NITASIMAMA IMARA - KIDESU DP St. Joseph Choir MWECAU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2025

Комментарии • 166

  • @JaphetSanagu-fz6mx
    @JaphetSanagu-fz6mx Год назад +10

    Mliyotumwa na mungu vijana mmeyafikisha Kwa walengwa
    Mungu atubariki sote 🎉🎉🎉

  • @geofreypeter8607
    @geofreypeter8607 Год назад +8

    Hongereni sana Wana mwecau kazi nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya nyimbo

  • @jacklinecharles6460
    @jacklinecharles6460 Год назад +8

    Hongereni sana sana wana MWECAU kwa kazi nzuri,, Bwana azidi kuwabariki

  • @peternestance8578
    @peternestance8578 Год назад +6

    kazi nzuri ndugu mko vzuri sanaaaaa

  • @ReginaPaul-sh3zx
    @ReginaPaul-sh3zx Год назад +6

    Woooow barikiwa sana kazi nzuri🥰

  • @paulsaguda32
    @paulsaguda32 Год назад +6

    Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyotukuka ❤❤❤❤❤❤ Mungu awabariki sana

  • @deucpatrick4850
    @deucpatrick4850 Год назад +1

    hongereeeni sana vijana wa mwecau baada ya Kumtafuta Bwana akawaongoza sasa mnasimama tenaa

  • @KagomaMoses
    @KagomaMoses Год назад +5

    Kazi nzuri 🙏

  • @innocentqamnuwas5396
    @innocentqamnuwas5396 Год назад +4

    Mungu awabari zaidiiiii🎉❤

  • @EmanuelMargwe-zg4lh
    @EmanuelMargwe-zg4lh Год назад +1

    Wimbo mzuri sana na umebeba maudhui mazito nawapongeza sana ongezeni sana bidii katika utume wa kanisa msikate tamaa mana Mungu ni mwaminifu

  • @badigito2884
    @badigito2884 Год назад +4

    Kazi nzuri 😍

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад +5

    Kazi nzuri Mungu awabariki sanaa 🎉🎉🎉🎉

  • @andrewmarandu.4422
    @andrewmarandu.4422 Год назад +4

    Hongereni sana Mungu azidi kuwainua katika kipaji chenu

  • @andreabatholomeo6965
    @andreabatholomeo6965 Год назад +5

    Hongereni sana

  • @benedictokamfulumbwe6343
    @benedictokamfulumbwe6343 Год назад +9

    Hongeren sana kwa kazi Nzuri!!Mwenyezi Mungu azidi kusimama nanyi katika utumishi huu….am so proud of you🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻

  • @albanTz001
    @albanTz001 Год назад +1

    Jina la Bwana Lihimidiwe🙏

  • @mlandeka.
    @mlandeka. Год назад +9

    That is great 🔥

  • @Eyopro4923
    @Eyopro4923 Год назад +9

    One of the best song the hit one thank God I am proud to be Christian also to be in this family God bless you my family ❤

  • @evalasiakisunga5262
    @evalasiakisunga5262 Год назад +7

    Mbarikiwe Saana Kwa Utume Wa UIMBAJI Hakika Tunamtukuza MUNGU Kupitia ninyii❤❤❤❤🎉

  • @HENRICKBALINZIGO
    @HENRICKBALINZIGO Год назад +7

    ❤❤❤❤very sweet song

  • @antonidanielhilonga6309
    @antonidanielhilonga6309 Год назад +4

    Mwecau inasonga mbele Mola awe nanyi katika Kazi ya utume

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад +5

    Mungu awabariki sanaa wapendwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤

  • @PakomiVicent
    @PakomiVicent Год назад +6

    Wimbo mzuri sana

    • @KinyagaNoela
      @KinyagaNoela 5 месяцев назад

      Nawapenda sana hakika ni kazi nzuri

  • @paskaliakonaay01
    @paskaliakonaay01 Год назад +3

    As usual hamjawahi kosea Hongereni sana @st Joseph mwecau❤🎉🎉

  • @EmenueliFaustini-cd2st
    @EmenueliFaustini-cd2st Год назад +1

    Kazi nzuri sana kweli nimeamini kuwa kuimba ni kusali mara mbili na kumbe tunaweza tukiamua Mungu ibariki MWECAU Mungu ibariki St Joseph Mwecau choir.

