BISHOP GWAJIMA RAIS 2025

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Nimeona Tena zaidi ya mara Mbili Dk. Bishop Josephat Gwajima atakuwa Raisi wa Tz 2025.
    utatokea mpasuko mkubwa Sana CCM lakini MUNGU amemchagua Bishop Gwajima Kuwa Rais

Комментарии • 165

  • @samwelmwakipesile8070
    @samwelmwakipesile8070 5 месяцев назад +16

    Ninaomba lile lililo kusudi la Mungu likasimame yalio makusudu ya Wanadamu ninayaangusha katika Jina La Yesu.AMINA

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 5 месяцев назад +7

    yes. Bishop Joseph Gwajima, kweli, kweli. Wengi tumeona lakini sikupewa time flame 🔥. Mungu atimilize maono ya wengi, Asante Mtumishi wa Mungu umesema ukweli

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад

      2 Petro 1:21
      [21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 3 месяца назад

      Roho mtaka kitu​@@Elijah-TheSeerTv

  • @tabithakajuju137
    @tabithakajuju137 5 месяцев назад +14

    Waaaaaw! Tunamsubiri...Awe awe awe aweeeeeeee❤

  • @memoryeliass9558
    @memoryeliass9558 16 дней назад

    Akigombea Gwajima mimi narud Tanzania aisee.

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 2 дня назад

    Aya yote kwa mungu ya wezekana mungu ndo hakimu wa kweli mimi niko kwenye maombi ya kufunga na kuomba mungu atupe raisi sahihi atakae toka kwa mungu mwenyezi mungu simama na Tanzania yetu utupe raisi atakae tuongoza vyema kwamungu yote yanawezekana mwenyezi mungu tunaomba uchanguzi uwe wa amani kwa mapenzi yako mungu tunakataaa umwagaji wa damu katika jina la yesu kirisito wa nadhareti uriye hai naimesha kuwa jina la yesu mwenyezi mungu ibariki Tanzania

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 месяца назад +2

    Naiwe ivo kwa maana gwajima ana hofu ya mungu tutashukulu sana mungu tenda muujiza

  • @SilvesterKazimoto-yk7hp
    @SilvesterKazimoto-yk7hp 8 дней назад +1

    Tunnaomba mungu kamaaishivyo naiwe hivyo hata daudi aliinuliwa na mungu kama nimapenzi ya mungu mungu autimize unabihuu

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 3 месяца назад +1

    Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!

  • @ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
    @ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr 5 месяцев назад +3

    Amina mtu ishi niombee pia mimi ni kijana nina changamoto nyingi uhakika natamani kumjua Yesu Kristo na kumuabudu katika roho na kweli,majina yangu ni mganga ruban

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 5 месяцев назад +2

      Nashauri umtafute Mchungaji aliye karibu nawe, akuongoze yanayokupasa uyafanye kisha uendelee na Yesu Chini ya Mchungaji anayetakiwa akuchunge

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 14 дней назад

    Mnasema gwajima ana hofu ya Mungu, swali, wenye hofu ya Mungu wanaiba kura?,au hatuelewani, maana kuna Mungu na miungu!

  • @christianmurhula8949
    @christianmurhula8949 5 месяцев назад +4

    Namiye nimesha ona mambo haya, mara na kwa mara. Na nika baanbia Watanzania wengi. Mwezi wa ine 2023

  • @mazibondahamika5857
    @mazibondahamika5857 5 месяцев назад +5

    Utamuletea vita kali kwa bure , na hatakama ni kweli umeona ungeita hekima kwa jambo hilo sababu unahatarisha maisha ya Gwajima na wanao kuwa naye.

    • @nurumwita9034
      @nurumwita9034 2 месяца назад

      Uzuri wa hii nchi wanapuuzaga hizi nabii

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 21 день назад +1

    Utukufu wa MUNGU hauna kikomo.Atende kama apendavyo.

