Nimeona Tena zaidi ya mara Mbili Dk. Bishop Josephat Gwajima atakuwa Raisi wa Tz 2025. utatokea mpasuko mkubwa Sana CCM lakini MUNGU amemchagua Bishop Gwajima Kuwa Rais
yes. Bishop Joseph Gwajima, kweli, kweli. Wengi tumeona lakini sikupewa time flame 🔥. Mungu atimilize maono ya wengi, Asante Mtumishi wa Mungu umesema ukweli
Aya yote kwa mungu ya wezekana mungu ndo hakimu wa kweli mimi niko kwenye maombi ya kufunga na kuomba mungu atupe raisi sahihi atakae toka kwa mungu mwenyezi mungu simama na Tanzania yetu utupe raisi atakae tuongoza vyema kwamungu yote yanawezekana mwenyezi mungu tunaomba uchanguzi uwe wa amani kwa mapenzi yako mungu tunakataaa umwagaji wa damu katika jina la yesu kirisito wa nadhareti uriye hai naimesha kuwa jina la yesu mwenyezi mungu ibariki Tanzania
Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!
Amina mtu ishi niombee pia mimi ni kijana nina changamoto nyingi uhakika natamani kumjua Yesu Kristo na kumuabudu katika roho na kweli,majina yangu ni mganga ruban
Sipingani na unabii huu ila ningependa awe ameacha yale mambo yake ya ufufuo wa waliokufa maana ikulu haitaruhusiwa hayo. Pili gwajima ni mjanja ni jasiri haogopi, ana ushawishi sana akitaka jambo lake kwa dhati linakuwa.... hivyo angefaa cheo kikubwa. Ile nahisi hana utulivu vizuri na ni mropokaji balaa. Mara nyingine hasimamii maneno yake ....waulize wana kawe jimboni kwake watakuambia ahadi zake smbazo nyingi hazijatimizwa. Ni changamoto. Labda chama chake kijiandae kwa kumwezesha atimize ahadi zake kwa vijana wa jumbo la,kawe kwanza
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU
Mtumishi uko sahihi na maono2025 Mungu alikuonyesha,usisahau maombi vita nikali sana mnaposema live muhisika mawindo yanakuwa......)lakini kama Mungu aishivyo mabaya hayatampata kwa jina la Yesu
Je ameweza kutimiza ahadi zake kwa jumbo lake la kawe? Lazima watauliza. Kama hajaweza itakuwa ngumu kuaminika. Imagine Barabara za maeneo muhimu kama masaki ni mbovu zimejaa mashimo huwezi kuamini kuna mbunge mjanja kama gwajima. Hivyo vyote ni vipingamizi anapaswa kujiandaa navyo. Kama jimbo moja linamsumbua hata barabara za mitaa zimeshindikana itakuwaje kwa nchi nzima?
Natamani SANA sanaaaa Hata kura nitapiga SANA huyu ni MTU mwema SANA na ni Mtumishi wa MUNGU wa Kweli. Gwajima ni ana sifa zote za kuongoza taifa letu.
Mtumishi uwe makini ktk maono yako si kwamba ukiona leo jambo hilo linatokea leo inawezakuwa hata miaka kumi ijayo na si kila uonalo inabidi ulitangaze kwa umma labda uwe umeelekezwa na Mungu kufanya hivyo,acha kuropoka kwa kutaka sifa na unayoongea hayo hakuna Mtu anakuunga mkono kwanza unamhalibia Gwajima acha siasa hubiri Neno
Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.
