BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - PESA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2019
- Hii ni Episode ya Kwanza ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV Развлечения
Wangapi walio kuwa wamemci bongo dar es salaam kama mm gonga like yako hap twende pamoja
Na mm
Wamaneno yakuambiwa tupo uku kwa dude yetu jmosi
Kileo Amani tupo uku pia 😁😁😁
Jamani siku hizi maneno ya kuambiwa hua inarusha Chanel gani na sangapi?
@@stellahjames1974 inarushwa kila jmosi saa tatu
Saa 4 wa Oman saa 3 ya Tanzania
@@kileoamani6744 mwambie stellah akianza moja wenzake tupo episode 81.
Mbinu Ngumu Sana Ulizo Tumia Dude Akuna Alie Zani Mbinu Kama izo Ungetumia Pale Ongera Kwa Kutufunza Wizi Pia
Hahahahahaha eti hongera kwa kutufunza wizi...!!
Van Braiysee j
Aendelee kutupa maujuz ya kitapeli🤣🤣🤣
@@danrevelian noma noma
Mie naombeni like ata 10 tu maana cjawahig kupata hata
Idrissa Mohamed mbinu na idea za hii Episode zimekuwa fupi wala hazivutii
Inawabidi waboreshe au kutumia mbinu za utapeli kuliko njia za wizi ❌🚫🚫
Izo likes zitakuxadia nin
Zikuingiziee kipato tuu izo like ndugu yngu
@@siliverstar7229 Naww hizo hapo mbaba nimekupa ucjal nilichokuwa nakitaka nimekipata
Hahah pw mzee
Duuuu.. Hilo geti la mfanyabiashara wa magari.. Hapo mmechemshaaa kidogo kwenye uhalisiaa
Hivi kwani bongo lazima mlinzi wa getini awe kama chizi 😂😂😂
Shahban Mazila sio bongo tu hadi Nigeria hahahaaaa
😂😂😂😂😂😂 ujinga sana
Hata mi nashangaa
Hata India home maid lazima awe chizfresh
Hv ww.... Unazo zote kabisa kichwan aseeeh unawez kuwa mlinzi wa getin
tujuane tunaoangalia uku tunacomment
We want long episodes of Bongo Dar es salaam like before
Wizi wa kishamba kabisa huo Dude kazingua ilikua aka matwe kabisa sema ki bongo movie usanii tu si hitaji like zenu
Thumb up to the one en only known Dudeeee!!!!
Dude iz back🔥
Kama umemuona Machasub na unegundua kuwa yeye ndio Hashimu gonga like
Yaani Bongo Dar Es Salaam ilikuwa nzuri zamani...Dude unaharibu sana cku hiz dah
Hii mmetudanganya vitu vingi sanaa
Walio jua bongo dar es salaam ndo bye bye tujuane hapa 😁
Ety mwanamke "mtanashati mrembo" kma umeisikia hio nipe like yangu
Yani mtu uhisi ndani kuna mwizi halafu uondoke usihangaike kumtafuta???😂😂
Hivi inaonyweshwa jumangapi sangapi hi bongodar es salaam
Kweli nmeinjoi sana kuitizama hii kitu wara sjajutia
Chombo Kwa Hewaa!
Wow its amazing trick i have never seen before huu wizi sio wa kitoto hebu gongen like km zote hp 👇
Mh japo naipend bongo dsm ila leo mmetuletea mamb ya kweny flm za kihindii😁😁
Kabisa kumbe unauelewa wa ali ya Juu
Leo nimechelewa nmekuwa na 22lakin sio mbaya.walioimis bongo dsm wa like hapa twende sawa
Mnazingua mnatumia uongo mwingi sanaa mpaka watazamaji tunajua kabisa
Huyu demu ajui bora wale wa mwanzo wote wawili wale ndo kiboko kipande cha demu angecheza yyt Yule kati ya wale ingekua poa sana
Hata kama wizi sio kihivyo hata mtoto hawezi kuibiwa kwa staili hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Toa nawewe plan yako tuione sio unakosoa tu wewe
Yohana Fabian andaa script bas bro uwape
Yohana acha ujinga hiyo mbinu ya hali ya juu sana!
