Elijah-TheSeer TV
Elijah-TheSeer TV
  • Видео 113
  • Просмотров 45 978
HII NAYO NI MAAJABU 😭😭😭😭
Baba mzazi hataki BINTI AFANIKIWE 😭😭😭
@Elijah-TheSeerTv
Просмотров: 46

Видео

TANZANIA YAPEWA ANGALIZO
Просмотров 5363 месяца назад
Jifunzeni kwa jirani, wamekopa Sana na Sasa hawakopesheki, wanawaangushia zigo wananchi. hawana vyanzo tena vya kukabiliana na madeni isipokuwa ni kuwalimbikizia matozo wananchi
HATI MILKI YA TANGANYIKA ANAYO NANI?
Просмотров 683 месяца назад
Ni Nani mwenye hati miliki ya Tanganyika? je TANGANYIKA ipo?
ANGUKO LA VIONGOZI WA KIDINI
Просмотров 3,5 тыс.5 месяцев назад
ANGUKO la VIONGOZI wa kidini TAnZANIA laonekana. Toba Toba Toba
BISHOP GWAJIMA RAIS 2025
Просмотров 26 тыс.5 месяцев назад
Nimeona Tena zaidi ya mara Mbili Dk. Bishop Josephat Gwajima atakuwa Raisi wa Tz 2025. utatokea mpasuko mkubwa Sana CCM lakini MUNGU amemchagua Bishop Gwajima Kuwa Rais
IBAADA YA MATENDO YA MUUJIZA
Просмотров 197 месяцев назад
Shaloom Baba Mchungaji na Mwonaji ELIJAH anakukaribisha katika Ibaada ya Kinabii ya matendo ya Miujiza Jumapili hii KANISANI KISIMA CHA UZIMA
USIWAAMINI WAGANGA NI MATAPELI
Просмотров 1008 месяцев назад
Wewe unaesumbuka kwa ajili ya kupata watoto au una uvimbe tumboni usihangaike kuwaendea waganga wa kienyeji. Njoo KISIMA CHA UZIMA KWA Mwonaji. BWANA YESU KRISTO NI JIBU LAKO. 255746 002266
MAMLAKA YA MUNGU NDANI YA MTU
Просмотров 238 месяцев назад
karibu uuone ukuu wa Mungu ndani ya KISIMA CHA UZIMA @Elijah-TheSeerTv
RAIS WA TANZANIA ATAKIWA KUTUBU
Просмотров 4,1 тыс.9 месяцев назад
Maono juu ya Rais wa Tanzania
ALIZIKWA AKIWA HAI AKAVIKWA NA SANDA
Просмотров 52Год назад
ALIZIKWA AKIWA HAI AKAVIKWA NA SANDA
MUUJIZA BAADA YA WA KUPATA MTOTO
Просмотров 66Год назад
MUUJIZA BAADA YA WA KUPATA MTOTO
FAIDA 9 ZA MATUMIZI YA DAMU
Просмотров 22Год назад
FAIDA 9 ZA MATUMIZI YA DAMU
BABA AMWANDIKA MWANAE KUWA KAFARA
Просмотров 12Год назад
BABA AMWANDIKA MWANAE KUWA KAFARA
TUNAFUNDISHA AKINA MAMA KUOMBEA FAMILY
Просмотров 74Год назад
TUNAFUNDISHA AKINA MAMA KUOMBEA FAMILY
MATUMIZI YA DAMU Part 1
Просмотров 42Год назад
MATUMIZI YA DAMU Part 1
FREEMASON AKAMATWA NA VIFAA VYAKE
Просмотров 40Год назад
FREEMASON AKAMATWA NA VIFAA VYAKE
FREEMASON AKAMATWA KANISANI Part 1
Просмотров 42Год назад
FREEMASON AKAMATWA KANISANI Part 1
MAUTI IMEGEUZWA KWA ALIYEITUMA
Просмотров 86Год назад
MAUTI IMEGEUZWA KWA ALIYEITUMA
BIBI ANG'OLEWA NDANI YA MJUKUU
Просмотров 56Год назад
BIBI ANG'OLEWA NDANI YA MJUKUU
WAKALA WA FREEMASONS AKAMATWA
Просмотров 77Год назад
WAKALA WA FREEMASONS AKAMATWA
MAMA WA KAMBO KAMSHIKA AKILI
Просмотров 186Год назад
MAMA WA KAMBO KAMSHIKA AKILI
YESU KRISTO AMETENDA MUUJIZA
Просмотров 78Год назад
YESU KRISTO AMETENDA MUUJIZA
KAZI YA WOKOVU WA KRISTO
Просмотров 243Год назад
KAZI YA WOKOVU WA KRISTO
MIUJIZA YA YESU KRISTO
Просмотров 80Год назад
MIUJIZA YA YESU KRISTO
JUMAPILI YA 6 YA HUDUMA
Просмотров 37Год назад
JUMAPILI YA 6 YA HUDUMA
BWANA YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
Просмотров 17Год назад
BWANA YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
AMEUA WENGI KWA AJALI KICHAWI
Просмотров 51Год назад
AMEUA WENGI KWA AJALI KICHAWI
YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
Просмотров 35Год назад
YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
USHUHUDA PART 1 @Elijah-TheSeerTv
Просмотров 16Год назад
USHUHUDA PART 1 @Elijah-TheSeerTv
USHUHUDA Part 2 @Elijah-TheSeerTv
Просмотров 22Год назад
USHUHUDA Part 2 @Elijah-TheSeerTv

