BONGO DAR ES SALAAM S02EP03 - MAPACHA
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 03 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
Wangap 2naangalia bongo dar es salaam huku 2nasoma coment
Yussuph Kazumar 😂😂😂
Up gud san dude kiukwel
a dude wa siku hz sio mwz kama wa zaman bhna zaman alikuwa hatar jaman au wasemaje
Aisee dude the boss hujawahi kukosea @bongodaresaalam 🔥🔥🔥🔥hatuna mpinzani
Umekosekana wewe tu😜
Madam suzyeeee
Queen Suzy inabidi muwe makini ktk vitu vidogo vidogo mfano hiyo Pete na saa aliyovaa dude inabidi atofautishe kt pacha.
Gongaaa like twendeee sawaaaa kama unamkubaliii dude
Tunao angalia 2024 tujuwane kwa like
wakati tunamsubiria kitale na maneno ya kuambiwa hatuna budi ya kumcheki dude bahati nzuri dude yuko vzuri hatuangushi bando letu haliendi bure
Huyu dada wanapenda kumtapel jmn😥😥...ila Me nampenda 😍🤗
Sana wanamuoga mnyonge cjui sema huaga mpole
😂🤣😄♥️atamimi
Mi napenda sauti ya huyu Dada anae tapeliwa!
Dude is the BEST ACTOR
¹llq
Dude noma Sana kubali xana kinoma an big up
Mbona marudio hiiiii jmn kama umejua ni marudio gong like
Angalia ad mwisho
Emmanuel Samwel Ni Part 2....
Nenda katengeze yako
Ni tofauti mbn
Umerudia ww kuWatch au
Boss dude tuna kupenda
DAHHHH anatoa funzo kubwa DUDE bongo
Hii imerudiwa dude jiangalie usiwe unarudia rudia unatumalizia bundle
Paka paris tunagalia bongo dar es salaam 👌
Kwema kaka nichek kaka whatsapp +255693355892
Pamoja na kasoro ndogo ndogo, me nawakubali sana aisee
Kweli mimi mwenyewe nimeviona sema Dude baba Lao 👏👏👏👏
Hatari moto
Noma Sana
Haya mzee baba ongeza nyingine
Kali sana hii
Dude master mind
Ulitukwamisha sana mzee baba dude
Naikubali sana Bongo Dar es Salaam lkn mbn leo mmeirudia hii. Tushaiona tangu season one
Jodan Yusuphy muendelezo huu
Mnatisha wazee🔥🔥🔥✊
Kama umeixikia mwenyezi mungu hatatuxaidia gonga like twende xawa.
Mshenzi ww wizi ndo kazi yako duuuhh Yani we noma Kama vizuli sana
mapacha walim dhurumu màmà angu ýâãņ MPAKA uwajue uwe makin śàñàà ila wana tofaut ndogo śàñàà ima kulwa au dotto anakua mwmbamba ila saùť ñà matendo hufanana ķàmà una date ñàò wawezaa ukawa changanya 😂😂😂😂
Hahahahha... Kawatapeli Ndo mmekwishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Dude Leo umetupa macho ya utapeli mara moja tu 15:32 but ungetakiwa umalize nayo tena hapa 24:08
Pale kwenye pacha uswazi eeeh
Mh dude utauwa mzee wangu🤣🤣
huyo dada bonge mrefu ana MFUKO WA RAMBO😎😁😁
Fadhili Mkungura ☺☺☺
aaaaaah aise dude kwel noma umetisha bro
Jamaa ww
Hahahahaaa ss hapo mwanaume kaenda kuongea. Na mwanaume mwenzie alafu analiaa kitotoo
Alafu et mkewe et nisamehe mie mume wng duh! Hahahahaaa kwel asee bongoo hyo kwel n daresalam 😂😂😂😂
Dude your the baddest MVP
Dude..umetsha mzee
26:25 huyu jamaa aliyeshika gazeti hongera zake, amevaa uhusika sana. Na Team nzima hii ya season 1 huwa ipo vizuri ila yule dada mwingine fanyeni njia arudi kwenye Bongo cs wakiwa wawili ndyo wanatia chumvi ya utapeli
Kaliiiii 🔥 🔥 🔥
Da flora umebackkkk 😍😍😍😍
Ni wangapi wanafurahishwa na haka kasauti kanatokeaga kama dili la pesa limeivana
Mtu akitaka kuja bongo lazima wamweke kikao, uwe makini huko dar, 😂😂
Zinafanana na ya kitambo kidogo
Hata kumsogelea namuogopa maana atachomoka na sim zangu
Am the one best
Alikupigia simu asubuhi akakwambia njoo upate dinner....umetisha Dude
taarifa hutolewa asubuh Dinner huliwa jioni hujaelewa wapi Labda?
