MZEE WA SWAGA Jackob Steven & Wastara Bongo Movie 2020 | Filamu za kibongo. Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2020
  • MZEE WA SWAGA Jackob Steven & Wastara Bongo Movie 2020 | Filamu za kibongo.
  • КиноКино

Комментарии • 478

  • @clarachandele9901
    @clarachandele9901 5 месяцев назад +19

    JB akisikia hela anawewesuka tunaoangalia 2024 like pls

  • @NURUDINIYASINIHASHIMU
    @NURUDINIYASINIHASHIMU Год назад +7

    Wanaomkubali JB kwa kazi zake twende sawa 2023

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 3 года назад +39

    Wanaoamini JB amefanya vizuri kwenye hii movie weka like yako twende sawa 2021

  • @aleyabra8005
    @aleyabra8005 3 года назад +10

    Moja ya mwnamke ninae mpenda kw sura ata akicheza ki hisia n wastara juma nampenda sana huyu bint nataman awe sehem y maisha yng toka filam y peremende alinivtia sana

  • @mozzaliuleiza9288
    @mozzaliuleiza9288 4 года назад +7

    Hili ni somo kwa dada zetu wasizuzuke na pesa na hii ipo sana hata kama ni acting dada zetu wanapenda maisha mazuri ndo maana yanawatokea puani bora uolewe na fkara unafahamu maisha yake

  • @aureliamakundi8181
    @aureliamakundi8181 3 года назад +6

    Jaman nmecheka balaaa huyu baba na jb na wote hapo wamenfurahsha baba wastara ninoma sana. Yan jna kabadlsha ni musabaha nankikuita uitke rabeka baba. Yan muv nzuri sana

  • @husnasalim5739
    @husnasalim5739 4 года назад +19

    Baba radhia umenichekesha ayo maswali na mbwembwe 😄😄😄

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад +3

      Mbwembwe zote katapeliwa 70M😃

  • @user-zb6td8pw5h
    @user-zb6td8pw5h 5 месяцев назад +1

    Kumbe uyu dada mwenye gar ilio gonga ni amandina jamn🥰

  • @danvasco4430
    @danvasco4430 3 года назад +6

    Mzee mbaya kama njaa 😂😂. all the way from +254 kenya 🇰🇪🇰🇪. naipenda movie

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 года назад +4

    Hiii movie kidgo imeanza kunivuta kuangalia bongo movie kwa Mara nyingine tena, big up pu pu puuuu

    • @daniellouisbeckford8222
      @daniellouisbeckford8222 4 года назад

      Ni ya zamani hiyooo

    • @wantangosaimon5295
      @wantangosaimon5295 4 года назад

      @@daniellouisbeckford8222 ndo nimekumbuka kuwa nixhaiona ila bado iko makini tunaombeni jb ngoma nyingine mm namkubali

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 3 года назад +5

    Duh uyu jamaa ni noma Sana yaani furu kupiga pesa kwa raha zake mjini bila akiri auishi kabisa duh hatari Sana 😀😀😀

  • @eliabgitti9716
    @eliabgitti9716 Год назад +2

    Umekutana na ele ana kwa ana😁😁😁😁😁

    • @AsmaAsma-gd3mv
      @AsmaAsma-gd3mv Год назад

      Kumbe kasikia milioni 25 ziko Ndani zimekaa😁😁

  • @rizikitito3024
    @rizikitito3024 4 года назад +28

    Kama umemuona shangaz habiba hapa nipe like jamanii

  • @hermanedward1430
    @hermanedward1430 3 года назад +5

    Dah huyu jamaa nina mpa saluti ame tisha kwa kifupi.🤝

  • @kamaikangaiyoni1967
    @kamaikangaiyoni1967 4 года назад +7

    Hahaaaàaa kweli ni mzee wa swaga kaumbwa kutapeli dah anatumia mbinu za kiakili

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 4 года назад +8

    Mwanaume wahivi mungu aniepushe nae kabisa

    • @theoniyonkuru6423
      @theoniyonkuru6423 4 года назад

      🤣🤣🤣

    • @salmeally4464
      @salmeally4464 4 года назад +1

      na huto mjuwa sasa maana mwanzo wa mapenzi utajihic upo dunia nyengine😂😂😂😂

    • @fraviusmanyika7521
      @fraviusmanyika7521 4 года назад

      Uweke Ubinadamu na Mungu mbele other things hufuata tu amini tu kwamba Mungu atakuletea sahihi kwaajili yako.