  • @IilianKimwani
    @IilianKimwani 5 месяцев назад +2

    Jamani msije mkamgombanisha Gwajima na rais wetu

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 27 дней назад +1

    Tutafunga na kuomba ili kusudi la mungu litimie

  • @thebabilon7
    @thebabilon7 21 день назад

    Moyowangu utafurahi sana hatakama sihishi Tanzania 🇹🇿 mana namuona Gwajima kama Mfalme Daudi

  • @mgonzamsuya2039
    @mgonzamsuya2039 5 месяцев назад +2

    Nijuavyo Mungu amesema asi kuhusu Hilo lakini ukweli utatokea ugomvi mikubwandani ya ccm na gwajima atateuliwa na ccm na atachukua nchi

  • @NeemaOri0
    @NeemaOri0 2 дня назад

    Nathaniel iwe hivyo

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial 4 месяца назад

    Nitampa kura yangu kbisa❤❤❤my president josephat gwajima

  • @DavidLagat-h1p
    @DavidLagat-h1p 3 месяца назад +1

    Let it be in Jesus mighty name. U deserve the sit. You are full of wisdom.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 День назад +1

    Sipingani na unabii huu ila ningependa awe ameacha yale mambo yake ya ufufuo wa waliokufa maana ikulu haitaruhusiwa hayo.
    Pili gwajima ni mjanja ni jasiri haogopi, ana ushawishi sana akitaka jambo lake kwa dhati linakuwa.... hivyo angefaa cheo kikubwa.
    Ile nahisi hana utulivu vizuri na ni mropokaji balaa.
    Mara nyingine hasimamii maneno yake ....waulize wana kawe jimboni kwake watakuambia ahadi zake smbazo nyingi hazijatimizwa.
    Ni changamoto. Labda chama chake kijiandae kwa kumwezesha atimize ahadi zake kwa vijana wa jumbo la,kawe kwanza

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад +1

    Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 4 месяца назад +1

    Ni Kweli kabisa ❤❤🎉

  • @anthonykitara8121
    @anthonykitara8121 Месяц назад

    Namuomba mungu ccm ishindwe tena mbali naipendekeza chadema ndo ingie madarakani nitafurahia sana ikiwa hivo

  • @Elisha-zr8ms
    @Elisha-zr8ms 23 дня назад

    Neno mara2 au mara 3 hunauhakika naunacho sema mtafute sana yesu acha ropo ropo

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 2 месяца назад +3

    MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII
    NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU

  • @Werema3760
    @Werema3760 5 месяцев назад +3

    Fact 100%.

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Месяц назад +1

    Hapo sasa inatangazwa vita ya dhahiri kabisa kati ya waislamu vs wakristo. Ngoja tusubiri.

  • @DamasjoachimPetro
    @DamasjoachimPetro 3 месяца назад

    As Kody Gwajima anafaa sana hâta ukisikiliza kwenye Bunge tangu anaingia hoja zake zote Zina NGUVU sana ukilinganisha na wenzake, ana maono y’a msingi

  • @AnthonyKiwango
    @AnthonyKiwango Месяц назад +2

    Rais yeyote wa Dunia hii analetwa na Mungu, hivyo bc akipita yeyotote Tutamuunga mkono

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 4 месяца назад +3

    Sio kwel gwajima hawezi kuwa rais

  • @AbubakaryOmary-m6l
    @AbubakaryOmary-m6l Месяц назад +1

    Unabii unasemaje kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @vumiliambogela8413
    @vumiliambogela8413 3 месяца назад

    Naiwe hivo kwajina LA Yesu

  • @MgangaMalugu
    @MgangaMalugu Месяц назад

    Jaman nikisikia jina la gwajima nafarijika sana lakini mapenzi ya MUNGU aliehai yatimie

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 5 месяцев назад +1

    Watabiri mtamletea Gwajima zengwe, angalieni sana jambo hili.

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 3 месяца назад

    Shekh yahya hussein alisema "atakae mpinga kikwete atakufa"waganga mnatabu sana.mnajua kupanga mipango sana.kaz njema.

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 2 месяца назад

    Hivi mnawaona watanzania ni matahira wamchague gwajima?

  • @barryhezron2764
    @barryhezron2764 5 месяцев назад +3

    Mtumishi uko sahihi na maono2025 Mungu alikuonyesha,usisahau maombi vita nikali sana mnaposema live muhisika mawindo yanakuwa......)lakini kama Mungu aishivyo mabaya hayatampata kwa jina la Yesu

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 5 месяцев назад +1

      Umewaza kama Mimi kiukweli.

    • @ZENAMHUMBA
      @ZENAMHUMBA 5 месяцев назад

      Kama Bwana asipolinda mji walindao wakesha Bure,Mungu kamwambia aseme means atamlinda pia.

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Месяц назад +1

    Tunangoja unabii huo, asipokuwa rais unabii utakuwa umeanguka..Yeremia 28.

