RECAP: DIAMOND anambeba sana JUX Kimuziki, AJIONGEZE KIMATAIFA, Wasanii Expensive hawa Hapa Yupo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 115

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 15 дней назад +22

    Kaka mm nipo sawa na wewe ila kumbuka tu siku ukimsema vibaya diamond utajuwa nsjuwa kutukana🫵🤝 upo vzuri sana kiongozi

    • @bonniegtmagabe2009
      @bonniegtmagabe2009 14 дней назад

      Mbona huwa anamsema pia kma akizungua

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 11 дней назад

      Toka Bongo 5 ulivyoanza kuongea sense, nimekuwa shabiki yako.DIAMOND PLATNUMZ KUMLINGANISHA NA WASANII WA HAPA EAST AFRICA NI KUMTUKANA.WE WILL NEVER ACCEPT IT.

  • @Saintplamondon
    @Saintplamondon 15 дней назад +13

    sharout kwako bro ukweli mtupu kuusu diamond

  • @emceek.o
    @emceek.o 15 дней назад +14

    Brother wewe ni mutu wa maana kbs .. big up from 🇲🇼

  • @Min_Kassaa
    @Min_Kassaa 15 дней назад +11

    Other wise pokea salamu za amani kutoka uganda na Afrika kwa ujumla❤❤❤❤❤🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 15 дней назад +8

    Lazima thamani yake isemwe angali hai ,ukweli unauma , Asante sana broo

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 15 дней назад +13

    Diamond❤❤❤❤❤❤

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 15 дней назад +7

    Ukweli mtupu mwamba unajua sana big up kwko🙌

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m 15 дней назад +13

    El mando unaongeya point nzuri kabisa bro mungu akubariki

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 14 дней назад +4

    Diamond ukimponda unajimaliza mwenyew kweny kifikra huko nje wanamheshimu Sana

  • @RocherReonard-jn4ls
    @RocherReonard-jn4ls 15 дней назад +4

    1Mondi,2 Alikiba,3Navy,4Jux, 5Harm&Chui wengine pia wapo wanaonyesha gestures lkn bado kdg eg.Marioo,s2kizzy,Dimpoz kaka kazi poa saana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 15 дней назад +9

    Jux anamzidi mmakonde mbali kwa thamani ya msanii mmoja mmoja,achana na kelele za tranding za kichoko za akina marioo

    • @princekim99
      @princekim99 14 дней назад +3

      Una comment na ujala utaarisha vitungu

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 14 дней назад

      @@princekim99 we umekunya nyanya ngapi?

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 14 дней назад +1

      Umeongea lugha gani ww sijakuelewa

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 14 дней назад

      @@KassimAlly-xp4dz Zakinamarioooo ni kibantuba

  • @JackChildishKE
    @JackChildishKE 7 дней назад

    Diamond platnumz ameletea sifa Sana TZ, am from Kenya 🇰🇪 but kusema ukweli he's among top 5 best artist in Africa 🌍

  • @mutwarekalain5775
    @mutwarekalain5775 15 дней назад +5

    Unasema kweli diamond nimukubwa

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 11 дней назад

    Vrai tu est Sage vraiment mon vieux moi je te suit dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa.

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 14 дней назад +3

    Chukua maua yako kaka❤❤❤❤❤❤❤

  • @sundayyohana-qx3ys
    @sundayyohana-qx3ys 12 дней назад

    Uchawa wa bongo unazidi kukuwa.kila siku.😎

  • @FridayjosephMwase
    @FridayjosephMwase 15 дней назад +1

    To say the truth ,you know the game of music ,you facts

  • @user-qd6cs1hw8s
    @user-qd6cs1hw8s 14 дней назад +1

    Ume nyooka Sana kka,,Diamond ni Noma ukwell usemwe

  • @shaqirwayne6029
    @shaqirwayne6029 15 дней назад +1

    Facts sana brother upo sahii ❤

  • @MartinManyele
    @MartinManyele 15 дней назад +1

    We jamaa unaongeaga ukweli unaouma na unaochoma yaani nikama unaishi na wasanii daaah mungu akutangulie aendelee kukupa upeo zaidi uendelee kuchambua kama hivyo

