WAZIRI MKUU, DIAMOND Walivyoingia PAMOJA Kwenye MTOKO wa PASAKA, MZEE WA UPAKO AWAOMBEA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • WAZIRI MKUU, DIAMOND Walivyoingia PAMOJA Kwenye MTOKO wa PASAKA, MZEE WA UPAKO AWAOMBEA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 63

  • @user-op6gn7io7o
    @user-op6gn7io7o 5 месяцев назад +3

    ❤❤obrigado

  • @MariaKitundu-l1m
    @MariaKitundu-l1m 5 месяцев назад +3

    waislam na wakristo wote ni mungu mmoja shida Iko wapi

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 5 месяцев назад +7

    Diamond is a national figure kukaa meza moja na prime minister sio kitu cha mchezo

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 5 месяцев назад

    بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
    قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾
    1. Sema: Enyi makafiri![1]
    لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾
    2. Siabudu yale mnayoyaabudu sasa.
    وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾
    3. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule ninayemwabudu sasa.
    وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾
    4. Na wala mimi sitoabudu yale mliyoyaabudu nyuma.
    وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾
    5. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule Ninayemwabudu.
    لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾
    6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

  • @abdulmapesa6682
    @abdulmapesa6682 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 baba katika........

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s 5 месяцев назад +4

    Kwaiyo Dr umeona Kila mwezi WA ramadhani ufanye kufuru

  • @elishaladslaus650
    @elishaladslaus650 5 месяцев назад

    Aiseeee ,

  • @luciewanjiru9873
    @luciewanjiru9873 5 месяцев назад

    The way that napkin departed 😂😂😂😂.....

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 5 месяцев назад +1

    Hii nchi haitaki watu wanaopigania wananchi ubinafsi umezidi kitendo cha kumkwamisha makonda kuinyoosha CCM ngojeni majibu yake ktk uchaguzi yaan mnafagilia watu wanaotafuna taifa hili watu hawapewi haki zao Makonda ameamsha viongozi wa mikoa na wilaya lkn kabla hata hujapokea taarifa yake uone hata alilolifanya umemtoa kisa asitoe hiyo taarifa lkn kumbukeni yote haya watu watachoka tu na haya mauzauza ya CCM ipo cku mtalipia haki za watu kuporwa

  • @abelmgalla6956
    @abelmgalla6956 5 месяцев назад +1

    Baada ya mtoko wa pasaka, Tunasubiri mtoko wa Ramadhan

  • @IsaacKaziya
    @IsaacKaziya 5 месяцев назад

    Asante sana nguvu yamungu nikubwa

  • @ibrahimudamas326
    @ibrahimudamas326 5 месяцев назад +7

    Unaambiwa omba unaanza kuleta mdomo😢

  • @belindamadata7862
    @belindamadata7862 5 месяцев назад +2

    Unaomba hujamtaja YESU Kristo sijui umeomba kupitia jina gani na Sala gani hiyo ya uoga. Binafsi sijaelewa utazani umeimba Bongo fleva

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 5 месяцев назад +1

      Anaeombwa nimungu sio yesu anafaakuombwa nakuabudiwa nakutegemewa naviumbe vyake vyote nimungutu Mmoja Alie umba mbingu na ardhi navyote vilivyo kuemo hafaikushilikishwa na yoyote au chotechote ila yeyetu ubalikiwe sana assalamualaikum wabillah Taufiq amen 🙏🙏🙏

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 5 месяцев назад +1

      Mwenye akili na aelewe kinacho endelea

    • @damsonwilson5202
      @damsonwilson5202 5 месяцев назад

      Hacha kuhukum mtu kizembe We malizia bas Kwa jina La Yesu

  • @terrence9477
    @terrence9477 5 месяцев назад +1

    Yaani mzee/mchungaji/bishop amesahau kwamba ukisema pasaka maana yake ni Yesu, anajiumauma tu

  • @subiralema
    @subiralema 5 месяцев назад +3

    Waislam na mwezi wa ramadhani na pasaka mtihani

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад

      Acheni chuki za kijinga

    • @mwilemwasenga7066
      @mwilemwasenga7066 5 месяцев назад +3

      Uislam ni genge la chuki

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 месяцев назад

      Sasa wswe ndio unagongelwa msumari wa moto kwaneno ya kuchukiza, weislamu wakristo wote wameumbwa na Muumba mmoja hata ethiest,,paganis wote muumba wao ni muumba wa wakristo na waislamu, na kila mtu annamini imani yake hata wanaoamini mwezi na jua ngimbe na miti ya kale wanaona wapo sahihi kuliko wengine, hivyo tuheshimiane imani zetu ili tuishi kwa amani na uoendo.​@@mwilemwasenga7066

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 5 месяцев назад

      ​@@mwilemwasenga7066c'est vrai

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 5 месяцев назад

      Huo.ni ubaguzi wa rangu sasa nyooo kwenraaa😮

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 5 месяцев назад

    Baba katika jinaaa.... Eeehh Maovu ni mengi 😢

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад

      Askof kabisa amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan, jaman!! Hii dunia inatupeleka wap?