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 4 месяца назад

    Ni kweli kabisa gwajima hawezi kuwa rais.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 День назад +1

    Je ameweza kutimiza ahadi zake kwa jumbo lake la kawe? Lazima watauliza. Kama hajaweza itakuwa ngumu kuaminika.
    Imagine Barabara za maeneo muhimu kama masaki ni mbovu zimejaa mashimo huwezi kuamini kuna mbunge mjanja kama gwajima.
    Hivyo vyote ni vipingamizi anapaswa kujiandaa navyo.
    Kama jimbo moja linamsumbua hata barabara za mitaa zimeshindikana itakuwaje kwa nchi nzima?

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 3 месяца назад

    Natamani SANA sanaaaa Hata kura nitapiga SANA huyu ni MTU mwema SANA na ni Mtumishi wa MUNGU wa Kweli. Gwajima ni ana sifa zote za kuongoza taifa letu.

  • @nicodeleva8207
    @nicodeleva8207 5 месяцев назад +3

    Mtumishi uwe makini ktk maono yako si kwamba ukiona leo jambo hilo linatokea leo inawezakuwa hata miaka kumi ijayo na si kila uonalo inabidi ulitangaze kwa umma labda uwe umeelekezwa na Mungu kufanya hivyo,acha kuropoka kwa kutaka sifa na unayoongea hayo hakuna Mtu anakuunga mkono kwanza unamhalibia Gwajima acha siasa hubiri Neno

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад +2

      Waefeso 4:7
      [7]Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo.

  • @robertwottson9100
    @robertwottson9100 2 месяца назад

    Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.

  • @EvethaMpakasi
    @EvethaMpakasi 3 месяца назад +1

    Amen

  • @LatifaCharles
    @LatifaCharles 24 дня назад

    Bora awe gwajima tuongozwe kwa maombi sio mwanamke tena 😏😏😏😏

  • @GoldDolan
    @GoldDolan 5 месяцев назад +3

    Ikiwa hvo ataokota kula nyingi mno

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 5 месяцев назад +1

    Hilo liko wazi saaana

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 4 месяца назад +1

    Jamani mtu unapoonyesha Siri na Mungu,unapewa kazi ya kuomba ,sio kulopoka ,Kama umeona katika roho unatakiwa uingie Tena katika roho kwendelea Kuomba ,kuwa Kama niwewe Mungu umesema Basi litimie Kama sio wewe lisitimie jama mbona mnakosa Hekima waonaji tutawamini vip Kama nikweliiiii ,

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  4 месяца назад

      Hiyo ni kazi ya Watoto wachanga kiroho.
      Hata ufafanuzi wako ni wa kitoto.
      Ukikua utaelewa Ni Nini maana ya kutoa Maono yanayoihusu nchi kulingana na Mamlaka ya aliyetoa Maono

    • @feliciankabasa8995
      @feliciankabasa8995 4 месяца назад

      Baadae ikitokea ndo aseme kwamba niliona,unabii hauko hivo,unabii ukiona sema ila baadae ikitokea MUNGU atukuzwe na inulikane kwamba alisema kupitia mtumishi wake,..uko sawa mwonaji MUNGU azidi kukupandisha viwango zaidi

  • @ChitaiElish
    @ChitaiElish 5 месяцев назад +2

    This could spell good to the Nation, however, some prophesies may spell bad to the appointed,no wonder, Samuel did not anoint David publicly..... narudia, Samuel alimuendea Yese pole pole na bila kijiji kujua ili kuhepusha shari.....sijapingana na unabii ila Amani ya pande mbili mhimu

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад +2

      Gwajima sio samweli wala sio yese wala sio daudi.
      (Dispensation)

    • @ChitaiElish
      @ChitaiElish 5 месяцев назад

      @@Elijah-TheSeerTv Kwa Mungu lolote linawezekana ila mimi kwangu sioni ni Sawa kuliweka hadharani,my take on this

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад +1

      @@ChitaiElish Mpaka limewekwa hadharani lazima ujue limeruhusiwa.
      Ni mengi mtu anaweza kuyaona lakini yapo anayoruhusiwa kuyasema mbele ya public

    • @gp.mavukiro6220
      @gp.mavukiro6220 5 месяцев назад

      Una tafuta kiki Mtumish

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад

      @@gp.mavukiro6220 pole

  • @NuruEria
    @NuruEria 15 дней назад

    Ndugu mtumishi umejichanganya kwa unabii wako

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 месяца назад

    Kusudi la JEHOVAH MUNGU Litimie

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 5 месяцев назад +1

    Hana ubaguzi wa watu yeye ni mkristo lakini kwa waislam na dini nyingine yukonao bega kwa bega na nikiongozi mwenye uluma sana na watu

  • @AlodiaAlodiaaloyce
    @AlodiaAlodiaaloyce 5 месяцев назад +1

    Nalitokee kwakweli, mimi binafsi namuelewa sana.