Комментарии

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 День назад

    Kwanii amewatuma kumsemea? Kuandaa watu kisaikolojia? Mkumbuke huyo mtu ni mbunge ana jimbo, je amrlifanyia nini hasa jimbo lake la kawe? Barabara zilizopo ni mbovu achiliambali kujenga mpya...vipo? Hospital ya serikali ipo? Shule je? Wizi na ujambazi hasa mbezi beach? Ametenbekea wanajimbo wake? Mara ngapi? Anajua shida zao? Ahadi zake ametimiza? Siyo habari ya unabii pekee utatuaminisha, bali uchapakazi na uaminifu wake kwa wanajimbo wake kwanza ni kigezo muhimu sana. Trust haijengwi kwa unabii tu.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 День назад

    Je ameweza kutimiza ahadi zake kwa jumbo lake la kawe? Lazima watauliza. Kama hajaweza itakuwa ngumu kuaminika. Imagine Barabara za maeneo muhimu kama masaki ni mbovu zimejaa mashimo huwezi kuamini kuna mbunge mjanja kama gwajima. Hivyo vyote ni vipingamizi anapaswa kujiandaa navyo. Kama jimbo moja linamsumbua hata barabara za mitaa zimeshindikana itakuwaje kwa nchi nzima?

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 День назад

    Sipingani na unabii huu ila ningependa awe ameacha yale mambo yake ya ufufuo wa waliokufa maana ikulu haitaruhusiwa hayo. Pili gwajima ni mjanja ni jasiri haogopi, ana ushawishi sana akitaka jambo lake kwa dhati linakuwa.... hivyo angefaa cheo kikubwa. Ile nahisi hana utulivu vizuri na ni mropokaji balaa. Mara nyingine hasimamii maneno yake ....waulize wana kawe jimboni kwake watakuambia ahadi zake smbazo nyingi hazijatimizwa. Ni changamoto. Labda chama chake kijiandae kwa kumwezesha atimize ahadi zake kwa vijana wa jumbo la,kawe kwanza

  • @NeemaOri0
    @NeemaOri0 2 дня назад

    Nathaniel iwe hivyo

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 2 дня назад

    Aya yote kwa mungu ya wezekana mungu ndo hakimu wa kweli mimi niko kwenye maombi ya kufunga na kuomba mungu atupe raisi sahihi atakae toka kwa mungu mwenyezi mungu simama na Tanzania yetu utupe raisi atakae tuongoza vyema kwamungu yote yanawezekana mwenyezi mungu tunaomba uchanguzi uwe wa amani kwa mapenzi yako mungu tunakataaa umwagaji wa damu katika jina la yesu kirisito wa nadhareti uriye hai naimesha kuwa jina la yesu mwenyezi mungu ibariki Tanzania

  • @SilvesterKazimoto-yk7hp
    @SilvesterKazimoto-yk7hp 8 дней назад

    Tunnaomba mungu kamaaishivyo naiwe hivyo hata daudi aliinuliwa na mungu kama nimapenzi ya mungu mungu autimize unabihuu

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 14 дней назад

    Mnasema gwajima ana hofu ya Mungu, swali, wenye hofu ya Mungu wanaiba kura?,au hatuelewani, maana kuna Mungu na miungu!

  • @NuruEria
    @NuruEria 15 дней назад

    Ndugu mtumishi umejichanganya kwa unabii wako

  • @memoryeliass9558
    @memoryeliass9558 16 дней назад

    Akigombea Gwajima mimi narud Tanzania aisee.

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 21 день назад

    Utukufu wa MUNGU hauna kikomo.Atende kama apendavyo.

  • @thebabilon7
    @thebabilon7 21 день назад

    Moyowangu utafurahi sana hatakama sihishi Tanzania 🇹🇿 mana namuona Gwajima kama Mfalme Daudi

  • @Elisha-zr8ms
    @Elisha-zr8ms 23 дня назад

    Neno mara2 au mara 3 hunauhakika naunacho sema mtafute sana yesu acha ropo ropo

  • @LatifaCharles
    @LatifaCharles 24 дня назад

    Bora awe gwajima tuongozwe kwa maombi sio mwanamke tena 😏😏😏😏

  • @patricekapange
    @patricekapange 26 дней назад

    Yampate tu, maana ni muuaji huyo

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 27 дней назад

    Tutafunga na kuomba ili kusudi la mungu litimie

  • @MgangaMalugu
    @MgangaMalugu Месяц назад

    Jaman nikisikia jina la gwajima nafarijika sana lakini mapenzi ya MUNGU aliehai yatimie

  • @PaulShija-hq7ep
    @PaulShija-hq7ep Месяц назад

    Gwajima ndo alitakiwa ila shetani alijibu kwa gwajima ili apoteze kile alicho kuwa amekusudiwa kuwa rais wa tanzania akampa ubunge ili kumpoteza katika kusudi sasa ili arudi anatakiwa kuachia bunge mara moja

  • @anthonykitara8121
    @anthonykitara8121 Месяц назад

    Namuomba mungu ccm ishindwe tena mbali naipendekeza chadema ndo ingie madarakani nitafurahia sana ikiwa hivo

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Месяц назад

    Tunangoja unabii huo, asipokuwa rais unabii utakuwa umeanguka..Yeremia 28.

