Moja ya mwnamke ninae mpenda kw sura ata akicheza ki hisia n wastara juma nampenda sana huyu bint nataman awe sehem y maisha yng toka filam y peremende alinivtia sana
Hili ni somo kwa dada zetu wasizuzuke na pesa na hii ipo sana hata kama ni acting dada zetu wanapenda maisha mazuri ndo maana yanawatokea puani bora uolewe na fkara unafahamu maisha yake
Jaman nmecheka balaaa huyu baba na jb na wote hapo wamenfurahsha baba wastara ninoma sana. Yan jna kabadlsha ni musabaha nankikuita uitke rabeka baba. Yan muv nzuri sana
Kwa kweri mimi ni murundi from BURUNDI , hii filamu imetufunguwa akili na kuwa makini na watu ambao wanalonga saana. Kisa eti wanamiliki hivi na vile. Apa mjini guys... Keep continuing your video casting. We just love you more our Scineast's group. Good job
Wah! Wah! Jacob today you've nailed it😁😁kumbe kuwa na mwili mkubwa inasaidia, bora uvae smart atakayekuona anadhani you are somebody not knowing that you are just someone🤣🤣🤣🤣
Wow movie nzur sana Jb na wastara nanyote kwenye filamu hii mko vzr sana hongera bonge la movie i hv learn so many things frm this movie lov u all🤗🤗🤗😍😍😍😘😘😘❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yn hyu jamaa tapeli snaa na amecheza vzr sna yn sini zake kuliko dude yn Yn JB too much snaa yn kwan anakuibia ukiwa hadhir haswaa yn This movie is good kwa kweli
Utapeli wa DUDE umekaa vizuri sana zaidi ya huu, ingawa idea nzuri na picha nzuri lkn jinsi utapeli unavyoendeshwa ni wa kitoto sana,huwezi kumpa mtu 70M on the spot just kwa kuwa anataka kumuo bint yako,
Yalinikuta mimi jmn yan ctosahau na cku zote ukiona dume lajipa masifa lenyw ujue hapo hakuna kitu ni bom la machozi hilo 😀😀😀😂 na wanakuwaga na maneno matamu hao hehehheee kwakwel
JB akisikia hela anawewesuka tunaoangalia 2024 like pls
Tupo
Wanaomkubali JB kwa kazi zake twende sawa 2023
Wanaoamini JB amefanya vizuri kwenye hii movie weka like yako twende sawa 2021
Moja ya mwnamke ninae mpenda kw sura ata akicheza ki hisia n wastara juma nampenda sana huyu bint nataman awe sehem y maisha yng toka filam y peremende alinivtia sana
Asante sana
🤣
Hili ni somo kwa dada zetu wasizuzuke na pesa na hii ipo sana hata kama ni acting dada zetu wanapenda maisha mazuri ndo maana yanawatokea puani bora uolewe na fkara unafahamu maisha yake
Jaman nmecheka balaaa huyu baba na jb na wote hapo wamenfurahsha baba wastara ninoma sana. Yan jna kabadlsha ni musabaha nankikuita uitke rabeka baba. Yan muv nzuri sana
Baba radhia umenichekesha ayo maswali na mbwembwe 😄😄😄
Mbwembwe zote katapeliwa 70M😃
Kumbe uyu dada mwenye gar ilio gonga ni amandina jamn🥰
Mzee mbaya kama njaa 😂😂. all the way from +254 kenya 🇰🇪🇰🇪. naipenda movie
Asante sana
@@BongoCinematv karibu, kenya twaipenda cinema yenu
Hiii movie kidgo imeanza kunivuta kuangalia bongo movie kwa Mara nyingine tena, big up pu pu puuuu
Ni ya zamani hiyooo
@@daniellouisbeckford8222 ndo nimekumbuka kuwa nixhaiona ila bado iko makini tunaombeni jb ngoma nyingine mm namkubali
Duh uyu jamaa ni noma Sana yaani furu kupiga pesa kwa raha zake mjini bila akiri auishi kabisa duh hatari Sana 😀😀😀
Umekutana na ele ana kwa ana😁😁😁😁😁
Kumbe kasikia milioni 25 ziko Ndani zimekaa😁😁
Kama umemuona shangaz habiba hapa nipe like jamanii
Dah huyu jamaa nina mpa saluti ame tisha kwa kifupi.🤝
Hahaaaàaa kweli ni mzee wa swaga kaumbwa kutapeli dah anatumia mbinu za kiakili
Mwanaume wahivi mungu aniepushe nae kabisa
🤣🤣🤣
na huto mjuwa sasa maana mwanzo wa mapenzi utajihic upo dunia nyengine😂😂😂😂
Uweke Ubinadamu na Mungu mbele other things hufuata tu amini tu kwamba Mungu atakuletea sahihi kwaajili yako.