  • @thomasmwakatobe8207
    @thomasmwakatobe8207 2 месяца назад

    Mmmmh sijui ila Mimi namwona tena Mama Samia tena ndugu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 4 месяца назад

    Sio kweli

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 5 месяцев назад +1

    JPM IN BLOOD

  • @nurumwita9034
    @nurumwita9034 2 месяца назад +3

    Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla

  • @micahnjoroge3685
    @micahnjoroge3685 3 месяца назад

    Atakosana. Na Mungu kabisa. Na wewe na bii tumia hekima. Kwa unabii wako. Usiwe hio ni mapezi yako

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 4 месяца назад

    Hizo ni ndoto,Gwajima labda mtajirisheni kwa kupewa tonge anyamazeee!!!

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад

    JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI LIHIMIDIWE MILELE!

  • @EvethaMpakasi
    @EvethaMpakasi 3 месяца назад

    Tuombe tuombevtuombe watanzania kusudi la Bwana lisimame,lisimame

  • @blessingcharles-lc1rr
    @blessingcharles-lc1rr 3 месяца назад

    Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala
    Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu

  • @janethsadock4559
    @janethsadock4559 5 месяцев назад +1

    Mnalichafua jina Yesu,na nyie ndiyo mnafanya ukristo usemwe. Vibaya

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад +2

      Ukikua utaelewa kila anasema Roho wa Mungu.
      Kwa Sasa vumilia tu ukue hatua kwa hatua

    • @ntibashirinzigo
      @ntibashirinzigo 5 месяцев назад

      Ombea taifa punguza udaku

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад +1

      @@ntibashirinzigo ombea wewe unaejua kuomba.
      Au unifundushe kuombea

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 5 месяцев назад

      Duuuh asipokuwa raisi unyongwe mpk ufe mbela ya watanzania😏😏😏

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 5 месяцев назад

      Jina la Yesu limetukanwa kabla hujazaliwa

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 5 месяцев назад +3

    Angalia maneno yako

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад

      2 Petro 1:21
      [21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
      Nakupa pole wewe uliye gizani usiyejua kwamba MUNGU huwa anaongea kupitia WATUMISHI wake kwa kuwapa watu TAARIFA.
      Yaweza kuwa wewe ni mkristo mfu

  • @mustie5891
    @mustie5891 5 месяцев назад +1

    Ndoto za mchana hizi. Lots of Hallucinations

  • @nelicekelly6289
    @nelicekelly6289 5 месяцев назад

    Jaman lisemwalo lipo,nimeshasikia mara nying kuhusu huyu mtumishi kuwa rais,inaweza kuwa kwel jmn

    • @franksingano9504
      @franksingano9504 5 месяцев назад

      Kweli kabisa hata mimi nimesikia mpaka manabii wawili kutoka nje ya nchi wakimzungumzia Gwajima kuwa Rais na manabii wa ndani watatu ikiwemo huyu

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 5 месяцев назад +1

    Tumepewa nchi na bahari tuvitawale kwaiyo kama atakua Gwajima jua tutakua mikononi mwa MUNGU kwanza hanaga ubaguzi wala na anaakili za kutuongoza na maisha yakawa mepesi bila kutegemea wazungu mala misaada

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 5 месяцев назад

      Kweli, kabisa namuombea mema

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 месяца назад

    JAMANI ACHENI UHUNI MBONA SASA MNAMUHARIBIA GWAJIMA

  • @patricekapange
    @patricekapange 26 дней назад

    Yampate tu, maana ni muuaji huyo

  • @sendemwasende4458
    @sendemwasende4458 4 месяца назад +1

    KIKUBWA TUMBEMBE KWA MAOMBI KUSUDI LA MUNGU LITIMIE

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад

    Siku ya kuapishwa rais utauweka uso wako wapi?

