BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2019
  • Hii ni Episode ya Kwanza ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
    Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
    USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 317

  • @allenynnko9873
    @allenynnko9873 4 года назад +128

    Wangapi walio kuwa wamemci bongo dar es salaam kama mm gonga like yako hap twende pamoja

  • @kileoamani6744
    @kileoamani6744 4 года назад +77

    Wamaneno yakuambiwa tupo uku kwa dude yetu jmosi

    • @gaonechinago3493
      @gaonechinago3493 4 года назад

      Kileo Amani tupo uku pia 😁😁😁

    • @stellahjames1974
      @stellahjames1974 4 года назад

      Jamani siku hizi maneno ya kuambiwa hua inarusha Chanel gani na sangapi?

    • @kileoamani6744
      @kileoamani6744 4 года назад +1

      @@stellahjames1974 inarushwa kila jmosi saa tatu

    • @neykweyamba8052
      @neykweyamba8052 4 года назад

      Saa 4 wa Oman saa 3 ya Tanzania

    • @muokiraymond9950
      @muokiraymond9950 4 года назад

      @@kileoamani6744 mwambie stellah akianza moja wenzake tupo episode 81.

  • @vanbraiysee2858
    @vanbraiysee2858 4 года назад +51

    Mbinu Ngumu Sana Ulizo Tumia Dude Akuna Alie Zani Mbinu Kama izo Ungetumia Pale Ongera Kwa Kutufunza Wizi Pia

  • @erlinghaaland9412
    @erlinghaaland9412 4 года назад +110

    Mie naombeni like ata 10 tu maana cjawahig kupata hata

    • @dennicjude
      @dennicjude 4 года назад +1

      Idrissa Mohamed mbinu na idea za hii Episode zimekuwa fupi wala hazivutii
      Inawabidi waboreshe au kutumia mbinu za utapeli kuliko njia za wizi ❌🚫🚫

    • @siliverstar7229
      @siliverstar7229 4 года назад +2

      Izo likes zitakuxadia nin

    • @sampart2669
      @sampart2669 4 года назад +2

      Zikuingiziee kipato tuu izo like ndugu yngu

    • @erlinghaaland9412
      @erlinghaaland9412 4 года назад +1

      @@siliverstar7229 Naww hizo hapo mbaba nimekupa ucjal nilichokuwa nakitaka nimekipata

    • @siliverstar7229
      @siliverstar7229 4 года назад +1

      Hahah pw mzee

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy846 4 года назад +14

    Duuuu.. Hilo geti la mfanyabiashara wa magari.. Hapo mmechemshaaa kidogo kwenye uhalisiaa

  • @shahbanmazila2138
    @shahbanmazila2138 4 года назад +38

    Hivi kwani bongo lazima mlinzi wa getini awe kama chizi 😂😂😂

    • @stellabomani4805
      @stellabomani4805 4 года назад +1

      Shahban Mazila sio bongo tu hadi Nigeria hahahaaaa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂 ujinga sana

    • @yusuphjuma4638
      @yusuphjuma4638 4 года назад

      Hata mi nashangaa

    • @vanestorymahenge1724
      @vanestorymahenge1724 4 года назад

      Hata India home maid lazima awe chizfresh

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 4 года назад +1

      Hv ww.... Unazo zote kabisa kichwan aseeeh unawez kuwa mlinzi wa getin

  • @mausumbufuofficial7837
    @mausumbufuofficial7837 4 года назад +17

    tujuane tunaoangalia uku tunacomment

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 4 года назад +5

    We want long episodes of Bongo Dar es salaam like before

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 4 года назад +1

    Wizi wa kishamba kabisa huo Dude kazingua ilikua aka matwe kabisa sema ki bongo movie usanii tu si hitaji like zenu

  • @jannsenmalando5833
    @jannsenmalando5833 4 года назад +4

    Thumb up to the one en only known Dudeeee!!!!

