Sasa kwa nn msiisusie mikopo ya hivyo?? Achaneni nayo Rizikeni na mnachokipata tamaa mbele mauti nyuma kuna mwengine kauwawa na hao Oya kibaha Acheni hiyo 60 000 kama unaipata kwa wiki kaiweke Bank ukifika huo mwaka utaona kimeingia kiasi gani Acheni.Aaaaaaaaaa.
Mlitumwa mkope kwanza riba haramu kilnachowafanya mwende kuchukuwa pesa zao ninini acheni mambo ya mikopo mumche mwenyezi mungu mpate riziki ya halali ndugu
Najiuliza oya ninani, bei ya gali ya IST showroom ni million 13 dar peke yke kuna hizo gari zaid ya 150, mikoa yte Tz tunapishana na hazo gari zimeandikwa OYA achilimbia mbali na huo mtaji alionao anaokopesha watu Tz nzima hongera sana Oya mmejipanga
Sio juu ya sheria ....kwnn ukope halaf usilipe...mbna wanaolipa hii kadhia hawakutani nayo....oya wamekuja kukomesha tabia za watanzania wanaokopa na hawapendi kulipa...huo muarobaini wa oya ndio tiba yenu.
Ila na sisi watanzania kama tunajuwa wanavurugu kwa nn twende hko mbona kuna taasisi nyingine awana vurugu matusi twenden hko tuwaachie pesa zao vijana hawana nidhamu hao
Usisikilize upande mmoja..sikiliza pande zote ndiyo unaweza jua nani mkorofi. Siku zote mtu akiwa anataka kukopa anakua rafiki yako ila kwenye kulipa wanakua watata sana. So hapo inabidi tusikilize pande zote tujue nani alikua mchokozi
kosa lako bibi Nimoja2 wewe Nimaskini ndio mana kituoni hujaskilizwa wameskilizwa maboss kwanza hata kama wewe Ndio uliopigwa lakini unawekwa ndani pole sana
Hawa Oya bado Tu wanasumbua jamani!! Serikali yetu ebu zifuatilieni hizi taasisi za mikopo kiukweli wananyanyasa Sana wananchi. Tulidhani Oya wamejifunza Kwa kile walichokifanya mlandizi bado Tu wanaendeleza ubabe!!!
Oya hawana shida...shida wanayo wakopaji kama unafnya kama mlivykubaliana hawana shida...tatzo la wamama wengi wanapenda mikopo kulipa shida...ss oya ni namba nyingine sio zile taasisi mlizozoea kukopa halaf hamlipi..
Hawa Kumbe bado wanafanya ujinga kwani bado hawajafungiwa tu? juzi tu wameuwa mkoa wa pwani na washafungwa maisha serikali wafungieni hawa ni shida tu.
Haya makampuni ya mikopo yachunguzwe vizuri yasiyofaa yafungwe na yanayoonekana yaendelee na shughuli zao ila mikataba ifanyiwe utaratibu na serikali iwe shahidi baina ya anaekopesha na mkopaji ili kuondoa manyanyaso yanayotokea
Oya anammiliki ni mamaa mmoja hv tena ukimuona uwez hata mzania ila yeye ndie anaetoa ruhusa ya vijana kufanya chochotee arafu akiulizwa anakana ni msenge sana yule mama hv watu wanavyokufa kweri nafsi ya mtu ni nzito sana tena unazurum nafsi sababu ya ela sometimes wanadai hata elfu50 ila wanatoa roho ya mtuu na wanabaka pia ni washenzii sanaa
Safi umewashauri vizur oya ni namba tasa ukikopa lazma ulipe kwa njia yeyote ...shda mama zetu wanachukulia poa pesa za watu...wanaishi kwa mazoea...xaxa namba waliyopiga safari hii wameyakanyaga
Oya sio watu wazuri wame uwa mtu MLA ndizi selikari haija mfungia tu huyo oya wanchi mnatakiwa kuwajua hao watu hiyo kampuni ya oya Ina uwa watu kabisa kwa hiyo mjiepushe na mikopo ya. Oya. Mtakufa wote
Kabla mtu hajakopa asome vizuri mikataba ya wakopeshaji. Hii mikopo inasaidia kwa sababu watu wengine hatuna sehemu nyingine ya kupata mikopo! Mikopo huwa haina urafiki wala hawaagalii sura ya mtu.
