MAPAMBO YA WANAWAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 162

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 2 года назад +4

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu haya yote unayosema ni kweli na Amina Jina la Bwana wetu Yesu Kristo liinuliwe.

  • @wakurusimba2945
    @wakurusimba2945 4 месяца назад +1

    Siachi mapambo hadi pale Mungu atakapo nitolea hamu ya kuvitamani

  • @marybravely1054
    @marybravely1054 Год назад +3

    Mungu akubariki Sana
    Roho wa Mungu Yuko ndani yako.

  • @luciasimeo2170
    @luciasimeo2170 2 года назад +2

    Mungu amewainua watumishi wa kweli ili wanaojipamba wasije kutoa udhulu siku ya mwisho, waukumiwe sawasawa na neno lenu.

  • @mercymwasha3993
    @mercymwasha3993 2 года назад +4

    Ubarikiwe sana Mtumishi. Kazi yako ni njema sana

  • @jesus_christtecherche
    @jesus_christtecherche 2 года назад

    Bwana Yesus Christu asifiwe Dadangu nashukuru mwenyezi Mungu baba kukupata kwenye youtube kwaukweli ubarikiwe sana kuusu iyi message niukweli wana wake na shetani hapendi iyo message itangaziwe kwa watoto wa Mungu nilipitiya iyo shida piya ila ukweli una bakiukweli wakutaka kuokolewa watatii neno la Mungu katika ukweli,kila mtoto wa Mungu anaye Roho Mtakatifu wa Mungu hawezi kubaki naibyo bitu bya mapambo byote nibya JEZABEL, nashukuru Mungu kwa neema alinipa piya yakukubali ukweli wa neno la Mungu kupitiya Roho Mtakatifu wa Mungu 🙏 Dadangu barikiwa sana jtm bien dans le Seigneur Jésus-Christ nôtre père 🙏💋

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 2 года назад +2

    Ama kweli mwisho waja karibu mno,mafundisho haya si bahati mbaya ni makusudi ya Mungu kabisaaaa, kundi kubwa linalo kwenda kuangamia ni la wanawake.mawigi mpaka wazungu ajabu,Dada Mungu akutie nguvu Damu ya Yesu yatosha Amina

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 2 года назад +2

    Mwenye masikio asikie ukweli huu... barikiwa sana kwa ujumbe huu maandiko yamekataza,1timoty2:8,cor 11.

  • @shantal6030
    @shantal6030 2 года назад +3

    Asantesana dada kwaujumbe mzuri mwenyekuwa na masikio na asikiye mungu akubariki na uwendeleye kutufunuliya mengine 🙏🙏🙏

  • @maryndunguru2091
    @maryndunguru2091 2 года назад +4

    Dada ubarikiwe sana hongera kwa kushinda, mfatilie pia Bishop Zachary kakobe anafundisha hivyo hivyo yuko Tanzania

  • @erickpasence5837
    @erickpasence5837 2 года назад +3

    in the last days God ill lift his people to awaken the peoples.... Hongera dada

  • @wesongamildred5618
    @wesongamildred5618 2 года назад +1

    God 🙏 Almighty bless you through Jesus Christ move ahead to warn and help us to know the truth about true salvation needs or requirements!!! Amen 🙏 Hallelujah Glory Be To God 🙏 Almighty through Jesus Christ

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 2 года назад +2

    Mapambo ni chukizo mbele za Mungu, Mungu ametuumba vizuri hatuna haja kujiongezea maumbile

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 Год назад +1

    Amen wengi wanakupinga na kukuona mjinga ila huo ni ukweli kabisa ubarikiwe sana dada

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 года назад +4

    Mungu akubariki sana kwa KUSEMA UKWELI! "Msiipende dunia wala mambo yaliyomo duniani"

    • @ASTONVILLA_254
      @ASTONVILLA_254 Год назад

      Simu,gari ndege,masomo ,mavazi viti,vitanda blanketi na kadhalika ni ya dunia je unaipenda,heri useme tuwe makini na chochote tunachotumia humu duniani kisichangie twende motoni alipotengewa shetani.

  • @simonniyonzima5457
    @simonniyonzima5457 Год назад +1

    Sema sana mama hongera niukweri

  • @ndaizeyeimmaculee9477
    @ndaizeyeimmaculee9477 2 года назад +2

    Hicokitabo ca kumbukumbu la Torati kiliandikwa wakati wanaume na wanawake walikuwa wanavaa makanzu, wayahudi hata sasa hivi wote wanavaa kanzu, sasa hii ya pantalo wewe umeisoma wapi. Jifunze histoire kwanza. Kila mungu atafute kumujua mungu naye atamubadirisha. Anapenda sana wanao tafuta kumutambua. Ubarikiwe.