    • @khadijaangore4408
      @khadijaangore4408 4 года назад

      Ameen yaraab alamiin

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 4 года назад +13

    Some body here 😁😁😀😀 mzee Ana maneno huyu

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 4 года назад +6

    Huyu bonge la mtu jamani, napenda uigizaji wake,💪🏿💪🏿, nice movie. Napenda bongo movies.

  • @alirahma8967
    @alirahma8967 4 года назад +9

    Jbii anajua kuimbisha demu🤣🤣napenda moves zake

  • @zadnoorzad9195
    @zadnoorzad9195 4 года назад +9

    Ety ninaweza kumnulia ndege 1 2 3 jamani baba yake bwana 😂🙌🏼 yeye somebody sisi nobody

  • @jeandedieundereyimana7750
    @jeandedieundereyimana7750 4 года назад +21

    Kwa kweri mimi ni murundi from BURUNDI , hii filamu imetufunguwa akili na kuwa makini na watu ambao wanalonga saana. Kisa eti wanamiliki hivi na vile. Apa mjini guys... Keep continuing your video casting. We just love you more our Scineast's group. Good job

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 4 года назад +9

    Wah! Wah! Jacob today you've nailed it😁😁kumbe kuwa na mwili mkubwa inasaidia, bora uvae smart atakayekuona anadhani you are somebody not knowing that you are just someone🤣🤣🤣🤣

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 4 года назад +8

    Nakupenda mno JB na mautapeli yako mungu anakuona😂😂😂

    • @happypa2027
      @happypa2027 4 года назад

      😁😂🤣nikuzikula bila hutuma wazaz wasiku izi wanapend pesa sana

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 7 месяцев назад

      😂😂😂

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv Год назад +1

    Eti kwa hiyo ela mmeziweka tu Jb😂😂

  • @winniesphl5555
    @winniesphl5555 4 года назад +7

    Duuuuh mzee unamaswali hatareee🔥🔥

  • @ElizabethShee
    @ElizabethShee 4 дня назад

    2024 who's watching with me hii movie kali🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 4 года назад +7

    kali sana, ila mzee wa swaga unatuchelewesha kutoa mpya

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 года назад +4

    Umekutana na hela moja kwa moja😂😂😂😂😂😂

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 3 года назад +5

    Umekutana na hela ana kwa ana😃😃

  • @flevouronlinetv133
    @flevouronlinetv133 3 года назад +2

    Jamn muendeleo wake move kali nimeipenda yaan daaa!! Anajua kuimbisha na mtu akajaa yaan hatar san Jb umetisha kak

  • @MrRadio017
    @MrRadio017 4 года назад +2

    Kazi nzuri kiongozi wewe Ni kielelezo bora..endelea kuchapa kazi

  • @epictahea8463
    @epictahea8463 Год назад

    Wastara uko vzr dada nakupenda sana mwenye zimungu akujaalie katika kazi zako

  • @marrymaganga8585
    @marrymaganga8585 4 года назад +15

    Tumeweka milion 25 ndani zinakaa tu hahahahha😂😂😂😂

    • @najmahabass8183
      @najmahabass8183 4 года назад +3

      Imagine unaeka hela ndani jamani ningekua mmi nshaila viazi😂😂😂😂

    • @hannahsanga5647
      @hannahsanga5647 3 года назад +1

      Dadacell Dadacell 😂😂😂😳unapenda kulasana ww

    • @stevenmaketa8051
      @stevenmaketa8051 3 года назад

      Hatariii saaana aiseee

  • @manniermkambe6184
    @manniermkambe6184 4 года назад +9

    Wow movie nzur sana Jb na wastara nanyote kwenye filamu hii mko vzr sana hongera bonge la movie i hv learn so many things frm this movie lov u all🤗🤗🤗😍😍😍😘😘😘❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JafaryJazimu
    @JafaryJazimu Месяц назад

