I Wish alipelekwa hospitali hapa Kenya 🇰🇪 Nairobi Hospital to be checked Angepona instead of being flown all the way to Dar..Operation was not Necessary Mungu anawaona hao Madakitari they caused the Death of Marco Joseph Inauma Sana Anyway imetendeka .May his Soul Rest Peace.
True hata Agakhan hosp is best kutibu moyo .most patients operations zao hukuwa successful .poleni sana familia yake na zabron singers .kifo ni uchungu
Yote hayo tumwachie mungu.hata hao madaktar tusiwalaumu.operation wa moyo ndugu zanguni hata angepona asingeish muda mrefu.tuna ndugu yetu alifanyiwa na mpaka Leo hii hatupo nae.tumshukuru mungu kwa yote.hata ss mm kesho yetu hatuijui.poleni sana Wana familia mungu awatie nguvu kipindi hik kigumu.hata ss tulimpenda sana
Nchini Tanzania hakuna Ma-Daktari wazuri ukiumw aukipelekwahospitali ujijuwe unakwendakufa kupona ni asilimia 20 tu. Mr Tundu Lissu angelitibiwa Tanzania sasa hivi tungelimwita Marehemu .Lakini amekwendakutibia ulaya na amepona .
Heart surgery is very delicate,it's needs the best of the best surgeon to carry the operation and well equipped facility.God knows better.RIp Mwimbaji😭😭😭
Hamujui kitu madakitari wa Tanzania kuendeni huko mrudi mashuleni mmefanya kitu mbaya sna,ama mliongwa kumaliza muimbaji wetungemu ref Kenya,hata nalaumu pia wenye walimurudisha Tanzania eti atipiwe huko mbona hamukumuacha ati iwe huku kueyu Kenya ,na mlikua Kisumu pia kina specialist wa moyo tukampotezandugu wetu mzuri kua njia ka hiyo jamani,sjui ka ntasahau souti na sura yke,rip bro mungu anakujua vzuri sna.
Mungu awape faraja zake zinazo pita uwezo wa kibinadamu... but ako kwa mikono iliyo salama, Mungu hutukumbusha pia kupitia hili kwamba tuwasafiri... ila Mungu alipanga haya yote, asante Mungu kwa mda wote pamoja na Marco hapa duniani... hii ni transfer Marco akaimbe huko juu Mbinguni.. natushukuru kwamba hata hili Mungu atawapa faraja na litapita.. Mungu ametukumbusha tuko safarini basi tujichunguze tunaelekea vipi🇰🇪🙏❤
Tumezaliwa siku moja tutakufa siku moja muhimu ni kumuomba mwenyez mungu atujalie mwisho mwema msilaumu madaktar sana kwan kila mmoja ataondoka kwa sababu mwenyez mungu alopanga kifo kimeumbwa msiongee sana mkamkufuru mwenyez mungu inauma sana ila tumshukur mungu yote kwa yote innalilah wainalillah rajiun😭🙏
All is not lost,he is at the right time in the hands of GOD ,we are all passing by ,diferen time , diferent ours. im Evangelist Silvanos AKOMBO GOSPEL ARTIST FROM KENYA.
No operation these days: normaly this is done: Coronary stents are now used in nearly all angioplasty procedures. A stent is a tiny, expandable metal mesh coil. It's put into the newly opened area of the artery to help keep the artery from narrowing or closing again. Tissue will start to coat the stent like a layer of skin once the stent has been placed. Mume wangu alifanywa 2012 aliposikia uchungu huo.