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 4 месяца назад

    Tofautisheni.ndoto maono.naufunuo.ngwajima niAskofu.ktk.kanisalake.Anaweza kuwa.Rais ktk kanisa lake.kwasababu.ameandaliwa.nakuaminiwa na watu wake inawezekana muonaji kaona hivyo chadema niwatu makini usimlinganishe.ngwajima na lowasa chadema.tunaviongozi wazirituu wachungaji kaeninakutafarini sana latoya sauti ya Mungu aliyehai nasauti yaasheyani

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  4 месяца назад

      Subiri ukue kidogo usilazimishe kuelewa Mambo yanayokuzidi kifikra

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 4 месяца назад

    Sasa Chadema Mbowe Hawezi kugombea Mwenyewe??

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 4 месяца назад

    Tofautisheni sauti yaMungu na mashetani😊

  • @vumiliambogela8413
    @vumiliambogela8413 3 месяца назад

    ❤💟❤💟💕🖐🏻🖐🏻🖐🏻🙌🏻🙋🏻🙈😀😀😀😀

  • @christophersikaonga4412
    @christophersikaonga4412 5 месяцев назад +1

    Je mm nitakuwa lini raisi

  • @Shalom803
    @Shalom803 5 месяцев назад +1

    Mnaropoka sana

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 5 месяцев назад

    Kwa mwakani ni uongo labda 2030... Hizi tabiri zenu ni mihemko tu

  • @studio..07
    @studio..07 5 месяцев назад

    Umekosa kazi kalale uote tena😂😂😂 lowasa aloshinda 2015 kilichotokea sasa maono nayo yalipindishwa ndio kwaanza kuona hata kusudi la mungu kupindishwa😂😂😂

  • @BahatiSinkamba-yu2dr
    @BahatiSinkamba-yu2dr 5 месяцев назад

    Uongo rais ni samia

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 5 месяцев назад

    Watu tulishaona kitambo, huyo naona anakomaa na urais ambao kimsingi hata uwezo wake haujathibitika.

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Месяц назад

    Yan huyu hatumtak kabisa mb aje kijan makond

  • @alicekilima6529
    @alicekilima6529 4 месяца назад

    Gwajima chukua form ya urais usipuuze wewe Ni rais 2025

  • @NtuliSuzan
    @NtuliSuzan 5 месяцев назад

    Acha attendee haki

  • @AgustinoMsemakweli-om7qx
    @AgustinoMsemakweli-om7qx 5 месяцев назад

    Ndoto siyopato mama bado atendeleakuwa rais tu hili halina ubishi.

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 5 месяцев назад

    Iyo imepita asee

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 5 месяцев назад

    Hata weza kuwa raisi labda raisi wa kawe

  • @ibramakula2303
    @ibramakula2303 4 месяца назад

    Na siku asipokuwa rais uo mwaka uache na kuhubiri

  • @cosmasshauri9002
    @cosmasshauri9002 5 месяцев назад

    Mtumishi unahitaji miwani ili uone sawa sawa,

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 месяца назад

    Naaamini

  • @maikolema6140
    @maikolema6140 5 месяцев назад

    Tapeli weww

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende

  • @Mapitoyazamani-y7n
    @Mapitoyazamani-y7n 4 месяца назад

    2025 nitakuwa ni mimi hao wengine bado sana.

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 5 месяцев назад

    Wazimu unanamna nyingi hiyo nayo ni moja wapo wa fani ya wazimu mmesnza mambo ya Makenzi wa Kenya hivi nyinyi wakristu mna nn subirini muone

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  5 месяцев назад

      Uupokee huo wazimu kabla mwaka huu haujaisha. Na itakua ivyo

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 4 месяца назад

      ​@@Elijah-TheSeerTvmtumishi wq kweli si wa kukasirika kila kukicha ,Punguza hasira hii dunia ina mengi

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 4 месяца назад

    Wachungaji.acheni kuwapotosha.watu.huu unabii mnatoa.wapi kitabu kipi asipokuwa sasa tuwamini.kinanani? Ngwajima hawezi kuwaRais hata.akihama chama.Nabiii tupe andiko.mnasema.tuu bila kutoa maandiko

    • @Elijah-TheSeerTv
      @Elijah-TheSeerTv  4 месяца назад

      Endelea kuvumilia na kunyenyekea chini ya madhabahu ya babayako

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 месяцев назад

    Huyu huyu alisema ananunua treni harafu anamfufua kanumba