@@KhamisAli-ud4pu kwa wazanzibar walio wengi kujamba mbele ya watu ni matusi na hata kutaja tu ilo neno pia ni matusi,na clip hii kwa watu wenye adabu zao hawawez kuiangalia akiw amekaa na wazaz wake ai wanawe.
mau unajitahid kutoa clips ila zina umaliziaji usio ridhisha... tunatak tucheke ila tunaban kicheko chetu...hebu weka boosta hko mwisho (saut ya kicheko)
😂😂😂😂 Hata lile gari kubwa linaitwa Fuso Ahsante mzungu kwakutuchekesha mpemba fyoko 👍
😁😁😁😁mpemba wachokochooo
mau jitahid kazi zako ziwe na maadili mazuri,
kazi kama hii kwa sisi wazanzibar imevuka maadili na mtu kama yupo na mzazi wake hawezi kuiangalia.
Wap pamekosekana maadili nasiye tujuwe
@@KhamisAli-ud4pu kwa wazanzibar walio wengi kujamba mbele ya watu ni matusi na hata kutaja tu ilo neno pia ni matusi,na clip hii kwa watu wenye adabu zao hawawez kuiangalia akiw amekaa na wazaz wake ai wanawe.
Ni kweli mimi kuanzia leo sitoangalia tena channel yake kwasababu nilikuwa na watu nimeona haya mimi.@@Allybinamour
Mpemba utofyoro ndio ujinga gn unaofundisha😪🤤😔
😂😂😂mau na edi na mzungu wenu
tuleteen move
Hahaha naomba mkorofi 😅
Mpemba chokocho kma ww by mzungu😂😂😂
Mau hayo si maadili yetu unakosea sanaa unawafunza nini watoto wetu
Mpemba mchokocho kma weye😂😂😂
Nakupenden naombeni nijiung na nyie kuigiza😢
Karibu sana
@@Asili namba nitumie
Ipo mwisho wa video@@zidaboy_tzcomedy6759
Wanataka namba gan ten wakat mwisho wa igizo namba zimewekwa hpo chukua
Karibu kuangalia kazi nzuri ya mzungu mswahili namba 4
Mswahili namba 1,2,3 ndiye yupi?
Mau huachi tuuu🤪🤪
kudaadeki zako mau unajamba utafkiri kobe 😂😂😂
much love
Duh mchokocho 😂😂
❤😂
Mpemba gani ww
Me nimchokocho km ww😅😅😅
Good job
Mmmh😂😂😂😂
Mohammed Saleh,vp kaka, nimekukabidhi Bopwe usiiache lkn naona visafari vimekuwa vingi,umemkabidhi nani ailinde?
Dah mau hana tena marinda
Hhhhh😂😂😂
hhhh Mchokochoo kama ww
Nalitamani ilo sheli
❤❤❤❤❤
mau unajitahid kutoa clips ila zina umaliziaji usio ridhisha...
tunatak tucheke ila tunaban kicheko chetu...hebu weka boosta hko mwisho (saut ya kicheko)
😂😂😂😂
Tatzo haimalzi
Jmn nimechek hata
Upuuzi😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