Hatustahili hata kusogea mbele za Mungu kwa wingi wa maovu tuliyo nayo.. kurudi kwake sasa na tufanye toba ya kweli hakika Mungu amejaa rehema atatusamehe na kutufutia kabisa dhambi zetu.
Tuko pamoja kwenye hili. Mungu awalaani woote wanao sapoti Ushoga. Pili serekali imtowe huyo Meneja, na izuie hayo mambo. Mbona tunaitafuta laana kwalazima!!! Pili taifa letu, linaelekea wapi?
Mungu mfiche Mwakyembe na huyu dada mbawani mwako! Vita hivi bila wewe hatuwezi😭😭😭🙏🙏
Mungu wa mbinguni awalinnde na kuwatetea kwa kufichua hayo na kwa neema yake Mungu ataikomboa nnchi yetu ya tanzania
Hatustahili hata kusogea mbele za Mungu kwa wingi wa maovu tuliyo nayo.. kurudi kwake sasa na tufanye toba ya kweli hakika Mungu amejaa rehema atatusamehe na kutufutia kabisa dhambi zetu.
hongereni sana kwa kazi nzuri
Hongereni kwa kuwapa habari tanzania na kujua familia
Hongereni saan viongozi inaitaji saan moyo jmn
Mungu awatunze sana
Mawazili wapo na wanaangalia
Cath jitahidi kuposi mheshiwiwa awe anamaliza pointi
#police_Tanzania
#Makonda
#Samia_Suluhu_Hassan
#LAMADAHOTEL
Tuko pamoja kwenye hili. Mungu awalaani woote wanao sapoti Ushoga. Pili serekali imtowe huyo Meneja, na izuie hayo mambo. Mbona tunaitafuta laana kwalazima!!! Pili taifa letu, linaelekea wapi?
Watafungaje na misaada tunapokea. Twende tumlilie Mungu
Nj hatari sana na bado tunajiona tuko salama tunakuwaje salama kama uchafu huu unaendelea
Ifungwe
Kwani tumesain mkataba,inawezekana tupo ndani ya mkataba bila kujijua au tunajua
😂😂😂😂
inawezekana mbona viongozi wa juu wamekaa kimya na hawafuatilii kukemea na kuwafukuza