Ameen yaraab alamiin
Some body here 😁😁😀😀 mzee Ana maneno huyu
🤣🤣🤣🤣
Lkn kakaaa kudadeki
Noma uyu mze
Huyu bonge la mtu jamani, napenda uigizaji wake,💪🏿💪🏿, nice movie. Napenda bongo movies.
Anaitwa JB
Jbii anajua kuimbisha demu🤣🤣napenda moves zake
Ety ninaweza kumnulia ndege 1 2 3 jamani baba yake bwana 😂🙌🏼 yeye somebody sisi nobody
😂😂😂😂😂😂
Anaongea vzur huyu baba hahahaaaaaaaaa
Hii movie ni noumah .........
Kwa kweri mimi ni murundi from BURUNDI , hii filamu imetufunguwa akili na kuwa makini na watu ambao wanalonga saana. Kisa eti wanamiliki hivi na vile. Apa mjini guys... Keep continuing your video casting. We just love you more our Scineast's group. Good job
Sana
0
E
Nani kakuuliza we ni mrundi?
Wah! Wah! Jacob today you've nailed it😁😁kumbe kuwa na mwili mkubwa inasaidia, bora uvae smart atakayekuona anadhani you are somebody not knowing that you are just someone🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kama fala😂
🤣🤣🤣
.
Nakupenda mno JB na mautapeli yako mungu anakuona😂😂😂
😁😂🤣nikuzikula bila hutuma wazaz wasiku izi wanapend pesa sana
😂😂😂
Eti kwa hiyo ela mmeziweka tu Jb😂😂
Duuuuh mzee unamaswali hatareee🔥🔥
2024 who's watching with me hii movie kali🎉🎉😂😂😂😂😂😂
kali sana, ila mzee wa swaga unatuchelewesha kutoa mpya
Nabado nyi
Umekutana na hela moja kwa moja😂😂😂😂😂😂
Uso kwa uso😂😂😂
Umekutana na hela ana kwa ana😃😃
Jamn muendeleo wake move kali nimeipenda yaan daaa!! Anajua kuimbisha na mtu akajaa yaan hatar san Jb umetisha kak
Kazi nzuri kiongozi wewe Ni kielelezo bora..endelea kuchapa kazi
Wastara uko vzr dada nakupenda sana mwenye zimungu akujaalie katika kazi zako
Tumeweka milion 25 ndani zinakaa tu hahahahha😂😂😂😂
Imagine unaeka hela ndani jamani ningekua mmi nshaila viazi😂😂😂😂
Dadacell Dadacell 😂😂😂😳unapenda kulasana ww
Hatariii saaana aiseee
Wow movie nzur sana Jb na wastara nanyote kwenye filamu hii mko vzr sana hongera bonge la movie i hv learn so many things frm this movie lov u all🤗🤗🤗😍😍😍😘😘😘❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Comment zinardhsha let me look inside now😂😂😂😂
Kabisa
muvi zuli Sana nimeipenda
tuji funzejamani ayamaisha
Jb noma sn mzee waswaga
Jacob Steven ni actor mkali saaaaaana
Kala milion 40 iviivii dooo mkongo
Kama umeona Nyerere Square Dodoma naomba like
Eebwana we, nakuvulia koti we basi tenaaas.
😂😂😋😂dah bando langu limetendewa haki jmn
Kabisa
Nakupenda sana jb mungu akubariki sana🤣🤣🤣🤣
Usitafute shari na ingali salama ipoooooo............ Pumbav yakeeeeeeee .............😂😂
Hajawahi niangusha JB
😅😅😅😅😅sio kwa maswali haya ya ba mkwe jmn ,,
Nmrchekaaa
This big guy got talents he deserve a bet gifts
Gd movie my brother jb, you the best in east Africa
Hakunaga movie mpya tena. Nizazamani tu
Mzee wa swag jb kiukweli nakupenda tu bure ati bakongo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Finally nimeipata nimeitafuta sana tuwekeeni move za Jacob ni mbona sana
Nambie mwendelezo wake
Yn hyu jamaa tapeli snaa na amecheza vzr sna yn sini zake kuliko dude yn
Yn JB too much snaa yn kwan anakuibia ukiwa hadhir haswaa yn
This movie is good kwa kweli
Umekutana na helaa anaa kwa anaa
Maishaaa ya,kitanzaniaaa uchum wakee n,wachin ivooo,wadadaa kuen,makn,mjn
Jb wewe nitopu sijaona mgizaji kama wewe my brother unitishsa sanaa
Bonge la moves jb kiboko kwenye moves,hafanyagi makosa
Ina miaka kama mitano sahii ni ya kitambo tangia nko class 8
Alivyosikia milion 25😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Duh kasituka huyo kamalizia et mmeziwek ndani tu😂😂
JB-Akikaza kidogo tu😃😃😃 Unamuona level za late the Great so rest in Peace.
