Kwa unayehitaji KUAGIZIWA GARI nje ya nchi au unayetaka KUNUNUA GARI YA MKONONI ( Iliyotumika hapa hapa Tz ) please tumia no hii Call/Text/WhatsApp +255653953900 Pia usiache ku subscribe na kutuFollow Instagram@mr_sabyy Twitter@mr_sabyy Asante
Yes boss vilikuwepo ila hatukuchunguza mda wa shooting. Thanks for your comment, ukihitaji kuagiza/kununua gari karibu kwenye whatsapp yetu 0653953900 . Bless 🎉🎉
Asante kwa maelezo mazuri, ila umesahau kitu, Hiyo Kluger ina siti 7. Siti 2 za nyuma ni za kukunja na kukunjua, hapo zimekunjwa ndo maana inaonekana mikanda mi2 ya abiria.
Ongera kwa maelezo mazuri sema apo kwenye Toyota kluger umekosea kidogo kwenye seat za nyuma mbili sio kwamba hazipo kaka, zipo unavuta zinaamka pengine haukujua ilo ukasema hazipo
@@beatuskulwa2912 Toyota Kluger ina range 24M - 27M na Harrier 27M - 33M... ukaji wa mafuta uko sawa. Kwa maswali zaidi karibu WhatsApp 0653953900 . Ubarikiwe, pia usiache kushare link na wenzio. 🙏🏻
Kwa unayehitaji KUAGIZIWA GARI nje ya nchi au unayetaka KUNUNUA GARI YA MKONONI ( Iliyotumika hapa hapa Tz ) please tumia no hii Call/Text/WhatsApp +255653953900
Pia usiache ku subscribe na kutuFollow
Instagram@mr_sabyy
Twitter@mr_sabyy
Asante
Thanks for lesson bro
Asante, usiache ku subscribe
Naongezea tofauti nyengine Harrier ina vent ya A/C nyuma Kluger haina,safi sana kaka kwa kutuelimisha
Asante sana kwa comment yako, usiache ku subscribe na unapokua wewe au wenzako mnahitaji kuagiza gari au kununua ya mkononi basi tutafute.
Also kluger has
Mkuu iyo kluger viti vya nyuma vipo apo nazani hujapaona vinapokaa , unatakiwa kuinua icho kama kitasa Apo nyuma Kwa chini
Yes boss vilikuwepo ila hatukuchunguza mda wa shooting. Thanks for your comment, ukihitaji kuagiza/kununua gari karibu kwenye whatsapp yetu 0653953900 . Bless 🎉🎉
Kazi nziri
Asante, usiache ku subscribe
Kluger is better for bussiness man ,harrier is better for show bizz
Thanks boss kwa comment yako
Samahani bei inalingana
Mbona unaipendelea sana harrier
Hapana boss ni mawazo yangu tu, unaweza toa na yako pia.
Asante kwa maelezo mazuri, ila umesahau kitu,
Hiyo Kluger ina siti 7. Siti 2 za nyuma ni za kukunja na kukunjua, hapo zimekunjwa ndo maana inaonekana mikanda mi2 ya abiria.
Asante sana unayosema ni kweli, mda tunafanya kipindi nilisahau . Ubarikiwe sana na usiache kuShare episode hizi kwa wengine 🙏🏻
Bei nishingapi
Ongera kwa maelezo mazuri sema apo kwenye Toyota kluger umekosea kidogo kwenye seat za nyuma mbili sio kwamba hazipo kaka, zipo unavuta zinaamka pengine haukujua ilo ukasema hazipo
Ni kweli yuko sahihi, sio kluger ina siti ya nyuma...nyingine hazina
Habar nitumie namba zenu tuwa siliane nataka gari
0653953900 Call/Text/Whatsapp
Umetudanganya broo kwenye iyo kluger siti ipo ila ushamba hujaifungua ipo imewekwa loki
😃😄 Si unajua ata mimi hua nakosea, Asante kwa kutulekebisha, usiache ku subscribe na Mungu akubariki.
@@MrSABYY poa poa kaka
Cc pamoja na bei iko sawa?
Cc zote ziko sawa ila bei ziko tofauti
Bei hamjataja utofauti
@@MrSABYY utofat up wabei
Bei ziko tofauti. Harrier kuanzia 27M na Kluger kuanzia 24M .....
Somo zuri lkn vp katika utulivu barabarani ni ipi ni bora hasa katika mwendo mkali?
Zote ziko sawa kabisa katika mwendo mkali na wa kawaida.... Kwa maswali zaidi klb WhatsApp 0653953900
@@MrSABYY ulaji wa mafuta na bei unalingana au
@@beatuskulwa2912 Toyota Kluger ina range 24M - 27M na Harrier 27M - 33M... ukaji wa mafuta uko sawa. Kwa maswali zaidi karibu WhatsApp 0653953900 . Ubarikiwe, pia usiache kushare link na wenzio. 🙏🏻
Kluger