WAZIRI MKUU, DIAMOND Walivyoingia PAMOJA Kwenye MTOKO wa PASAKA, MZEE WA UPAKO AWAOMBEA!
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- WAZIRI MKUU, DIAMOND Walivyoingia PAMOJA Kwenye MTOKO wa PASAKA, MZEE WA UPAKO AWAOMBEA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
❤❤obrigado
waislam na wakristo wote ni mungu mmoja shida Iko wapi
Hamtumjui mungu mwenye aka 99😂
Diamond is a national figure kukaa meza moja na prime minister sio kitu cha mchezo
Kweli mazee!
Ni neema kubwa!
بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾
1. Sema: Enyi makafiri![1]
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾
2. Siabudu yale mnayoyaabudu sasa.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾
3. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule ninayemwabudu sasa.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾
4. Na wala mimi sitoabudu yale mliyoyaabudu nyuma.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾
5. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule Ninayemwabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾
6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
😂😂😂😂😂 baba katika........
Kwaiyo Dr umeona Kila mwezi WA ramadhani ufanye kufuru
hajafanya kufuru...yy ni kiongozi wa wote
Aiseeee ,
The way that napkin departed 😂😂😂😂.....
Hii nchi haitaki watu wanaopigania wananchi ubinafsi umezidi kitendo cha kumkwamisha makonda kuinyoosha CCM ngojeni majibu yake ktk uchaguzi yaan mnafagilia watu wanaotafuna taifa hili watu hawapewi haki zao Makonda ameamsha viongozi wa mikoa na wilaya lkn kabla hata hujapokea taarifa yake uone hata alilolifanya umemtoa kisa asitoe hiyo taarifa lkn kumbukeni yote haya watu watachoka tu na haya mauzauza ya CCM ipo cku mtalipia haki za watu kuporwa
Baada ya mtoko wa pasaka, Tunasubiri mtoko wa Ramadhan
Asante sana nguvu yamungu nikubwa
Unaambiwa omba unaanza kuleta mdomo😢
Ndg yng wapemba wa Zanzibar wanajuana Kwa vilemba,
@@davidmisiwa4622 haswaaaaaa!
Daimond anakaa meza moja na wakuu
😅😅😅😅
Unaomba hujamtaja YESU Kristo sijui umeomba kupitia jina gani na Sala gani hiyo ya uoga. Binafsi sijaelewa utazani umeimba Bongo fleva
Anaeombwa nimungu sio yesu anafaakuombwa nakuabudiwa nakutegemewa naviumbe vyake vyote nimungutu Mmoja Alie umba mbingu na ardhi navyote vilivyo kuemo hafaikushilikishwa na yoyote au chotechote ila yeyetu ubalikiwe sana assalamualaikum wabillah Taufiq amen 🙏🙏🙏
Mwenye akili na aelewe kinacho endelea
Hacha kuhukum mtu kizembe We malizia bas Kwa jina La Yesu
Yaani mzee/mchungaji/bishop amesahau kwamba ukisema pasaka maana yake ni Yesu, anajiumauma tu
Waislam na mwezi wa ramadhani na pasaka mtihani
Acheni chuki za kijinga
Uislam ni genge la chuki
Sasa wswe ndio unagongelwa msumari wa moto kwaneno ya kuchukiza, weislamu wakristo wote wameumbwa na Muumba mmoja hata ethiest,,paganis wote muumba wao ni muumba wa wakristo na waislamu, na kila mtu annamini imani yake hata wanaoamini mwezi na jua ngimbe na miti ya kale wanaona wapo sahihi kuliko wengine, hivyo tuheshimiane imani zetu ili tuishi kwa amani na uoendo.@@mwilemwasenga7066
@@mwilemwasenga7066c'est vrai
Huo.ni ubaguzi wa rangu sasa nyooo kwenraaa😮
Baba katika jinaaa.... Eeehh Maovu ni mengi 😢
Askof kabisa amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan, jaman!! Hii dunia inatupeleka wap?
Anioneaye aibu mbele za watu nami nitamwonea haya mbele za baba yangu aliye mbinguni ,Yesu kristo alijua mpo watu kama nyie
Astaghfirullah Astaghfirullah
Yaani hivi msikitini huwa mnafundishwa nini.hivi mnafundisha ubaghuzi au kuwaombea wanaowaudhi ukikuta inakuuma sana jua maombi yako hata challinze hayafiki.kazana kuomba
😂😂😂😂😂 inahusu nini hapa
Pesa imekubali MashaAllah 🔥
Acheni uchawa
K@zingua Mzee wa
Hawato kuwa radhi mpaka mutakapo fuata mila zao😢
Mila zipi za kiarabu, waziri mkuu ni kiongozi wa kitaifa sio kiongozi wa dini,
Wanasema omba unaleta story😂😂
Wewe kimekuuma nini?
Baba kkt jina -------dash dash. Leo mnakwepa jina la Yesu leo? Yesu alisema atakayenionea aibu mbele za watu nami nitamwonea aibu mbele za Baba yangu na malaika.
kweli hata mimi nimeshangaa sijui Kwa nini amesuasua kulitaja jina la YESU dah Hilo andiko ulilotoa hapo juu linamhusu kbs ndg Asante sana Kwa kunote hilo
Unabi unatimia
HAPO KWENYE BABA MBONA UKUSEMA HATA KUTAJA MUNGU, KHEEEE!!! IMEKUAJE TENA ??? UNAKANA MUNGU WAKO?????
Yaani mzee wa upako ni msanii baba katika jina ( ) unaogopa kumtaja mfalme wa falme bwana wa mabwana
Ahahahahahaahahaaaaaaa
Mwanzo wa Sala na mwishon hajataja ana muomba Nan, Sala nzima ni usanii mtupu
Yaan! Hii dunia sijui inatupeleka wap? Askof kabis! amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan.
@@davidmisiwa4622 yaan! Askofu kabisa amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan! Du!
Mchungaji wa mchongo, Apo sijui alikuwa anasali nini na alikuwa anamuomba nani?¿ maana anaogopa kutaja jina la Yesu kwa kuwa anajua sio jina Jepesi kama uovu na unafki wao wanao uonyesha live na ndani ya nafsi zao, huu mkesha ulikuwa na maana nyingine kabisa wanajua waandaaji siri hii😂
Shem bado sijapata
Mmh eti muislamu na mwezi huu unaingia kwenye kufuru poleni
Mnajaribu kumrudisha tena huyo mzee wa upako,alipotea,free mason,
Huyu jamaa ni msanii eti baba ktk jinaaaa ........... Karuka hajataja jina la nan anaomba kwalo, mwishon anasema ninasali nikiamin eimen, sala yote ni usaniii mtupu,
Tena ni askof kabisa. Amekwepa kutaja jina la Yesu. Du
Roho amemshuhudia ndani asilitaje jina la Yesu kufungua tamasha la devo
Omba unaleta polojo