@@jumaedward7110 ok kaka ila huwezi hisi ndani kwako hakupo sawa halafu umeona mlango unajifunga dude anajificha kwenye kabati et unaacha huku umeona bora unge hisi sio kuona
Km umeona mlinzi ana wenge gonga like
mwarabu anambinuuuu af ana uchu na pesa kishenz yan
Yoy yoy getting back to the best shoooowwwwww
Mjini shule asante baba kwa kuwatimizia wahenga maneno waliyosema....
Tapeli ni tapeli tu haishiwi mbinu. Hatareee
Wa kujaribu ajaribu akamatwe apigwe afee azikwee aende motoni
Godfrey Orago kabisaa hii movie sasa mtu ajaribu kwa staili hii walah unadakwq
Dude unakwama wapi mbona unapotea mara kwa mara
Mwizi yupo ndani anapigiwa cm na inatoa mlio na bwana hashim aisikii cm ya mwizi ndani iki ita kwann bwana dude ucnge weka vibration
Dude noma samaaaa aaaah hii nimeipenda kwelikweli
1st number dude chafu
Safi sana, kazi nzuri..! 👏👏👏
Wizi wa simple sana huu
Hiyo nyumba ndo ya muuza magari dubai aya bhana dude mana nje kama zile za walimu wastaafu na ndani kidogo ya teller bank
bwana Dude nmeona kitu, mara ya pili bi hawa anavotoka ali lock kitasa na funguo, ukafungua maji bwana Hashim amekuja kufungua mlango bila funguo
Kuna mambo madogo madogo ya msingi ambayo yangeifanya movie iwe really sana na wezi waonekane smart... nahisi udhaifu wa director unachangia.. haiwezekani mtu ambaye ame raise suspicion katika chumba ambacho amewek ma milioni ya hela aondoke bila kuhakiki izo hela tena amekuta dro iko wazi?
Kumbukeni ni act bhana anafundisha kuwa hutakiwi kufanya hivo sasa mnakomaa na kukosoa tu
Pia Mtu huwez kuhisi kitu kipo ndani na vitu vimevurugika. Ukashika kabat na kuliacha kisa simu. Kingine.. Dogo Mama yake aliondoka na Gari lkn wakati mtu amegonga mlangoni .. ameonekana na Ufunguo as Gari kwenye Luksi. Afu pia huwez kumkaribisha mgeni hamjaongea kwa undani ..humjui deep kisha unasema unaondoka utarudi Baada ya Saa moja .. amekwambia anafahamiana na mumeo ..then anaomba namba tena
@@njeyabox1009 hio ni kweli kabisa
@@marinyasaxistv8121 una upeo mdogo sana wa kufikir kwaiyo umekalili kua kila funguo kiunon ni za gar ? Na kuhusu kuacha kabat na kupokea cm ni kawaida hata move za mataifa yaliyoendelea wanafanyaga. 3 kuhusu kuomba namba ni kawaida kuna kupoteza cm nk so kuomba namba alikua sahihi coz kama angekua na namba angempgia kashasema alionana nae tangu ashim akiwa mdogo sana mpaka kawa mtu mzima piga picha ni miaka mingap imepita mtu habadilish lain tu
Mmemaliza kienyeji sana hata haipendezi kama zile zingine
Good...mko vizur
Wahaya buana bado mlinzi lkn kujionaa! Mtakuja kufa na sifa!
Mwarabu kasha tapeliwa Sana nae kamua kuwa tapelii iyi dunia ukikawia kujifunza utafunzwa 😂😂
Hayo ni maigizo ya kayumba primary school
Mnakuja Mnapotea Mnafeli Bn
Daah bongo mnajuaa 🤣🤣🙌🙌
Wangapi wanakubali kama dude ni zaidy ya komandoo
dude siku nikikushikaaaaaa Hahahahahahaha
Bora imerud bongoo
Dude bhana upo vzr but cyo ka zaman zidisha mautundu
Dude tunashukuru kwa ujio wako tena
hamna wizi waivo ata siku mojaaaa
Ghalib Nadil andaa script uwatumie bro
2020 gonga like hapa
Master of technique
nakubali tapeli wa kiwango cha lamii
Ni nzuri lakini hayo mambo mengine sidhani kama yanawezekana,,, mtu kwenye chumba chake tena chenye hela nyingi hawez kubali kuondoka na kuacha ndani akiwa na was was.... haiwezekan kabisaaaa....
