BONGO DAR ES SALAAM S02EP03 - MAPACHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 03 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
    Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
    USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV

Комментарии • 206

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 4 года назад +84

    Wangap 2naangalia bongo dar es salaam huku 2nasoma coment

    • @arnoldngailo6223
      @arnoldngailo6223 4 года назад +1

      Yussuph Kazumar 😂😂😂

    • @jumannemasondore5433
      @jumannemasondore5433 4 года назад

      Up gud san dude kiukwel

    • @tidybway2411
      @tidybway2411 4 года назад +1

      a dude wa siku hz sio mwz kama wa zaman bhna zaman alikuwa hatar jaman au wasemaje

  • @queensuzy6847
    @queensuzy6847 4 года назад +44

    Aisee dude the boss hujawahi kukosea @bongodaresaalam 🔥🔥🔥🔥hatuna mpinzani

    • @youngbizzy7856
      @youngbizzy7856 4 года назад

      Umekosekana wewe tu😜

    • @madayjulius6052
      @madayjulius6052 4 года назад

      Madam suzyeeee

    • @mamazahra3591
      @mamazahra3591 3 года назад

      Queen Suzy inabidi muwe makini ktk vitu vidogo vidogo mfano hiyo Pete na saa aliyovaa dude inabidi atofautishe kt pacha.

  • @heryerasto503
    @heryerasto503 4 года назад +40

    Gongaaa like twendeee sawaaaa kama unamkubaliii dude

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 2 месяца назад +2

    Tunao angalia 2024 tujuwane kwa like

  • @kizinja7873
    @kizinja7873 4 года назад +4

    wakati tunamsubiria kitale na maneno ya kuambiwa hatuna budi ya kumcheki dude bahati nzuri dude yuko vzuri hatuangushi bando letu haliendi bure

  • @irenechristian3281
    @irenechristian3281 4 года назад +16

    Huyu dada wanapenda kumtapel jmn😥😥...ila Me nampenda 😍🤗

  • @alfrednjambilo909
    @alfrednjambilo909 4 года назад +13

    Dude is the BEST ACTOR

  • @simonandrew2238
    @simonandrew2238 3 года назад +1

    Dude noma Sana kubali xana kinoma an big up

  • @emmanuelsamwel2865
    @emmanuelsamwel2865 4 года назад +22

    Mbona marudio hiiiii jmn kama umejua ni marudio gong like

  • @user-xh7vw4kk7o
    @user-xh7vw4kk7o 3 года назад +2

    Boss dude tuna kupenda

  • @AdamuMohd-vl2nk
    @AdamuMohd-vl2nk 19 дней назад

    DAHHHH anatoa funzo kubwa DUDE bongo

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 4 года назад +4

    Hii imerudiwa dude jiangalie usiwe unarudia rudia unatumalizia bundle

  • @rajuabdou8293
    @rajuabdou8293 4 года назад +4

    Paka paris tunagalia bongo dar es salaam 👌

  • @Cambarada
    @Cambarada 4 года назад +5

    Pamoja na kasoro ndogo ndogo, me nawakubali sana aisee

    • @gordonisaac1467
      @gordonisaac1467 2 года назад

      Kweli mimi mwenyewe nimeviona sema Dude baba Lao 👏👏👏👏

  • @mikenicoottaru8574
    @mikenicoottaru8574 4 года назад +5

    Hatari moto

  • @mohamedsenyere9349
    @mohamedsenyere9349 4 года назад +2

    Noma Sana

  • @samwelimayauka2899
    @samwelimayauka2899 Год назад

    Haya mzee baba ongeza nyingine

  • @malijanihamadi8310
    @malijanihamadi8310 4 года назад +3

    Kali sana hii

  • @alexlastan5078
    @alexlastan5078 4 года назад +3

    Dude master mind

  • @sottithomas9443
    @sottithomas9443 4 года назад +3

    Ulitukwamisha sana mzee baba dude

  • @jodanyusuphy6470
    @jodanyusuphy6470 4 года назад +7

    Naikubali sana Bongo Dar es Salaam lkn mbn leo mmeirudia hii. Tushaiona tangu season one

  • @NEXTtz
    @NEXTtz 4 года назад +15

    Mnatisha wazee🔥🔥🔥✊

  • @timotheopaulo7699
    @timotheopaulo7699 3 года назад +2

    Kama umeixikia mwenyezi mungu hatatuxaidia gonga like twende xawa.

