FULL MATCH HIGHLIGHTS SIMBA 0-3 RAJA CA I CAF CHAMPIONS LEAGUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 фев 2023
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
    KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
    BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
    TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
    #Tv3Tanzania #GameOn
    #Tv3Tanzania #GameOn #cafchampionsleague #simbavsrajacasablanca
  • СпортСпорт

Комментарии • 135

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Год назад +29

    Kama umefurahi simba kufungwa nipe like 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄

    • @janethjustin2041
      @janethjustin2041 Год назад

      Usitukane mamba kabla hujavuka mto hata ukifurahi haikusaidii Simba ni ileile na kamwe hamtawahi kufikia levo ya Simba nyie ni utopolo tu! Na mtabakia kuwa utopolo

    • @daniamos4172
      @daniamos4172 Год назад

      @@janethjustin2041 inakuuma hahahaha🤪😂

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      Wazaramo watanzania wote ni chakula cha waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania wote chakula mmeliwa na waarabu.

    • @sarahadolf9722
      @sarahadolf9722 Год назад

      Yanga toka waingie kwenye mechi hizi wameingia na nuksi tu

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      @@sarahadolf9722 waarabu ndo habar ya mjini

  • @MFhmi-fd2yy
    @MFhmi-fd2yy Год назад +5

    Vive le public. Un grand respect pour le public tanzanien pour leur esprit sportif. Un public très discipliné et civilisé

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Год назад +32

    Leo Unga FC , Ngada FC, Paka FC, Madunduka FC, WALEVI FC, Zuwena FC, WAMELOUWAAAAA

  • @renatusmatungwa2508
    @renatusmatungwa2508 Год назад +2

    Dah 🙆‍♂️

  • @RachidRachid-hp5qf
    @RachidRachid-hp5qf Год назад +1

    Bon courage et bonne continuation RCA

  • @lifeingreenrca4521
    @lifeingreenrca4521 Год назад +1

    Hard Luck Sima Dima RAJA

  • @Targa24
    @Targa24 Год назад +6

    رغم الخسارة يجب أن نصفق للجمهور راءع جدا 👍👍

  • @mohamedymwaim4284
    @mohamedymwaim4284 Год назад +2

    Marehemu alikuw na kihere here sana

  • @omaribazanga7967
    @omaribazanga7967 Год назад +5

    Chama vipi hakuwemo 😂😂

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Год назад +2

    SAFI SANAA WAACHE KUKARIRI ETI KWAMKAPA HATOKI MTU NDO MACHINJIO YA SIMBA

    • @hasnunokassim
      @hasnunokassim Год назад

      Kesho zamu ya nani Wananchi na wao wajitayarishe na kichapo ila sio kama cha watani wao hii leo.. Na matokeo ya kesho ni kama ifuatavyo,, Wananchi (Yanga) 1 na TP Mazembe 2,, sio mchezo..🤔🙄🥺😴😂🤣🔥🔥🤸💪

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 Год назад

      @@hasnunokassim Kesho gani tena🤣

  • @najmahhassanmossy7020
    @najmahhassanmossy7020 Год назад +5

    Manura kiwango chake kimeshuka sana inabidi uwongozi usajili mwingine Kipa

    • @elishajuma836
      @elishajuma836 Год назад

      Sio kweli,manula Yuko pw we angalia hayo magoli yametokea wapi sio kila mpira anaweza kuudaka but ONYANGO kachangia kupoteza mech

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      Nyie wazaramo mnachekana wakati wote vyakula vya waarabu tu mzaramo mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania wazaramo wabongo midomo mpira hamjui.

    • @hasnunokassim
      @hasnunokassim Год назад

      Na hata uyo beki wao jezi namba 16 w Simba (Onyango) hamna kitu na waanze kumtafutia mkabala wake.