Movie nzima mistake tupu.Haina mafundisho yeyote.Wameiga kwenye sinema tu.Tunataka story za kweli zinazotokea hapa nchini kwetu.kwa hali hii bora mpotee tu tuangalie vichekesho vya joti
Dudeeeeeeeeeeeeeeeeeee
At the first huyu dada kajibu hadi maswali ambayo hajaulizwa
Daaah ilipotea xan hii mambonbora mmerud huku😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Ila hizi za dude ckuiz cyo kaaali mbinu hizi uwezi kumpata mtu kiukweli
Well done dude
Yaan mm wanaoomba like wananiudhi sana kama makuma vile
Dude hufai kabsa nzur San hii gonga like kama umeikubali km mm
Safi bongo darisalam Mr dude
Like zitakusaidia nin acheni usenge
Nishakwelewa tuelewane yaishe 😂😂😂😂😂
Mlinzi bana
Long time 🔥🔥🔥✊
Dude ni noma wew ni tapeli haswa yani siyo wakubahatisha
Respect dude nakubali umetumia akili ziada kweli hongera mzazi
Mbona hakuelezwa yupo mfanyakaz wala mume wake analeta magari 🤣🤣🤣
Unahis ndan kuna mwiz kajificha kwenye kabati halafu unamuacha na kumpotezea kwa hapo mmechemka kaabisa! Ok nimewakumbusha tu.
Mwanamke ni mtanashati kumbe 😂!!!!
😂😂😂😂😂😂
Ndio mkewe?...
Bado plot ya kitoto.
1. Mdada amejibu maswali ambayo hakuulizwa
2. Utakubali vipi mtu humjui nyumbani eti rafiki ya mume wako
3. Kubisha mlango na kukimbia mlango mwengine
4. Eti umeskia kabati imefungwa na unawacha unatoka nje
5. Dude anashika na kuongea na simu kwa room kama yuko sebuleni mwake
Play inaanza kumature although bado there is room for improvement
Part 2 bac mwenderezo
Kabali yao dude tapeli mwanzo mwishoooo
dude namuelewaga sana, dude iz back
Nomaa sanaaa
Bado kdg mbinu siyo
mwana mke mtanashati
Hapo mwisho huyo kijana kaingiaje chumbani na mama ake alifunga mlango
Sana kazi kazi
Dude
Dude karudi tena kutoka mafichoni😂😂😂😂
Alikua anakimbia madeni
Dude noma xana
good creative but my advice ni at the end of the show wekeni behind the scene ili watu wacheke the way way mna act seriuz.
Uyu mlinzi mlomuweka apo masiara mengi anazingua mngemuweka mwingne
Kwa hali halisi mlinzi awezi chomoa pale hata kama yuko vp.... Anaona ngekewa .....
Acha michezo ya hatari hiyo 😀😁😁
D U D E utabaki Kuwa juu pls kama unakubali 👍👍
Dudeee umeuwaaaaaa
Wazo zur ila sehem walipopaki gari nirahc sana kugutukiwa hapo ndo wamebugi
Leo dude kaishiwa mbinuu kila saa anaulza tunaingiaj tunaingiajeee???
Japo sawa kuna wizi ila kwa wizi huu hapana bado hujamuibia mtu, mlango bi mkubwa kaufunga na funguo halafu dogo kaja kufungua bila funguo, HAYA NI MATAPU TAPU, ila idea kuwa mtu anaweza kuibiwa hivyo sawa ila sio kwa mipango hio
tuko pmj na bongo Drslm🇧🇮🇧🇮🇧🇮
miryamu umutesi ❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mnyama mkali zaid ya simba
Good good 👍
BG up
Huu mwizi wenu umepitwa na wakati kabisa.. Tafuteni mbinu za kitekolonijia wacheni na ushumba... Karne hii hata mtoto wa miaka mitano huwezi kumuimbia kipuzi hivyo.. Pliz came with new ways..
Dude nomAAAAA
Daa kitambo