Jamani mtu unapoonyesha Siri na Mungu,unapewa kazi ya kuomba ,sio kulopoka ,Kama umeona katika roho unatakiwa uingie Tena katika roho kwendelea Kuomba ,kuwa Kama niwewe Mungu umesema Basi litimie Kama sio wewe lisitimie jama mbona mnakosa Hekima waonaji tutawamini vip Kama nikweliiiii ,
Hiyo ni kazi ya Watoto wachanga kiroho. Hata ufafanuzi wako ni wa kitoto. Ukikua utaelewa Ni Nini maana ya kutoa Maono yanayoihusu nchi kulingana na Mamlaka ya aliyetoa Maono
Baadae ikitokea ndo aseme kwamba niliona,unabii hauko hivo,unabii ukiona sema ila baadae ikitokea MUNGU atukuzwe na inulikane kwamba alisema kupitia mtumishi wake,..uko sawa mwonaji MUNGU azidi kukupandisha viwango zaidi
This could spell good to the Nation, however, some prophesies may spell bad to the appointed,no wonder, Samuel did not anoint David publicly..... narudia, Samuel alimuendea Yese pole pole na bila kijiji kujua ili kuhepusha shari.....sijapingana na unabii ila Amani ya pande mbili mhimu
Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea
Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla
Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu
2 Petro 1:21 [21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Nakupa pole wewe uliye gizani usiyejua kwamba MUNGU huwa anaongea kupitia WATUMISHI wake kwa kuwapa watu TAARIFA. Yaweza kuwa wewe ni mkristo mfu
Tumepewa nchi na bahari tuvitawale kwaiyo kama atakua Gwajima jua tutakua mikononi mwa MUNGU kwanza hanaga ubaguzi wala na anaakili za kutuongoza na maisha yakawa mepesi bila kutegemea wazungu mala misaada
Tofautisheni.ndoto maono.naufunuo.ngwajima niAskofu.ktk.kanisalake.Anaweza kuwa.Rais ktk kanisa lake.kwasababu.ameandaliwa.nakuaminiwa na watu wake inawezekana muonaji kaona hivyo chadema niwatu makini usimlinganishe.ngwajima na lowasa chadema.tunaviongozi wazirituu wachungaji kaeninakutafarini sana latoya sauti ya Mungu aliyehai nasauti yaasheyani
Umekosa kazi kalale uote tena😂😂😂 lowasa aloshinda 2015 kilichotokea sasa maono nayo yalipindishwa ndio kwaanza kuona hata kusudi la mungu kupindishwa😂😂😂
Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende
Wachungaji.acheni kuwapotosha.watu.huu unabii mnatoa.wapi kitabu kipi asipokuwa sasa tuwamini.kinanani? Ngwajima hawezi kuwaRais hata.akihama chama.Nabiii tupe andiko.mnasema.tuu bila kutoa maandiko
Ninaomba lile lililo kusudi la Mungu likasimame yalio makusudu ya Wanadamu ninayaangusha katika Jina La Yesu.AMINA
yes. Bishop Joseph Gwajima, kweli, kweli. Wengi tumeona lakini sikupewa time flame 🔥. Mungu atimilize maono ya wengi, Asante Mtumishi wa Mungu umesema ukweli
2 Petro 1:21
[21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
Roho mtaka kitu@@Elijah-TheSeerTv
Waaaaaw! Tunamsubiri...Awe awe awe aweeeeeeee❤
Akigombea Gwajima mimi narud Tanzania aisee.
Aya yote kwa mungu ya wezekana mungu ndo hakimu wa kweli mimi niko kwenye maombi ya kufunga na kuomba mungu atupe raisi sahihi atakae toka kwa mungu mwenyezi mungu simama na Tanzania yetu utupe raisi atakae tuongoza vyema kwamungu yote yanawezekana mwenyezi mungu tunaomba uchanguzi uwe wa amani kwa mapenzi yako mungu tunakataaa umwagaji wa damu katika jina la yesu kirisito wa nadhareti uriye hai naimesha kuwa jina la yesu mwenyezi mungu ibariki Tanzania
Naiwe ivo kwa maana gwajima ana hofu ya mungu tutashukulu sana mungu tenda muujiza
Tunnaomba mungu kamaaishivyo naiwe hivyo hata daudi aliinuliwa na mungu kama nimapenzi ya mungu mungu autimize unabihuu
Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!
Amina mtu ishi niombee pia mimi ni kijana nina changamoto nyingi uhakika natamani kumjua Yesu Kristo na kumuabudu katika roho na kweli,majina yangu ni mganga ruban
Nashauri umtafute Mchungaji aliye karibu nawe, akuongoze yanayokupasa uyafanye kisha uendelee na Yesu Chini ya Mchungaji anayetakiwa akuchunge
Mnasema gwajima ana hofu ya Mungu, swali, wenye hofu ya Mungu wanaiba kura?,au hatuelewani, maana kuna Mungu na miungu!
Namiye nimesha ona mambo haya, mara na kwa mara. Na nika baanbia Watanzania wengi. Mwezi wa ine 2023
Utamuletea vita kali kwa bure , na hatakama ni kweli umeona ungeita hekima kwa jambo hilo sababu unahatarisha maisha ya Gwajima na wanao kuwa naye.