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Месяц назад

    Hapo sasa inatangazwa vita ya dhahiri kabisa kati ya waislamu vs wakristo. Ngoja tusubiri.

  • @AnthonyKiwango
    @AnthonyKiwango Месяц назад

    Rais yeyote wa Dunia hii analetwa na Mungu, hivyo bc akipita yeyotote Tutamuunga mkono

  • @franksingano9504
    @franksingano9504 Месяц назад

    Na kama tutaamua tuweke serikali moja Zanzibar igeuzwe kuwa mkoa mmoja na kama hilo kitaleta utata kwenye hayo mabadiliko ya Katiba tuigawe hii nchi kwenye mfumo wa Majimbo,Kaunti au Kanda yani kuwe na Viongozi wa Kanda wenye asili ya kanda fulani kuliko kuchagua wakuu wa mikoa ili awe na uchungu na kanda yake halafu Rais ata akitoka upande wowote kutakua na afadhali iwapo kutakua na serikali moja ambayo katiba pia ipunguze mamlaka ya Rais na kumdhibiti kama ile katiba ya Kenya

  • @franksingano9504
    @franksingano9504 Месяц назад

    Mimi natamani Kuwepo serikali ya Tanganyika ingawa kuna watu wanasema matumizi ya serikali yataongezeka kwa sababu serikali zitakua tatu na kila Rais atalipwa pamoja na watu wake na mahakama zitakua tatu majeshi matatu na Pesa za Raia zitatumika kuhudumia Viongozi tu na kama hilo halitawezekana bora Muungano usiwepo na kila watu wabaki free na nchi yao ila ushirikiano uwepo kama wa jumuiya ya Africa Mashariki tunavoshirikiana maana nayo itakua sehemu ya Africa Mashariki

  • @AbubakaryOmary-m6l
    @AbubakaryOmary-m6l Месяц назад

    Unabii unasemaje kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Месяц назад

    Yan huyu hatumtak kabisa mb aje kijan makond

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 2 месяца назад

    MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU

  • @nurumwita9034
    @nurumwita9034 2 месяца назад

    Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 месяца назад

    Naaamini

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 месяца назад

    Kusudi la JEHOVAH MUNGU Litimie

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende

  • @thomasmwakatobe8207
    @thomasmwakatobe8207 2 месяца назад

    Mmmmh sijui ila Mimi namwona tena Mama Samia tena ndugu

  • @robertwottson9100
    @robertwottson9100 2 месяца назад

    Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 2 месяца назад

    Hivi mnawaona watanzania ni matahira wamchague gwajima?

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 месяца назад

    Naiwe ivo kwa maana gwajima ana hofu ya mungu tutashukulu sana mungu tenda muujiza

  • @blessingcharles-lc1rr
    @blessingcharles-lc1rr 3 месяца назад

    Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu

  • @EvethaMpakasi
    @EvethaMpakasi 3 месяца назад

    Tuombe tuombevtuombe watanzania kusudi la Bwana lisimame,lisimame

  • @EvethaMpakasi
    @EvethaMpakasi 3 месяца назад

    Amen

  • @DavidLagat-h1p
    @DavidLagat-h1p 3 месяца назад

    Let it be in Jesus mighty name. U deserve the sit. You are full of wisdom.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 месяца назад

    JAMANI ACHENI UHUNI MBONA SASA MNAMUHARIBIA GWAJIMA

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 месяца назад

    Huyu saia awasgize wa DPW watulipie maana amewang, ang, ania wawekezaji wa has also hats siku ile anawTekana viongozi wetu wa dini kwa dharau akiwafananisha na chura akipongeza DPW ambao hata michanga yao haukufika hata trioni huyu mama hashauriwi na watu wa busara . Bakuli limetumaliza anadhanani wazungu ni waume zake.

  • @rastheunique
    @rastheunique 3 месяца назад

    Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 3 месяца назад

    Bado tunatembelea ile neema ya Magufuli siku si nyingi tunaelekea alikoanzia magufuli.

  • @vumiliambogela8413
    @vumiliambogela8413 3 месяца назад

    Naiwe hivo kwajina LA Yesu

  • @vumiliambogela8413
    @vumiliambogela8413 3 месяца назад

    ❤💟❤💟💕🖐🏻🖐🏻🖐🏻🙌🏻🙋🏻🙈😀😀😀😀

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад

    Siku ya kuapishwa rais utauweka uso wako wapi?

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 3 месяца назад

    Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 3 месяца назад

    Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah