FULL MATCH HIGHLIGHTS SIMBA 0-3 RAJA CA I CAF CHAMPIONS LEAGUE
HTML-код
- Опубликовано: 17 фев 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Tv3Tanzania #GameOn #cafchampionsleague #simbavsrajacasablanca Спорт
Kama umefurahi simba kufungwa nipe like 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄
Usitukane mamba kabla hujavuka mto hata ukifurahi haikusaidii Simba ni ileile na kamwe hamtawahi kufikia levo ya Simba nyie ni utopolo tu! Na mtabakia kuwa utopolo
@@janethjustin2041 inakuuma hahahaha🤪😂
Wazaramo watanzania wote ni chakula cha waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania wote chakula mmeliwa na waarabu.
Yanga toka waingie kwenye mechi hizi wameingia na nuksi tu
@@sarahadolf9722 waarabu ndo habar ya mjini
Vive le public. Un grand respect pour le public tanzanien pour leur esprit sportif. Un public très discipliné et civilisé
Leo Unga FC , Ngada FC, Paka FC, Madunduka FC, WALEVI FC, Zuwena FC, WAMELOUWAAAAA
Makolo
🤣🤣🤣
😆😆😆😆
Unawekwa...
Usimalize maneno
Dah 🙆♂️
Bon courage et bonne continuation RCA
Hard Luck Sima Dima RAJA
رغم الخسارة يجب أن نصفق للجمهور راءع جدا 👍👍
Marehemu alikuw na kihere here sana
Chama vipi hakuwemo 😂😂
SAFI SANAA WAACHE KUKARIRI ETI KWAMKAPA HATOKI MTU NDO MACHINJIO YA SIMBA
Kesho zamu ya nani Wananchi na wao wajitayarishe na kichapo ila sio kama cha watani wao hii leo.. Na matokeo ya kesho ni kama ifuatavyo,, Wananchi (Yanga) 1 na TP Mazembe 2,, sio mchezo..🤔🙄🥺😴😂🤣🔥🔥🤸💪
@@hasnunokassim Kesho gani tena🤣
Manura kiwango chake kimeshuka sana inabidi uwongozi usajili mwingine Kipa
Sio kweli,manula Yuko pw we angalia hayo magoli yametokea wapi sio kila mpira anaweza kuudaka but ONYANGO kachangia kupoteza mech
Nyie wazaramo mnachekana wakati wote vyakula vya waarabu tu mzaramo mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania wazaramo wabongo midomo mpira hamjui.
Na hata uyo beki wao jezi namba 16 w Simba (Onyango) hamna kitu na waanze kumtafutia mkabala wake.
@@elishajuma836 Kweli Brother, uyo beki w kati w Simba (Onyango) hamna kitu na leo hii magoli 2 na yeye amefanya uzembe na kwanza kimtazamo ni mchezaji mzito na ni mwenye maamuzi mabovu na hasa leo alikua hayuko kimakini. Na kama awo Simba uyo beki ndo wanamuona anaupiga mwingi hapo hamna kitu na ni jina kubwa but ki uwezo bado sana.
Na timu nzima ya Simba mwenye uwezo mkubwa ni Chama pekee yake kw kua uyo mchezaji kw Bara hili la African anauwezo w kuchezea Clubs yoyote ila sijui kw upande w umri.
