Toyota KLUGER vs HARRIER ( MFANANO na UTOFAUTI ) - Mr SABYY
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Usibonyeze Link hii chini 👇👇👇 kama huna ROHO NGUMU juu ya MAGARI ....👇👇👇
/ @mrsabyy
Ndugu mtazamaji leo tumekuletea UTOFAUTI na MFANANO wa Toyota KLUGER na Toyota HARRIER..., jifunze na mwambie mwenzio ajifunze ili darasa huru liwafikie watu wengi. ENJOY
Huduma zangu...
1: Kuagiziwa GARI JAPAN/UK/DUBAI
2: kutolewa Gari yako Bandarini ( Clearing & Forwarding ) kwa wateja waliokwisha nunua Gari
3: Msaada wa kutafutiwa Gari mtandaoni na kupigiwa hesabu ni BURE
4: Msaada wa kuagiziwa bidhaa mbalimbali nje ya nchi
5: Kusafirishiwa Gari yako popote ndani ya Tanzania
Tumia mawasiliano haya chini.
NB: Tunafanya kazi na watu binafsi /Makampuni / Taasisi zote
--------------------------------------
Social media handle
Instagram: / mr_sabyy
Whatsapp link : wa.me/message/...
☎️DM/Piga/Text 0653953900 /
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
🏢Company: Mofaz movers Ltd
📍Location: PSSSF HOUSE, Ghorofa ya 9, Wing A-Room 4, Samora Avenue St.
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
All copyrights reserved under CAIRO PROMOTIONS © 2022
--------------
#MrSabyy #Clearing_and_Forwarding #ToyotaKLUGER #ToyotaHARRIER
#Clearing_And_Forwarding
#Clearing_And_Forwarding_Agent
Kwa unayehitaji KUAGIZIWA GARI nje ya nchi au unayetaka KUNUNUA GARI YA MKONONI ( Iliyotumika hapa hapa Tz ) please tumia no hii Call/Text/WhatsApp +255653953900
Pia usiache ku subscribe na kutuFollow
Instagram@mr_sabyy
Twitter@mr_sabyy
Asante
Asante kwa maelezo mazuri, ila umesahau kitu,
Hiyo Kluger ina siti 7. Siti 2 za nyuma ni za kukunja na kukunjua, hapo zimekunjwa ndo maana inaonekana mikanda mi2 ya abiria.
Asante sana unayosema ni kweli, mda tunafanya kipindi nilisahau . Ubarikiwe sana na usiache kuShare episode hizi kwa wengine 🙏🏻
Mkuu iyo kluger viti vya nyuma vipo apo nazani hujapaona vinapokaa , unatakiwa kuinua icho kama kitasa Apo nyuma Kwa chini
Yes boss vilikuwepo ila hatukuchunguza mda wa shooting. Thanks for your comment, ukihitaji kuagiza/kununua gari karibu kwenye whatsapp yetu 0653953900 . Bless 🎉🎉
Umetudanganya broo kwenye iyo kluger siti ipo ila ushamba hujaifungua ipo imewekwa loki
😃😄 Si unajua ata mimi hua nakosea, Asante kwa kutulekebisha, usiache ku subscribe na Mungu akubariki.
@@MrSABYY poa poa kaka
Naongezea tofauti nyengine Harrier ina vent ya A/C nyuma Kluger haina,safi sana kaka kwa kutuelimisha
Asante sana kwa comment yako, usiache ku subscribe na unapokua wewe au wenzako mnahitaji kuagiza gari au kununua ya mkononi basi tutafute.
Also kluger has
Kluger is better for bussiness man ,harrier is better for show bizz
Thanks boss kwa comment yako
Samahani bei inalingana
Ongera kwa maelezo mazuri sema apo kwenye Toyota kluger umekosea kidogo kwenye seat za nyuma mbili sio kwamba hazipo kaka, zipo unavuta zinaamka pengine haukujua ilo ukasema hazipo
Ni kweli yuko sahihi, sio kluger ina siti ya nyuma...nyingine hazina
Bei nishingapi
Habar nitumie namba zenu tuwa siliane nataka gari
0653953900 Call/Text/Whatsapp
Mbona unaipendelea sana harrier
Hapana boss ni mawazo yangu tu, unaweza toa na yako pia.
Thanks for lesson bro
Asante, usiache ku subscribe
Kazi nziri
Asante, usiache ku subscribe
Cc pamoja na bei iko sawa?
Cc zote ziko sawa ila bei ziko tofauti
Bei hamjataja utofauti
@@MrSABYY utofat up wabei
Bei ziko tofauti. Harrier kuanzia 27M na Kluger kuanzia 24M .....
Somo zuri lkn vp katika utulivu barabarani ni ipi ni bora hasa katika mwendo mkali?
Zote ziko sawa kabisa katika mwendo mkali na wa kawaida.... Kwa maswali zaidi klb WhatsApp 0653953900
@@MrSABYY ulaji wa mafuta na bei unalingana au
@@beatuskulwa2912 Toyota Kluger ina range 24M - 27M na Harrier 27M - 33M... ukaji wa mafuta uko sawa. Kwa maswali zaidi karibu WhatsApp 0653953900 . Ubarikiwe, pia usiache kushare link na wenzio. 🙏🏻
Kluger