Diamond Platnumz is a marketing genius same way as Drake and Cristiano. You can't escape their effect and influence. My big 3 ( Ronaldo, Diamond, Drake) 🐐
@@JbabaMzikimnene Walikuepo lakn sio km alivyo yeye sasa, na hawakuupeleka mziki mbele km yeye ulivyoupeleka kama Yuko utuambie kwa facts maana kubisha bila facts sio kazi
nendeni mukamuambie mondi yeye bila kumshirikisha mtu akuna mziki wajinga nyinyi. ata ukienda kwa mganga kutambika jina langu watakujibu nisha zikwa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Harmontwo255 km tatizo kushilikisha mtu wasanii wangap nchin kwetu wameshilikisha wasanii na Bado wakashindwa kuuvusha mziki mbele na kufikia mafakio alionae so hii ni point pumba iliyojaa kawivu hv kwa mwanaume mwenzio
Yan daimond wanajalibu kumuonea wivu ndomana wanasema ooh amemlipa dancer wa naijeria kucheza nyimbo zake..iyo ni roho mbaya...daimond nihabari nyengine
Yaaan watanzania ni watu wa ajabu sana sjawahi ona wao badal wajivunie kuwa na msanii mkubwa kama Diamond lkn vyenye wanapoteza mda kumchukia utafikiri kuna kitu wanamdai aisee na sjajua kwann pamoja na kupgwa vitaa Diamond wakijarbu kuwainua wasanii wengne ili wawe top lakn bado wasanii ndo kwanza Diamond hateteleki na jina lake linabaki kua na ukubwa ule ule, yaaan ni hivi hata kama utafanyeje Diamond ni level za kimataifa hyo haitabadilika mpaka anakufa
Ila diamond ako na management strong sana just imagine fella mkubwa yuko pale, Babutale , sk mendezi izo namba ni atari afu na mondi mwenyewe anajuudi just imagine marioo ashikwe na babu tale na sk atakuwa wapi
Streams acha ziongee..komasava na shu combined hazifiki streams ata robo za city boys na unavailable...haijaribii..Mbona we mando ujidanganye live on camera?..weka screenshot za streams tuone tufanye kulinganisha ipi kubwa...shu kafanyiwa remix na nani wa nci gani,tudanganye tuskie....na useme uongezewe maokoto sababu ya uwongo mingi umelipwa uongee
Presenter unaongea fact but zinaonekana zipo kimahaba zaidi sababu hutupatii Details kwa mfano amefanikiwa kwenye promotion Davido,wizkid,Asake kwenye kipi only promotion na unasema ametoboa kimataifa how tuelezee vizuri
Diamond ndo msanii mkubwa hapa Africa mashariki kama unabisha leta statistics za kueleweka ili tuzichambue tuone ni msanii yupi hapa Africa mashariki atampiku Diamond, halafu watanzania tunapaswa tujifunze kubishana kwa facts na siyo matusi huo ni ushamba
Bro iyo bangi uwe unachanganya na maji hao wa Nigeria awana muda na promo tayari wao niwakubwa. wanajaza maukumbi Ulaya na Marekani uyo mwambinho wako awezi akapata watu 2000 kwenye show Ulaya na Marekani hata aweke kiingilio bure hawezi. endelea kumjaza ujinga wako, ila ukweli unaujuwa kuhusu wasanii wa Nigeria 🇳🇬😂😂😂. tena wewe unachangia kuaribu wasanii wa Tz maana unawasifia uongo mwingi
Wee Jama sometimes unazingua Diamond na Davido & wizikd na burn Mungu na Ardhi wale hawatumii nguvu nyingi tena wale hata wasipo promote ngoma zao Zinaenda tu hawa tumiii nguvu nyingi ku promote hata show zao lakini still wanajaza viwanja vikubwa hapa marecan
Kwani wewew hujui sababu, mm nakwambia Diamond angezaliwa Nigeria Wala Davido, burnaboy na huyo wizkid hawamzid chochote kwenye mziki na Wala hawana jipya au maajabu yoyote ispokua Hawa wanigeria wana Diaspora wengi mno huko nje ya Africa na idadi Yao n kubwa mno kwa mjibu wa takwimu zao za sensa lakini Hawa watu asilimia 80 wanatumia internet mwisho kabsa Nigeria wako karibu sana Ulaya ukiitizama ramani ya Dunia vzri, sisi tunapaswa kushuru hata hapa alipoufkisha mziki wetu Diamond tumuunge mkono kwa pamoja kijana azidi kupasua mana hata tukimchukia Africa nzima tayari ishatambua kipaji chake hakuna namna huyu mtu atadondoka kimziki na ashasema labada apange Mungu ila mwanadamu hawezi
Ninacho kupendea kaka unaongeaga ukweli unao uma unaochoma watu wagumu vichwa kuelewa ni vigumu wewe SEMA ukweli ili watu waelewe wabadilike ili tusonge mbele kaka na mungu aendelee kukufungulia upeo ili uendelee kuchambua vizuri
Sasa wasanii wa Nigérian wanajaza harena ulaya tena unasema Diamond kawazidi kwa promo inakuingia akilini? Wasanii wakubwa ushaona wanafanya promo ?? Wanajaza Arena huko Marekani huyo Diamond atajaza mshauri akue akajaza arena sio unamsifia sifa ambazo hazimpeleki mbele mshauri afanye korabo na Rihanna Rick Rose Davido Bana Boy wampandishe huko Marekani hiyo promo wanaitambia Tanzania basi mshauri mtu Ukweli
acha uchoko ww mziki mzulii unajizaa ww maku ume ona wasanii wamalekani Wana kata kata miuno we nichoko nn kila m2 Naina ya muziki wakee anavyoo upelelekaa makuwee
Diamond Platnumz is a marketing genius same way as Drake and Cristiano.
