Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!
Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu
Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.
Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah
Blessings
Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Pata habari ya leo juu ya askofu shoo.soma nipashe
Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!
Bora Mungu afanye hilo.....viongozi wengi wa kidini wamekuwa mabepari
Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu
Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.
Wataanguka na kufedheheshwa