SIMANZI:MAZURUI ABANANISHWA SANA LEO AJIBU KWA UCHUNGU MADAKTARI BINGWA PEMBA RUDINI KWENU KUTIBU
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Assalam alaikum wallahi mweshimi mariya umetowa hoja ya msingi nasio hao wanao towa poroja za siyasa
Watu wengi wagonja kwasababu utakuta hawapati vyakula bora inakuwa watu wengi hawana damu pressure kwasababu ya maisha
Basi kama hospitali zinajaa namna hiyo , kijisiwa hichi , inaonesha watu wengi ni wagonjwa
Tatizo la znz bajeti haiwezi kukidhi haja sababu wageni kutoka nje ya znz wanaingia bila utaratibu
Tatizo wanachunguzwa wazazi wao wanatoka ktk chama gani na nafasi hupewa watoto wa viongozi ambao hawana sifa
Hata ajira wanapewa Watanganyika wanaoletwa na baadhi ya wafanyakazi wanaoletwa na wanaopata uhamisho hasa hasa ktk jeshi la wananchi na jeshi la Polisi maana huwaleta ndugu zao kusoma hapa hivyo huchukuwa nafasi hiyo kuwapenyeza ktk Serikali zinapotokea ajira
Pia tatizo ni wahamiaji kuwa wengi visiwani linasababisha hayo mahospitali kujaa limejificha hilo😂😂😂
Waekezaji siyo matatizo matatizo ni sehemu walokuwa nayo siyo ya kutosha wanazo sehemu ndogo.
Kwani huyu Mh Waziri ndio hajuwi hasa tatizo hili?maana inaonesha hanyooshi maneno!tunao vijana wetu wengi Tu na Wana fani lkn hawapewi ajira wako ktk Hospitali na vituo binafsi hapa Zanzibar na Bara sasa kama hafahamu basi afuatilie Hilo na Sisi tutampa ushirikiano kama atataka!
Wageni ni wengi sanaa hamuta wawezaaa kamwe
Wengi sio hoja kumbuka mussa alipokimbia na watu wake kuelekea baharini firaauni na watu na jeshi lakee walikuua wanafika elfu tatu vp, sasa hawakuangamizwa vp kuhusu wingi waoo haikua kama takataka zinazosombwa na maji ya mvuaa kwenye mitaro ya majiii
Wewe nani unaeleta hoja hiiii kua wingi ndio hauwwzekani