  • @NelsonNgelangela-go5xq
    @NelsonNgelangela-go5xq 5 месяцев назад

    Anioneaye aibu mbele za watu nami nitamwonea haya mbele za baba yangu aliye mbinguni ,Yesu kristo alijua mpo watu kama nyie

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 5 месяцев назад +1

    Astaghfirullah Astaghfirullah

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 5 месяцев назад +1

      Yaani hivi msikitini huwa mnafundishwa nini.hivi mnafundisha ubaghuzi au kuwaombea wanaowaudhi ukikuta inakuuma sana jua maombi yako hata challinze hayafiki.kazana kuomba

    • @judithkirenga9977
      @judithkirenga9977 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 inahusu nini hapa

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 5 месяцев назад

    Pesa imekubali MashaAllah 🔥

  • @ibrahimudamas326
    @ibrahimudamas326 5 месяцев назад +2

    Acheni uchawa

  • @happinessmuhanza2005
    @happinessmuhanza2005 2 месяца назад

    K@zingua Mzee wa

  • @Saidiamiri-lp8lw
    @Saidiamiri-lp8lw 5 месяцев назад +5

    Hawato kuwa radhi mpaka mutakapo fuata mila zao😢

  • @lucymwakitalima7419
    @lucymwakitalima7419 5 месяцев назад

    Wanasema omba unaleta story😂😂

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад +1

    Baba kkt jina -------dash dash. Leo mnakwepa jina la Yesu leo? Yesu alisema atakayenionea aibu mbele za watu nami nitamwonea aibu mbele za Baba yangu na malaika.

    • @patiencerwiza3086
      @patiencerwiza3086 5 месяцев назад

      kweli hata mimi nimeshangaa sijui Kwa nini amesuasua kulitaja jina la YESU dah Hilo andiko ulilotoa hapo juu linamhusu kbs ndg Asante sana Kwa kunote hilo

  • @user-bb2hf9jm3s
    @user-bb2hf9jm3s 5 месяцев назад

    Unabi unatimia

  • @vero57
    @vero57 5 месяцев назад

    HAPO KWENYE BABA MBONA UKUSEMA HATA KUTAJA MUNGU, KHEEEE!!! IMEKUAJE TENA ??? UNAKANA MUNGU WAKO?????

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 5 месяцев назад

    Yaani mzee wa upako ni msanii baba katika jina ( ) unaogopa kumtaja mfalme wa falme bwana wa mabwana

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 5 месяцев назад

      Ahahahahahaahahaaaaaaa

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 5 месяцев назад

      Mwanzo wa Sala na mwishon hajataja ana muomba Nan, Sala nzima ni usanii mtupu

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад

      Yaan! Hii dunia sijui inatupeleka wap? Askof kabis! amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan.

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад

      @@davidmisiwa4622 yaan! Askofu kabisa amekwepa kutaja jina la Yesu hadharan! Du!

  • @ommylax7231
    @ommylax7231 5 месяцев назад

    Mchungaji wa mchongo, Apo sijui alikuwa anasali nini na alikuwa anamuomba nani?¿ maana anaogopa kutaja jina la Yesu kwa kuwa anajua sio jina Jepesi kama uovu na unafki wao wanao uonyesha live na ndani ya nafsi zao, huu mkesha ulikuwa na maana nyingine kabisa wanajua waandaaji siri hii😂

  • @BarakaWilliam-oi9ru
    @BarakaWilliam-oi9ru 5 месяцев назад

    Shem bado sijapata

  • @allymussa4646
    @allymussa4646 5 месяцев назад

    Mmh eti muislamu na mwezi huu unaingia kwenye kufuru poleni

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 5 месяцев назад

    Mnajaribu kumrudisha tena huyo mzee wa upako,alipotea,free mason,

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 5 месяцев назад

    Huyu jamaa ni msanii eti baba ktk jinaaaa ........... Karuka hajataja jina la nan anaomba kwalo, mwishon anasema ninasali nikiamin eimen, sala yote ni usaniii mtupu,

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад

      Tena ni askof kabisa. Amekwepa kutaja jina la Yesu. Du

    • @user-wm7uf1yj8j
      @user-wm7uf1yj8j 5 месяцев назад +1

      Roho amemshuhudia ndani asilitaje jina la Yesu kufungua tamasha la devo

  • @GwamakaSamson-pg6bl
    @GwamakaSamson-pg6bl 5 месяцев назад

    Omba unaleta polojo