Mbona mlimpeleka tazania na alikua Kenya,na Kenya Kuna mahosipitali mbona,mbona,nlitaka tu huyo muimbaji wetu aage Dunia,imeniuma sna kuliko wote ju nlikua nwapenda sna sauti yake na dadake,mi sio familia bt imeniuma sna,wakenya tumupenda sana na dadake jinzi walivio kua wakirudishana masauti zao ,tazania hakuna madakitari,n mafala sana,hao na uzembe wao ndio waliomua Jose wetu😭😭😭😭😭
I was So saddened and touched to hear of this sudden death of this dear servant of God...of the Zablon singers. I have been quiet ,in like wondering waaa, is it so? Am I hearing it well or seeing? He served God through music in a great and powerful way # Zablon singers It's not easy to be humanly possible. But I know, our father in Heaven who took Him home knows it, Words may not mean much dear brothers and sisters of Zablon singers,His family and larger family and the entire Nation and East Africa community. May our good Lord uphold you and encampass you this most difficult season.shalom.
Hii dunia hakuna kazi isiyo na lawama,, kikubwa ni kufanya kwa moyo ukiamini hakuna wa kukulipa zaidi ya Mungu..mnawalaumu madaktari lkn kuna mambo mengine yapo juu ya fahamu za binadamu
Kupasuliwa kifua kabisa mhh ni changamoto hata marco sema tu ana imani sana ndo ulomlinda mpk akakubali lakin vingine mh bora ufe hvyohvyo kuliko kwenda kuchnjwachinjwa hvyo aisee
Ukimsikiliza Daktari vizuri huna mahali pa kutoa lawama kabisa na Sijaona kucheka kwa namna yoyote ya kubeza msiba kwa Dr. R.I.P gone too soon Mungu awe mfariji mkuu wa familia
Hata kama wangempa referral kwenda mbali ikiwa Mungu ametuwekea mipaka ambayo mwanadamu hawezi kuivuka.wko waliyopelekwa mbali lkn hawakurudi wazima,hivyo badala ya kulaum tushukru kwa yote ingawa ni ngumu kulipokea kwa ndugu zakee.nafikri haya yaliyotokea ndiyo mapenzi ya BWANA.
Uhifadhiwe vizur au vibaya ukishakifa umekufa haisaidii chochote la msingi umejiandaaje katika safari yako ya kuondoka hapa duniani cku yako ya mwisho? Tuombeane mwisho mwema polen wote tulioguswa na msiba huu mzito R.I.P Marco
Madaktari wa sasa wachache wanawito wengine ni pumba nakumbuka mwaka jana nilitaka kurudiwa sindano nikakata nililalamika walipogundua walimsimamisha kazi uzembe upo
Sasa niyo hiyo mmemfanyia operation amepona hata nyinyi madaktari mwe makini binadamu si kama engine yagari in shot we live once so once you are handling human being be careful hatukaki hiyo mahojiano ju haisaidii kwa sasa
🤔🤔🤔 mmm kuna maswali mengi sana?? Katika hichi kifo mwenye ufahamu afahamu' kwanini asiangwe na kuagwa watu wanamtizama usoni 'eti kaharibika sana'pili kwanini wa harakishe mazishi' kama hakuna mchezo mchafu unao endelea ila 👉👉 nyie 'mungu anawaona mliomfanyia mwenzenu hivi' na nyinyi mapua yenu yameinamia chini' nanyi mtafuata Msijisaulishe 'kazi kuwachukua watu misukule'kukatisha maisha ya wenzenu ole wenu siku zenu zaja
Wewe unabooa Sana madakitari walifanya Kazi yao vizuri Mimi nilifanyiwa na nikatoka operation hilichukua masaa 12 na sio masaaa 5 Kazi ya dakitari sio kama yako kwani Kenya ndio nini wacha kutuletea upumbavu
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo wakati wake uliokusudiwa na Mungu ulikuwa umewadia, hata angepelekwa wapi kusudi la Mungu lingetimia. Tusirahumu sana tuiombee familia Mungu awatie nguvu ya kulipokea
Mimi pia Mme wangu alikataa kuweka sahihi Mimi nikifa asilaumu Mme wangu alikataa wakasign madaktari na Mimi mwenye.niliingia kwenye chumba cha upasuaji Sana mbili nilirudishwa hodi alfajili ya saa Kumi na moja ndio nikazinduka.kuna kupona au kufa na kupona huwa Ni Mungu tu anasimama
Ninaomba tunaocoment tusiwalaumu madaktari, wanafanya kazi kubwa sana. Tusiwakatishe tamaa kwa lawama. Wapo wengi wanaotibiwa na kupona na wapo wanaotibiwa wanafariki kulingana na hali ya mgonjwa.