  • @ShamanyekisimbaTravail
    @ShamanyekisimbaTravail 15 дней назад

    Nakubali kaka unaongea kweli bror🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin
    @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin 10 дней назад

    Yaani Konde ata ki pesa hajatajwa daah katajwa adi navikenzoo duuu. Hizi dami hizi za kibongo

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 15 дней назад +2

    True br

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 15 дней назад +1

    Shida n ela ataweza kuwekeza mamillion

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 14 дней назад

    JIFUNZE KUONGEA KWA UCHACHE UWELEWEKE KWA UKUBWA
    MFANO bro SKY ✓✓

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 14 дней назад +1

    Wabongo sisi ni shida

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 12 дней назад

    Pija Hesabu yako vizuri 53$ Elfu Shingapi

  • @dayanahally
    @dayanahally 14 дней назад

    Kweli brother uko sahii

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 13 дней назад

    Jamaa unaongea facts. Tatizo wabongo wanaushabiki maandazi😂😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 15 дней назад +1

    Kwa Jux kweli bro umempa za uso,ameridhika hajiongezi

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 14 дней назад

    Bro mungu vizuri tu sana

  • @AgnessOdero
    @AgnessOdero 14 дней назад

    Fact my brother,, ,, 💥💯

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 15 дней назад +1

    Asante sana mchambuzi wa mziki

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 15 дней назад +4

    Namba 1 Mondi,2 Chui,3 Jux,4 kiba,5 Zuchu

    • @user-ei9rc7pb9c
      @user-ei9rc7pb9c 15 дней назад

      We unagongw kwamb konde yupo chin ya chui na zuchu na jux Acha usenge

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 15 дней назад +1

    Umesema kweli broo

  • @BazozMasudi
    @BazozMasudi 15 дней назад +1

    Bro esabu viziri hayo magari ya mond utakua umesau hiyo benz

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en 14 дней назад +1

    madini Sana bro❤❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 14 дней назад

    Ni kwel jux chukuwa point 🙏🙏🙏

  • @user-xr4dp1cs5b
    @user-xr4dp1cs5b 14 дней назад

    Simba banaaaaa nmkali bwana hamuwezi shindanda naeeee

  • @MikeFuraha-rw6dr
    @MikeFuraha-rw6dr 15 дней назад +1

    Gari c Assert bro

  • @aselemiekalist4355
    @aselemiekalist4355 15 дней назад

    Big up brother

  • @allykwaya
    @allykwaya 15 дней назад +1

    Ukweli lazima usemwe.

  • @patrickkaite3822
    @patrickkaite3822 14 дней назад +1

    Kama inauma chomowa

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 13 дней назад

    Halaf mwijaku anasema yeye anaishi expensive life😂😂😂

  • @saidekilassaide5686
    @saidekilassaide5686 15 дней назад +3

    ❤❤❤❤❤

  • @user-md3ig9os1q
    @user-md3ig9os1q 15 дней назад +1

    Mwanangu wewe ni kichwa sana

  • @DiorMabaril-zp1xl
    @DiorMabaril-zp1xl 13 дней назад

    sasa kama ukimtusi diamond planumz ndio unajulikana basi fanyahivo sikuhizi watu tunapata maokoto kwakumtaja

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 15 дней назад +1

    Kiba hawezi kumfikia Rayvvany acha kutuongopea. Chui ana kila kitu ambacho Mondi anacho kasoro hela tu

  • @user-wi2sk8uj5s
    @user-wi2sk8uj5s 14 дней назад

    Roho mbayaa

  • @byamukamainnocent5473
    @byamukamainnocent5473 14 дней назад

    Wewe ndiyo mwandishi mwenye ukweri Tanzania

  • @RocherReonard-jn4ls
    @RocherReonard-jn4ls 15 дней назад

    Kaka naomba liweke sawa hili trace jux alikuwa independent na stage ake mwenyewe sema walikutana lkn pia huwez jua wot transpired before

  • @AdelaStutus
    @AdelaStutus 15 дней назад

    Fact

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 9 дней назад

    Ray ka perform kwenye stage jali kuliko izo na anamanikio ya BET sasa unasemaje hakuna msani Ana nusu ya mafanikio ya diamond? Wewe shabiki tu wala sio muandishi.