You can't escape their effect and influence.
My big 3 ( Ronaldo, Diamond, Drake)
🐐
Ukweli unauma , umenena ukweli broo fact kabisa , Diamond ni fire
Broo umongea point, ila ukimsifia simba kuna watu watakuchukia. Sema diamond ni king of Africa
Diamondi hana mapungufu yeyote kwenye mziki huu wa bongo fleva....hana yeyote maua kwake ameubadilisha kila kitu
Chawa 😮😮😮
Yeah bro that is true true true❤❤ you say true bro diamond is the best Star in Africa
Yupo sawa kabisa japokuwa kila mwanadamu yupo na mapungufu yake ila Simba amemaliza ata uku kenya tunatambuwa
Alafu mnamkubari kinoma, anajua uyoo simba
Afathali diamondi angezaliwa kenya naaamini wanaijer wangeisoma
Ahah
Du mwamba umefika mbali
Fact
Asante br unachambua kwa haki kwa kila msanii be blessed
kaka uko sawa hata kama ukiwaelewesha hawaelewi
Watu wanachuki sana
Weeeeeh ZOMBIE AUJUWIIIIII 🙌🏿🙌🏿🙌🏿MONDI ASHAVUKAMIPAKA KABISA UPO NEXT LEVEL 🙌🏿💯💯💯💯
Thank you. Hiyo ndio ttz la wabongo. Tunachuki badili tushikane. I love you bro uko fact . Tumekalia majuguu tu instead kazi
Brow 100%🇲🇿
Weweeeeeeee piga kelele kwa rais wa bongo fleva diamond Platnumz
Simbaaaaa anajua
Wambie ukeli wao hata wakikuchukia mpango wao
Simba akifa tz mziki imekufa kama kanumba.
Kweli
Kipindi anatoka tandale hakukua na wasani wew mtoto wa 2000
@@JbabaMzikimnene Walikuepo lakn sio km alivyo yeye sasa, na hawakuupeleka mziki mbele km yeye ulivyoupeleka kama Yuko utuambie kwa facts maana kubisha bila facts sio kazi
nendeni mukamuambie mondi yeye bila kumshirikisha mtu akuna mziki wajinga nyinyi. ata ukienda kwa mganga kutambika jina langu watakujibu nisha zikwa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Harmontwo255 km tatizo kushilikisha mtu wasanii wangap nchin kwetu wameshilikisha wasanii na Bado wakashindwa kuuvusha mziki mbele na kufikia mafakio alionae so hii ni point pumba iliyojaa kawivu hv kwa mwanaume mwenzio
Broo waelekeze hao watanzania
Uko vzr sana mshkaj nakukubal sana Simba nomaa Sanaa
Facts bro, hawasemagi kwasababu ya unafki na chuki plus jealous..
Daaa umeongea ukwelii kabisa
Asante studio!
Big up bro unajuwa sn kutuelewasha🇨🇩
Komasava 🔥🔥🔥ukli ntupu kutoka moz 🇲🇿
Bongo5 big respect.Tufike muda tumpe DIAMOND PLATNUMZ HESHIMA.DIAMOND PLATNUMZ NDYE MSANII PEKER HAPA EAST AFRICA MWENYE HADHI YA KIMATAIFA.