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani4167 4 года назад +4

    Mshenzi ww wizi ndo kazi yako duuuhh Yani we noma Kama vizuli sana

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 4 года назад +8

    mapacha walim dhurumu màmà angu ýâãņ MPAKA uwajue uwe makin śàñàà ila wana tofaut ndogo śàñàà ima kulwa au dotto anakua mwmbamba ila saùť ñà matendo hufanana ķàmà una date ñàò wawezaa ukawa changanya 😂😂😂😂

  • @prophetessmsolo981
    @prophetessmsolo981 4 года назад +5

    Hahahahha... Kawatapeli Ndo mmekwishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mulastar
    @mulastar 4 года назад +12

    Dude Leo umetupa macho ya utapeli mara moja tu 15:32 but ungetakiwa umalize nayo tena hapa 24:08

  • @allyyussuf4604
    @allyyussuf4604 4 года назад +9

    Mh dude utauwa mzee wangu🤣🤣

  • @fadhilimkungura7453
    @fadhilimkungura7453 4 года назад +4

    huyo dada bonge mrefu ana MFUKO WA RAMBO😎😁😁

  • @jrculdickson6629
    @jrculdickson6629 4 года назад +1

    aaaaaah aise dude kwel noma umetisha bro

  • @samwelimayauka2899
    @samwelimayauka2899 Год назад

    Jamaa ww

  • @dennisjulius1136
    @dennisjulius1136 4 года назад +5

    Hahahahaaa ss hapo mwanaume kaenda kuongea. Na mwanaume mwenzie alafu analiaa kitotoo
    Alafu et mkewe et nisamehe mie mume wng duh! Hahahahaaa kwel asee bongoo hyo kwel n daresalam 😂😂😂😂

  • @heartmanbreven7186
    @heartmanbreven7186 4 года назад +2

    Dude your the baddest MVP

  • @hilalaman2155
    @hilalaman2155 4 года назад +5

    Dude..umetsha mzee

  • @mulastar
    @mulastar 4 года назад +2

    26:25 huyu jamaa aliyeshika gazeti hongera zake, amevaa uhusika sana. Na Team nzima hii ya season 1 huwa ipo vizuri ila yule dada mwingine fanyeni njia arudi kwenye Bongo cs wakiwa wawili ndyo wanatia chumvi ya utapeli

  • @franklinemoi8516
    @franklinemoi8516 4 года назад +4

    Kaliiiii 🔥 🔥 🔥

  • @mariamhassan4841
    @mariamhassan4841 4 года назад +5

    Da flora umebackkkk 😍😍😍😍

  • @Northman003
    @Northman003 4 года назад +1

    Ni wangapi wanafurahishwa na haka kasauti kanatokeaga kama dili la pesa limeivana

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 8 месяцев назад

    Mtu akitaka kuja bongo lazima wamweke kikao, uwe makini huko dar, 😂😂

  • @wavinonoclassic1274
    @wavinonoclassic1274 4 года назад +1

    Zinafanana na ya kitambo kidogo

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад +1

    Hata kumsogelea namuogopa maana atachomoka na sim zangu

  • @patsonnzogoro790
    @patsonnzogoro790 4 года назад +3

    Am the one best

  • @paulmwanyika7622
    @paulmwanyika7622 4 года назад +2

    Alikupigia simu asubuhi akakwambia njoo upate dinner....umetisha Dude

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 года назад

    mnanikumbusha mbaliiiì sana kumne imeludiii safi

  • @tolumnyama3935
    @tolumnyama3935 4 года назад

    Dah.! Dude we noma mm nitakujaga kukutafut unifundshe hayo mapekerechee Etty.!!

  • @chilolomaandrew7931
    @chilolomaandrew7931 4 года назад +3

    Mmh da frola kachapia et wawil tuu kwenye ukoo mmh kma umskia mkono juu

  • @shabanshaban1259
    @shabanshaban1259 4 года назад +2

    u made it Dude

  • @justinhabonimana3890
    @justinhabonimana3890 4 года назад +1

    Dude upo juu

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 3 года назад +1

    😂😂😂😂daaah ila Dude fundi sana

  • @sammyhassan6033
    @sammyhassan6033 3 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nkaturamussa8537
    @nkaturamussa8537 4 года назад +2

    good job

  • @tekala8778
    @tekala8778 3 года назад

    Dude upo vizuri xana

  • @kingpengo9998
    @kingpengo9998 4 года назад +1

    Hakia mungu mmekwisha asha wataperi 😂😂😂!!!!

  • @husseinmillinga1920
    @husseinmillinga1920 4 года назад +4

    Wamechapia kwenye mavazi suruali na shart zinafanana

  • @kidongetz8184
    @kidongetz8184 4 года назад +4

    Dude hata macho tu yanaonesha tapel

  • @nahedstationery3851
    @nahedstationery3851 4 года назад +4

    Mmefeli kwenye mavazi tu.

  • @fadmwangosi1007
    @fadmwangosi1007 4 года назад +2

    Mbona mnairudia iyooo

  • @mummysuh2289
    @mummysuh2289 4 года назад +3

    I mbona merudia jamani Ilikuwa seasons one

  • @timotheopaulo7699
    @timotheopaulo7699 3 года назад

    Ahaaaa mapacha hao

  • @jimmykikwa3131
    @jimmykikwa3131 4 года назад

    SO! Waaaaooooo! i like it

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +4

    Ushauli wangu muda
    Unajipest jalibu
    badilisha mavazi
    Hata mazingila yandevu
    Hitakuwa moto zaid mzee
    ila sikuiz munajitaid inaisha
    Vzl sana

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 4 года назад +2

    hambao hatupitwi like zenu

  • @godfreykatunzi9680
    @godfreykatunzi9680 3 года назад

    Umetishaa Kaka Dude

  • @lighudalabia2773
    @lighudalabia2773 4 года назад +1

    Kwenye wasafi tv inarushwa lin

  • @slumwaalid5274
    @slumwaalid5274 4 года назад

    Kdg mumebuki kwenye Saa na Pete wote Sawa mungetofautisha pacha mmoja asivae au yuwavae tofaut

  • @rajabubojo5306
    @rajabubojo5306 4 года назад +2

    Dude kaka mbona unaalibu shati lilelile

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 4 года назад +4

    Kama unamkubal dude achia like

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +1

    Safi sana Bongo.

    • @nassiromari8030
      @nassiromari8030 4 года назад

      Yeah from Calgary Alberta Canada tunawakubali big up bongo Dsm

  • @princessiyalicious4185
    @princessiyalicious4185 4 года назад +4

    mbn marudio hiiiii

  • @issaadinaniissa6487
    @issaadinaniissa6487 3 года назад

    Mr "A" or dhoom

  • @mikehjackson8146
    @mikehjackson8146 4 года назад +1

    Unajua mpaka unakela

  • @ibrahimunasiry1555
    @ibrahimunasiry1555 4 года назад +1

    Kama wote

  • @emanuelelphas2537
    @emanuelelphas2537 4 года назад +1

    Mbona nahao wadada wanafanana au mapacha

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 4 года назад

    Nakubali uyu jama nimkali kweli

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 4 года назад +3

    Shat mbona lile lile.