Uzuri wa hii nchi wanapuuzaga hizi nabii
Utukufu wa MUNGU hauna kikomo.Atende kama apendavyo.
Jamani msije mkamgombanisha Gwajima na rais wetu
Tutafunga na kuomba ili kusudi la mungu litimie
Moyowangu utafurahi sana hatakama sihishi Tanzania 🇹🇿 mana namuona Gwajima kama Mfalme Daudi
Nijuavyo Mungu amesema asi kuhusu Hilo lakini ukweli utatokea ugomvi mikubwandani ya ccm na gwajima atateuliwa na ccm na atachukua nchi
Nathaniel iwe hivyo
Nitampa kura yangu kbisa❤❤❤my president josephat gwajima
Let it be in Jesus mighty name. U deserve the sit. You are full of wisdom.
Sipingani na unabii huu ila ningependa awe ameacha yale mambo yake ya ufufuo wa waliokufa maana ikulu haitaruhusiwa hayo.
Pili gwajima ni mjanja ni jasiri haogopi, ana ushawishi sana akitaka jambo lake kwa dhati linakuwa.... hivyo angefaa cheo kikubwa.
Ile nahisi hana utulivu vizuri na ni mropokaji balaa.
Mara nyingine hasimamii maneno yake ....waulize wana kawe jimboni kwake watakuambia ahadi zake smbazo nyingi hazijatimizwa.
Ni changamoto. Labda chama chake kijiandae kwa kumwezesha atimize ahadi zake kwa vijana wa jumbo la,kawe kwanza
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
Ni Kweli kabisa ❤❤🎉
Namuomba mungu ccm ishindwe tena mbali naipendekeza chadema ndo ingie madarakani nitafurahia sana ikiwa hivo
Neno mara2 au mara 3 hunauhakika naunacho sema mtafute sana yesu acha ropo ropo
MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII
NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU
Fact 100%.
Hapo sasa inatangazwa vita ya dhahiri kabisa kati ya waislamu vs wakristo. Ngoja tusubiri.
As Kody Gwajima anafaa sana hâta ukisikiliza kwenye Bunge tangu anaingia hoja zake zote Zina NGUVU sana ukilinganisha na wenzake, ana maono y’a msingi
Rais yeyote wa Dunia hii analetwa na Mungu, hivyo bc akipita yeyotote Tutamuunga mkono
Wengine wanaletwa na shetani kama uyu wa sasa
Sio kwel gwajima hawezi kuwa rais
Pole sana
We ninani mbaka upinge hayo
Unabii unasemaje kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Amen mtumishi wa Mungu
Naiwe hivo kwajina LA Yesu
Jaman nikisikia jina la gwajima nafarijika sana lakini mapenzi ya MUNGU aliehai yatimie
Watabiri mtamletea Gwajima zengwe, angalieni sana jambo hili.
Shekh yahya hussein alisema "atakae mpinga kikwete atakufa"waganga mnatabu sana.mnajua kupanga mipango sana.kaz njema.
Hivi mnawaona watanzania ni matahira wamchague gwajima?
Mtumishi uko sahihi na maono2025 Mungu alikuonyesha,usisahau maombi vita nikali sana mnaposema live muhisika mawindo yanakuwa......)lakini kama Mungu aishivyo mabaya hayatampata kwa jina la Yesu
Umewaza kama Mimi kiukweli.
Kama Bwana asipolinda mji walindao wakesha Bure,Mungu kamwambia aseme means atamlinda pia.
Tunangoja unabii huo, asipokuwa rais unabii utakuwa umeanguka..Yeremia 28.
Ni kweli kabisa gwajima hawezi kuwa rais.
Je ameweza kutimiza ahadi zake kwa jumbo lake la kawe? Lazima watauliza. Kama hajaweza itakuwa ngumu kuaminika.
Imagine Barabara za maeneo muhimu kama masaki ni mbovu zimejaa mashimo huwezi kuamini kuna mbunge mjanja kama gwajima.
Hivyo vyote ni vipingamizi anapaswa kujiandaa navyo.
Kama jimbo moja linamsumbua hata barabara za mitaa zimeshindikana itakuwaje kwa nchi nzima?