  • @tabithamasanja4585
    @tabithamasanja4585 Год назад +1

    Kazi nzuri sana haichoshi kusikiliza mda wote🎉
    Hongera sana st Joseph choir MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад +2

    Mungu awabariki sanaa wapendwa Kwa kazi nzuri Mungu atukuzwe Kwa nyimbo 🎉🎉🎉

  • @cleopatrakunguru
    @cleopatrakunguru Год назад +4

    Great and cool melody

  • @magnusa.kadete3767
    @magnusa.kadete3767 Год назад +9

    Mungu ni mwema kwa kweli jina lake litukuzwe. Kibao hiki huwa kinanibariki mno. Hongereni sana wana MWECAU

  • @miltonclementmnyenyelwa9349
    @miltonclementmnyenyelwa9349 Год назад +3

    kudos ❤

  • @HENRICKBALINZIGO
    @HENRICKBALINZIGO Год назад +2

    Kitu bomba sana not boring kusikiliza na kutazama pia motooooop

  • @kabulanzagamba-vp5ue
    @kabulanzagamba-vp5ue Год назад +1

    Wimbo mzuri sana 💖💖

  • @albanTz001
    @albanTz001 Год назад +7

    BEST OF THE BEST CATHOLIC MELODIES❤

  • @magnusa.kadete3767
    @magnusa.kadete3767 Год назад +4

    Kweli Mungu ni mwema kila wakati. Sifa na utukufu vimrudie yeye aliyeamuru yafanyike haya. Hongereni sana wana Mwecau kwa kazi yenu nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya kuimba 👏👏

  • @EmenueliFaustini-cd2st
    @EmenueliFaustini-cd2st Год назад +1

    Mungu ni mwema tuendelee kumtukuza mungu Kwa njia ya nyimbo

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад +1

    Mungu azidi kuwatia nguvu katika utume wenu ❤❤

  • @emanuelsingamb2856
    @emanuelsingamb2856 Год назад +1

    Nyimbo inanitafakarisha kwakweli Mungu azid kutubariki sote

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад +2

    Nice song may God bless you all 💕💕💕💕

  • @agustinomsuya5849
    @agustinomsuya5849 Год назад +1

    Hongereni Sana kwa Kazi nzuri,nimefurahi kumuonaa ment Wangu Madame Zainabu Makoye

  • @andreabatholomeo6965
    @andreabatholomeo6965 Год назад +1

    Asee hii kazi nzuri sana kwakwel

  • @martinsiay970
    @martinsiay970 Год назад +2

    Wimbo mzurii sana hongereni wapendwa

  • @PelidaKalinga
    @PelidaKalinga Год назад +1

    Ohhhh waooo hongereni sanaass jamani

  • @francekangwa181
    @francekangwa181 Год назад

    Ilivyo kweli na haki nayo yaliyo sahihi na kama ulivyo wajibu nao wapaswao kuwajibika wakawajibika kama ilivyo stahiki dhidi Yao
    MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUDUMISHA UTUMISHI WENU KWAKE DAIMA Kwa kazi nzuriiii mnayoendelea kuifanya kwaajili ya sifa na utukufu wa aliye juu🙏🙏🙏🙏
    NAWAPENDA SAANA PAMOJA NA KAZI ST. JOSEPH CHOIR cholines ZENU ZOTEEE❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @samwelikijeruda8097
    @samwelikijeruda8097 10 месяцев назад

    Hongerani sana kwaya yetu na niwatakieni utume mwema katika uenjilishaji wetu kupitia nyimbo
    Wimbo mzuri sana sana .