Shida ya WA Tanzania mnapenda Sana vya harakaharaka tafuta kidogo kidogo achaneni na mikopo ya kipumbavu itawaumiza
Poleni sana ndugu zetu wa tbr mungu atawalipia
Mmiliki wa Oya ana nguvu kuliko serikali
Kabisaaaaa
Acha aendelee kuwadunda si wanamuachia
Ni ya mtu mkubwa
Kwann hawafungiwi kila siku matukio wao tu jamani khaaa
Ndo na watu wajifunze sio kila mahali ni pakukopa
Kampuni inayowakopesha haoo bhas ni ngeni mjini huo mtaa ni 👐👐
Sasa kwa nn msiisusie mikopo ya hivyo?? Achaneni nayo Rizikeni na mnachokipata tamaa mbele mauti nyuma kuna mwengine kauwawa na hao Oya kibaha Acheni hiyo 60 000 kama unaipata kwa wiki kaiweke Bank ukifika huo mwaka utaona kimeingia kiasi gani Acheni.Aaaaaaaaaa.
Mlitumwa mkope kwanza riba haramu kilnachowafanya mwende kuchukuwa pesa zao ninini acheni mambo ya mikopo mumche mwenyezi mungu mpate riziki ya halali ndugu
Hamuogopi? jina lenyewe OYA
Watu Wana maisha magumu sio kupe da mikopo Hali ngumu mtaani
Duuu!Poleni sana
Duuh polen sana ndg zetu mikopo inchangamoto sana
Duh Polen Sana Ndugu Zangu
Daha mama sud pole sana maana naww kingekukuta kitu shoga angu pole sana baat chomba
Ogopa oya huko ifakara wanawasaka wanaowadai mpaka usiku wa saa sita, kampuni hii hatari sana,nendeni taasisi zingine oya noma
Najiuliza oya ninani, bei ya gali ya IST showroom ni million 13 dar peke yke kuna hizo gari zaid ya 150, mikoa yte Tz tunapishana na hazo gari zimeandikwa OYA achilimbia mbali na huo mtaji alionao anaokopesha watu Tz nzima hongera sana Oya mmejipanga
Ni mama mmoja asiekuwa na mume lishangaz limoja hv linanoti
Hicho kichwa cha habari kimenifanya nicheke😂. Sijui Ni ujinga unanisumbua🤣🤣🤣
Na serikali ya kisenge sana hii kampun italeta mazara makubwaa
Hiii kampuni ya Oya serikali inafikiria nini hii kampuni dhalimu haifai ifutwe na wafunguliwe mashtaka .
Mungu tusaidie jamii zetu zipate rizk nyingine za kujitegemea bila hii mikopo mtihan watu wanadhalilika maskin polen sn jamani
Kumamazenu watu wa oya wote nafamilia zenu
Hahahaha mnajouliza Oyaa ninani 😂😂
Duuh kampuni ya oya ipo juu ya sheria kabisa daah
Sio juu ya sheria ....kwnn ukope halaf usilipe...mbna wanaolipa hii kadhia hawakutani nayo....oya wamekuja kukomesha tabia za watanzania wanaokopa na hawapendi kulipa...huo muarobaini wa oya ndio tiba yenu.
Hiyooo kampuni wafungiwee kabisa mwashitaki
USIKOPE
Nyie chezeni vikoba oya wanaua huku dar waliua acheni jamani ee
Hapo niutaperi dharura wapi muwe mnalipa madeni mbona mnasaidiwa sanaa
Walimuuwa mkaka wawatu mbagara hawa watu siwakukopa 😢😢
Hii mikopo ya oya, kausha damu inawskondesha watu yani ni mkopo mbovu uongozi wao hauna heshima. Wangefungiwa nakumbuka walivyomuua yule kaka.
wanaokopa ndio tatzo. kwanini ukope kwao
Kabisa@@goromamussatvonline
@goromamussatvonline Mikopo naigopa hakuna mfano unaweza kopa ufanye biashara, biashara zenyewe hazitoki mwixho unaambulia kubebewa vitu na kupigwa.
YAANI HAWA JAMAA JINSI NINAVYOWACHUKIA NAANDAA MKAKATI NIWAKOPE ALAFU NITIMIZE JAMBO LANGU
😂😂😂
Unapatikana wapi man tufanye kitu
Hunifikii mimi
😂😂😂😂😂
Mimi niwa tbr nimecheka wenzio wanaogopa wewe unataka😭
Wasenge hao madogo
WANGEKUWA NA DHARAU UNGKOPA
Hao oya wameua mlandizi.hao
Umasikini mbaya sana
Oyaaa jamani
Ao oya wanamataizo kibaha wameua
Hivi ile kesi ya kibaha imeishaje? Serikali yetu sijui ikoje dah! Aise.