Natamani SANA sanaaaa Hata kura nitapiga SANA huyu ni MTU mwema SANA na ni Mtumishi wa MUNGU wa Kweli. Gwajima ni ana sifa zote za kuongoza taifa letu.
Mtumishi uwe makini ktk maono yako si kwamba ukiona leo jambo hilo linatokea leo inawezakuwa hata miaka kumi ijayo na si kila uonalo inabidi ulitangaze kwa umma labda uwe umeelekezwa na Mungu kufanya hivyo,acha kuropoka kwa kutaka sifa na unayoongea hayo hakuna Mtu anakuunga mkono kwanza unamhalibia Gwajima acha siasa hubiri Neno
Waefeso 4:7
[7]Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo.
Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.
Amen
Bora awe gwajima tuongozwe kwa maombi sio mwanamke tena 😏😏😏😏
Ikiwa hvo ataokota kula nyingi mno
Hilo liko wazi saaana
Jamani mtu unapoonyesha Siri na Mungu,unapewa kazi ya kuomba ,sio kulopoka ,Kama umeona katika roho unatakiwa uingie Tena katika roho kwendelea Kuomba ,kuwa Kama niwewe Mungu umesema Basi litimie Kama sio wewe lisitimie jama mbona mnakosa Hekima waonaji tutawamini vip Kama nikweliiiii ,
Hiyo ni kazi ya Watoto wachanga kiroho.
Hata ufafanuzi wako ni wa kitoto.
Ukikua utaelewa Ni Nini maana ya kutoa Maono yanayoihusu nchi kulingana na Mamlaka ya aliyetoa Maono
Baadae ikitokea ndo aseme kwamba niliona,unabii hauko hivo,unabii ukiona sema ila baadae ikitokea MUNGU atukuzwe na inulikane kwamba alisema kupitia mtumishi wake,..uko sawa mwonaji MUNGU azidi kukupandisha viwango zaidi
This could spell good to the Nation, however, some prophesies may spell bad to the appointed,no wonder, Samuel did not anoint David publicly..... narudia, Samuel alimuendea Yese pole pole na bila kijiji kujua ili kuhepusha shari.....sijapingana na unabii ila Amani ya pande mbili mhimu
Gwajima sio samweli wala sio yese wala sio daudi.
(Dispensation)
@@Elijah-TheSeerTv Kwa Mungu lolote linawezekana ila mimi kwangu sioni ni Sawa kuliweka hadharani,my take on this
@@ChitaiElish Mpaka limewekwa hadharani lazima ujue limeruhusiwa.
Ni mengi mtu anaweza kuyaona lakini yapo anayoruhusiwa kuyasema mbele ya public
Una tafuta kiki Mtumish
@@gp.mavukiro6220 pole
Ndugu mtumishi umejichanganya kwa unabii wako
Kusudi la JEHOVAH MUNGU Litimie
Hana ubaguzi wa watu yeye ni mkristo lakini kwa waislam na dini nyingine yukonao bega kwa bega na nikiongozi mwenye uluma sana na watu
Nalitokee kwakweli, mimi binafsi namuelewa sana.
Mmmmh sijui ila Mimi namwona tena Mama Samia tena ndugu
Toka pepooo
Shindwa pepo toka 😏😏😏😏😏
Sio kweli
JPM IN BLOOD
Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea
Hebu njoo inbox nikupe ukweli
Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla
Atakosana. Na Mungu kabisa. Na wewe na bii tumia hekima. Kwa unabii wako. Usiwe hio ni mapezi yako
Hizo ni ndoto,Gwajima labda mtajirisheni kwa kupewa tonge anyamazeee!!!
JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI LIHIMIDIWE MILELE!
Tuombe tuombevtuombe watanzania kusudi la Bwana lisimame,lisimame
Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala
Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu
Mnalichafua jina Yesu,na nyie ndiyo mnafanya ukristo usemwe. Vibaya
Ukikua utaelewa kila anasema Roho wa Mungu.
Kwa Sasa vumilia tu ukue hatua kwa hatua
Ombea taifa punguza udaku
@@ntibashirinzigo ombea wewe unaejua kuomba.