Ni dinner chakula cha usiku
mnanikumbusha mbaliiiì sana kumne imeludiii safi
Dah.! Dude we noma mm nitakujaga kukutafut unifundshe hayo mapekerechee Etty.!!
Mmh da frola kachapia et wawil tuu kwenye ukoo mmh kma umskia mkono juu
😂😂😂😂 hapa nimesikia
u made it Dude
Dude upo juu
😂😂😂😂daaah ila Dude fundi sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
good job
Dude upo vizuri xana
Hakia mungu mmekwisha asha wataperi 😂😂😂!!!!
Wamechapia kwenye mavazi suruali na shart zinafanana
Dude hata macho tu yanaonesha tapel
Cjui kwel huyu
Mmefeli kwenye mavazi tu.
Dude karudia nguooo
Mbona mnairudia iyooo
I mbona merudia jamani Ilikuwa seasons one
Ahaaaa mapacha hao
SO! Waaaaooooo! i like it
Ushauli wangu muda
Unajipest jalibu
badilisha mavazi
Hata mazingila yandevu
Hitakuwa moto zaid mzee
ila sikuiz munajitaid inaisha
Vzl sana
hambao hatupitwi like zenu
Umetishaa Kaka Dude
Kwenye wasafi tv inarushwa lin
Kdg mumebuki kwenye Saa na Pete wote Sawa mungetofautisha pacha mmoja asivae au yuwavae tofaut
Dude kaka mbona unaalibu shati lilelile
Kama unamkubal dude achia like
Safi sana Bongo.
Yeah from Calgary Alberta Canada tunawakubali big up bongo Dsm
mbn marudio hiiiii
Mr "A" or dhoom
Unajua mpaka unakela
Kama wote
Mbona nahao wadada wanafanana au mapacha
Nakubali uyu jama nimkali kweli
Shat mbona lile lile.
Ngoja nimblock huyu basi😂😂😂😂
Good to good
Mbona mmeirudia iliyopita kulikon
Nguo tu
DUDE UNATAFUTWAAAA;;;~
Hahahaa nimecheka jaman
Auja badirisha pete dude.
Dude umetisha mzeee
Kiuhalisia mumefeli ,
Kwanz , hili wazo mulishawah kuekti hiv hiv inxhort mumeridia .
Pili , mavaz ni hayo hayo labda kuvua na kuvaa miwani na tai ,
Tatu , mazingira ni hayo hayo yaan huyu na huyu wamefan mnooo kias cha kujuulikanwa .
hamza omar huu nimuendelezo broo sio malidio
Dude umeanda kaz nzur sana lkn upande wa maleba (mavazi) umefel kdg kwa maana ulivotoka kuvaa sut ulivua koti, mawani, tai pamoja na viatu
Mm nlitegemea ukabadilike kimuonekano wa mavazi kabisa.
Kabisa...umeona hilo
Episode 3🔥 likes
Yan dude we akuna tena
Nakubali
9:23 kwani dude ulishakuwaga tapeli kweli au uliachiwa laana ya utapeli>? Mimi nikikutana na ww, nakuwa makini na ninachoongea na mifuko yangu cs hata kama sio tapeli lakini unaweza ukageuka hapo hapo
Hahahaha
Hahahaha
Noma Sana 😂😂😂😂
wakat yy alsha tapeliwa
Dude mbon alishawahi kuwa tapeli tuu mzuri Etty..!
Dude unafel au umeishiwa.maan hii clips ni ya kitambo sana
😂😂😂😂😂Bongo
Mbon ep y 2 mim sijaiyon
Hii mmerudia...part 1 ilikuwa season 1..
Yea
Kweli
Sawa lakini The Action Ni Tofauti ila themes ndio sawa
MBONA KAMA MMERUDIA HII EPSOD?
Iv kwanini RUclips ya bongo sikuizi imejaa wasafi tu.
Ndo wanapofanya kazi sababu ndo inaporushwa
We jamaa .. Ni shida
Ww pacha ulitakiwa sehem A uwe serious ikifikia pacha yule ndio awe mwongeaji sana na mapepe sasa afande anacheka cheka km yule 🤣🤣 ah dude na nguo zilipaswa kubadilika kabisa sio uvue koti tu kisha 🤣🤣
Dude we ni shida tupu nakukubali mno
noma sana engineer
Hatari
dude acha uongo yani ulipigiwa simu asubuhi ili ukapate dina mh kumbe kuna diner ya asubuhi et
Duh kutakuwa na dinner ya asbh
Sasa pale ameact kam hajui anachoongea hat kam ni ww