  • @princekim99
    @princekim99 14 дней назад +1

    Una comment na ujala 😁😁😁

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw 15 дней назад +1

    huy jamaa namfatilia kinom an 😂😂😂

  • @christophekyandaza1113
    @christophekyandaza1113 14 дней назад

    ❤❤❤

  • @IbrahDeDonny-lv2lo
    @IbrahDeDonny-lv2lo 14 дней назад

    Sisi Wamakonde tucomment wap xaxa??😢

  • @sakaraboy8951
    @sakaraboy8951 15 дней назад +1

    Sijawah kukupinga Brother.... Unaongeaga ukwel 100% kuliko watangazaj wote wa entertainment industry Tz.

  • @iambaizo
    @iambaizo 14 дней назад +1

    Kumbe ukinunua gari unaambiwa kwanini umenunua?

  • @user-ju4je6ov2k
    @user-ju4je6ov2k 15 дней назад

    Kwel br

  • @MBONDOGANG
    @MBONDOGANG 11 дней назад

    naww umisha kuwa chawa

  • @user-cy2kb4xf1y
    @user-cy2kb4xf1y 12 дней назад

    kwer kaka unaongea ukwer simbaa ni mwamba kinyamaaa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 13 дней назад

    Unatafuta kazi wasaf

  • @ginimbifamily3995
    @ginimbifamily3995 15 дней назад

    Ile gari yake sio ya 150M

  • @thedanielpodcast1
    @thedanielpodcast1 15 дней назад

    El mando Brother kuna wewe afu kuna Jamal Professor nyie watu mko vizuri sana
    Naelewa this issues za kuendesha vipindi vya namna hii zina kazi sana from gathering infos to production yake ni ngumu plus huenda wengine wasanij wakachukia cos i kila mtu anapenda kuambiwa uhalisia wake… but brother all in all tupo watu huku mtaani tunasikiliza episodes zakona tunazipenda na of cos unatufungua zaidi kujua what poppin kwenye Muziki wetu
    Mungu akutunze brother, utupe maarifa zaidi
    I rest my case

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 14 дней назад

    Juma anatakiwa apambane atoe ngoma na mondo..na msanii..1 mkubwa kama davido...itaingiza pesa

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 15 дней назад

    Acjeni wivu na mahari ya mtu anyinyi nunueni yenu pesa zakwakwe

  • @Min_Kassaa
    @Min_Kassaa 15 дней назад

    Kaka mbona hauchambui mziki wa uganda wakati nayo ipo afrika mashariki juzi bobi WIne kaijaza o2 arena,...mpaka sasa hujasema kwa nini?

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 14 дней назад

    Huyu nae mm naona yuko side flani mpuuzi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 14 дней назад

    Bro ukisema Africa mashariki unakosea kuna beb cool,bobi wine camelion na kina Raga dee yani wana magari ya ajabu na mamantion ya ajabu sn tatizo le2 sisi wabongo ha2angali sn wasani wa Uganda ila wana pesa sn sn

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz6458 15 дней назад +4

    Wewe mshenzi sana ukisema Africa mashariki unawaacha wapi kina Davidoo kina burnaboy wizikid wanamiliki Ndege binafsi alafu wewe unasema diamond Africa masharki.ubaya yako unajifanyanga unajua sana wakati mwegine.ugesema diamond ni msani tajiri East Africa not Africa😊

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 15 дней назад +1

      Mwanangu ujamaa chawa wa mond

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 15 дней назад +4

      🤣🤣🤣🤣🤣 Duuu!! Chuki kweli mbaya Nigeria isha kuwa Africa mashariki mara hii!? Futa sms Yako dada wasije wakaona Wengi, Nigeria haiko Africa mashariki

