SIMANZI:MAZURUI ABANANISHWA SANA LEO AJIBU KWA UCHUNGU MADAKTARI BINGWA PEMBA RUDINI KWENU KUTIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Комментарии • 12

  • @aminaothuman6784
    @aminaothuman6784 24 дня назад

    Assalam alaikum wallahi mweshimi mariya umetowa hoja ya msingi nasio hao wanao towa poroja za siyasa

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 7 дней назад

    Watu wengi wagonja kwasababu utakuta hawapati vyakula bora inakuwa watu wengi hawana damu pressure kwasababu ya maisha

  • @khaledsuleiman9819
    @khaledsuleiman9819 21 день назад

    Basi kama hospitali zinajaa namna hiyo , kijisiwa hichi , inaonesha watu wengi ni wagonjwa

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 9 дней назад

    Tatizo la znz bajeti haiwezi kukidhi haja sababu wageni kutoka nje ya znz wanaingia bila utaratibu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 26 дней назад

    Tatizo wanachunguzwa wazazi wao wanatoka ktk chama gani na nafasi hupewa watoto wa viongozi ambao hawana sifa

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 26 дней назад

    Hata ajira wanapewa Watanganyika wanaoletwa na baadhi ya wafanyakazi wanaoletwa na wanaopata uhamisho hasa hasa ktk jeshi la wananchi na jeshi la Polisi maana huwaleta ndugu zao kusoma hapa hivyo huchukuwa nafasi hiyo kuwapenyeza ktk Serikali zinapotokea ajira

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 26 дней назад

    Pia tatizo ni wahamiaji kuwa wengi visiwani linasababisha hayo mahospitali kujaa limejificha hilo😂😂😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 дней назад

      Waekezaji siyo matatizo matatizo ni sehemu walokuwa nayo siyo ya kutosha wanazo sehemu ndogo.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 25 дней назад

      Kwani huyu Mh Waziri ndio hajuwi hasa tatizo hili?maana inaonesha hanyooshi maneno!tunao vijana wetu wengi Tu na Wana fani lkn hawapewi ajira wako ktk Hospitali na vituo binafsi hapa Zanzibar na Bara sasa kama hafahamu basi afuatilie Hilo na Sisi tutampa ushirikiano kama atataka!

  • @jumasaleiman
    @jumasaleiman 25 дней назад

    Wageni ni wengi sanaa hamuta wawezaaa kamwe

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 25 дней назад

      Wengi sio hoja kumbuka mussa alipokimbia na watu wake kuelekea baharini firaauni na watu na jeshi lakee walikuua wanafika elfu tatu vp, sasa hawakuangamizwa vp kuhusu wingi waoo haikua kama takataka zinazosombwa na maji ya mvuaa kwenye mitaro ya majiii

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 25 дней назад

      Wewe nani unaeleta hoja hiiii kua wingi ndio hauwwzekani