MWAKYEMBE AFICHUA UCHAFU UNAOFANYIKA HOTELI YA LAMADA YAGEUZWA SODOMA NA GOMORA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 май 2024
  • #MASHOGA #WASAGAJI #BAHASHA

Комментарии • 17

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 23 дня назад +1

    Mungu mfiche Mwakyembe na huyu dada mbawani mwako! Vita hivi bila wewe hatuwezi😭😭😭🙏🙏

  • @oscarzacharia6098
    @oscarzacharia6098 23 дня назад +1

    Mungu wa mbinguni awalinnde na kuwatetea kwa kufichua hayo na kwa neema yake Mungu ataikomboa nnchi yetu ya tanzania

  • @georgemushi4196
    @georgemushi4196 24 дня назад +1

    Hatustahili hata kusogea mbele za Mungu kwa wingi wa maovu tuliyo nayo.. kurudi kwake sasa na tufanye toba ya kweli hakika Mungu amejaa rehema atatusamehe na kutufutia kabisa dhambi zetu.

  • @user-sk4zx4nt1q
    @user-sk4zx4nt1q 23 дня назад

    hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 24 дня назад

    Hongereni kwa kuwapa habari tanzania na kujua familia

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi 20 дней назад

    Hongereni saan viongozi inaitaji saan moyo jmn

  • @pyerinajilatu2884
    @pyerinajilatu2884 21 день назад

    Mungu awatunze sana

  • @ProsperUlungi
    @ProsperUlungi 24 дня назад +1

    Mawazili wapo na wanaangalia

  • @rebekamwimi1394
    @rebekamwimi1394 24 дня назад

    Cath jitahidi kuposi mheshiwiwa awe anamaliza pointi

  • @RichWise671
    @RichWise671 23 дня назад

    #police_Tanzania
    #Makonda
    #Samia_Suluhu_Hassan
    #LAMADAHOTEL

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 20 дней назад

    Tuko pamoja kwenye hili. Mungu awalaani woote wanao sapoti Ushoga. Pili serekali imtowe huyo Meneja, na izuie hayo mambo. Mbona tunaitafuta laana kwalazima!!! Pili taifa letu, linaelekea wapi?

    • @gorettimtungwe9011
      @gorettimtungwe9011 19 дней назад

      Watafungaje na misaada tunapokea. Twende tumlilie Mungu

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 24 дня назад

    Nj hatari sana na bado tunajiona tuko salama tunakuwaje salama kama uchafu huu unaendelea

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj 24 дня назад

    Ifungwe

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 24 дня назад

    Kwani tumesain mkataba,inawezekana tupo ndani ya mkataba bila kujijua au tunajua