- Видео 113
- Просмотров 45 978
Elijah-TheSeer TV
Добавлен 24 апр 2021
John 3:16-20
Видео
TANZANIA YAPEWA ANGALIZO
Просмотров 5363 месяца назад
Jifunzeni kwa jirani, wamekopa Sana na Sasa hawakopesheki, wanawaangushia zigo wananchi. hawana vyanzo tena vya kukabiliana na madeni isipokuwa ni kuwalimbikizia matozo wananchi
HATI MILKI YA TANGANYIKA ANAYO NANI?
Просмотров 683 месяца назад
Ni Nani mwenye hati miliki ya Tanganyika? je TANGANYIKA ipo?
ANGUKO LA VIONGOZI WA KIDINI
Просмотров 3,5 тыс.5 месяцев назад
ANGUKO la VIONGOZI wa kidini TAnZANIA laonekana. Toba Toba Toba
BISHOP GWAJIMA RAIS 2025
Просмотров 26 тыс.5 месяцев назад
Nimeona Tena zaidi ya mara Mbili Dk. Bishop Josephat Gwajima atakuwa Raisi wa Tz 2025. utatokea mpasuko mkubwa Sana CCM lakini MUNGU amemchagua Bishop Gwajima Kuwa Rais
IBAADA YA MATENDO YA MUUJIZA
Просмотров 197 месяцев назад
Shaloom Baba Mchungaji na Mwonaji ELIJAH anakukaribisha katika Ibaada ya Kinabii ya matendo ya Miujiza Jumapili hii KANISANI KISIMA CHA UZIMA
USIWAAMINI WAGANGA NI MATAPELI
Просмотров 1008 месяцев назад
Wewe unaesumbuka kwa ajili ya kupata watoto au una uvimbe tumboni usihangaike kuwaendea waganga wa kienyeji. Njoo KISIMA CHA UZIMA KWA Mwonaji. BWANA YESU KRISTO NI JIBU LAKO. 255746 002266
MAMLAKA YA MUNGU NDANI YA MTU
Просмотров 238 месяцев назад
karibu uuone ukuu wa Mungu ndani ya KISIMA CHA UZIMA @Elijah-TheSeerTv
BWANA YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
Просмотров 17Год назад
BWANA YESU KRISTO BADO ANAOKOA USIKATE TAMAA
Kwanii amewatuma kumsemea? Kuandaa watu kisaikolojia? Mkumbuke huyo mtu ni mbunge ana jimbo, je amrlifanyia nini hasa jimbo lake la kawe? Barabara zilizopo ni mbovu achiliambali kujenga mpya...vipo? Hospital ya serikali ipo? Shule je? Wizi na ujambazi hasa mbezi beach? Ametenbekea wanajimbo wake? Mara ngapi? Anajua shida zao? Ahadi zake ametimiza? Siyo habari ya unabii pekee utatuaminisha, bali uchapakazi na uaminifu wake kwa wanajimbo wake kwanza ni kigezo muhimu sana. Trust haijengwi kwa unabii tu.
Je ameweza kutimiza ahadi zake kwa jumbo lake la kawe? Lazima watauliza. Kama hajaweza itakuwa ngumu kuaminika. Imagine Barabara za maeneo muhimu kama masaki ni mbovu zimejaa mashimo huwezi kuamini kuna mbunge mjanja kama gwajima. Hivyo vyote ni vipingamizi anapaswa kujiandaa navyo. Kama jimbo moja linamsumbua hata barabara za mitaa zimeshindikana itakuwaje kwa nchi nzima?
Sipingani na unabii huu ila ningependa awe ameacha yale mambo yake ya ufufuo wa waliokufa maana ikulu haitaruhusiwa hayo. Pili gwajima ni mjanja ni jasiri haogopi, ana ushawishi sana akitaka jambo lake kwa dhati linakuwa.... hivyo angefaa cheo kikubwa. Ile nahisi hana utulivu vizuri na ni mropokaji balaa. Mara nyingine hasimamii maneno yake ....waulize wana kawe jimboni kwake watakuambia ahadi zake smbazo nyingi hazijatimizwa. Ni changamoto. Labda chama chake kijiandae kwa kumwezesha atimize ahadi zake kwa vijana wa jumbo la,kawe kwanza
Nathaniel iwe hivyo
Aya yote kwa mungu ya wezekana mungu ndo hakimu wa kweli mimi niko kwenye maombi ya kufunga na kuomba mungu atupe raisi sahihi atakae toka kwa mungu mwenyezi mungu simama na Tanzania yetu utupe raisi atakae tuongoza vyema kwamungu yote yanawezekana mwenyezi mungu tunaomba uchanguzi uwe wa amani kwa mapenzi yako mungu tunakataaa umwagaji wa damu katika jina la yesu kirisito wa nadhareti uriye hai naimesha kuwa jina la yesu mwenyezi mungu ibariki Tanzania
Tunnaomba mungu kamaaishivyo naiwe hivyo hata daudi aliinuliwa na mungu kama nimapenzi ya mungu mungu autimize unabihuu
Mnasema gwajima ana hofu ya Mungu, swali, wenye hofu ya Mungu wanaiba kura?,au hatuelewani, maana kuna Mungu na miungu!