Hii kampun itakuwa ya viongozi wa Serikali ndio maana wajeuri sana😥😥
Ya Jmakamba hiyo
SIO jeuri UNATAKIWA ulipe
Kung'oa jino
Yaani oya balaaa tupu
Ila na sisi watanzania kama tunajuwa wanavurugu kwa nn twende hko mbona kuna taasisi nyingine awana vurugu matusi twenden hko tuwaachie pesa zao vijana hawana nidhamu hao
Oya inamilkiwa na mghanna
Duuuu
Chezeni vikoba achaneni na Oya wanawake mikopo mingi mnamiliki jamani punguzeni
Nanyinyi mnazingua mbona mnapoenda kukopa hamsemi mkiya bananga ndo mnalalamika acheni hizo,unajua kabisa kunashida halafu mnaenda
Vishoka wa Oya ni hatari
Oya Company Naomba kazi
Mumliki. Anatumia nguvu gani hivi serikali. Aipooo. Au atuna utetez
Acheni kukopa hao bangi zina sumbua sana
Mmmmh hiyo kampuni sio ya kukopa jamani
Wanapenda vurugu Sana wananchi kuwen makini san
Usisikilize upande mmoja..sikiliza pande zote ndiyo unaweza jua nani mkorofi. Siku zote mtu akiwa anataka kukopa anakua rafiki yako ila kwenye kulipa wanakua watata sana. So hapo inabidi tusikilize pande zote tujue nani alikua mchokozi
Daa
Jamani kumbe bado si waliua kibaha kwann serikalli haijawachukulia hatuq kuna shida gani wanashindina na serikali
Acheni kukopa oyaaa
Mikopo yote isioereweka tuiomb serkari iwafungue maana wanatudharirisha jaman
Jpm wakeup baba ujionee tanzania uliyoiacha,ukishaiona tutakuruhusu uende zako
Mmiliki wa hoya anaogopwa na serikali nzima ya Tanzania ndio maana anaheshimiwa na kusujudiw na kila kiongozi. Na wanafanya watakalo ndan ya nchi hii
Hao si wafungiwe tu
kosa lako bibi Nimoja2 wewe Nimaskini ndio mana kituoni hujaskilizwa wameskilizwa maboss kwanza hata kama wewe Ndio uliopigwa lakini unawekwa ndani pole sana
Wafungiwe au ni kampu ya kigogo juzi wamuuwa leo wanapiga watu.
Hao Oya wafungiwe tu. Mama samia na wenzio sitisheni hii mokopo ya kampun binafsi. Waondoke hasa hao Oya. Jamani jamani.
utaweza kukopesha pesha Tz nzuma
Kwani hawa OYA ni wakubwa kuliko Serikalu?
Iko siku watasema kiluga subirini watu watachoka.
Hawa Oya bado Tu wanasumbua jamani!! Serikali yetu ebu zifuatilieni hizi taasisi za mikopo kiukweli wananyanyasa Sana wananchi. Tulidhani Oya wamejifunza Kwa kile walichokifanya mlandizi bado Tu wanaendeleza ubabe!!!
Na wanawake tunapenda mikopo sana mpaka itutoe roho😢
Oya hawana shida...shida wanayo wakopaji kama unafnya kama mlivykubaliana hawana shida...tatzo la wamama wengi wanapenda mikopo kulipa shida...ss oya ni namba nyingine sio zile taasisi mlizozoea kukopa halaf hamlipi..
Usikope kitu ambacho huwez kulipa....wakina mama Acheni kukopa mlio wengi kulipa hamuwez
Kabisa nakuunga 🤝💯
Mngewauwa kabisa Hao mbwa ,walimuua kijana wa watu halafu wao wanalelewa tu , haya bwana acha tuone yajayo
Hilo nalo neno
Jaman kama inawanyanyasa mnakopa ya nn!? Muache kukopa
Hawa Kumbe bado wanafanya ujinga kwani bado hawajafungiwa tu? juzi tu wameuwa mkoa wa pwani na washafungwa maisha serikali wafungieni hawa ni shida tu.
