Mimi S01Ep22 (TV Series)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Tamthilia inayofuatilia hadhithi ya bitnti Naomi katika kuanza na kupigania maisha yake kwa visa vya kila aina.
    Imtayarishiwa na Elizabeth Michael / elizabethmichaelofficial
    Director and DOP Staford kihore www.instagram....

Комментарии • 33

  • @georgeemmanuel3155
    @georgeemmanuel3155 47 минут назад +1

    Kulingana na hii stori nilichojifunza na ninachojifunza ni kuwa sometimes ni bora kupoteza kitu kwa kusema ukweli ambao utakutesa for somehow but utakuwa ushaondoa udhaifu ambao watu wengi watautumia katika kuku blackmail. Maisha halisi ni rahisi. Ukweli always ni mchungu lakini ndio dawa ya matatizo, hakunaga dawa tamu. Asante Lulu kwa stori nzuri na Quality series.

  • @BabuuMarealle
    @BabuuMarealle 53 минуты назад +2

    Naomi anaingia kama Nan ndani ya kikao cha waandishi wa habar ingawa yeye si mwandishi 'mmmh😮 apa si sawa'

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 20 минут назад

      ata wewe ukishika maiki kibongobongo utamuhoji mtu yoyote tu

  • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
    @ZuleykhaIsmail-rc5ly 3 часа назад +2

    Naomi anamfanya Joseph aonekane maji kupwa maji kujaaaa 😂😂😂😂😂😂 napenta anavyopelekeshwa 😅😅😅

  • @HellenDeus
    @HellenDeus 5 часов назад

    Elizabeth sio kujua tu barii umewezaa na unajua kutufurahishaa ❤❤❤❤❤

  • @VeronicaKimath
    @VeronicaKimath 5 часов назад +2

    My favourite movie ❤

  • @Salama123-iw7hj
    @Salama123-iw7hj 56 минут назад

    Naomi maua mama ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @CharifaRachidi
    @CharifaRachidi 4 часа назад +1

    Mr Joseph si aache t kugombea uo uwenyekiti

  • @kurthummapande
    @kurthummapande 4 часа назад

    Lulu maua yakoo chukua ayooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neemamkambwahamisi4718
    @neemamkambwahamisi4718 3 часа назад

    Jamani Elizabeth na maswaliyake😂😂

  • @danielaugustino705
    @danielaugustino705 2 часа назад

    Bado tuuu😂😂😂😂😂pooo

  • @RoselyneKhavere
    @RoselyneKhavere 4 часа назад

    Naomi wamtfuta Joseph maneno hdi jasho limetoka😂😂😂jamani....ni kma Kuna Siri imejficha mahali 🤭🤭

  • @danielaugustino705
    @danielaugustino705 2 часа назад

    Yannnn bdooo tuoooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂poo

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 5 часов назад

    Number oneeeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hureeeeeeeeerre 😂😂😂😂😂😂

  • @ireneevaristo5552
    @ireneevaristo5552 2 часа назад

    Ila Naomi anawavuruga wababa watu wazima 😂😂😂😂😂😂

  • @Daniella249
    @Daniella249 4 часа назад

    Yani mr Joseph utapelekwa na naomi mpaka ukome leo muoe naomi kesho tena simtaki naomi 😂😂😂😂

  • @danielaugustino705
    @danielaugustino705 2 часа назад

    ❤❤❤❤❤

  • @dinatito-e1y
    @dinatito-e1y 4 часа назад +1

    Hapa tuuutututtuu...😂

  • @meckraudndelwa-jv8co
    @meckraudndelwa-jv8co 3 часа назад

    Joseph kaanza nae kutumia brn

  • @BimkubwaMohamed
    @BimkubwaMohamed 3 часа назад

    Kumbe Naomi ni mpelelezi

  • @EmmettOnike
    @EmmettOnike 3 часа назад

    Hii tamthilia nzur lakin kuna vitu haina uhalisia kabisaaa

  • @Salama123-iw7hj
    @Salama123-iw7hj 38 минут назад

    😂😂😂😂

  • @mamat1848
    @mamat1848 4 часа назад

    Naomi Naomi 😂😂😂

  • @julianamaganga4803
    @julianamaganga4803 2 часа назад

    Kwani Naomi anajivunia kitu gani?na mpaka Sasa mboni wanamchelewesha

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 21 минуту назад

      muv aijaisha utaelewa tu

  • @Daniella249
    @Daniella249 5 часов назад +1

    Kwani naomi anafanya kazi gani jamani 😂🙌 mpaka amefika kwenye kikao kama hiki

  • @pur-ple-girll-304
    @pur-ple-girll-304 4 часа назад +1

    Naomi huu a yuuu bai ze wei😅😅😅 unani komfuzi😅😅😅

    • @UpendoAyubu-b5r
      @UpendoAyubu-b5r 4 часа назад

      Mpelelezi aka afisa usalama

    • @pur-ple-girll-304
      @pur-ple-girll-304 3 часа назад

      @@UpendoAyubu-b5r bado sielew kwann anavurug mambo ana chafua hali ya hew 😅😅😅

  • @omanbahla1511
    @omanbahla1511 4 часа назад

    ❤❤

  • @allybin08
    @allybin08 5 часов назад

    ❤❤❤