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад

    Mungu akubariki sema tupone mutume wa mungu shukurani kwa ufafanuzi bora Asante kwa ku tangaza sauti ya Mungu kwetu n'a dunia nzima yesu azidi kwako mu Congo mani wa kwetu nakufata toka uarabuni shukurani mno🙏🙏

  • @thediandayemeye6095
    @thediandayemeye6095 2 года назад +2

    Tunashukuru kwa mafundisho, Mungu atusame na atuwezeshe kuacha kabisa, Mungu wee damu Yako initakase juu na mie kuna saa Naacha kuva pantalon saa ungine nayirudilia, atuwezeshe, Mungu wee😭😭😭😭😭

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer Месяц назад

    Hong era sana

  • @rebekamoses9220
    @rebekamoses9220 2 года назад

    Amina mtumishi wa mungu Asante Yesu kwakuenderea kuinua watumishi wako nakuja kuzifumbua siri za yure mwovu 🙏🙏

  • @user-rx2fi8eg6l
    @user-rx2fi8eg6l 10 месяцев назад +1

    Ukweli kabisa YESU kristo akubariki sana

  • @eunicekuja1958
    @eunicekuja1958 2 года назад +1

    Namshukuru sana Mungu sana, Mungu anatupenda sana wamama tubadilike

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 3 года назад +3

    Amen mtumishi mwenye masikio asikie 🙏

  • @luciasimeo2170
    @luciasimeo2170 2 года назад +1

    Mungu akubariki kwa usema kweli, makanisa Tanzania yanayosema kweli yanapingwa, wewe kwakuwa ni Mkongo nimebalikiwa saaana

  • @safiselemani8235
    @safiselemani8235 10 месяцев назад

    Amina Bwana asifiwe umesema kweli Mungu akutie nguvu maman ,naomba Mungu anisaidie niachane n'a mapambo

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 2 года назад +1

    AMINA This what I should always give my attention to God bless you siz

  • @naturalforjesus6016
    @naturalforjesus6016 2 года назад +1

    Mungu aku bariki sana Mjakazi wa Mungu.
    Mungu ameni ambiya bitu mingi juu ya banamuke.
    Mungu atu saidiye siye banamuke !
    Na unapo sema kweli wana ku chukiya, lakini sisi hatuta choka. Mungu atupe mwisho muzuri kuliko mwanzo.

    • @TINNAHHassan
      @TINNAHHassan Год назад

      Asante Sana dada kwa neno zuri Mungu azidi kukutumia Kama apendavyo yeye amen 🙏🙏

  • @theresentumbakazadizadio1586
    @theresentumbakazadizadio1586 10 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @linetmbevi6806
    @linetmbevi6806 Год назад +1

    Amen kweli kabisa matendo iambatane na mafazi

  • @levinagabriely1766
    @levinagabriely1766 Год назад +1

    Amina kubwa yesu ndivo anavotaka tuwe

  • @tumainimsumba9542
    @tumainimsumba9542 2 года назад +1

    AMINA TENA AMINA KUBWA UBARIKIWE SANA MM NILIVOSIKIA USHUHUDA NILITUPA HAYO MAWIGI

  • @marcellinedorcas764
    @marcellinedorcas764 2 года назад +1

    Mungu akubaridi na pia akulinde sana👏👏👏👏. Mwenye sikiyo naasikiye.

  • @jeanmariehakizimana7886
    @jeanmariehakizimana7886 2 года назад +2

    Mafundisho hao nimekubaliana nanyie kua ni ukweli yani make up na vipambo vingine ni dhambi be blessed sister servant of God

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 10 месяцев назад

    Namshukuru Mungu sijawahi kutumia vipodozi vya aina yoyote Mungu alinitenga na vitu hivyo ila tu nilikuwa nasuka tu kwasasa nimenyoa Namshukuru Mun

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 года назад +2

    Dada nimekuelewa,na nashukuru mungu kwa uwepo wako hapa, kwani tangu nianze kukusikiza,ni meacha viote,na mungu anisamehe sana kwa kuharibu hekalu lake,endelea kutuelimisha.

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Год назад

    Dadangu Mungu akuinue sana kupitia kwako nikajua ukweli,na sasa nimeviwacha na niko sawa kabisa, MUNGU ndie alikutuma ili utueleweshe kwani tulikua gizani asante kwa Mungu kukutuma kwangu, Nakutazama nikiwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya 🙏.

  • @user-ed2jz5ym9u
    @user-ed2jz5ym9u 6 месяцев назад

    Halelua. Ni kweli na Amina ubarikiwe. Sana. Usichoke. Endelee

  • @telesiasaga5621
    @telesiasaga5621 2 года назад +3

    Hata mimi naacha napaka😭😭 Yesu nisaidie

  • @neemapendeza9886
    @neemapendeza9886 2 года назад +2

    Mungu akubariki dada kwa ujasiri wakusema ukweli

  • @wesongamildred5618
    @wesongamildred5618 2 года назад

    Amen 🙏 I receive and believe!! I repent before God 🙏 Almighty to forgive me and my family for using those items on my body and my soul!!!!

  • @zembrirubanguka9963
    @zembrirubanguka9963 2 года назад +1

    Amen tunashuru kwa ujumbe ubarikiwe mujakazi

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 2 года назад +1

    Nikwali dada preach woman of God 🙏

  • @purity234
    @purity234 2 года назад +2

    I would like to know how you tie you head wrap.. it's really beautiful ❤️

  • @christiansalingo2468
    @christiansalingo2468 2 года назад +3

    Hubiri hii ndio kweli hasa tupo pamoja nawe

  • @johnberchmanshavyarimana77
    @johnberchmanshavyarimana77 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana dada mutumishi wa MUNGU.

  • @veronicaonesmo899
    @veronicaonesmo899 2 года назад +1

    Amen ubarikiwe mnomnoo.

  • @helenbahati8038
    @helenbahati8038 2 года назад

    Amen Amen mtumishi Mwenyezi Mungu akubariki sana

  • @user-mh7xj6df6c
    @user-mh7xj6df6c Год назад

    Kwelikabisa ❤
    Ubarikiwe sana

  • @nelsonbreidon6600
    @nelsonbreidon6600 2 года назад

    Sema mtumishi ubarikiwe ukweli unauma umewashika pabaya

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 Год назад +1

    sisi kanisani tunapoabudu mchungaji amekataza kbs mapambo na mivalio,,,atusuki Rasta Wala atuvai wigi,Wala bangili Wala hereni...tunafunika nywele na Hilo kanisa watu wakihubiriwa kuusu mapambo jumapili ijayo hawaji...mungu atusaidie saaana ...

  • @neemagwivaha1019
    @neemagwivaha1019 2 года назад

    Mungu atusaidie Sana. Maana tumekuwa na mioyo migumu kuamini.

  • @vumiliaswilla2901
    @vumiliaswilla2901 2 года назад +1

    Unachosema ni kwelii ukishajua hii sirii unapigwa vita hatr jmn siku nilijua ukweli kuusu mapambo iyo siku sikulala lkn nikasemaa sawa sitalala lkn nikiamka tuu naenda kutoa izii nywele ambazo nilikua nimeweka dawa Mungu anatupenda anataka tuwe natural

    • @mercycharlesmsiagi1756
      @mercycharlesmsiagi1756 2 года назад

      Atari san at m nilikuwa n wek dawa nik ach kuwek nik ziach ivy n zim anza kubdilika zile za dawa zn ktik zn baki natural

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @tujuaneasani1685
    @tujuaneasani1685 2 года назад +1

    Amen amen mama unacho ongeya ni ukweli mtupu

  • @MwamvitaAdam-jn7qg
    @MwamvitaAdam-jn7qg 10 месяцев назад

    Amen mtu wamungu nimepona❤

  • @marcelinaomari5451
    @marcelinaomari5451 2 года назад +1

    Kweli dada Mungu akubariki sana

  • @simonniyonzima5457
    @simonniyonzima5457 Год назад

    Amena ubarikiwe uongezewe sana

  • @MessianicGallery.K
    @MessianicGallery.K 2 года назад

    Yesu sio mungu, bali mwana wa Mungu, mwana hatoshani na baba

  • @sarahbinam7946
    @sarahbinam7946 26 дней назад

    Ni kweli dada

  • @user-lk8gx1tr5p
    @user-lk8gx1tr5p 6 месяцев назад

    Asante mama kwa ujumbe huu

  • @annajohnson9553
    @annajohnson9553 2 года назад +1

    Ni kweli upo sahihi Kwa hapa Dar. Kaanani Bible church tumelizingatia hilo

  • @miria659
    @miria659 3 года назад +2

    Wanawake wengi hujipamba manywele cutex etc wafurahishe waume wao lakini wanasahau ni Mungu atakupa nafasi mbinguni

  • @gladysnyanchera
    @gladysnyanchera Год назад

    Wambie dada wakatae wakubali mungu anabaki kuwa mungu

  • @wegesaelias9568
    @wegesaelias9568 2 года назад +1

    Vema sana Dada, pia Dada kasome waebrania 4:9.....utaujua kweli zaidi

  • @upendopeter5358
    @upendopeter5358 2 года назад +3

    Tunapambwa na neno la Mungu na maombi.mithali 1:8-9 zaburi 149:4.