    Jb noma sn mzee waswaga

  • @kijanaWaMamaBhajia
    @kijanaWaMamaBhajia 3 года назад +2

    Jacob Steven ni actor mkali saaaaaana

  • @yohanapeter255
    @yohanapeter255 3 года назад +3

    Kala milion 40 iviivii dooo mkongo

  • @toney..
    @toney.. 4 года назад +19

    Kama umeona Nyerere Square Dodoma naomba like

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji 5 дней назад

    Eebwana we, nakuvulia koti we basi tenaaas.

  • @salomekiduda4629
    @salomekiduda4629 4 года назад +8

    😂😂😋😂dah bando langu limetendewa haki jmn

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 года назад +4

    Nakupenda sana jb mungu akubariki sana🤣🤣🤣🤣

  • @IsmailMjesh
    @IsmailMjesh Месяц назад

    Usitafute shari na ingali salama ipoooooo............ Pumbav yakeeeeeeee .............😂😂

  • @sharifushaibu5319
    @sharifushaibu5319 3 года назад +3

    Hajawahi niangusha JB

  • @julytito3891
    @julytito3891 4 года назад +6

    😅😅😅😅😅sio kwa maswali haya ya ba mkwe jmn ,,

  • @prosperkullaya4529
    @prosperkullaya4529 Год назад +4

    This big guy got talents he deserve a bet gifts

  • @kizakakozi4600
    @kizakakozi4600 4 года назад +8

    Gd movie my brother jb, you the best in east Africa

  • @embeteidi5023
    @embeteidi5023 4 года назад +2

    Hakunaga movie mpya tena. Nizazamani tu

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 4 года назад +2

    Mzee wa swag jb kiukweli nakupenda tu bure ati bakongo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @salimkombora2742
    @salimkombora2742 4 года назад +3

    Finally nimeipata nimeitafuta sana tuwekeeni move za Jacob ni mbona sana

  • @zrazanzibarrespectiveacade9056
    @zrazanzibarrespectiveacade9056 3 года назад +2

    Yn hyu jamaa tapeli snaa na amecheza vzr sna yn sini zake kuliko dude yn
    Yn JB too much snaa yn kwan anakuibia ukiwa hadhir haswaa yn
    This movie is good kwa kweli

  • @jaco4xa670
    @jaco4xa670 4 года назад +3

    Umekutana na helaa anaa kwa anaa

  • @lazaropaulo7133
    @lazaropaulo7133 4 года назад +4

    Maishaaa ya,kitanzaniaaa uchum wakee n,wachin ivooo,wadadaa kuen,makn,mjn

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 Год назад

    Jb wewe nitopu sijaona mgizaji kama wewe my brother unitishsa sanaa

  • @alirahma8967
    @alirahma8967 4 года назад +4

    Bonge la moves jb kiboko kwenye moves,hafanyagi makosa

    • @najmahabass8183
      @najmahabass8183 4 года назад

      Ina miaka kama mitano sahii ni ya kitambo tangia nko class 8

  • @dabradabra176
    @dabradabra176 4 года назад +7

    Alivyosikia milion 25😂😂😂😂😂

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 года назад +4

    JB-Akikaza kidogo tu😃😃😃 Unamuona level za late the Great so rest in Peace.

  • @shariffabdallah4669
    @shariffabdallah4669 4 года назад +6

    Utapeli wa DUDE umekaa vizuri sana zaidi ya huu, ingawa idea nzuri na picha nzuri lkn jinsi utapeli unavyoendeshwa ni wa kitoto sana,huwezi kumpa mtu 70M on the spot just kwa kuwa anataka kumuo bint yako,

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 4 года назад +74

    Wale wakusoma comment kwanza bongo movie mkowapi?