Ndugu mtumishi umejichanganya kwa unabii wako
Akigombea Gwajima mimi narud Tanzania aisee.
Utukufu wa MUNGU hauna kikomo.Atende kama apendavyo.
Moyowangu utafurahi sana hatakama sihishi Tanzania 🇹🇿 mana namuona Gwajima kama Mfalme Daudi
Neno mara2 au mara 3 hunauhakika naunacho sema mtafute sana yesu acha ropo ropo
Bora awe gwajima tuongozwe kwa maombi sio mwanamke tena 😏😏😏😏
Yampate tu, maana ni muuaji huyo
Tutafunga na kuomba ili kusudi la mungu litimie
Jaman nikisikia jina la gwajima nafarijika sana lakini mapenzi ya MUNGU aliehai yatimie
Gwajima ndo alitakiwa ila shetani alijibu kwa gwajima ili apoteze kile alicho kuwa amekusudiwa kuwa rais wa tanzania akampa ubunge ili kumpoteza katika kusudi sasa ili arudi anatakiwa kuachia bunge mara moja
Namuomba mungu ccm ishindwe tena mbali naipendekeza chadema ndo ingie madarakani nitafurahia sana ikiwa hivo
Tunangoja unabii huo, asipokuwa rais unabii utakuwa umeanguka..Yeremia 28.
Hapo sasa inatangazwa vita ya dhahiri kabisa kati ya waislamu vs wakristo. Ngoja tusubiri.
Rais yeyote wa Dunia hii analetwa na Mungu, hivyo bc akipita yeyotote Tutamuunga mkono
Wengine wanaletwa na shetani kama uyu wa sasa
Na kama tutaamua tuweke serikali moja Zanzibar igeuzwe kuwa mkoa mmoja na kama hilo kitaleta utata kwenye hayo mabadiliko ya Katiba tuigawe hii nchi kwenye mfumo wa Majimbo,Kaunti au Kanda yani kuwe na Viongozi wa Kanda wenye asili ya kanda fulani kuliko kuchagua wakuu wa mikoa ili awe na uchungu na kanda yake halafu Rais ata akitoka upande wowote kutakua na afadhali iwapo kutakua na serikali moja ambayo katiba pia ipunguze mamlaka ya Rais na kumdhibiti kama ile katiba ya Kenya
Mimi natamani Kuwepo serikali ya Tanganyika ingawa kuna watu wanasema matumizi ya serikali yataongezeka kwa sababu serikali zitakua tatu na kila Rais atalipwa pamoja na watu wake na mahakama zitakua tatu majeshi matatu na Pesa za Raia zitatumika kuhudumia Viongozi tu na kama hilo halitawezekana bora Muungano usiwepo na kila watu wabaki free na nchi yao ila ushirikiano uwepo kama wa jumuiya ya Africa Mashariki tunavoshirikiana maana nayo itakua sehemu ya Africa Mashariki
Unabii unasemaje kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Yan huyu hatumtak kabisa mb aje kijan makond
MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU
Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea
Hebu njoo inbox nikupe ukweli
Naaamini
Kusudi la JEHOVAH MUNGU Litimie
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla
Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende
Mmmmh sijui ila Mimi namwona tena Mama Samia tena ndugu
Toka pepooo
Shindwa pepo toka 😏😏😏😏😏
Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.
Hivi mnawaona watanzania ni matahira wamchague gwajima?
Naiwe ivo kwa maana gwajima ana hofu ya mungu tutashukulu sana mungu tenda muujiza
Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu
Tuombe tuombevtuombe watanzania kusudi la Bwana lisimame,lisimame
Amen
Let it be in Jesus mighty name. U deserve the sit. You are full of wisdom.
JAMANI ACHENI UHUNI MBONA SASA MNAMUHARIBIA GWAJIMA
Huyu saia awasgize wa DPW watulipie maana amewang, ang, ania wawekezaji wa has also hats siku ile anawTekana viongozi wetu wa dini kwa dharau akiwafananisha na chura akipongeza DPW ambao hata michanga yao haukufika hata trioni huyu mama hashauriwi na watu wa busara . Bakuli limetumaliza anadhanani wazungu ni waume zake.
Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Bado tunatembelea ile neema ya Magufuli siku si nyingi tunaelekea alikoanzia magufuli.
@@talentshow2024 haswaa
Naiwe hivo kwajina LA Yesu
❤💟❤💟💕🖐🏻🖐🏻🖐🏻🙌🏻🙋🏻🙈😀😀😀😀
Siku ya kuapishwa rais utauweka uso wako wapi?
Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!
Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah
Blessings