mapambo byote nibya JEZABEL, nashukuru Mungu kwa neema alinipa piya yakukubali ukweli wa neno la Mungu kupitiya Roho Mtakatifu wa Mungu 🙏 Dadangu barikiwa sana jtm bien dans le Seigneur Jésus-Christ nôtre père 🙏💋
Ama kweli mwisho waja karibu mno,mafundisho haya si bahati mbaya ni makusudi ya Mungu kabisaaaa, kundi kubwa linalo kwenda kuangamia ni la wanawake.mawigi mpaka wazungu ajabu,Dada Mungu akutie nguvu Damu ya Yesu yatosha Amina
Mwenye masikio asikie ukweli huu... barikiwa sana kwa ujumbe huu maandiko yamekataza,1timoty2:8,cor 11.
Asantesana dada kwaujumbe mzuri mwenyekuwa na masikio na asikiye mungu akubariki na uwendeleye kutufunuliya mengine 🙏🙏🙏
Dada ubarikiwe sana hongera kwa kushinda, mfatilie pia Bishop Zachary kakobe anafundisha hivyo hivyo yuko Tanzania
in the last days God ill lift his people to awaken the peoples.... Hongera dada
God 🙏 Almighty bless you through Jesus Christ move ahead to warn and help us to know the truth about true salvation needs or requirements!!! Amen 🙏 Hallelujah Glory Be To God 🙏 Almighty through Jesus Christ
Mapambo ni chukizo mbele za Mungu, Mungu ametuumba vizuri hatuna haja kujiongezea maumbile
Amen wengi wanakupinga na kukuona mjinga ila huo ni ukweli kabisa ubarikiwe sana dada
Mungu akubariki sana kwa KUSEMA UKWELI! "Msiipende dunia wala mambo yaliyomo duniani"
Simu,gari ndege,masomo ,mavazi viti,vitanda blanketi na kadhalika ni ya dunia je unaipenda,heri useme tuwe makini na chochote tunachotumia humu duniani kisichangie twende motoni alipotengewa shetani.
Sema sana mama hongera niukweri
Hicokitabo ca kumbukumbu la Torati kiliandikwa wakati wanaume na wanawake walikuwa wanavaa makanzu, wayahudi hata sasa hivi wote wanavaa kanzu, sasa hii ya pantalo wewe umeisoma wapi. Jifunze histoire kwanza. Kila mungu atafute kumujua mungu naye atamubadirisha. Anapenda sana wanao tafuta kumutambua. Ubarikiwe.
Amina dada
Mungu akubariki sema tupone mutume wa mungu shukurani kwa ufafanuzi bora Asante kwa ku tangaza sauti ya Mungu kwetu n'a dunia nzima yesu azidi kwako mu Congo mani wa kwetu nakufata toka uarabuni shukurani mno🙏🙏
Tunashukuru kwa mafundisho, Mungu atusame na atuwezeshe kuacha kabisa, Mungu wee damu Yako initakase juu na mie kuna saa Naacha kuva pantalon saa ungine nayirudilia, atuwezeshe, Mungu wee😭😭😭😭😭
Hong era sana
Amina mtumishi wa mungu Asante Yesu kwakuenderea kuinua watumishi wako nakuja kuzifumbua siri za yure mwovu 🙏🙏
Ukweli kabisa YESU kristo akubariki sana
Namshukuru sana Mungu sana, Mungu anatupenda sana wamama tubadilike
Amen mtumishi mwenye masikio asikie 🙏
Mungu akubariki kwa usema kweli, makanisa Tanzania yanayosema kweli yanapingwa, wewe kwakuwa ni Mkongo nimebalikiwa saaana
Amina Bwana asifiwe umesema kweli Mungu akutie nguvu maman ,naomba Mungu anisaidie niachane n'a mapambo
AMINA This what I should always give my attention to God bless you siz
Mungu aku bariki sana Mjakazi wa Mungu.
Mungu ameni ambiya bitu mingi juu ya banamuke.
Mungu atu saidiye siye banamuke !
Na unapo sema kweli wana ku chukiya, lakini sisi hatuta choka. Mungu atupe mwisho muzuri kuliko mwanzo.
Asante Sana dada kwa neno zuri Mungu azidi kukutumia Kama apendavyo yeye amen 🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen kweli kabisa matendo iambatane na mafazi
Amina kubwa yesu ndivo anavotaka tuwe
AMINA TENA AMINA KUBWA UBARIKIWE SANA MM NILIVOSIKIA USHUHUDA NILITUPA HAYO MAWIGI
Mungu akubaridi na pia akulinde sana👏👏👏👏. Mwenye sikiyo naasikiye.
Mafundisho hao nimekubaliana nanyie kua ni ukweli yani make up na vipambo vingine ni dhambi be blessed sister servant of God
Namshukuru Mungu sijawahi kutumia vipodozi vya aina yoyote Mungu alinitenga na vitu hivyo ila tu nilikuwa nasuka tu kwasasa nimenyoa Namshukuru Mun
Dada nimekuelewa,na nashukuru mungu kwa uwepo wako hapa, kwani tangu nianze kukusikiza,ni meacha viote,na mungu anisamehe sana kwa kuharibu hekalu lake,endelea kutuelimisha.
Dadangu Mungu akuinue sana kupitia kwako nikajua ukweli,na sasa nimeviwacha na niko sawa kabisa, MUNGU ndie alikutuma ili utueleweshe kwani tulikua gizani asante kwa Mungu kukutuma kwangu, Nakutazama nikiwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya 🙏.
Halelua. Ni kweli na Amina ubarikiwe. Sana. Usichoke. Endelee
Hata mimi naacha napaka😭😭 Yesu nisaidie
Mungu akubariki dada kwa ujasiri wakusema ukweli
Amen 🙏 I receive and believe!! I repent before God 🙏 Almighty to forgive me and my family for using those items on my body and my soul!!!!
Amen tunashuru kwa ujumbe ubarikiwe mujakazi
Nikwali dada preach woman of God 🙏
I would like to know how you tie you head wrap.. it's really beautiful ❤️
Hubiri hii ndio kweli hasa tupo pamoja nawe
Ubarikiwe sana dada mutumishi wa MUNGU.
Amen ubarikiwe mnomnoo.
Amen Amen mtumishi Mwenyezi Mungu akubariki sana
Kwelikabisa ❤
Ubarikiwe sana
Sema mtumishi ubarikiwe ukweli unauma umewashika pabaya
sisi kanisani tunapoabudu mchungaji amekataza kbs mapambo na mivalio,,,atusuki Rasta Wala atuvai wigi,Wala bangili Wala hereni...tunafunika nywele na Hilo kanisa watu wakihubiriwa kuusu mapambo jumapili ijayo hawaji...mungu atusaidie saaana ...
Mungu atusaidie Sana. Maana tumekuwa na mioyo migumu kuamini.
Unachosema ni kwelii ukishajua hii sirii unapigwa vita hatr jmn siku nilijua ukweli kuusu mapambo iyo siku sikulala lkn nikasemaa sawa sitalala lkn nikiamka tuu naenda kutoa izii nywele ambazo nilikua nimeweka dawa Mungu anatupenda anataka tuwe natural
Atari san at m nilikuwa n wek dawa nik ach kuwek nik ziach ivy n zim anza kubdilika zile za dawa zn ktik zn baki natural
Mungu akubariki sana
Amen amen mama unacho ongeya ni ukweli mtupu
Amen mtu wamungu nimepona❤
Kweli dada Mungu akubariki sana
Amena ubarikiwe uongezewe sana
Yesu sio mungu, bali mwana wa Mungu, mwana hatoshani na baba
Wewe huijui kweli kalaga baho
Ni kweli dada
Asante mama kwa ujumbe huu
Ni kweli upo sahihi Kwa hapa Dar. Kaanani Bible church tumelizingatia hilo
Wanawake wengi hujipamba manywele cutex etc wafurahishe waume wao lakini wanasahau ni Mungu atakupa nafasi mbinguni
Wambie dada wakatae wakubali mungu anabaki kuwa mungu
Vema sana Dada, pia Dada kasome waebrania 4:9.....utaujua kweli zaidi
Tunapambwa na neno la Mungu na maombi.mithali 1:8-9 zaburi 149:4.
Amen
Don't worry and don't mind,if God called you move on,preach the gospel,bibilia ina sema enyi kizazi cha nyoka, Nani kawaloga? People nowadays are after money ,sio kukombowa mioyo
Ubarikiwe sana dada
Hongera Sana dada ukovizuri maana wanawake niwabishi sana
Kwa Semina za familia ndoa, uchumba na malezi ya watoto; Ingia RUclips, Mrs Deborah Urio!
Sema kweli Mama
Makanisa ya Leo Haifundishi kweli
Injili ya kweli kabisa wapinge wasipinge wewe umeshanawa mikono damu yao haitadaiwa mikononi mwako
Mungu nisaidie
neno hilo ni uzima mungu atupe neema ya kuyakubali na kutii maneno yake
ANAECHUKIA MWACHE ACHUKIE .HUBIRI UKWELI TUPONE.
Ulichosema ni kweli
Umenena vema dada, 🙏 nikweli mwenyee masikio na asikie 📌. Mimi mwenyewe nimekubali kubadilika, nimevaa nguo za hivyo, lakini nimeona ni vema kubadilika 🙏 Ubarikiwe
Amina kubwa mama mtumishi
Amen Amen
Asante sana mama kwa mafundisho yako mafundisho yako nimazuri
Asanti dada yangu mungu akuripe
Amin
Yes yes yes yes true
Kuvaa biker ni dhambii
Amina sana mtumshi
Siye bote tuli kuwa natubu na kurudiliya mungu ana wa jiwa , waliyo wake
Usijali dada angu waambie ukweli nahio ukweli utawakomboa kwa utumwa
Uko sahihi dada.ngoja niongeze maandiko.1peter 3:3-5. Isaya 29:16.isaya 45:9.warumi 9:20.yeremia 18:1-6
Thanks MAMA so much
Kwely tukuwa natural ni wazuri mnooo m nilikuw n ekaga nywele dawa nim ach n saiv nywele zangu zim anz kuwa natural zile za dawa zn katika
Hereni ni dhambi sana, unaevaa jiandae moto
Mungu akubariki
Amen
Ubarikiwe.
Amina
Very true.
Soma Neno kwanza nyuma ulete
Tafsiri iwe nyuma!
Utakatifu ni mwili na roho.2korintho 7:1
Wengi wanataka utakatifu wa rohoni ila wa mwilini hawautaki wanataka kumuabudu mungu vile wao wanataka sio vile mungu anataka
Naomba kuuliza Pete za ndoa nazo hazitakiwi?