  • @alexkayombo2725
    @alexkayombo2725 4 дня назад

    Ngoja nimblock huyu basi😂😂😂😂

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 4 года назад

    Good to good

  • @deodominicus6433
    @deodominicus6433 4 года назад +1

    Mbona mmeirudia iliyopita kulikon

  • @emmanuelzengosamwel7376
    @emmanuelzengosamwel7376 2 года назад

    Nguo tu

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer4548 4 года назад +3

    DUDE UNATAFUTWAAAA;;;~

  • @Watema23
    @Watema23 4 года назад +1

    Auja badirisha pete dude.

  • @chakubalomaster1623
    @chakubalomaster1623 4 года назад

    Dude umetisha mzeee

  • @hamzaomar9731
    @hamzaomar9731 4 года назад

    Kiuhalisia mumefeli ,
    Kwanz , hili wazo mulishawah kuekti hiv hiv inxhort mumeridia .
    Pili , mavaz ni hayo hayo labda kuvua na kuvaa miwani na tai ,
    Tatu , mazingira ni hayo hayo yaan huyu na huyu wamefan mnooo kias cha kujuulikanwa .

    • @zaidfarid6647
      @zaidfarid6647 4 года назад

      hamza omar huu nimuendelezo broo sio malidio

  • @abdulkingaz1079
    @abdulkingaz1079 4 года назад +5

    Dude umeanda kaz nzur sana lkn upande wa maleba (mavazi) umefel kdg kwa maana ulivotoka kuvaa sut ulivua koti, mawani, tai pamoja na viatu
    Mm nlitegemea ukabadilike kimuonekano wa mavazi kabisa.

  • @mcanada.
    @mcanada. 4 года назад +3

    Episode 3🔥 likes

  • @adjakulwa2444
    @adjakulwa2444 3 года назад

    Yan dude we akuna tena

  • @rajathedon408
    @rajathedon408 4 года назад

    Nakubali

  • @mulastar
    @mulastar 4 года назад +12

    9:23 kwani dude ulishakuwaga tapeli kweli au uliachiwa laana ya utapeli>? Mimi nikikutana na ww, nakuwa makini na ninachoongea na mifuko yangu cs hata kama sio tapeli lakini unaweza ukageuka hapo hapo

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 4 года назад +2

    Dude unafel au umeishiwa.maan hii clips ni ya kitambo sana

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂Bongo

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 4 года назад +4

    Mbon ep y 2 mim sijaiyon

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 года назад +13

    Hii mmerudia...part 1 ilikuwa season 1..

  • @afterx3172
    @afterx3172 4 года назад +3

    MBONA KAMA MMERUDIA HII EPSOD?

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад +5

    Iv kwanini RUclips ya bongo sikuizi imejaa wasafi tu.

    • @ashaally7593
      @ashaally7593 4 года назад

      Ndo wanapofanya kazi sababu ndo inaporushwa

  • @frankmanyesela3226
    @frankmanyesela3226 4 года назад +1

    We jamaa .. Ni shida

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 года назад +2

    Ww pacha ulitakiwa sehem A uwe serious ikifikia pacha yule ndio awe mwongeaji sana na mapepe sasa afande anacheka cheka km yule 🤣🤣 ah dude na nguo zilipaswa kubadilika kabisa sio uvue koti tu kisha 🤣🤣

  • @mwinchumualli9458
    @mwinchumualli9458 4 года назад

    Dude we ni shida tupu nakukubali mno

  • @juliuschuwa5889
    @juliuschuwa5889 4 года назад

    noma sana engineer

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 4 года назад +1

    Hatari

  • @paulkkinuma1587
    @paulkkinuma1587 4 года назад +3

    dude acha uongo yani ulipigiwa simu asubuhi ili ukapate dina mh kumbe kuna diner ya asubuhi et