  • @ngido255
    @ngido255 4 года назад +12

    Dude iz back🔥

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 года назад +9

    Kama umemuona Machasub na unegundua kuwa yeye ndio Hashimu gonga like

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 4 года назад +1

    Yaani Bongo Dar Es Salaam ilikuwa nzuri zamani...Dude unaharibu sana cku hiz dah

  • @sinaivaladega8291
    @sinaivaladega8291 3 года назад +1

    Hii mmetudanganya vitu vingi sanaa

  • @simonfilbert7008
    @simonfilbert7008 4 года назад +9

    Walio jua bongo dar es salaam ndo bye bye tujuane hapa 😁

  • @allysaidhy2255
    @allysaidhy2255 4 года назад +1

    Ety mwanamke "mtanashati mrembo" kma umeisikia hio nipe like yangu

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 года назад +9

    Yani mtu uhisi ndani kuna mwizi halafu uondoke usihangaike kumtafuta???😂😂

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 4 года назад +1

    Hivi inaonyweshwa jumangapi sangapi hi bongodar es salaam

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Год назад +1

    Kweli nmeinjoi sana kuitizama hii kitu wara sjajutia

  • @ishanhisharjun6469
    @ishanhisharjun6469 4 года назад +11

    Chombo Kwa Hewaa!

  • @saeedaltae2169
    @saeedaltae2169 4 года назад +4

    Wow its amazing trick i have never seen before huu wizi sio wa kitoto hebu gongen like km zote hp 👇

  • @Twende828
    @Twende828 4 года назад +22

    Mh japo naipend bongo dsm ila leo mmetuletea mamb ya kweny flm za kihindii😁😁

  • @nabetv8024
    @nabetv8024 4 года назад +9

    Leo nimechelewa nmekuwa na 22lakin sio mbaya.walioimis bongo dsm wa like hapa twende sawa

  • @allychaye3446
    @allychaye3446 4 года назад +1

    Mnazingua mnatumia uongo mwingi sanaa mpaka watazamaji tunajua kabisa

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 4 года назад +4

    Huyu demu ajui bora wale wa mwanzo wote wawili wale ndo kiboko kipande cha demu angecheza yyt Yule kati ya wale ingekua poa sana

  • @yohanafabian3327
    @yohanafabian3327 4 года назад +16

    Hata kama wizi sio kihivyo hata mtoto hawezi kuibiwa kwa staili hiyo🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Cambarada
      @Cambarada 4 года назад

      Toa nawewe plan yako tuione sio unakosoa tu wewe

    • @josephmsele973
      @josephmsele973 4 года назад

      Yohana Fabian andaa script bas bro uwape

    • @jumaedward7110
      @jumaedward7110 4 года назад +1

      Yohana acha ujinga hiyo mbinu ya hali ya juu sana!

    • @yohanafabian3327
      @yohanafabian3327 4 года назад

      @@jumaedward7110 ok kaka ila huwezi hisi ndani kwako hakupo sawa halafu umeona mlango unajifunga dude anajificha kwenye kabati et unaacha huku umeona bora unge hisi sio kuona

  • @miriamcheya3136
    @miriamcheya3136 4 года назад +11

    Km umeona mlinzi ana wenge gonga like

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 4 года назад +1

    mwarabu anambinuuuu af ana uchu na pesa kishenz yan

  • @kamalujafary
    @kamalujafary 4 года назад +3

    Yoy yoy getting back to the best shoooowwwwww

  • @josephtemba10520
    @josephtemba10520 4 года назад

    Mjini shule asante baba kwa kuwatimizia wahenga maneno waliyosema....

  • @joshuashalla1394
    @joshuashalla1394 4 года назад +2

    Tapeli ni tapeli tu haishiwi mbinu. Hatareee

  • @godfreyorago7501
    @godfreyorago7501 4 года назад +2

    Wa kujaribu ajaribu akamatwe apigwe afee azikwee aende motoni

    • @paulsylvester7877
      @paulsylvester7877 4 года назад

      Godfrey Orago kabisaa hii movie sasa mtu ajaribu kwa staili hii walah unadakwq

  • @allenynnko9873
    @allenynnko9873 4 года назад +7

    Dude unakwama wapi mbona unapotea mara kwa mara

  • @pouldominick3203
    @pouldominick3203 4 года назад +2

    Mwizi yupo ndani anapigiwa cm na inatoa mlio na bwana hashim aisikii cm ya mwizi ndani iki ita kwann bwana dude ucnge weka vibration

