ANGUKO LA VIONGOZI WA KIDINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ANGUKO la VIONGOZI wa kidini TAnZANIA laonekana. Toba Toba Toba

Комментарии • 9

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 3 месяца назад +1

    Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah

  • @rastheunique
    @rastheunique 3 месяца назад

    Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @richardmariki4512
    @richardmariki4512 4 месяца назад +1

    Pata habari ya leo juu ya askofu shoo.soma nipashe

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 4 месяца назад +2

    Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 5 месяцев назад +1

    Bora Mungu afanye hilo.....viongozi wengi wa kidini wamekuwa mabepari

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 4 месяца назад +1

    Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu

  • @matiredms917
    @matiredms917 4 месяца назад +1

    Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.