    • @hasnunokassim
      @hasnunokassim Год назад

      @@elishajuma836 Kweli Brother, uyo beki w kati w Simba (Onyango) hamna kitu na leo hii magoli 2 na yeye amefanya uzembe na kwanza kimtazamo ni mchezaji mzito na ni mwenye maamuzi mabovu na hasa leo alikua hayuko kimakini. Na kama awo Simba uyo beki ndo wanamuona anaupiga mwingi hapo hamna kitu na ni jina kubwa but ki uwezo bado sana.
      Na timu nzima ya Simba mwenye uwezo mkubwa ni Chama pekee yake kw kua uyo mchezaji kw Bara hili la African anauwezo w kuchezea Clubs yoyote ila sijui kw upande w umri.

  • @Enjoy-the.
    @Enjoy-the. Год назад

    Raja 💚

  • @rayannasibu8621
    @rayannasibu8621 Год назад +3

    wakina baleke uezo mdogo sajilin quàlity player achen siasa maviii

  • @kanyanga0852
    @kanyanga0852 Год назад +4

    Sakho naona ameupiga mwingi kama Babu defao 😀😀😀

  • @youssefRCA-zq1zj
    @youssefRCA-zq1zj Год назад

    Raja 🦅💚 boca d'Afriqua

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Hii mechi manula alicheza chini ya kiwango sana

  • @bembeleza9561
    @bembeleza9561 Год назад

    Kama unakubaliana na mm Bora mgunda kuliko mzungu nipe like

  • @Lawrence0207
    @Lawrence0207 Год назад +10

    This match would have favoured Simba if it was played in the afternoon, because North Africans are weak in the hour sun, however, better luck next time to Simba. Fan from Ghana🇬🇭🇬🇭🇬🇭

    • @Yuba014AtlasLion2014
      @Yuba014AtlasLion2014 Год назад

      he he

    • @stanley3367
      @stanley3367 Год назад

      14:00 [Luanda] Wac 3-1 Petroleos vu ✓

    • @noureddinetaybi6481
      @noureddinetaybi6481 Год назад +3

      My friend we can play any time we played world cup in Qatar most of the matches were played in the Sun i think you don't know Moroccan players 🤣 what are u talking about

    • @majiddeladj9749
      @majiddeladj9749 Год назад +3

      I don't like this african mentality

    • @noureddinetaybi6481
      @noureddinetaybi6481 Год назад +3

      And by the way this season is the hotest saenson in Tz pole Ghana 🤣 from Morocco 🇲🇦

  • @jalilvj1149
    @jalilvj1149 Год назад +2

    💚💚🇲🇦⚽⚽

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Год назад +4

    😃😃😃😃😃😃😃 mmepigwa na kitu kizito

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Год назад +4

    Simba kilichowaponza waliigia na matokeo wakijua watafunga tu mwisho wa siku wakafumuliwa

  • @cellestinelucas165
    @cellestinelucas165 Год назад +2

    viongozi wa simba acheni utapeli sajiri wachezaji

  • @oneluffy2.0
    @oneluffy2.0 Год назад +2

    🇲🇦❤️🇹🇿

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 Год назад +1

    Tunatumia Nguvu kama ngiri, wakati mpira akili na Nguvu, Ngiri Fc

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Год назад +2

    💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @barakahoja
    @barakahoja Год назад

    Bbl

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Hao ndio waarabu sio wazaramo wa dar hao waarabu baba ake

  • @evancejohn8726
    @evancejohn8726 Год назад

    Onyango hutufai kabisa

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Год назад

    Haya Ni mateso makali kwa makolo

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Год назад

    Goli la pili marking mbovu ya beki za simba huku manula akiwa kwenye timing mbovu kuliko daaah pole yetu kwa mkapa hatoki mtu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад

    Hakuna move tamu kama hiyo ya babu UNYANGO , Jamaa kamuwekea palee, babu UNYANGO kacheza na Mwili...!..🤣🤣🤣

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 Год назад +1

    Acheni kutafuna huku mnacheza nihatari na utoto

  • @brydenkalus1346
    @brydenkalus1346 Год назад

    Nashindwa kuona kosa la kimaro,kwaani utawezaje kuongeza speed,ikiwa huoni speed ya mwenzako?