Raja 💚
wakina baleke uezo mdogo sajilin quàlity player achen siasa maviii
Sakho naona ameupiga mwingi kama Babu defao 😀😀😀
Raja 🦅💚 boca d'Afriqua
Hii mechi manula alicheza chini ya kiwango sana
Kama unakubaliana na mm Bora mgunda kuliko mzungu nipe like
This match would have favoured Simba if it was played in the afternoon, because North Africans are weak in the hour sun, however, better luck next time to Simba. Fan from Ghana🇬🇭🇬🇭🇬🇭
he he
14:00 [Luanda] Wac 3-1 Petroleos vu ✓
My friend we can play any time we played world cup in Qatar most of the matches were played in the Sun i think you don't know Moroccan players 🤣 what are u talking about
I don't like this african mentality
And by the way this season is the hotest saenson in Tz pole Ghana 🤣 from Morocco 🇲🇦
💚💚🇲🇦⚽⚽
😃😃😃😃😃😃😃 mmepigwa na kitu kizito
Simba kilichowaponza waliigia na matokeo wakijua watafunga tu mwisho wa siku wakafumuliwa
viongozi wa simba acheni utapeli sajiri wachezaji
🇲🇦❤️🇹🇿
Tunatumia Nguvu kama ngiri, wakati mpira akili na Nguvu, Ngiri Fc
💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Bbl
Dfg
Hao ndio waarabu sio wazaramo wa dar hao waarabu baba ake
Onyango hutufai kabisa
Haya Ni mateso makali kwa makolo
Goli la pili marking mbovu ya beki za simba huku manula akiwa kwenye timing mbovu kuliko daaah pole yetu kwa mkapa hatoki mtu
Hakuna move tamu kama hiyo ya babu UNYANGO , Jamaa kamuwekea palee, babu UNYANGO kacheza na Mwili...!..🤣🤣🤣
Acheni kutafuna huku mnacheza nihatari na utoto
Nashindwa kuona kosa la kimaro,kwaani utawezaje kuongeza speed,ikiwa huoni speed ya mwenzako?
Kinyume nyume fc mmetuzalilisha kinomaaa
Wazaramo wa Tanzania punguzeni mdomo hamjui kazi yenu ngoma ya mdundiko na vigodoro waarabu mnowashobokea hamuwawezi mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania mwarabu atawauaaaa
Manula Hana kiwago kizuri kwa Sasa,,kwa hali hii kwao tutakula 10
Tim maneno mengi kama watoto wakike au wazaramo nyie ? waarabu hao hawana maneno wamewanyoosha wamewaacha wazaramo na mdomo wenu karibu Ahmed Ali upige domo
unfortunately it was not their day Simba
HAKUNA HAJA YA KUTUMIA NGUVU KUBWA KUWALAUMU WACHEZAJI; WALA VIONGOZI RAJA NI SAYARI YA JUU
Tena sana
Sio kweli bro technique tu
@@geraldlaurent6750 , Simba haiwezi kuifunga Rajah Casablanca, kiwango na mbinu za mchezo Simba ipo chini sana.
Timu zetu zote mbinu ndogo Ila wanajua kucheza
Al ahli mbona alikufa na yuko juu wale wasauz mbona walikufa hatuna tim bhana akina shomar kapombe onyango zimbwe hawa ni wakucheza na mbeya cty tim yetu yakawaida sana wala haina sifa ya kuitwa simba
Yamewakuta kweli kelele akuna leo
Mimi ni mpenzi wa simba lakini hata kabla ya mechi nilisema mpira siyo siasa,onyango kazeeka na boko kiwango kimeisha
Brother, mm naweza kidogo kukuunga mkono kw suala lako kuusu uyo Beki w kati w Simba (Unyango) kweli amezeeka na hapo hamna kitu na akikutana na vijana wenye umri mdogo na machachari atakua ni njia sana.
Na kuusu Bocco na yeye kishakua hamna kitu na waanze kutafuta vijana wadogo kwenye izo nafas..
daaah ilo goli la pili Manula angeweza isaidia timu, sema ndo ivo tena
Hili lionyango linapenda kuvuta hilo🤣🤣🤣
Hahgdahha kesho utaambiwa kocha hafai
Haha
Ata siamini haya . Simba wamekosa wapi jamani?. Nimetumia sana.
😁😁😁😁😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂
Mbona defenders wa Simba wamesimama tu mfungaji wa goli la pili akipokea pasi na kufunga akiwa peke yake..?!