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 4 года назад +1

    Dude noma samaaaa aaaah hii nimeipenda kwelikweli

  • @gamako8486
    @gamako8486 4 года назад +12

    1st number dude chafu

  • @michaelnyakunga4740
    @michaelnyakunga4740 4 года назад +2

    Safi sana, kazi nzuri..! 👏👏👏

  • @revocatusrenatus8256
    @revocatusrenatus8256 4 года назад +1

    Wizi wa simple sana huu

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 4 года назад +1

    Hiyo nyumba ndo ya muuza magari dubai aya bhana dude mana nje kama zile za walimu wastaafu na ndani kidogo ya teller bank

  • @beatusclay3010
    @beatusclay3010 4 года назад +10

    bwana Dude nmeona kitu, mara ya pili bi hawa anavotoka ali lock kitasa na funguo, ukafungua maji bwana Hashim amekuja kufungua mlango bila funguo

    • @njeyabox1009
      @njeyabox1009 4 года назад +1

      Kuna mambo madogo madogo ya msingi ambayo yangeifanya movie iwe really sana na wezi waonekane smart... nahisi udhaifu wa director unachangia.. haiwezekani mtu ambaye ame raise suspicion katika chumba ambacho amewek ma milioni ya hela aondoke bila kuhakiki izo hela tena amekuta dro iko wazi?

    • @Cambarada
      @Cambarada 4 года назад

      Kumbukeni ni act bhana anafundisha kuwa hutakiwi kufanya hivo sasa mnakomaa na kukosoa tu

    • @marinyasaxistv8121
      @marinyasaxistv8121 4 года назад +1

      Pia Mtu huwez kuhisi kitu kipo ndani na vitu vimevurugika. Ukashika kabat na kuliacha kisa simu. Kingine.. Dogo Mama yake aliondoka na Gari lkn wakati mtu amegonga mlangoni .. ameonekana na Ufunguo as Gari kwenye Luksi. Afu pia huwez kumkaribisha mgeni hamjaongea kwa undani ..humjui deep kisha unasema unaondoka utarudi Baada ya Saa moja .. amekwambia anafahamiana na mumeo ..then anaomba namba tena

    • @andresmendels2150
      @andresmendels2150 4 года назад

      @@njeyabox1009 hio ni kweli kabisa

    • @mikehjackson8146
      @mikehjackson8146 4 года назад +2

      @@marinyasaxistv8121 una upeo mdogo sana wa kufikir kwaiyo umekalili kua kila funguo kiunon ni za gar ? Na kuhusu kuacha kabat na kupokea cm ni kawaida hata move za mataifa yaliyoendelea wanafanyaga. 3 kuhusu kuomba namba ni kawaida kuna kupoteza cm nk so kuomba namba alikua sahihi coz kama angekua na namba angempgia kashasema alionana nae tangu ashim akiwa mdogo sana mpaka kawa mtu mzima piga picha ni miaka mingap imepita mtu habadilish lain tu

  • @yusuphjuma4638
    @yusuphjuma4638 4 года назад +1

    Mmemaliza kienyeji sana hata haipendezi kama zile zingine

  • @dicksonisakwe3063
    @dicksonisakwe3063 4 года назад +1

    Good...mko vizur

  • @joxiahmendez1325
    @joxiahmendez1325 4 года назад +3

    Wahaya buana bado mlinzi lkn kujionaa! Mtakuja kufa na sifa!

  • @K25795
    @K25795 4 года назад +1

    Mwarabu kasha tapeliwa Sana nae kamua kuwa tapelii iyi dunia ukikawia kujifunza utafunzwa 😂😂