  • @ezekielsaid9536
    @ezekielsaid9536 Год назад

    Kinyume nyume fc mmetuzalilisha kinomaaa

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад +1

      Wazaramo wa Tanzania punguzeni mdomo hamjui kazi yenu ngoma ya mdundiko na vigodoro waarabu mnowashobokea hamuwawezi mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania mwarabu atawauaaaa

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Год назад

    Manula Hana kiwago kizuri kwa Sasa,,kwa hali hii kwao tutakula 10

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад +2

    Tim maneno mengi kama watoto wakike au wazaramo nyie ? waarabu hao hawana maneno wamewanyoosha wamewaacha wazaramo na mdomo wenu karibu Ahmed Ali upige domo

  • @anawa4326
    @anawa4326 Год назад

    unfortunately it was not their day Simba

  • @gaudencehyera1475
    @gaudencehyera1475 Год назад +2

    HAKUNA HAJA YA KUTUMIA NGUVU KUBWA KUWALAUMU WACHEZAJI; WALA VIONGOZI RAJA NI SAYARI YA JUU

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 Год назад

      Tena sana

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 Год назад

      Sio kweli bro technique tu

    • @robertsmwinyi4515
      @robertsmwinyi4515 Год назад

      @@geraldlaurent6750 , Simba haiwezi kuifunga Rajah Casablanca, kiwango na mbinu za mchezo Simba ipo chini sana.

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 Год назад

      Timu zetu zote mbinu ndogo Ila wanajua kucheza

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      Al ahli mbona alikufa na yuko juu wale wasauz mbona walikufa hatuna tim bhana akina shomar kapombe onyango zimbwe hawa ni wakucheza na mbeya cty tim yetu yakawaida sana wala haina sifa ya kuitwa simba

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад

    Yamewakuta kweli kelele akuna leo

  • @alexandermalima610
    @alexandermalima610 Год назад

    Mimi ni mpenzi wa simba lakini hata kabla ya mechi nilisema mpira siyo siasa,onyango kazeeka na boko kiwango kimeisha

    • @hasnunokassim
      @hasnunokassim Год назад

      Brother, mm naweza kidogo kukuunga mkono kw suala lako kuusu uyo Beki w kati w Simba (Unyango) kweli amezeeka na hapo hamna kitu na akikutana na vijana wenye umri mdogo na machachari atakua ni njia sana.
      Na kuusu Bocco na yeye kishakua hamna kitu na waanze kutafuta vijana wadogo kwenye izo nafas..

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo6641 Год назад

    daaah ilo goli la pili Manula angeweza isaidia timu, sema ndo ivo tena

  • @zeddymourice4249
    @zeddymourice4249 Год назад +1

    Hili lionyango linapenda kuvuta hilo🤣🤣🤣

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Год назад

    Ata siamini haya . Simba wamekosa wapi jamani?. Nimetumia sana.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Год назад

      😁😁😁😁😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising Год назад

    Mbona defenders wa Simba wamesimama tu mfungaji wa goli la pili akipokea pasi na kufunga akiwa peke yake..?!

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Siwa dogo mmemtoa wapi mrudisheni na msilete tena mchezaji mguu mmoja hayo ndy ya bwalya

  • @corneliusshija5983
    @corneliusshija5983 Год назад

    Simba wachezaji wanachoka maana ni walewale

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo4962 Год назад

    wachawi fc ynga fc kigalula fc ngada madunduka fc wamenyanduliwa

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад

    Goli la pili ni uzembe wao

    • @luganomwaisumo1938
      @luganomwaisumo1938 Год назад

      Na ndio mpira,mpira ni mchezo wa makosa

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      Wazaramo wa Tanzania ni vyakula vya waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa dar chezea mwarabu wewe mzaramo

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Niliwahi kuwaambia simba kiungo mkabaji atakua mguu mmoja kama siwa dogo ?

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Год назад

    Hili limanula likae bench limpishe kakolanya tu limesha choka magoli ya kipumbavu kila siku

  • @Yuba014AtlasLion2014
    @Yuba014AtlasLion2014 Год назад +3

    Raja won despite shameful and catastrophic arbitration

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Год назад

    Hata kama tumefungwa ndo highlight ya dakika 12 mhh. Na cku tukishinda muweke fupi hvohvo.

