QUR'AN 72:6 ..... And there were men from mankind who sought refuge in men from the jinn, so they [only] increased them in burden...... Ni Haram kutegemea majini..... QUR'AN 6:100
6:100 وَجَعَلُوا۟ لِلَّهِ شُرَكَآءَ ٱلْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ وَخَرَقُوا۟ لَهُۥ بَنِينَ وَبَنَٰتٍۭ بِغَيْرِ عِلْمٍ سُبْحَٰنَهُۥ وَتَعَٰلَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!..... Wewe shehe ni mshrikina... Unasema jini akusaidie kutibu, matibabu, inamaana Mungu hawez?... Mnachafua dini kwa watu wasioujua uislam
Shukran tunashukuru sie huku UK. tuna pensa kukuangalia , kusikia lugha ya kiamu, kuzengea, najuwa kutafuta, it’s funny Ustadh
atumie jini kutatua kivip bwana halaf vip mbona unajichanganya mwenyewe
Sawa_Nimekuelewa_sana_na_kupenda_maelezo_yako_shekhe_naomba_namva_zako
Wee izudin wacha wazimu bana tafadhali sana tena.
QUR'AN 72:6 .....
And there were men from mankind who sought refuge in men from the jinn, so they [only] increased them in burden...... Ni Haram kutegemea majini..... QUR'AN 6:100
6:100
وَجَعَلُوا۟ لِلَّهِ شُرَكَآءَ ٱلْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ وَخَرَقُوا۟ لَهُۥ بَنِينَ وَبَنَٰتٍۭ بِغَيْرِ عِلْمٍ سُبْحَٰنَهُۥ وَتَعَٰلَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ
Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!.....
Wewe shehe ni mshrikina... Unasema jini akusaidie kutibu, matibabu, inamaana Mungu hawez?... Mnachafua dini kwa watu wasioujua uislam
Shukrani sheikh
Vipi kutumia majini kwa kutatua maradhi
Yafaa lakini asitumiea shiriki
Naomba_namba_zako
+254772611120