Maneno nmengi yameogelewa uko Tanzania tangu afe,,ili kusema mwili umeariba sana cwezi amini Mimi,hakuna kosa la dactari apo,nmidomo mumeeka sana ju mmekosa LA kuogea enyi waogeaji
Mbona tunasingizia madaktari lkn? Kama kifo kimefika kimefika hata madaktari wafanye nini, ulikua moyo hauezi work bila operation hata afanyeje lets understand first the system of the heart.. Tumshukuru mungu kwa kila hali na kwa kila jambo tusisingizie kifo hiyo ni mipango ya mungu
I Wish alipelekwa hospitali hapa Kenya 🇰🇪 Nairobi Hospital to be checked Angepona instead of being flown all the way to Dar..Operation was not Necessary Mungu anawaona hao Madakitari they caused the Death of Marco Joseph Inauma Sana Anyway imetendeka .May his Soul Rest Peace.
True hata Agakhan hosp is best kutibu moyo .most patients operations zao hukuwa successful .poleni sana familia yake na zabron singers .kifo ni uchungu
Kenya watu hawafi?
Death n life of person is in God's hand. Hakuna mtu anaeza kufa kama mungu hajakubali, ni wakati wake ulifika wa kuondoka nduniani.
1samwel 2:6 God brings death n makes alive: he brings down to the grave n raises up
I second you,,hapa Kenya I don't think our doctor's could rush in operations,wagetake precautions first 😢😢😢,,,Inaumaaa saana😭😭💔
Yote hayo tumwachie mungu.hata hao madaktar tusiwalaumu.operation wa moyo ndugu zanguni hata angepona asingeish muda mrefu.tuna ndugu yetu alifanyiwa na mpaka Leo hii hatupo nae.tumshukuru mungu kwa yote.hata ss mm kesho yetu hatuijui.poleni sana Wana familia mungu awatie nguvu kipindi hik kigumu.hata ss tulimpenda sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu mungu ndie kila kitu jaman
Pole ni sana jamani kumupoteza muimbaji kipenzi chawatu zaidi sana kipenzi cha familia tunatowa pole tukiwa Congo drc
Amiin
Mimi nilifanyiwa jeshini mwanza oppression wanajeshi wako vizuri kuliko hii minywa gongo
@@MwitaKihugiusifanye tena hivyo haina afya poti😮
Nchini Tanzania hakuna Ma-Daktari wazuri ukiumw aukipelekwahospitali ujijuwe unakwendakufa kupona ni asilimia 20 tu. Mr Tundu Lissu angelitibiwa Tanzania sasa hivi tungelimwita Marehemu .Lakini amekwendakutibia ulaya na amepona .
Kila jambo ni mungu karuhusu kama alifanya kazi ya mungu kwa uaminifu atavalishwa taji tuache lawama
Heart surgery is very delicate,it's needs the best of the best surgeon to carry the operation and well equipped facility.God knows better.RIp Mwimbaji😭😭😭
Hamujui kitu madakitari wa Tanzania kuendeni huko mrudi mashuleni mmefanya kitu mbaya sna,ama mliongwa kumaliza muimbaji wetungemu ref Kenya,hata nalaumu pia wenye walimurudisha Tanzania eti atipiwe huko mbona hamukumuacha ati iwe huku kueyu Kenya ,na mlikua Kisumu pia kina specialist wa moyo tukampotezandugu wetu mzuri kua njia ka hiyo jamani,sjui ka ntasahau souti na sura yke,rip bro mungu anakujua vzuri sna.