Au unifundushe kuombea
Duuuh asipokuwa raisi unyongwe mpk ufe mbela ya watanzania😏😏😏
Jina la Yesu limetukanwa kabla hujazaliwa
Angalia maneno yako
2 Petro 1:21
[21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
Nakupa pole wewe uliye gizani usiyejua kwamba MUNGU huwa anaongea kupitia WATUMISHI wake kwa kuwapa watu TAARIFA.
Yaweza kuwa wewe ni mkristo mfu
Ndoto za mchana hizi. Lots of Hallucinations
Jaman lisemwalo lipo,nimeshasikia mara nying kuhusu huyu mtumishi kuwa rais,inaweza kuwa kwel jmn
Kweli kabisa hata mimi nimesikia mpaka manabii wawili kutoka nje ya nchi wakimzungumzia Gwajima kuwa Rais na manabii wa ndani watatu ikiwemo huyu
Tumepewa nchi na bahari tuvitawale kwaiyo kama atakua Gwajima jua tutakua mikononi mwa MUNGU kwanza hanaga ubaguzi wala na anaakili za kutuongoza na maisha yakawa mepesi bila kutegemea wazungu mala misaada
Kweli, kabisa namuombea mema
JAMANI ACHENI UHUNI MBONA SASA MNAMUHARIBIA GWAJIMA
Yampate tu, maana ni muuaji huyo
KIKUBWA TUMBEMBE KWA MAOMBI KUSUDI LA MUNGU LITIMIE
Siku ya kuapishwa rais utauweka uso wako wapi?
Tofautisheni.ndoto maono.naufunuo.ngwajima niAskofu.ktk.kanisalake.Anaweza kuwa.Rais ktk kanisa lake.kwasababu.ameandaliwa.nakuaminiwa na watu wake inawezekana muonaji kaona hivyo chadema niwatu makini usimlinganishe.ngwajima na lowasa chadema.tunaviongozi wazirituu wachungaji kaeninakutafarini sana latoya sauti ya Mungu aliyehai nasauti yaasheyani
Subiri ukue kidogo usilazimishe kuelewa Mambo yanayokuzidi kifikra
Sasa Chadema Mbowe Hawezi kugombea Mwenyewe??
Tofautisheni sauti yaMungu na mashetani😊
❤💟❤💟💕🖐🏻🖐🏻🖐🏻🙌🏻🙋🏻🙈😀😀😀😀
Je mm nitakuwa lini raisi
2040
😂😂😂
Mnaropoka sana
Kwa mwakani ni uongo labda 2030... Hizi tabiri zenu ni mihemko tu
Umekosa kazi kalale uote tena😂😂😂 lowasa aloshinda 2015 kilichotokea sasa maono nayo yalipindishwa ndio kwaanza kuona hata kusudi la mungu kupindishwa😂😂😂
Uongo rais ni samia
Watu tulishaona kitambo, huyo naona anakomaa na urais ambao kimsingi hata uwezo wake haujathibitika.
Yan huyu hatumtak kabisa mb aje kijan makond
Gwajima chukua form ya urais usipuuze wewe Ni rais 2025
Acha attendee haki
Ndoto siyopato mama bado atendeleakuwa rais tu hili halina ubishi.
Iyo imepita asee
Hata weza kuwa raisi labda raisi wa kawe
Na siku asipokuwa rais uo mwaka uache na kuhubiri
Mtumishi unahitaji miwani ili uone sawa sawa,
Nitafutie tafadhali
Naaamini
Tapeli weww
😂😂😂😂😂😂
Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende
2025 nitakuwa ni mimi hao wengine bado sana.
hahahha
Kweli kabisa
Wazimu unanamna nyingi hiyo nayo ni moja wapo wa fani ya wazimu mmesnza mambo ya Makenzi wa Kenya hivi nyinyi wakristu mna nn subirini muone
Uupokee huo wazimu kabla mwaka huu haujaisha. Na itakua ivyo
@@Elijah-TheSeerTvmtumishi wq kweli si wa kukasirika kila kukicha ,Punguza hasira hii dunia ina mengi
Wachungaji.acheni kuwapotosha.watu.huu unabii mnatoa.wapi kitabu kipi asipokuwa sasa tuwamini.kinanani? Ngwajima hawezi kuwaRais hata.akihama chama.Nabiii tupe andiko.mnasema.tuu bila kutoa maandiko
Endelea kuvumilia na kunyenyekea chini ya madhabahu ya babayako
Huyu huyu alisema ananunua treni harafu anamfufua kanumba