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 года назад +7

    Hayo ni maigizo ya kayumba primary school

  • @michaeljoel6227
    @michaeljoel6227 4 года назад +12

    Mnakuja Mnapotea Mnafeli Bn

  • @alfrednjambilo909
    @alfrednjambilo909 4 года назад +1

    Daah bongo mnajuaa 🤣🤣🙌🙌

  • @khalidsaleh7491
    @khalidsaleh7491 4 года назад

    Wangapi wanakubali kama dude ni zaidy ya komandoo

  • @mcdondoshatv2940
    @mcdondoshatv2940 4 года назад +1

    dude siku nikikushikaaaaaa Hahahahahahaha

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 4 года назад +1

    Bora imerud bongoo

  • @nyimbizikamtima8235
    @nyimbizikamtima8235 4 года назад +1

    Dude bhana upo vzr but cyo ka zaman zidisha mautundu

  • @charleskoba2906
    @charleskoba2906 4 года назад +1

    Dude tunashukuru kwa ujio wako tena

  • @ghalibnadil3561
    @ghalibnadil3561 4 года назад +2

    hamna wizi waivo ata siku mojaaaa

    • @josephmsele973
      @josephmsele973 4 года назад

      Ghalib Nadil andaa script uwatumie bro

  • @mujunvicta6379
    @mujunvicta6379 3 года назад +1

    2020 gonga like hapa

  • @naagarjun8661
    @naagarjun8661 4 года назад +1

    Master of technique

  • @adrianjonas2952
    @adrianjonas2952 4 года назад +2

    nakubali tapeli wa kiwango cha lamii

  • @malaikaafricanpictures5813
    @malaikaafricanpictures5813 4 года назад +2

    Ni nzuri lakini hayo mambo mengine sidhani kama yanawezekana,,, mtu kwenye chumba chake tena chenye hela nyingi hawez kubali kuondoka na kuacha ndani akiwa na was was.... haiwezekan kabisaaaa....

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 4 года назад +1

      Movie nzima mistake tupu.Haina mafundisho yeyote.Wameiga kwenye sinema tu.Tunataka story za kweli zinazotokea hapa nchini kwetu.kwa hali hii bora mpotee tu tuangalie vichekesho vya joti

  • @bijampolamsemakweli9687
    @bijampolamsemakweli9687 4 года назад +1

    Dudeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад +1

    At the first huyu dada kajibu hadi maswali ambayo hajaulizwa

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 4 года назад

    Daaah ilipotea xan hii mambonbora mmerud huku😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 4 года назад +1

    Ila hizi za dude ckuiz cyo kaaali mbinu hizi uwezi kumpata mtu kiukweli

  • @dominicomakungwa729
    @dominicomakungwa729 4 года назад +1

    Well done dude

  • @gabrielayub5978
    @gabrielayub5978 4 года назад +3

    Yaan mm wanaoomba like wananiudhi sana kama makuma vile

  • @barakachacha1795
    @barakachacha1795 4 года назад +2

    Dude hufai kabsa nzur San hii gonga like kama umeikubali km mm

  • @kingfahdsaid1967
    @kingfahdsaid1967 4 года назад +1

    Safi bongo darisalam Mr dude

  • @athumanmrisho1762
    @athumanmrisho1762 4 года назад +8

    Like zitakusaidia nin acheni usenge

  • @Gmalen
    @Gmalen 4 года назад +1

    Nishakwelewa tuelewane yaishe 😂😂😂😂😂
    Mlinzi bana

  • @NEXTtz
    @NEXTtz 4 года назад +3

    Long time 🔥🔥🔥✊

  • @user-ss9vj8eo9b
    @user-ss9vj8eo9b 4 года назад

    Dude ni noma wew ni tapeli haswa yani siyo wakubahatisha

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 года назад

    Respect dude nakubali umetumia akili ziada kweli hongera mzazi

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 года назад +4

    Mbona hakuelezwa yupo mfanyakaz wala mume wake analeta magari 🤣🤣🤣

  • @paulinamajuto3894
    @paulinamajuto3894 4 года назад

    Unahis ndan kuna mwiz kajificha kwenye kabati halafu unamuacha na kumpotezea kwa hapo mmechemka kaabisa! Ok nimewakumbusha tu.

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 4 года назад +6

    Mwanamke ni mtanashati kumbe 😂!!!!