Mwenyezi Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu wanafamilia poleni kwa kuondokewa na kaka yetu mpendwa
Mungu awape faraja zake zinazo pita uwezo wa kibinadamu... but ako kwa mikono iliyo salama, Mungu hutukumbusha pia kupitia hili kwamba tuwasafiri... ila Mungu alipanga haya yote, asante Mungu kwa mda wote pamoja na Marco hapa duniani... hii ni transfer Marco akaimbe huko juu Mbinguni.. natushukuru kwamba hata hili Mungu atawapa faraja na litapita.. Mungu ametukumbusha tuko safarini basi tujichunguze tunaelekea vipi🇰🇪🙏❤
Tumezaliwa siku moja tutakufa siku moja muhimu ni kumuomba mwenyez mungu atujalie mwisho mwema msilaumu madaktar sana kwan kila mmoja ataondoka kwa sababu mwenyez mungu alopanga kifo kimeumbwa msiongee sana mkamkufuru mwenyez mungu inauma sana ila tumshukur mungu yote kwa yote innalilah wainalillah rajiun😭🙏
All is not lost,he is at the right time in the hands of GOD ,we are all passing by ,diferen time , diferent ours. im Evangelist Silvanos AKOMBO GOSPEL ARTIST FROM KENYA.
No operation these days: normaly this is done: Coronary stents are now used in nearly all angioplasty procedures. A stent is a tiny, expandable metal mesh coil. It's put into the newly opened area of the artery to help keep the artery from narrowing or closing again. Tissue will start to coat the stent like a layer of skin once the stent has been placed.
Mume wangu alifanywa 2012 aliposikia uchungu huo.
🇰🇪 ndugu yetu angetibiwa kenya tu maana hata shida ilimzidi akiwa amefika kisumu kenya. Yote hata yangeisha vyema kabisa..poleni kwa msiba
Mbona mlimpeleka tazania na alikua Kenya,na Kenya Kuna mahosipitali mbona,mbona,nlitaka tu huyo muimbaji wetu aage Dunia,imeniuma sna kuliko wote ju nlikua nwapenda sna sauti yake na dadake,mi sio familia bt imeniuma sna,wakenya tumupenda sana na dadake jinzi walivio kua wakirudishana masauti zao ,tazania hakuna madakitari,n mafala sana,hao na uzembe wao ndio waliomua Jose wetu😭😭😭😭😭
Inauma sanaaa duuuuuuh poleni sanaaa ndugu rafiki jamaaaa familiy MUNGU Awatie nguvu
Jina la bwana lipewe sifa daima Kwa muda huu mfupi tumekuwa na Marco Kwa uimbaji na kumtukuza mungu
I was So saddened and touched to hear of this sudden death of this dear servant of God...of the Zablon singers.
I have been quiet ,in like wondering waaa, is it so? Am I hearing it well or seeing?
He served God through music in a great and powerful way # Zablon singers
It's not easy to be humanly possible.
But I know, our father in Heaven who took Him home knows it,
Words may not mean much dear brothers and sisters of Zablon singers,His family and larger family and the entire Nation and East Africa community.
May our good Lord uphold you and encampass you this most difficult season.shalom.
Hii dunia hakuna kazi isiyo na lawama,, kikubwa ni kufanya kwa moyo ukiamini hakuna wa kukulipa zaidi ya Mungu..mnawalaumu madaktari lkn kuna mambo mengine yapo juu ya fahamu za binadamu
Hiyo Sura ya huyo doctari hatujafurahia Kenya😭😭😭😭 it's painful wangejua hawange fly Tanzania 😭😭😭mungu anakuona wewe uchungu Sana 😭😭😭
Poleni wafiwa mungu awafaliji katika kipindi hiki kigumu.