Yan daimond wanajalibu kumuonea wivu ndomana wanasema ooh amemlipa dancer wa naijeria kucheza nyimbo zake..iyo ni roho mbaya...daimond nihabari nyengine
Yes brother that's true ❤❤❤❤
Cool bro 😎
Kabxa brooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tutasubiri sana kupata presenter kama wewe brother... really appreciate boss
Tantee kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Wambiye kaka❤❤❤❤
Facts 🙏
That's facts 💯
Bro unaco ongeya leo salut sana
King wa promo ni Mr pimbi
Ni kwel diamond fund 🔥🔥
Forget about it broh.
kweli kaka allows you speak truth
Simba❤❤❤💐💐💐💐💐
Wewe Huweleweki Bhana Leo unasemahili Kesho unasema lile
Diamond platnumz is the goat of East Africa ❤👑🐐
Unasema ukweli comment ça va ni habari ya mujini from nipe liké zangu wa tanzania
Diamond anajituma sana sijawahikuona. Ndiyo maana anafanikiwa. His work ethics is on point
Ukweli usemwee you are light
Ukweli kabisa kaka
Koma sava
Big 2 mond, vanny
Ukwelimtupu.
Bro lisp eck umemarinza yanikwaushauriwako unasitahiri mauwayako
Na kubar Simba mkubwa xn mungu amzidishie
❤❤❤❤
We zombieeeeeeeeeeeeee 🇹🇿
🤝komasava NIPO NAWEWE BAMPA 2 BAMPA❤
🔥
❤❤❤ kaka , ni ukweli mtupu.
Simba Hamlipi mtu ila wanafanya kwa mapenzi na ukifanya clip ukiweka ngama ya simba inaenda tu
Chuki la Harmonize kwa Diamond...jameni hadi kuroga accounts za Wasanii wa WCB youtube...Harmonize analaana😭😭😭😭😭😭
Bro upewe mauwa yako🎉🎉🎉
Simba wamasimba dangote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli kabsa
Ukweli uyo
Umepewa hongooo
🦁🦁🙌🙌⚡
Simba lamasimba ooeeee
Yaaan watanzania ni watu wa ajabu sana sjawahi ona wao badal wajivunie kuwa na msanii mkubwa kama Diamond lkn vyenye wanapoteza mda kumchukia utafikiri kuna kitu wanamdai aisee na sjajua kwann pamoja na kupgwa vitaa Diamond wakijarbu kuwainua wasanii wengne ili wawe top lakn bado wasanii ndo kwanza Diamond hateteleki na jina lake linabaki kua na ukubwa ule ule, yaaan ni hivi hata kama utafanyeje Diamond ni level za kimataifa hyo haitabadilika mpaka anakufa
Unaongeya kweli mkubwa
Ila diamond ako na management strong sana just imagine fella mkubwa yuko pale, Babutale , sk mendezi izo namba ni atari afu na mondi mwenyewe anajuudi just imagine marioo ashikwe na babu tale na sk atakuwa wapi
Nikweli brother lakini kuwaelewesha watu wenye chuki ningumu mno......@Coment...ca'va.... 🔥🔥🔥🔥
Bro 🙏🙏🙏🙏🙏
Facts watatoa wapi bro😂😂😂
nakbar
Unaongea ukweli
simbaaaa
Bro upo vizur sana inabidi wapunguze kujikuza
Oyá mbona unaoguea ukueli Blaza asiyo kubali masho anna🇲🇿
Diamond ana hela mkuu hawa wasanii wengine choma mbaya
Streams acha ziongee..komasava na shu combined hazifiki streams ata robo za city boys na unavailable...haijaribii..Mbona we mando ujidanganye live on camera?..weka screenshot za streams tuone tufanye kulinganisha ipi kubwa...shu kafanyiwa remix na nani wa nci gani,tudanganye tuskie....na useme uongezewe maokoto sababu ya uwongo mingi umelipwa uongee
KWELI
Presenter unaongea fact but zinaonekana zipo kimahaba zaidi sababu hutupatii Details kwa mfano amefanikiwa kwenye promotion Davido,wizkid,Asake kwenye kipi only promotion na unasema ametoboa kimataifa how tuelezee vizuri
Umemaliza
Mpaka china ad india nmeshangaa
Katsha simba
✓✓✓✓✓✓✓✓❤❤❤❤
Tshwala bam by streams imepiga koma sava kumi nunge..mbona diamond hakuenda kuifanya remix yy
Awataki kutoa ela ya promo wanataka ichezwe kwa mapenzi eti inapendwa
Huo ujumbe wanaoutaka wakaufate kanisani na misikitini
Jipendekeze tyu lakini wcb upati ajila kavu ww