  • @konamiboyfool
    @konamiboyfool 4 года назад

    Bado plot ya kitoto.
    1. Mdada amejibu maswali ambayo hakuulizwa
    2. Utakubali vipi mtu humjui nyumbani eti rafiki ya mume wako
    3. Kubisha mlango na kukimbia mlango mwengine
    4. Eti umeskia kabati imefungwa na unawacha unatoka nje
    5. Dude anashika na kuongea na simu kwa room kama yuko sebuleni mwake
    Play inaanza kumature although bado there is room for improvement

  • @boscojmseso7072
    @boscojmseso7072 4 года назад +2

    Part 2 bac mwenderezo

  • @batabizo6765
    @batabizo6765 3 года назад

    Kabali yao dude tapeli mwanzo mwishoooo

  • @nicholausjoseph6773
    @nicholausjoseph6773 4 года назад +4

    dude namuelewaga sana, dude iz back

  • @peacemakombe5037
    @peacemakombe5037 4 года назад +1

    Nomaa sanaaa

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan9813 4 года назад +1

    Bado kdg mbinu siyo

  • @jamesmgalla3513
    @jamesmgalla3513 4 года назад +1

    mwana mke mtanashati

  • @mongelamisoza7894
    @mongelamisoza7894 4 года назад +1

    Hapo mwisho huyo kijana kaingiaje chumbani na mama ake alifunga mlango

  • @jacobmutambo3800
    @jacobmutambo3800 4 года назад +1

    Sana kazi kazi

  • @mapalozambia7560
    @mapalozambia7560 4 года назад +1

    Dude

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 4 года назад +2

    Dude karudi tena kutoka mafichoni😂😂😂😂

  • @simonandrew2238
    @simonandrew2238 3 года назад

    Dude noma xana

  • @mubarakaritorn358
    @mubarakaritorn358 4 года назад +6

    good creative but my advice ni at the end of the show wekeni behind the scene ili watu wacheke the way way mna act seriuz.

  • @marrykisara3138
    @marrykisara3138 4 года назад +4

    Uyu mlinzi mlomuweka apo masiara mengi anazingua mngemuweka mwingne

    • @josephtemba10520
      @josephtemba10520 4 года назад

      Kwa hali halisi mlinzi awezi chomoa pale hata kama yuko vp.... Anaona ngekewa .....

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 4 года назад +1

    Acha michezo ya hatari hiyo 😀😁😁

  • @edsonkazimoto1429
    @edsonkazimoto1429 4 года назад

    D U D E utabaki Kuwa juu pls kama unakubali 👍👍

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 4 года назад +1

    Dudeee umeuwaaaaaa

  • @kiluamnandi5716
    @kiluamnandi5716 4 года назад +1

    Wazo zur ila sehem walipopaki gari nirahc sana kugutukiwa hapo ndo wamebugi

  • @jenifersamwel8990
    @jenifersamwel8990 4 года назад +2

    Leo dude kaishiwa mbinuu kila saa anaulza tunaingiaj tunaingiajeee???

  • @Kadu_518
    @Kadu_518 4 года назад

    Japo sawa kuna wizi ila kwa wizi huu hapana bado hujamuibia mtu, mlango bi mkubwa kaufunga na funguo halafu dogo kaja kufungua bila funguo, HAYA NI MATAPU TAPU, ila idea kuwa mtu anaweza kuibiwa hivyo sawa ila sio kwa mipango hio

  • @miryamuumutesi8616
    @miryamuumutesi8616 4 года назад +6

    tuko pmj na bongo Drslm🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @halfanimajanijr4846
    @halfanimajanijr4846 4 года назад

    Mnyama mkali zaid ya simba

  • @omaryteddy7237
    @omaryteddy7237 3 года назад

    Good good 👍

  • @nasorosadick4540
    @nasorosadick4540 4 года назад +2

    BG up

  • @robertmusyimi6189
    @robertmusyimi6189 4 года назад +1

    Huu mwizi wenu umepitwa na wakati kabisa.. Tafuteni mbinu za kitekolonijia wacheni na ushumba... Karne hii hata mtoto wa miaka mitano huwezi kumuimbia kipuzi hivyo.. Pliz came with new ways..

  • @mbtvmedia6827
    @mbtvmedia6827 2 года назад

    Dude nomAAAAA

  • @patsonnzogoro790
    @patsonnzogoro790 4 года назад +1

    Daa kitambo