Rest in peace mwimbaji ,yote ni ya MUNGU , inaniuma zaidi 😢😢😢😢
Samahani ndg jifunze kutamka kiswahili vizuri. Kwani kwenye R unatamka L. Ni aibu kukusikiliza
Inakera sana na anayejua kiswahili kizuri inakatq stimu kusikiliza
Kukosea sio aibu mana hakuna mkamilifu hata wewe una makosa kibao watu wanakuvumilia mjuwaji wakila kitu ni Mungu tu wengine wote sisi tunapuyanga tu
Inauma sn jmn hatutokuona Tena kweli muimbaji mzuri sn Mungu aipokee roho Yako kw kweli nyimbo zako zitabaki kuwa kumbukumbu kwangu
Mungu ndiye mponyaji madaktari husaidia tu maumbile..tunawapenda madaktari hata hivyo❤
😭😭😭😭😭so painful may God come through my favorite singer Marco Joseph umetuwacha and a friend to many
Tumenguzwa myoyoni sana muyimbaji mwema.mungu amupumuzishe kwa mani❤
Familia na Zabroni singer's Mungu awatie nguvu , ni ngumu sana bt yote yawezekana kwa Mungu 🇰🇪
Polen sana family Mungu awatie nguvu 😭😭 pumzika kwa Amani mpendwa
Dah jmn inàuma sana poleni sana ndugu mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Waandishi jitahidini kwenye lugha tofautisheni kati ya L na R
Kama daktali badala ya daktari
Opaleshen badala ya opareshen(operation)
Dah inaumiza sana kuna namna hiyo operesheni haikuenda vizuri.
Kupasuliwa kifua kabisa mhh ni changamoto hata marco sema tu ana imani sana ndo ulomlinda mpk akakubali lakin vingine mh bora ufe hvyohvyo kuliko kwenda kuchnjwachinjwa hvyo aisee
Ukimsikiliza Daktari vizuri huna mahali pa kutoa lawama kabisa na Sijaona kucheka kwa namna yoyote ya kubeza msiba kwa Dr.
R.I.P gone too soon Mungu awe mfariji mkuu wa familia
Inauma sana,mnoo!poleni sana zablon singers
YOTE tumwachie Mungu maana YEYE ndo anajua YOTE ila Cha msingi sisi tuliobak tujiandae mwisho mzuri
Poleni sana jamani Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe
Kuna wakati hata kila kitu kikiwa ktk uangalifu bado madaktari hawajui kinachotokeaga.....Tumtafakari Mungu zaidi
Mungu ailaze mahari pema peponi roho ya marehem alitoa ametwaa jina lake litukuzwe
Pole sana ndugu wakristo
Ok sawa lakn kila binadam ana mapungufu yake
Nairobi hospital is the best even though expensive.
Nairobi is not heaven thank you
Were really those doctors qualified to make surgery??
Ikitokea imetokea hatuna budi kulaumu madaktari kikubwa tumuombe maiko apumzike kwa aman aminaa😢😢😮
Ni ngumu kuelewa mambo ya kifo,wuii bro tulia hamna neno,katukuze mungu huko mbinguni😢🙏🙏
Polen sana mungu awatie nguvu ni mpango wa mungu
Hata kama wangempa referral kwenda mbali ikiwa Mungu ametuwekea mipaka ambayo mwanadamu hawezi kuivuka.wko waliyopelekwa mbali lkn hawakurudi wazima,hivyo badala ya kulaum tushukru kwa yote ingawa ni ngumu kulipokea kwa ndugu zakee.nafikri haya yaliyotokea ndiyo mapenzi ya BWANA.
after kufanya Yuko mzima Sasa au Ni nguvu zako tw doctor ulikua nazo better mkemuacha tw MUNGU amponye c angeletwa Kenya rip bro
Mungu aitie farajaa familia ya marehemuuu jaman inaumaaaa sanaaa 😢😢😢😢😢😢
Pole sana ndugu zetu🇴🇲🇧🇮😢😢😢
Kaka tengeneza habari nzuri na za ukweli hakuna Mungu anabaki kuwa Mungu acha kutengeneza story zisizo na msingi.
