RECAP: DIAMOND anambeba sana JUX Kimuziki, AJIONGEZE KIMATAIFA, Wasanii Expensive hawa Hapa Yupo
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Kaka mm nipo sawa na wewe ila kumbuka tu siku ukimsema vibaya diamond utajuwa nsjuwa kutukana🫵🤝 upo vzuri sana kiongozi
Mbona huwa anamsema pia kma akizungua
Toka Bongo 5 ulivyoanza kuongea sense, nimekuwa shabiki yako.DIAMOND PLATNUMZ KUMLINGANISHA NA WASANII WA HAPA EAST AFRICA NI KUMTUKANA.WE WILL NEVER ACCEPT IT.
sharout kwako bro ukweli mtupu kuusu diamond
Brother wewe ni mutu wa maana kbs .. big up from 🇲🇼
Other wise pokea salamu za amani kutoka uganda na Afrika kwa ujumla❤❤❤❤❤🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Lazima thamani yake isemwe angali hai ,ukweli unauma , Asante sana broo
Diamond❤❤❤❤❤❤
Ukweli mtupu mwamba unajua sana big up kwko🙌
El mando unaongeya point nzuri kabisa bro mungu akubariki
Diamond ukimponda unajimaliza mwenyew kweny kifikra huko nje wanamheshimu Sana
1Mondi,2 Alikiba,3Navy,4Jux, 5Harm&Chui wengine pia wapo wanaonyesha gestures lkn bado kdg eg.Marioo,s2kizzy,Dimpoz kaka kazi poa saana
Jux anamzidi mmakonde mbali kwa thamani ya msanii mmoja mmoja,achana na kelele za tranding za kichoko za akina marioo
Una comment na ujala utaarisha vitungu
@@princekim99 we umekunya nyanya ngapi?
Umeongea lugha gani ww sijakuelewa
@@KassimAlly-xp4dz Zakinamarioooo ni kibantuba
Diamond platnumz ameletea sifa Sana TZ, am from Kenya 🇰🇪 but kusema ukweli he's among top 5 best artist in Africa 🌍
Unasema kweli diamond nimukubwa
Vrai tu est Sage vraiment mon vieux moi je te suit dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa.
Chukua maua yako kaka❤❤❤❤❤❤❤
Uchawa wa bongo unazidi kukuwa.kila siku.😎
To say the truth ,you know the game of music ,you facts
Ume nyooka Sana kka,,Diamond ni Noma ukwell usemwe
Facts sana brother upo sahii ❤
We jamaa unaongeaga ukweli unaouma na unaochoma yaani nikama unaishi na wasanii daaah mungu akutangulie aendelee kukupa upeo zaidi uendelee kuchambua kama hivyo
Nakubali kaka unaongea kweli bror🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💪💪
Yaani Konde ata ki pesa hajatajwa daah katajwa adi navikenzoo duuu. Hizi dami hizi za kibongo
True br
Shida n ela ataweza kuwekeza mamillion
JIFUNZE KUONGEA KWA UCHACHE UWELEWEKE KWA UKUBWA
MFANO bro SKY ✓✓
Wabongo sisi ni shida
Pija Hesabu yako vizuri 53$ Elfu Shingapi
Kweli brother uko sahii
Jamaa unaongea facts. Tatizo wabongo wanaushabiki maandazi😂😂
Kwa Jux kweli bro umempa za uso,ameridhika hajiongezi
Bro mungu vizuri tu sana
Fact my brother,, ,, 💥💯
Asante sana mchambuzi wa mziki
Namba 1 Mondi,2 Chui,3 Jux,4 kiba,5 Zuchu
We unagongw kwamb konde yupo chin ya chui na zuchu na jux Acha usenge
Umesema kweli broo
Bro esabu viziri hayo magari ya mond utakua umesau hiyo benz
madini Sana bro❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Ni kwel jux chukuwa point 🙏🙏🙏
Simba banaaaaa nmkali bwana hamuwezi shindanda naeeee
Gari c Assert bro
Big up brother
Ukweli lazima usemwe.
Kama inauma chomowa
Halaf mwijaku anasema yeye anaishi expensive life😂😂😂
❤❤❤❤❤
Mwanangu wewe ni kichwa sana
sasa kama ukimtusi diamond planumz ndio unajulikana basi fanyahivo sikuhizi watu tunapata maokoto kwakumtaja
Kiba hawezi kumfikia Rayvvany acha kutuongopea. Chui ana kila kitu ambacho Mondi anacho kasoro hela tu
Roho mbayaa
Wewe ndiyo mwandishi mwenye ukweri Tanzania
Kaka naomba liweke sawa hili trace jux alikuwa independent na stage ake mwenyewe sema walikutana lkn pia huwez jua wot transpired before
Fact
Ray ka perform kwenye stage jali kuliko izo na anamanikio ya BET sasa unasemaje hakuna msani Ana nusu ya mafanikio ya diamond? Wewe shabiki tu wala sio muandishi.
Una comment na ujala 😁😁😁
huy jamaa namfatilia kinom an 😂😂😂
❤❤❤
Sisi Wamakonde tucomment wap xaxa??😢
Sijawah kukupinga Brother.... Unaongeaga ukwel 100% kuliko watangazaj wote wa entertainment industry Tz.