Utapeli wa DUDE umekaa vizuri sana zaidi ya huu, ingawa idea nzuri na picha nzuri lkn jinsi utapeli unavyoendeshwa ni wa kitoto sana,huwezi kumpa mtu 70M on the spot just kwa kuwa anataka kumuo bint yako,
Wale wakusoma comment kwanza bongo movie mkowapi?
Umeuwa kaka
Tupoo
Saf jb kaz vizuri sana
boss mjini hapa...changa la macho hilooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aah kweli jb we we in msani ukionekana kwa jukwa nibichekesho tupu.
Namuona bamkwe wetu bwana Mashaka
Bonge la picha tamuuu, Shukran sana, acha niendelee nione hatima ya Tapeli.
😂😂kila filamu lazima nione comment yako😂 ukisiifia ndio naangalia
Usitafute shali ingali salama ipooo.....
Dah imekaa pw saan MZEE wa swagaaaaa😂😂😁😁😀
Akuna msanii Kama jb Tanzania, kanumba angekuwepo tungefaidi mungu amlaze pema peponi
Vizuri sana
haaaaaaahaaaaaaaa umetisha sanaa kwaswagaaaaaa
I
Kuchepa dou keep ter
Nairudia tena this time ni 2022👏🏻👏🏻👏🏻
2023😮
Uyu mzee ni mzanzibar 😂
Umekutana na hela ana Kwa ana
Congo Man Love it....
Papaa derick tajiri wa madini unajua saaana mshikaji
Yalinikuta mimi jmn yan ctosahau na cku zote ukiona dume lajipa masifa lenyw ujue hapo hakuna kitu ni bom la machozi hilo 😀😀😀😂 na wanakuwaga na maneno matamu hao hehehheee kwakwel
na kwambia acha tu
hahahhhahahhaha mbavu zangu aise ....ila umesema kweli ..
baba mkwe hy mbona hatari😂😂😂😂
Nimecheka sana yani naiangalia nkirudia tangia 2015
Jb bonge la bwana
Muvi mzuri ila haibebi uhalisia wa maisha ya Mtanzania.
MADEBE LIDAI Hacha maisha yaendelee Hakuna kama wewe
Wewe ipo hiyo matapeli kama hao wamejaa Tanzania kwa sababu dada zetu wanapenda maisha ya juu
Ulitaka uone vip mtanzania hana pesa au
@@bilioneamwegole5138 hapana sio hivyo dada zetu tumewachoka wakiona pesa waazuzuka
@@bilioneamwegole5138 Si ndo nyie mwaigiza uhalisia wa wengine wkt unaweza kujiita wewe na ukaitika wewe mwenyewe .
Unamuibia hadi mjane, jamani weeee kweli mwizi ni mwizi tu duuuh 😃😃😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha kwani mjane aibiwi 😆😆😆😆
@@rakbeenrakbeen4961 kumuibia mjane ni laana umejitwika kichwani laana ya milele, maana ata imeandikwa mtu asimzulumu mjane
Ahahah jmn
@@rakbeenrakbeen4961 🤣🤣🤣🤣🤣
@@everlyneiminza5722 kweli kabisa
Uta tomboka tomboka saaaaan😂😂😂😂
Wastara kwenye kula umetia haibu mh😏😏😏😏
Kamuondolee wew sasa iyo haibu yake
Si walipanga iwe ivo
@@hisanmwakijungu10 🤣🤣kweli
Safi sana good movie
🤣🤣tapeli wa kimataifa
Wastara unaonekna unapenda kula kinoma unaweza maliza mkungu w ndizi aki
Nimewapenda nyie mpo vzr jaman 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Muendelezo pleaseeee
JB Anajuwa saana 😂😅😂
Wow..so nice
😁😂🤣muze waswaga uko tapele sana
jina la movie halisadifu yalimo🥺
Angalia vizuri utajua nini
This move was been searching Asante Sana
Wen the deal is too sweet think twice....nice movie
Hahahahahaha jamani mbavu zangu mie cyo kwa kutapeliwa uko jamani
Mwizi mkubwa
Love you JB mwaaaaaa!
Eti wastara anavyokula vibaya ,Mimi ndo nimejisikia aibu 🤣🤣
Dah wastara noma sn 🤣🤣🤣mideko iyo anayolelewa kwao
Walai ata mmi nakuongea mingi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Part yake alikua areact vile na inakaa anapenda fruits pia
😂😂😂
JB he's more than dude🤣🤣🤣
🤣🤣
Hahaha kama bongo daresalaam
Jmn na mimi alitokea mkaka ananipenda ila anaomba nimpe million 5 afungue biashara........hakunipata hehehehehe.
Usijaribu mm yangu, mapenzi nikupe na hela juu
Much love mh mzee waswaga
Mbona wastara humu mweus tea ksnenep sanaaa nimefrah kumuon chimbeni jpo kazeeka miak mingi sijawaon bi hawa na chimbeni movie nzr
Jacob nakukubali sana ,,,uku vizuri