Uhifadhiwe vizur au vibaya ukishakifa umekufa haisaidii chochote la msingi umejiandaaje katika safari yako ya kuondoka hapa duniani cku yako ya mwisho? Tuombeane mwisho mwema polen wote tulioguswa na msiba huu mzito R.I.P Marco
Mungu.mpokee.mtumishi.wako.
Inauma sana Mungu ampumzishe,
hiyo hospitali ingekuwa hapa kenya tungeichoma moto hadi mwili hauwezi kuhifadhiwa cku kadhha hapoo
Polen ndg zangu tupo pamoja.
Education challeng vizuri sanaa
Tuacheni lawama wanadamu. Daktari ni professional si wa kienyeji. Pia tumuachie Mungu ndio muamuzi
Madaktari wa sasa wachache wanawito wengine ni pumba nakumbuka mwaka jana nilitaka kurudiwa sindano nikakata nililalamika walipogundua walimsimamisha kazi uzembe upo
Poleni familia mungu awatie nguvu
Mbona mnaweka picha za wote wawili wakati aliyefariki mmoja?
Sasa niyo hiyo mmemfanyia operation amepona hata nyinyi madaktari mwe makini binadamu si kama engine yagari in shot we live once so once you are handling human being be careful hatukaki hiyo mahojiano ju haisaidii kwa sasa
🤔🤔🤔 mmm kuna maswali mengi sana?? Katika hichi kifo mwenye ufahamu afahamu' kwanini asiangwe na kuagwa watu wanamtizama usoni 'eti kaharibika sana'pili kwanini wa harakishe mazishi' kama hakuna mchezo mchafu unao endelea ila 👉👉 nyie 'mungu anawaona mliomfanyia mwenzenu hivi' na nyinyi mapua yenu yameinamia chini' nanyi mtafuata Msijisaulishe 'kazi kuwachukua watu misukule'kukatisha maisha ya wenzenu ole wenu siku zenu zaja
Wewe unabooa Sana madakitari walifanya Kazi yao vizuri Mimi nilifanyiwa na nikatoka operation hilichukua masaa 12 na sio masaaa 5 Kazi ya dakitari sio kama yako kwani Kenya ndio nini wacha kutuletea upumbavu
Na mimi nimewashangaa saana op ilienda vzr shida ikaja badae😢
Yani uelewa wake ni sifuri kabisa
Poleni Sana kwa familia mungu Ako na nyinyi
Jamani upasuwaji wa moyo unaweza ukachukuwa Hata masaa 12,kutokana naoperation
Tatzo watu hawajui taaruma ya udactari ndiyo maana wanasema ivo 😢😢😢
Hata madaktari sio wa kuwaamini Sana. Kufanyiwa utafiti ni kawaida Sana.
@@GodfreyJ.GMasunga kabisa , watuwanasema tuna walaumu madaktali . Hayajawakuta, sisi wengine tulikutw na maswaibu madaktali omba yasikukute
Jifunze kutofautisha LA na RA inakera kusikilisa “mwili umehalibika! UMEHARIBIKA ndio sahihi
Yani anaboa,halafu Hana facts kabisaaa,analaumu kitu asichokielewa,anakera huyu mtangazaji
Hao doctors kuna mshali waligunza wakammaliza juu mbona alidungwadugwa
Jamani Marco was in Kenya when he fell sick i wish he was treated in Kenya jamani.
Umewaza kama mimi
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo wakati wake uliokusudiwa na Mungu ulikuwa umewadia, hata angepelekwa wapi kusudi la Mungu lingetimia. Tusirahumu sana tuiombee familia Mungu awatie nguvu ya kulipokea
Mungu ndiye anaeyejua kila kitu 😢😢rest easy marco😢😢😢😢
Polen sana kwa kuondokewa na mpendwa wetu bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libalikiwe
Unajina kama langu yote mawili duh😢
Jamani si wangeweka huo mwili dawa ya kutosha? Ndugu walipaswa wasimamie utaratibu mzima wa kuhakikisha mwili unahifadhiwa vizuri.