  • @RestutaJoseph-nd8yt
    @RestutaJoseph-nd8yt Год назад

    Wimbo mzuri sana hongereni wan mwecau mmetisha na mmeupiga mwingi mbalikiwe na Bwana ili kazi ya Mungu iwe njema siku zote

  • @norbertsungu3922
    @norbertsungu3922 7 месяцев назад

    Hongereni kwa Utume wimbo mzuri unatafari Nzuri sana mbalikiwe nyote TUMWIMBIE BWANA KATIKA ROHO NA KWELI 🙏

  • @TheonestinaRenatus-d8y
    @TheonestinaRenatus-d8y Год назад +1

    Mungu awabariki mzidi kuifany kaz yake

  • @ericsonkibasa7513
    @ericsonkibasa7513 Год назад +2

    Nitasimama imaraa milele🤲🤲

  • @peternestance8578
    @peternestance8578 Год назад +4

    so nice

  • @simonlusiani3890
    @simonlusiani3890 Год назад +1

    I like the song God bless you St Joseph choir Mwecau❤❤❤❤

  • @andreabatholomeo6965
    @andreabatholomeo6965 Год назад +1

    Wimbo mzuri sana asee

  • @edwinmfungomagoti-ok4my
    @edwinmfungomagoti-ok4my Год назад

    Mkinipenda nami nitawapenda ninyi . Haika MUNGU awapende na kuwaongoza mdumu katika kumtumikia milele yote

  • @erastosahani6180
    @erastosahani6180 Год назад

    Hongereniii sana Mungu awajalie mwanga wa roho mtakatifu katika utume wenu siku zote 🎉🎉🎉

  • @JohnAllay-d4x
    @JohnAllay-d4x Год назад

    Wimbo mzuri na wenye ujumbe mzuri mungu awatangulie wanakwaya wa mwecau

  • @YohanaDeogratius-o2e
    @YohanaDeogratius-o2e 8 месяцев назад

    Mungu awape nguvu siku zote mzidi kusimama imara na kulitangaza jina lake

  • @Joseph.Manyama
    @Joseph.Manyama Год назад +3

    Hii kali

  • @francekangwa181
    @francekangwa181 Год назад +2

    So sweet song❤🎉🎉

  • @winnieavit5985
    @winnieavit5985 Год назад

    🎉🎉🎉🎉🎉 so nice 👍 hongereni sana

  • @kidesudp9281
    @kidesudp9281 Год назад +2

    Nice MWECAU. Congratulations 🎊

  • @Regnaldtitus
    @Regnaldtitus Год назад +2

    Fireeeeee

  • @reginaldmassawe3705
    @reginaldmassawe3705 8 месяцев назад

    Hongereni sana vijana kutoka mwecau mmejaliwa kipaji cha hali ya juu sana endeleeni hivyo hivyo

  • @francekangwa181
    @francekangwa181 Год назад

    Congratulations 👍👍 kwenu kwa kazi nzuriiii

  • @YohanaDeogratius-o2e
    @YohanaDeogratius-o2e 8 месяцев назад

    I really appreciate my choir ,songs are encouraging and giving us a good way to live, loard is to our side forever

  • @EnockFissoo-yx4jb
    @EnockFissoo-yx4jb Год назад +1

    Very nice song, God be with you all

  • @brysonnyembele5481
    @brysonnyembele5481 4 месяца назад

    Bonge la wimbo , nawapongeza achaneni na masebene , hizi ndio nyimbo

  • @MinzaJulius
    @MinzaJulius Год назад

    Bwana awaongoze mzidi kufanya vizr katika uimbaji daima na milele

  • @GastoKavishe-ux6ho
    @GastoKavishe-ux6ho Год назад

    Hongereni nyote mlioshiriki na ku supoti hii kaz Mung atubariki sote🔥🔥🙏

  • @tabithamasanja4585
    @tabithamasanja4585 Год назад +1

    Waaaaoh, be blessed mwecau choir!❤

  • @marystellaandrea2868
    @marystellaandrea2868 Год назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri sana. Nami nitasimama imara katika imani.