Siwa dogo mmemtoa wapi mrudisheni na msilete tena mchezaji mguu mmoja hayo ndy ya bwalya
Simba wachezaji wanachoka maana ni walewale
wachawi fc ynga fc kigalula fc ngada madunduka fc wamenyanduliwa
Goli la pili ni uzembe wao
Na ndio mpira,mpira ni mchezo wa makosa
Wazaramo wa Tanzania ni vyakula vya waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa dar chezea mwarabu wewe mzaramo
Niliwahi kuwaambia simba kiungo mkabaji atakua mguu mmoja kama siwa dogo ?
Hili limanula likae bench limpishe kakolanya tu limesha choka magoli ya kipumbavu kila siku
Raja won despite shameful and catastrophic arbitration
Hata kama tumefungwa ndo highlight ya dakika 12 mhh. Na cku tukishinda muweke fupi hvohvo.
😆😆😆😆
Wanetu waliyakanyaga😂
😂😂😂😂 amekuwa vibaya
Onyango angepumzishwa kwanza ili Wilson apewe nafasi beki Ile nzuri kuliko onyango tena onyango asinhesajiliwa maana ameicost timu kila mechi hatufai kabisa
Nafuu watara
Yaan wachezaji wa Simba wanene wanatembea ka wakike ila raja wanadunda kibotozi alieona naomba like
Wazaramo wafupi waarabu wataua hao shauriyenu
Sasa hilo babu onyango bado linapata namba hadi leo hamuoni kua nyinyi hamna tim onyango na wawa si sawa sawa wanaweza kuwazuia watoto walotiwa ndim wakiarabu wazaramo mnachekesha na tim zenu za dar
Wewe manula mpira wakupiga kwa mguu unataka udake
Kwa mkapa hatoki mtu😂
Mpla nidakika 90 siyo majigambo
Alafu msitupangie cha kufanya mbwa nyie 🤣🤣🤣
Eti babu onyango..majaluo yao kurusha mawe tu..c kucheza mpira..ulizeni kenya hapa harambee stars ilojaa waluo hufika wapi..tena ni team ya taifa hyo c club.. 😂😂😂
lionyaongo deile penat linasababishaa,🤣🤣🤣
Simba leo w kumlaumu uyo Beki wao w kati (Onyango) coz kimtazamo goli la 2 na 3 ni uzembe wake mwenyew but ki uwezo uyo Onyango ni beki w kawaida sana na hana uwezo mkubwa w kuhimili mikiki ama vishindo nya wachezaji vijana na wenye umri mdogo. Na upande mwengin kimtazamo Simba hawakuzidiwa sana kimpira ila tatizo wachezaji walikua walikua wakicheza njee ya uwezo wao na walijawa na hofu nyingi hasa baadhi ya wachezaji na sijui kw nini.? Na kw matokeo ya leo timu nzima ya Simba ndo wenyew wakulaumiwa ama kujilaumu kuanzia Uongozi, Benchi la Ufundi, Wachezaji na sio kumpa lawama kocha pekee tu..🤔🙄🥺😴👀
Lete mzungu chali 😂
Onyango tuachie timu yetu nenda ka
Hapa hili kundi simba ana shinda kulingana najinsi kundi lime kaa
Sema hawa waarabu wanaupiga sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾hata kama ingekua yanga wasingetoboaa
🤣🤣🤣🤣
Wana simba mxeme tu ukweli manula ameshakuwa mbovu et ilo amlioni wala amsemi.... semeni basi Yan mnasubili itokee penalti manula apangue ndo mshangilie
GIDI
Simba mbona mpo kimya hamuongei Tena jmn kusemasem kumeenda WAP mmekong'otwa kwer
Waet waongee labda waseme awamtaki boco mzee
Wazaramo watanzania wote ni chakula cha waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania maneno mengi wazaramo.
Noma sana lkn ajawah kutoka mtu
Kwa mkapa hatoki mtu mbwa nyie