Na nyinyi mnazidi kukopa vikundi vya wahuni
Haya makampuni ya mikopo yachunguzwe vizuri yasiyofaa yafungwe na yanayoonekana yaendelee na shughuli zao ila mikataba ifanyiwe utaratibu na serikali iwe shahidi baina ya anaekopesha na mkopaji ili kuondoa manyanyaso yanayotokea
Kama ujawahi kopesha unaweza kutetea ila Hawa watu ni wasumbudu lipa mkopo
Hao oya. Kenya walifanya kufukuzwa hawatakiwi walikuwa wanawapiga watu lakinitz bado viongozi wanawaachia
Hawa Oya Ni Vipi Mbona Matukio ya Kupiga yamezidi sasa
Si mungechoma hiyo gari yao
Mwenye oya atakuwa no kigogo matukio yote haya lakini wala hawachukuliwi hatua yoyote
Oya niwazulumati
Wanamatatizo gani hawa watu kudai kwa vipigo kwani nilazima wakopeshe
Shida wanalipa cod selikalin ndo maana selikali ipo kimya, hii nchi ukilipa cod2 fanya chochote , magufuli ndo aliwaweza ila uyu mama mtihan
Kwani hawa Oya bado wanapumua tu na huu upuuzi wao
Hivi hawa oya si ndio wale waliouwa pale mlandizi
Hivi hii microfinance bado ipo???
Oya anammiliki ni mamaa mmoja hv tena ukimuona uwez hata mzania ila yeye ndie anaetoa ruhusa ya vijana kufanya chochotee arafu akiulizwa anakana ni msenge sana yule mama hv watu wanavyokufa kweri nafsi ya mtu ni nzito sana tena unazurum nafsi sababu ya ela sometimes wanadai hata elfu50 ila wanatoa roho ya mtuu na wanabaka pia ni washenzii sanaa
Ili kapuni ni majasusi na magaidi,huko dar lilishampiga kijana wa watu hadi kufariki.Nani yupo nyuma yake unamtoa mtu hadi meno bila ngazi khaaaaa
Achen kukopakopa maden ni laana imeandikwa akopae anakuwa mtumwa wake amkopeshae....
Hela haina adabu kukopa harus kulipa matanga wabongo wakikopeshwa ndy ilivyo , nashauri kuwe na semina wapatiwe kabla ya kukopeshwa
Ili hizi kero msizitake msikope oya oya
Safi umewashauri vizur oya ni namba tasa ukikopa lazma ulipe kwa njia yeyote ...shda mama zetu wanachukulia poa pesa za watu...wanaishi kwa mazoea...xaxa namba waliyopiga safari hii wameyakanyaga
Wataacha 2
Tabia za kukopa halaf hawatak kulipa
Oya sio watu wazuri wame uwa mtu MLA ndizi selikari haija mfungia tu huyo oya wanchi mnatakiwa kuwajua hao watu hiyo kampuni ya oya Ina uwa watu kabisa kwa hiyo mjiepushe na mikopo ya. Oya. Mtakufa wote
Wanaende musoma waone
Kitu nilichogundua kuwa oya waongo na wababaifu na wanabadilisha maneno jamani khaaa
Police hawana mamlaka ya kushughulikia masuala ya madai
Hi I hawa SI ndio walifanya tukio kibaha la mauaji?
Kabla YA huyo mama kufikia kipengele cha kuwekwa rumande nilisema hawapokei cm wanakuwa wanamaslahi Yao.
Kwani hawa Oya wana mamlaka gani ktk nchi yetu?
Hii company ifungiwe inanyanyasa wananchi
Hawa sasa mbona wanazidi kwanini hii kampuni isifungiwe juzi tu wameua mtu sasa hvi tena duh masikini tunateseka jmn
Muache kukopo hiyo kampuni ya serikali watawauwa😅😅
Tunamuomba mh Samia awafungie kabisa hii kampuni walimuuwa yure kijana Dar sasahivi tukiona tugalitwao tunachoma moto
Hiyo ni kazi ya BOT cyo kazi ya Mh Rais
Acheni kuwakopa HAWA watu ni wanyama wametoka kuuwa mlandizi kesi IPO mahakanani
Kabla mtu hajakopa asome vizuri mikataba ya wakopeshaji. Hii mikopo inasaidia kwa sababu watu wengine hatuna sehemu nyingine ya kupata mikopo! Mikopo huwa haina urafiki wala hawaagalii sura ya mtu.
Yaan hao m nakopa afu naanz kulala na Banga
hao sasa kaxi
Hawa oya itakua ndio selikali yenyewe ila wakopaji nao wanawakosea mbwa kama hao unawapa hukumu ya mbwa mla kuku
Mbona hawa Oya ni wababe sana hawa si ndo wale waliyomuua yule mume wa mke mkopaji au?
Haya Oya wafungiwe kukopesha watu waleta matatizo kola mahali maeneo mengine wamesababisha vifo.