I wish they didn't take him back to Tanzania,we have very nice Doctors in Kenya.heart attack needs agency.time was wasted
Figo zilibaki salama?
Mimi pia Mme wangu alikataa kuweka sahihi Mimi nikifa asilaumu Mme wangu alikataa wakasign madaktari na Mimi mwenye.niliingia kwenye chumba cha upasuaji Sana mbili nilirudishwa hodi alfajili ya saa Kumi na moja ndio nikazinduka.kuna kupona au kufa na kupona huwa Ni Mungu tu anasimama
Yan waandsh wa habari punguzen uongo n uchochezi mngepewa nyinyi mumfanyie angepona!!? Mnakera sana yan nyooo
Tunasahau ya kuwa daktar yeye anatibu ila anayeponya ni mungu hata tulalamike vip mung humchukua yule anayemtaka kwa wakat anao utaka yeye
Nawashagaa sana Mimi maana aina aja kutueleza megne,
So sad 😞 but wangemleta huku nairobi sad 😥
Ninaomba tunaocoment tusiwalaumu madaktari, wanafanya kazi kubwa sana. Tusiwakatishe tamaa kwa lawama. Wapo wengi wanaotibiwa na kupona na wapo wanaotibiwa wanafariki kulingana na hali ya mgonjwa.
Mungu ni mungu tuu pimzika kwa aman mtumishi 😭
Mimi mwenyew sijapendezwa kucheka kwa dokta anaona kawaida tu mungu akusamehe haufai kabisa
JPM angeenda nje angetoboa lkn uku janja janja nyingi
Maneno nmengi yameogelewa uko Tanzania tangu afe,,ili kusema mwili umeariba sana cwezi amini Mimi,hakuna kosa la dactari apo,nmidomo mumeeka sana ju mmekosa LA kuogea enyi waogeaji
Mungu amrehem jamani😭😭😭😭😭😭😭😭
I wish they had sought medication in Kenya 😢
Poleni.Huko ni nyumbani tutamkuta .
mmmh kutobolewa tena mmmmh jaman ....
Mbona tunasingizia madaktari lkn? Kama kifo kimefika kimefika hata madaktari wafanye nini, ulikua moyo hauezi work bila operation hata afanyeje lets understand first the system of the heart.. Tumshukuru mungu kwa kila hali na kwa kila jambo tusisingizie kifo hiyo ni mipango ya mungu
Hio ilikua ngumu,, angetibiwa Kenya, karen heart hospital naamini wangeweza
Jamani duuuuu inauma Sana huyu kijana daaa anayejua Ni Mungu
May his soul rest in ☮️☮️🕊️
UpasuJi gang saa 5 mlikuwa mnachukua viungo vyake
Apumzike kwa amani
Jamani tusisingizie tena Madakitar Tumwombe marehemu apumzishwe KWA amani
Kama hangepona mngemuacha ninyi madakitari mumechangia kwa kifo chake mungu atawaukumu vikali
Moyo ni kitu kingine ni rizki sana Tena hadi usaidi sana
Poleni sana😢
Yani kuna watu mnaongea km mnatumia huko nyuma mlitaka wampulize apone na doctor mnataka asicheke kwan lipi geni duniani
Mbona inajulikana tu kuwa mtu aliyefanyiwa upasuaji mkubwa huwa ni vigumu kumtunza kwa muda mrefu.
It is really very painful😭😭💔💔
Ak wangempeleka tu india ,tungechanga pesa lakn mungu ako na sababu ,,lakn daktari walikuwa careless
Hali yake...hangefika India...
Mmmh
Mungu awatie nguvu katika hiki kipindi jamani 😢
Jifunze kuongea kwa kutofautisha L na R