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 15 дней назад +1

      @@chrispinmkanda6097 😂😂

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 15 дней назад

      😂😂😂😂​@@chrispinmkanda6097

    • @allykwaya
      @allykwaya 15 дней назад

      Afrika mashariki, sio Afrika wewe huelewi

  • @gabrielmegangm7967
    @gabrielmegangm7967 15 дней назад

    Wewe kazi kumponda jeshi uko mbinafsi sana Auna maana kbx

    • @peterreuben7510
      @peterreuben7510 15 дней назад

      Sasa katajwa mtu hapo😊😊 !!! ww ndo unachuki sasa

  • @user-hi3rr4eg2r
    @user-hi3rr4eg2r 15 дней назад

    Akuna msani wa Tanzania anafikiya msani wa DR congo kukila kitu

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 14 дней назад

    Na kwanini uwa wanaomba wachangiwe wanapopatwa na matatizo

  • @user-hi3rr4eg2r
    @user-hi3rr4eg2r 15 дней назад

    Apo Tanzania apana DRC CONGO tuko na fally ipupa na koffi olomede na hiro wasani wa Congo ao

  • @MichaelAlimasi-jz1wi
    @MichaelAlimasi-jz1wi 15 дней назад

    Kweli mondy msanii mkubwa,ila wa Nigeria wako mbali kinoma. Yani ata rema tuu mondy hamfikiye kwa sasa bro. Na Jux tatizo Lake anabebwa sana na mondy

    • @Lilmbunah
      @Lilmbunah 15 дней назад +1

      Sio kipesa labda kwa jina mana rema sio independent artist yuko chin ya label

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 15 дней назад

    Yani uyu mtangazaji niwaovyo sana kazi kumsifia tu mondi uongo. kwanza sijui hata kama anayo elemu ya utangazaji eti mondi anapambana nawa Nigeria 🇳🇬 😂😂😂 sikia nikuambie uyo Mondi wako hawezi akafanya show Ulaya, Marekani akapata watu 2000 hawezi akawapata yani ata kiingilio kiwe bure

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay6566 15 дней назад

    Endelea kumsifia baba ako Diamond utuachie Harmo wetu

  • @husseinngala7503
    @husseinngala7503 15 дней назад

    Huyu jamaa mshamba sana eti east Africa diamond enda ufanye utafiti Tena ww

  • @memoryplus8046
    @memoryplus8046 15 дней назад +1

    Wew unajifichaga sana nyuma ya pazia ila tunakujua sana wew ni shabiki wa Mondi , ukifikiaga kumsifia Mondi unasifu kweli mpk unapitiriza , alafu ukizungumzia kusifu wengine lazma mwisho uwasagie kunguni, fala sana wew

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 15 дней назад +1

    Acha ujinga Mondi anafanyikio gani? Msani anasishi na gari miaka kumi bila kubadilisha? Wewe endelea kumjaza kichwa. Kwani ulishakaona hizo pesa wazomulipaka kwenye show? Mtangazaji waovyo wewe kbs

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 15 дней назад +2

    Jux chawa mond nawe mtagazaji wa ovyo sana

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 14 дней назад

    Unampango kazi kusifu na kulau

  • @memoryplus8046
    @memoryplus8046 15 дней назад

    Kwani uyo Mondi yey hataki iyo connection na hao wakina Davido? Acha kumfanya waajabu saana wakati kashaisha

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 15 дней назад +2

      Ww acha ubwege mwanamume mzima kumponda mume mwenzako ambaye humgusi Kwa chochote hta ukifa ukirudi huwezi mfikia tafuta Hela acha shobo

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 14 дней назад

      Choko kweli wewe sasa Mondi atafute connecyion gani na hao kina davido sika anavyomuona zuchu tu ndio anavyowaona hao wanigeria

  • @damagesinger8971
    @damagesinger8971 14 дней назад

    Wewe mwenyewe ni mbwa onaongea unafki

  • @user-ht6ms5jz3t
    @user-ht6ms5jz3t 14 дней назад

    Unaongea unazi broo mbona zuchu hajatoa hit song kuifunika sukari acha usenge broo