❤
Kumbe ukinunua gari unaambiwa kwanini umenunua?
Kwel br
naww umisha kuwa chawa
kwer kaka unaongea ukwer simbaa ni mwamba kinyamaaa
Unatafuta kazi wasaf
Ile gari yake sio ya 150M
El mando Brother kuna wewe afu kuna Jamal Professor nyie watu mko vizuri sana
Naelewa this issues za kuendesha vipindi vya namna hii zina kazi sana from gathering infos to production yake ni ngumu plus huenda wengine wasanij wakachukia cos i kila mtu anapenda kuambiwa uhalisia wake… but brother all in all tupo watu huku mtaani tunasikiliza episodes zakona tunazipenda na of cos unatufungua zaidi kujua what poppin kwenye Muziki wetu
Mungu akutunze brother, utupe maarifa zaidi
I rest my case
Juma anatakiwa apambane atoe ngoma na mondo..na msanii..1 mkubwa kama davido...itaingiza pesa
Acjeni wivu na mahari ya mtu anyinyi nunueni yenu pesa zakwakwe
Kaka mbona hauchambui mziki wa uganda wakati nayo ipo afrika mashariki juzi bobi WIne kaijaza o2 arena,...mpaka sasa hujasema kwa nini?
Huyu nae mm naona yuko side flani mpuuzi
Ulitaka amuongelee nani ebu tuambie
Bro ukisema Africa mashariki unakosea kuna beb cool,bobi wine camelion na kina Raga dee yani wana magari ya ajabu na mamantion ya ajabu sn tatizo le2 sisi wabongo ha2angali sn wasani wa Uganda ila wana pesa sn sn
Wewe mshenzi sana ukisema Africa mashariki unawaacha wapi kina Davidoo kina burnaboy wizikid wanamiliki Ndege binafsi alafu wewe unasema diamond Africa masharki.ubaya yako unajifanyanga unajua sana wakati mwegine.ugesema diamond ni msani tajiri East Africa not Africa😊
Mwanangu ujamaa chawa wa mond
🤣🤣🤣🤣🤣 Duuu!! Chuki kweli mbaya Nigeria isha kuwa Africa mashariki mara hii!? Futa sms Yako dada wasije wakaona Wengi, Nigeria haiko Africa mashariki
@@chrispinmkanda6097 😂😂
😂😂😂😂@@chrispinmkanda6097
Afrika mashariki, sio Afrika wewe huelewi
Wewe kazi kumponda jeshi uko mbinafsi sana Auna maana kbx
Sasa katajwa mtu hapo😊😊 !!! ww ndo unachuki sasa
Akuna msani wa Tanzania anafikiya msani wa DR congo kukila kitu
Na kwanini uwa wanaomba wachangiwe wanapopatwa na matatizo
Wanaomba wachangiwe wasiokuwa na hela
Apo Tanzania apana DRC CONGO tuko na fally ipupa na koffi olomede na hiro wasani wa Congo ao
Kweli mondy msanii mkubwa,ila wa Nigeria wako mbali kinoma. Yani ata rema tuu mondy hamfikiye kwa sasa bro. Na Jux tatizo Lake anabebwa sana na mondy
Sio kipesa labda kwa jina mana rema sio independent artist yuko chin ya label
Yani uyu mtangazaji niwaovyo sana kazi kumsifia tu mondi uongo. kwanza sijui hata kama anayo elemu ya utangazaji eti mondi anapambana nawa Nigeria 🇳🇬 😂😂😂 sikia nikuambie uyo Mondi wako hawezi akafanya show Ulaya, Marekani akapata watu 2000 hawezi akawapata yani ata kiingilio kiwe bure
Endelea kumsifia baba ako Diamond utuachie Harmo wetu
Huyu jamaa mshamba sana eti east Africa diamond enda ufanye utafiti Tena ww
Wew unajifichaga sana nyuma ya pazia ila tunakujua sana wew ni shabiki wa Mondi , ukifikiaga kumsifia Mondi unasifu kweli mpk unapitiriza , alafu ukizungumzia kusifu wengine lazma mwisho uwasagie kunguni, fala sana wew
Umeongea fact
Shida ZAKO hizo
Kunguru wewe
Acha ujinga Mondi anafanyikio gani? Msani anasishi na gari miaka kumi bila kubadilisha? Wewe endelea kumjaza kichwa. Kwani ulishakaona hizo pesa wazomulipaka kwenye show? Mtangazaji waovyo wewe kbs
Jux chawa mond nawe mtagazaji wa ovyo sana
Unampango kazi kusifu na kulau
Kwani uyo Mondi yey hataki iyo connection na hao wakina Davido? Acha kumfanya waajabu saana wakati kashaisha
Ww acha ubwege mwanamume mzima kumponda mume mwenzako ambaye humgusi Kwa chochote hta ukifa ukirudi huwezi mfikia tafuta Hela acha shobo
Choko kweli wewe sasa Mondi atafute connecyion gani na hao kina davido sika anavyomuona zuchu tu ndio anavyowaona hao wanigeria
Wewe mwenyewe ni mbwa onaongea unafki
Unaongea unazi broo mbona zuchu hajatoa hit song kuifunika sukari acha usenge broo