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Год назад +1

    😆😆😆😆

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Год назад

    Wanetu waliyakanyaga😂

  • @nefesmoses2026
    @nefesmoses2026 Год назад

    😂😂😂😂 amekuwa vibaya

  • @lawrencephotographyandsafa5955

    Onyango angepumzishwa kwanza ili Wilson apewe nafasi beki Ile nzuri kuliko onyango tena onyango asinhesajiliwa maana ameicost timu kila mechi hatufai kabisa

  • @obedimwakagali7755
    @obedimwakagali7755 Год назад

    Yaan wachezaji wa Simba wanene wanatembea ka wakike ila raja wanadunda kibotozi alieona naomba like

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Wazaramo wafupi waarabu wataua hao shauriyenu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Год назад

    Sasa hilo babu onyango bado linapata namba hadi leo hamuoni kua nyinyi hamna tim onyango na wawa si sawa sawa wanaweza kuwazuia watoto walotiwa ndim wakiarabu wazaramo mnachekesha na tim zenu za dar

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Год назад

    Wewe manula mpira wakupiga kwa mguu unataka udake

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Год назад

    Kwa mkapa hatoki mtu😂

  • @jumamsukwa6244
    @jumamsukwa6244 Год назад

    Mpla nidakika 90 siyo majigambo

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Год назад

    Alafu msitupangie cha kufanya mbwa nyie 🤣🤣🤣

  • @kajinjirashid5590
    @kajinjirashid5590 Год назад

    Eti babu onyango..majaluo yao kurusha mawe tu..c kucheza mpira..ulizeni kenya hapa harambee stars ilojaa waluo hufika wapi..tena ni team ya taifa hyo c club.. 😂😂😂

  • @rayannasibu8621
    @rayannasibu8621 Год назад +2

    lionyaongo deile penat linasababishaa,🤣🤣🤣

  • @hasnunokassim
    @hasnunokassim Год назад +1

    Simba leo w kumlaumu uyo Beki wao w kati (Onyango) coz kimtazamo goli la 2 na 3 ni uzembe wake mwenyew but ki uwezo uyo Onyango ni beki w kawaida sana na hana uwezo mkubwa w kuhimili mikiki ama vishindo nya wachezaji vijana na wenye umri mdogo. Na upande mwengin kimtazamo Simba hawakuzidiwa sana kimpira ila tatizo wachezaji walikua walikua wakicheza njee ya uwezo wao na walijawa na hofu nyingi hasa baadhi ya wachezaji na sijui kw nini.? Na kw matokeo ya leo timu nzima ya Simba ndo wenyew wakulaumiwa ama kujilaumu kuanzia Uongozi, Benchi la Ufundi, Wachezaji na sio kumpa lawama kocha pekee tu..🤔🙄🥺😴👀

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 Год назад

    Lete mzungu chali 😂

  • @evancejohn8726
    @evancejohn8726 Год назад

    Onyango tuachie timu yetu nenda ka

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Год назад

    Hapa hili kundi simba ana shinda kulingana najinsi kundi lime kaa

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад

    Sema hawa waarabu wanaupiga sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾hata kama ingekua yanga wasingetoboaa

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Год назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад +3

    Wana simba mxeme tu ukweli manula ameshakuwa mbovu et ilo amlioni wala amsemi.... semeni basi Yan mnasubili itokee penalti manula apangue ndo mshangilie

    • @awenaalifonce
      @awenaalifonce Год назад

      GIDI

    • @aminahanzuruni5173
      @aminahanzuruni5173 Год назад +1

      Simba mbona mpo kimya hamuongei Tena jmn kusemasem kumeenda WAP mmekong'otwa kwer

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 Год назад

      Waet waongee labda waseme awamtaki boco mzee

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Год назад

      Wazaramo watanzania wote ni chakula cha waarabu mmoja kaliwa tunisia mwengine kaliwa Tanzania maneno mengi wazaramo.

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 Год назад

      Noma sana lkn ajawah kutoka mtu

  • @abdilahjuma2493
    @abdilahjuma2493 Год назад +1

    Kwa mkapa hatoki mtu mbwa nyie