  • @duniasalum7019
    @duniasalum7019 3 года назад +1

    Saf jb kaz vizuri sana

  • @mohdkhamisi5949
    @mohdkhamisi5949 Год назад

    boss mjini hapa...changa la macho hilooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @trevourmulwale8922
    @trevourmulwale8922 3 года назад +2

    Aah kweli jb we we in msani ukionekana kwa jukwa nibichekesho tupu.

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 года назад +2

    Namuona bamkwe wetu bwana Mashaka

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +11

    Bonge la picha tamuuu, Shukran sana, acha niendelee nione hatima ya Tapeli.

    • @user-hr7wm1vt5l
      @user-hr7wm1vt5l 4 года назад

      😂😂kila filamu lazima nione comment yako😂 ukisiifia ndio naangalia

    • @ismailmjeshi7378
      @ismailmjeshi7378 4 года назад

      Usitafute shali ingali salama ipooo.....

  • @festokweya9187
    @festokweya9187 3 года назад

    Dah imekaa pw saan MZEE wa swagaaaaa😂😂😁😁😀

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Akuna msanii Kama jb Tanzania, kanumba angekuwepo tungefaidi mungu amlaze pema peponi

  • @kahingiprotais
    @kahingiprotais 2 месяца назад

    Vizuri sana

  • @lydiamabala5835
    @lydiamabala5835 3 года назад

    haaaaaaahaaaaaaaa umetisha sanaa kwaswagaaaaaa

  • @ussenemussa3750
    @ussenemussa3750 Год назад

    I
    Kuchepa dou keep ter

  • @aymangaucho1668
    @aymangaucho1668 Год назад +3

    Nairudia tena this time ni 2022👏🏻👏🏻👏🏻

  • @fadhilhamdu7063
    @fadhilhamdu7063 3 месяца назад

    Uyu mzee ni mzanzibar 😂

  • @amaniharub1569
    @amaniharub1569 4 года назад +4

    Umekutana na hela ana Kwa ana

  • @antonyasava6841
    @antonyasava6841 2 года назад +2

    Congo Man Love it....

  • @yohanaosward3495
    @yohanaosward3495 Год назад

    Papaa derick tajiri wa madini unajua saaana mshikaji

  • @azizayousufhassan7539
    @azizayousufhassan7539 4 года назад +7

    Yalinikuta mimi jmn yan ctosahau na cku zote ukiona dume lajipa masifa lenyw ujue hapo hakuna kitu ni bom la machozi hilo 😀😀😀😂 na wanakuwaga na maneno matamu hao hehehheee kwakwel

  • @salmeally4464
    @salmeally4464 4 года назад +5

    baba mkwe hy mbona hatari😂😂😂😂

    • @najmahabass8183
      @najmahabass8183 4 года назад

      Nimecheka sana yani naiangalia nkirudia tangia 2015

  • @EstherMbugita-ri1ti
    @EstherMbugita-ri1ti Год назад

    Jb bonge la bwana

  • @wafaidaconnection6737
    @wafaidaconnection6737 4 года назад +5

    Muvi mzuri ila haibebi uhalisia wa maisha ya Mtanzania.
    MADEBE LIDAI Hacha maisha yaendelee Hakuna kama wewe

    • @mozzaliuleiza9288
      @mozzaliuleiza9288 4 года назад +2

      Wewe ipo hiyo matapeli kama hao wamejaa Tanzania kwa sababu dada zetu wanapenda maisha ya juu

    • @bilioneamwegole5138
      @bilioneamwegole5138 4 года назад

      Ulitaka uone vip mtanzania hana pesa au

    • @mozzaliuleiza9288
      @mozzaliuleiza9288 4 года назад

      @@bilioneamwegole5138 hapana sio hivyo dada zetu tumewachoka wakiona pesa waazuzuka

    • @wafaidaconnection6737
      @wafaidaconnection6737 4 года назад

      @@bilioneamwegole5138 Si ndo nyie mwaigiza uhalisia wa wengine wkt unaweza kujiita wewe na ukaitika wewe mwenyewe .

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 4 года назад +2

    Unamuibia hadi mjane, jamani weeee kweli mwizi ni mwizi tu duuuh 😃😃😃😃😃😃

    • @rakbeenrakbeen4961
      @rakbeenrakbeen4961 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha kwani mjane aibiwi 😆😆😆😆

    • @everlyneiminza5722
      @everlyneiminza5722 4 года назад

      @@rakbeenrakbeen4961 kumuibia mjane ni laana umejitwika kichwani laana ya milele, maana ata imeandikwa mtu asimzulumu mjane

    • @rosedaniel1981
      @rosedaniel1981 4 года назад +1

      Ahahah jmn

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 4 года назад

      @@rakbeenrakbeen4961 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 4 года назад +1

      @@everlyneiminza5722 kweli kabisa

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769
    @Bless-b.DL-babyofficial8769 4 года назад +4

    Uta tomboka tomboka saaaaan😂😂😂😂

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 4 года назад +5

    Wastara kwenye kula umetia haibu mh😏😏😏😏

  • @alhajbau9987
    @alhajbau9987 4 года назад +2

    Safi sana good movie

  • @sheillhamarow8371
    @sheillhamarow8371 4 года назад +4

    🤣🤣tapeli wa kimataifa

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 4 года назад +4

    Wastara unaonekna unapenda kula kinoma unaweza maliza mkungu w ndizi aki

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 4 года назад +1

    Nimewapenda nyie mpo vzr jaman 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
    Muendelezo pleaseeee

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l 3 месяца назад

    JB Anajuwa saana 😂😅😂

  • @givenessutenga4280
    @givenessutenga4280 4 года назад +3

    Wow..so nice

  • @happypa2027
    @happypa2027 4 года назад +3

    😁😂🤣muze waswaga uko tapele sana

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 2 года назад +1

    jina la movie halisadifu yalimo🥺

  • @Captain_shiii
    @Captain_shiii 4 года назад +3

    This move was been searching Asante Sana

  • @monicambala4798
    @monicambala4798 4 года назад +4

    Wen the deal is too sweet think twice....nice movie

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 4 года назад +1

    Hahahahahaha jamani mbavu zangu mie cyo kwa kutapeliwa uko jamani

  • @kahingiprotais
    @kahingiprotais 2 месяца назад

    Mwizi mkubwa

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад +5

    Love you JB mwaaaaaa!

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 4 года назад +12

    Eti wastara anavyokula vibaya ,Mimi ndo nimejisikia aibu 🤣🤣

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 4 года назад +1

      Dah wastara noma sn 🤣🤣🤣mideko iyo anayolelewa kwao

    • @everlyneiminza5722
      @everlyneiminza5722 4 года назад +1

      Walai ata mmi nakuongea mingi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @najmahabass8183
      @najmahabass8183 4 года назад +1

      Part yake alikua areact vile na inakaa anapenda fruits pia

    • @fozyafozya4060
      @fozyafozya4060 4 года назад

      😂😂😂

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад +10

    JB he's more than dude🤣🤣🤣

  • @adamelly8781
    @adamelly8781 4 года назад +2

    Hahaha kama bongo daresalaam

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Jmn na mimi alitokea mkaka ananipenda ila anaomba nimpe million 5 afungue biashara........hakunipata hehehehehe.

    • @tatuezza9465
      @tatuezza9465 3 года назад +1

      Usijaribu mm yangu, mapenzi nikupe na hela juu

  • @user-vc3fy9fb8p
    @user-vc3fy9fb8p 7 месяцев назад

    Much love mh mzee waswaga

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 4 года назад

    Mbona wastara humu mweus tea ksnenep sanaaa nimefrah kumuon chimbeni jpo kazeeka miak mingi sijawaon bi hawa na chimbeni movie nzr

  • @usherbas-j8631
    @usherbas-j8631 3 года назад

    Jacob nakukubali sana ,,,uku vizuri