Akili finyu ni mzigo yaaan Diamond mpende missense ni msanii pekee ambae anaiwakilisha Africa mashariki hata uchukie uumie ukweli utabaki huo
Jamaa mjinga sana ww Acha kufananisha wanigeria na huo uchafu wenu
Elewa anachoongea mkuu nafkil hujaelewa
Ngoja tukunyamazie tu we pimbi
Cha ajabu Sasa haukuna hata alie like hii comment yako mpuuzi wewe. Mondi ndio number one in Africa
Kwetu. Arusha. Komasava. Had. Inakera kira saa
Huyu mwamba hatali mpeni mauwa yake
We chizi kweli we ku
Diamond ndo msanii mkubwa hapa Africa mashariki kama unabisha leta statistics za kueleweka ili tuzichambue tuone ni msanii yupi hapa Africa mashariki atampiku Diamond, halafu watanzania tunapaswa tujifunze kubishana kwa facts na siyo matusi huo ni ushamba
Tupena Faida ya Promo,,,maana haowasanii unaowataja hawafikii kimafanikio
Anaongea pumba
Bro iyo bangi uwe unachanganya na maji hao wa Nigeria awana muda na promo tayari wao niwakubwa. wanajaza maukumbi Ulaya na Marekani uyo mwambinho wako awezi akapata watu 2000 kwenye show Ulaya na Marekani hata aweke kiingilio bure hawezi. endelea kumjaza ujinga wako, ila ukweli unaujuwa kuhusu wasanii wa Nigeria 🇳🇬😂😂😂. tena wewe unachangia kuaribu wasanii wa Tz maana unawasifia uongo mwingi
Haters hawataisha hapa😝
Wee Jama sometimes unazingua Diamond na Davido & wizikd na burn Mungu na Ardhi wale hawatumii nguvu nyingi tena wale hata wasipo promote ngoma zao Zinaenda tu hawa tumiii nguvu nyingi ku promote hata show zao lakini still wanajaza viwanja vikubwa hapa marecan
Mbona Hilo tunalijua hata diamond alishawahi kusema kuwa sisi bongo lazima tutumie nguvu
Kwani wewew hujui sababu, mm nakwambia Diamond angezaliwa Nigeria Wala Davido, burnaboy na huyo wizkid hawamzid chochote kwenye mziki na Wala hawana jipya au maajabu yoyote ispokua Hawa wanigeria wana Diaspora wengi mno huko nje ya Africa na idadi Yao n kubwa mno kwa mjibu wa takwimu zao za sensa lakini Hawa watu asilimia 80 wanatumia internet mwisho kabsa Nigeria wako karibu sana Ulaya ukiitizama ramani ya Dunia vzri, sisi tunapaswa kushuru hata hapa alipoufkisha mziki wetu Diamond tumuunge mkono kwa pamoja kijana azidi kupasua mana hata tukimchukia Africa nzima tayari ishatambua kipaji chake hakuna namna huyu mtu atadondoka kimziki na ashasema labada apange Mungu ila mwanadamu hawezi
Kwani promo nini
Na promo Inafanya kitu kibaya kionekane kizuri
Mond akifa sijui kama tz itabebwa na nani ! Labda raisi ila kuhusu wasani watapoteya wote na inchi izimike baada ya pumzi ya mond kukata
Ninacho kupendea kaka unaongeaga ukweli unao uma unaochoma watu wagumu vichwa kuelewa ni vigumu wewe SEMA ukweli ili watu waelewe wabadilike ili tusonge mbele kaka na mungu aendelee kukufungulia upeo ili uendelee kuchambua vizuri
Sasa wasanii wa Nigérian wanajaza harena ulaya tena unasema Diamond kawazidi kwa promo inakuingia akilini? Wasanii wakubwa ushaona wanafanya promo ?? Wanajaza Arena huko Marekani huyo Diamond atajaza mshauri akue akajaza arena sio unamsifia sifa ambazo hazimpeleki mbele mshauri afanye korabo na Rihanna Rick Rose Davido Bana Boy wampandishe huko Marekani hiyo promo wanaitambia Tanzania basi mshauri mtu Ukweli
acha uchoko ww mziki mzulii unajizaa ww maku ume ona wasanii wamalekani Wana kata kata miuno we nichoko nn kila m2 Naina ya muziki wakee anavyoo upelelekaa makuwee
Sasa umesema wamarekani kwahiyo sisi ni wao bata wewe
Wematako kwer,, wanaija hukowalishavuka mzee wametuliakimy napesa wanayo mingi. Wepigakeleetu maana unatetea ugar
Sawa mnaijeria wetu 😂😂😂