  • @sollyamojoamojong8154
    @sollyamojoamojong8154 2 года назад +2

    Don't worry and don't mind,if God called you move on,preach the gospel,bibilia ina sema enyi kizazi cha nyoka, Nani kawaloga? People nowadays are after money ,sio kukombowa mioyo

  • @alinepascalin8777
    @alinepascalin8777 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana dada

  • @aidanfumu3349
    @aidanfumu3349 Год назад

    Hongera Sana dada ukovizuri maana wanawake niwabishi sana

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 года назад +1

    Kwa Semina za familia ndoa, uchumba na malezi ya watoto; Ingia RUclips, Mrs Deborah Urio!

  • @estharlovely6202
    @estharlovely6202 Год назад

    Sema kweli Mama

  • @user-ed2jz5ym9u
    @user-ed2jz5ym9u 6 месяцев назад

    Makanisa ya Leo Haifundishi kweli

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 3 года назад +2

    Injili ya kweli kabisa wapinge wasipinge wewe umeshanawa mikono damu yao haitadaiwa mikononi mwako

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 2 года назад

    Mungu nisaidie

  • @beatricenjau9124
    @beatricenjau9124 2 года назад

    neno hilo ni uzima mungu atupe neema ya kuyakubali na kutii maneno yake

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 года назад +2

    ANAECHUKIA MWACHE ACHUKIE .HUBIRI UKWELI TUPONE.

  • @tinangimba8909
    @tinangimba8909 2 года назад +1

    Ulichosema ni kweli

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 2 года назад +1

    Umenena vema dada, 🙏 nikweli mwenyee masikio na asikie 📌. Mimi mwenyewe nimekubali kubadilika, nimevaa nguo za hivyo, lakini nimeona ni vema kubadilika 🙏 Ubarikiwe

  • @aengelukalula7036
    @aengelukalula7036 2 года назад

    Amina kubwa mama mtumishi

  • @dazawadi1896
    @dazawadi1896 2 года назад

    Amen Amen

  • @selinkahindi2453
    @selinkahindi2453 2 года назад

    Asante sana mama kwa mafundisho yako mafundisho yako nimazuri

  • @innocentbitwayiki7889
    @innocentbitwayiki7889 2 года назад

    Asanti dada yangu mungu akuripe

  • @MarthamwashiuyaMwashiuya
    @MarthamwashiuyaMwashiuya 11 месяцев назад

    Amin

  • @josephinechepkoech272
    @josephinechepkoech272 2 года назад +1

    Yes yes yes yes true

  • @nellygathoni2496
    @nellygathoni2496 2 года назад

    Kuvaa biker ni dhambii

  • @jenifakajuni3550
    @jenifakajuni3550 2 года назад

    Amina sana mtumshi

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 2 года назад +1

    Siye bote tuli kuwa natubu na kurudiliya mungu ana wa jiwa , waliyo wake

  • @muthonijgatia4350
    @muthonijgatia4350 2 года назад

    Usijali dada angu waambie ukweli nahio ukweli utawakomboa kwa utumwa

  • @upendopeter5358
    @upendopeter5358 2 года назад +2

    Uko sahihi dada.ngoja niongeze maandiko.1peter 3:3-5. Isaya 29:16.isaya 45:9.warumi 9:20.yeremia 18:1-6

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga6363 Год назад

    Thanks MAMA so much

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi1756 2 года назад

    Kwely tukuwa natural ni wazuri mnooo m nilikuw n ekaga nywele dawa nim ach n saiv nywele zangu zim anz kuwa natural zile za dawa zn katika

  • @allymwiny601
    @allymwiny601 3 года назад +1

    Hereni ni dhambi sana, unaevaa jiandae moto

  • @kinotititus8798
    @kinotititus8798 3 года назад

    Mungu akubariki

  • @mathadmzunda3089
    @mathadmzunda3089 2 года назад

    Amen

  • @jenifakajuni3550
    @jenifakajuni3550 2 года назад

    Ubarikiwe.

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 2 года назад

    Amina

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад

    Very true.

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Год назад

    Soma Neno kwanza nyuma ulete

  • @upendopeter5358
    @upendopeter5358 2 года назад +3

    Utakatifu ni mwili na roho.2korintho 7:1

    • @ayubu_podcast
      @ayubu_podcast 2 года назад

      Wengi wanataka utakatifu wa rohoni ila wa mwilini hawautaki wanataka kumuabudu mungu vile wao wanataka sio vile mungu anataka

  • @esterchangala7078
    @esterchangala7078 2 года назад

    Naomba kuuliza Pete za ndoa nazo hazitakiwi?