  • @Adelitusjoseph-qp9ew
    @Adelitusjoseph-qp9ew Год назад

    nabalikiwa sana na wimboo huu mzur sana hongeraaaa sana St. Joseph CHOIR MWECAU

  • @naftarymkiwa8912
    @naftarymkiwa8912 Год назад

    Ni wimbo mzuri sanaa kwatafakari hongereni sanaaa kwa uinjilishaji mzuri

  • @mariangaida6584
    @mariangaida6584 Год назад +1

    Saut tamu 💯💯

  • @SarafinaPatrick-vh3iv
    @SarafinaPatrick-vh3iv Год назад

    Hongereni saaana Mungu Awabariki kwa kazi nzur ya kulitukuza jina lake kwa utume wa Uimbaji. Nimebarikiwa pia

  • @DEVOTADEAMLWILO
    @DEVOTADEAMLWILO 4 месяца назад

    Hongereni sana Wana MWECAU Mungu awabariki sana

  • @simonlusiani3890
    @simonlusiani3890 Год назад

    Kazi nzuri mungu awabariki❤❤❤

  • @thehomeofentertainment7063
    @thehomeofentertainment7063 Год назад

    Kazi nzuri sana na ujumbe mzuri pia

  • @EzekielSareiyo
    @EzekielSareiyo Год назад

    Wimbo mzuri sana, wenye utulivu na kuwavutia watu wasikilize ujumbe

  • @agnesmudyi7752
    @agnesmudyi7752 Год назад

    Hongeren jamn wimbo n mzr xan

  • @marymfoy8511
    @marymfoy8511 Год назад +2

    Congratulations 👏

  • @Kondizzotz-
    @Kondizzotz- Год назад

    Kaz nzur Sana isee❤❤❤

  • @MagrethCosmass
    @MagrethCosmass 4 месяца назад

    Kazi nzuri 🎉🎉

  • @nyotakachinga5535
    @nyotakachinga5535 Месяц назад

    Mungu atukuzwe daima

  • @JuliusKanuti-ec3zi
    @JuliusKanuti-ec3zi Год назад +1

    Fantastic one it's favorite congratulations 👏👏to all prayer be blessed

  • @dottoedward7183
    @dottoedward7183 Год назад

    Waaaaao hongereni sanaaa wimbo unatubariki sana

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 Год назад

    Kaz nzuli Sana hogelen sana

  • @SEZARIASEBASTIAN
    @SEZARIASEBASTIAN Год назад

    Kuimba ni kusali mara mbili,,, Mbarikiwe Sanaa.

  • @ndalahwadaudmathew3334
    @ndalahwadaudmathew3334 8 месяцев назад

    Tutoe wimbo mwingine mzuri sana

  • @YohanaDeogratius-o2e
    @YohanaDeogratius-o2e 8 месяцев назад

    Kwaya nzuri sana naipenda

  • @GFMProduction
    @GFMProduction Год назад

    Kazi tamu sana hiii. Hongera sana wanakwaya

  • @paulinahando8078
    @paulinahando8078 Год назад

    Hongereni sana wanakwaya, very amazing

  • @JaphetSanagu-fz6mx
    @JaphetSanagu-fz6mx Год назад +1

    Jina la bwana lihimidiwe

  • @suzanmushi659
    @suzanmushi659 Год назад

    Nice song
    Hongereni sana

  • @ZABRONPETER
    @ZABRONPETER 8 месяцев назад

    Nzuri Sana mbarikiwe wote

  • @YohanaDeogratius-o2e
    @YohanaDeogratius-o2e 8 месяцев назад

    Hongereni sana mwecau choir

  • @DativaCalist
    @DativaCalist Год назад

    Aiseeeee! It is a beautiful song, congratulations to you!

  • @lotraTanzania
    @lotraTanzania Год назад

    Hongeren sana kwa kazi njema

  • @renatatarimo6074
    @renatatarimo6074 Год назад

    Mungu awabariki sana 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @Me-hn3qf
    @Me-hn3qf Год назад +3

  • @MARIETAGULAYI
    @MARIETAGULAYI Год назад

    Mungu awabariki wimbo mzur Sana

  • @HENRICKBALINZIGO
    @HENRICKBALINZIGO Год назад

    Hongereni sana kwa utume wa uimbaji